>KAULI YA KUJENGA NYUMBA MOJA NI KINYUME KABISA NA HALI HALISI! >TAASISI ZINAZOPAMBANIA MISINGI YA HAKI NI TOFAUTI KABISA NA ZINAZOKINZANA NA MISINGI YA HAKI.
Nina swali Moja: MH. Lema kwa uwezo anao, Ana mabanda mangapi ya Kuku au mashamba? Na ni watanzania wangapi wameajiriwa kwenye vyanzo vyake? Ili watanzania wamwamini kwa anavyoongea!
KWa pesa za wizi mnaweza kuwa dunia nzima. Ufisadi wa mali za wananchi hizo. Inakuja siku. Na nyinyi vitisho vya nini. Ni nyinyi ndo mnawatishia wananchi. Tunahitaji tüme huru na Katiba mpya ya wananchi. Si ombi ni haki yetu. Yaani Msigwa kumbe ni muhimu na maarufu sana kwa ccm kuliko wote wa ccm. Kumbe hamna wenye kuona mbali huko.
Bee ludesi bee! Msigwa umefilisika, wewe ni mchungaji feki uliyepoteza maadili na dira kwa tamaa huku na kule sawa na wale wanasiasa malaya malaya tu! Historia yake ya kuingia TLP,NCCR,hatimaye CDM ni njaa tupu! Ulingoja nini cdm miaka yote?! Hizo unazoongea ni uongo,na pumba tupu hata utoke povu tutakupuuza....
Wote mnawo waona hawana habari ya kuzwa bandari mikataba.hawajuwi chochote. Nahawo wamenunuliwa kwa sh 5000. Hawana lolote .sasa ndiyo unaweza kuona wajinga. Walivyo .
Kwa maisha haya mzee sizani kama vijana wenye akili timamu wanaweza kukusikiliza wewe Laurent Bagbo tuambie ile misitu yetu na bandari itakuaje? Bado utazipigania au na wewe uko na hisa huko