Vijana wa hovyo acheni kummezea mate dogo,sisi tuendelee na mabibi zake wakina siwema siwetu huyu dogo bado career yake iende mbele,Mimi kama member wa vijana wa hovyo kijana ana future nzuri,Very proud for you,I'm so proud to you.
bro sky , kuna kit nimejifunza sana kwako mungu akubaliki kwa kumsoma mtu kwa nilichoona hapa huyu mtoto sio muongeaji bado ni muonga su ni aibu ila umekuwa ukiongea wewe sana alf yeye akiwa anakubali na kuitikia umekuwa muongeaji kwenye hii interview na umekuwa ukiuliza kila jambo ili kumfanya afunguke kuongea ila yeye sio muongeaji coz ni mtoto bro umetisha sana , angekutana na mtangazaji ambae hayuko vizur asikweza ila umefanya vizur sana
@@damariszuckschwert9489 nataka kujua familia yako ikoje acha kupamba za watu wenye pesa zao,wew mwenyew mdangaji mkubwa sana ndio maana unadanga mpaka kwenye familia ambao hawajui ata kidogo naomba utoe mfano wa mtoto wako ambao unafundisha vizuri 🖕
Big up kwake kwa kuongea vizuri kiswahili angekua mwingine kama Diva angekua anaingiza zana maneno ya kizungu kitu ambacho sio sahihi. Yani nimemuelewa binti hapendi kuchanganya lugha
Ni binti mzuri na ana maadili na heshima, kwahiyo mie namshauri ni bora aendelee kuimba peke yake, au kama anataka kuimba na wasanii wa bongo, basi ni bora aimbe na wasanii wanawake kuliko wanaume, kwasababu hao wasanii wanaume wa bongo ni vicheche wahuni wataanza kumtongoza na kumuharibia maisha yake.
Form 3 ni sawa na form 3 huku, tofauti ni kwamba shule ya msingi wanafanya miaka mitano. Yaani akifanya mtihani darasa la tano anakwenda form 1. Kenya shule ya msingi wanafanya miaka 8 halafu form 1. Haimaanishi akifika darasa la. Nane ni sawa na form 1.
Ni ipo kama alivyosema linahesabika darasa la mtihani... Kule unafanya mtihani darasa la 5 huku unafanya darasa la 7 Then, Huku unafanya ukiwa form four kwahiyo form three sawa na form one
@@husseinhussein9971kwani kingereza ndio nini? Kuna mtu anaitwa muarabu huyu kiumbe anathamini Sana lugha yake na watu wenye vingereza vyao wamejaa kwenye nchi zao Wana watumikia habu tupishe sie