Тёмный

Kwanini Mawakili wanawatea wabakaji na wanaolawiti na Ushahidi upo? Wakili Henry Mwinuka afafanua 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 21 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 185   
@user-do2id6pp4g
@user-do2id6pp4g 21 день назад
Leo mnatuchambulia sheria kwa sbb ni askari ndio wametenda makosa lkn laiti kama angekuwa mtu wa kawaida tusingeweza kusikia hilo somo la sheria mm nasema hivi duniani kuna sheria za firauni lkn akhera kwa Allah ndio kuna haqi ya uhakika Mungu anasema...iogopeni siku mtayorejeshwa kwake..akili mkichwa.
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c 21 день назад
Pole kaka sky Allah atakuponya
@ShamsaOnesha
@ShamsaOnesha 21 день назад
Mimi kesi kama hii kwa kweli nitachofanya haa mungu atanisamehe kwakweli siendi polisi nishaona milolongo mingi polisi bora nitende dhambi mpaka shetani na ibilisi wakiiona hiyo dhambi wakae pembeni
@ce-08
@ce-08 21 день назад
😂😂😂
@zainabwage4658
@zainabwage4658 21 день назад
😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 21 день назад
😂😂sheria mikononi apo uta' chukuwa
@hanifa9153
@hanifa9153 20 дней назад
🤣🤣🤣🥱
@RynoFiree
@RynoFiree 20 дней назад
Huo ndo ukweli hizi sheria walitunga wavuta bangi watupu
@AsilaAlhabsi-hg9lg
@AsilaAlhabsi-hg9lg 21 день назад
Nyinyi wacheni mchezo wenu nyinyi hebu mpeni haki mtt wa watu
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq 21 день назад
Mh sasa kama ushahidi upo nini tena kinatakiwa au ndo ile haki kwa wote inauma na inaumiza 😢😢😢😢😢
@annamussa185
@annamussa185 21 день назад
Yani ni hivi siyo kwamba wanatetea wabakaji hao mawakili wanatetea vibarua vya hao watumaji sasa lazima watete huku ili wao wabaki salama😂ila Mungu yupo haki itapatikana mpaka hapo cheo Cha mtu kimepotea wakae kwa kutulia
@zainabwage4658
@zainabwage4658 21 день назад
Uo ndio ukwer
@KhamisChaz-td4nz
@KhamisChaz-td4nz 21 день назад
Ikiwa wafanya maovu wanatetewa KWA nguvu namna hii tusitegemee kama watoto wetu kama watakua salama kunakoelekea ni bora kuchukua sheria mkononi maana kupata haki mahakamani ni ngumu sana
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 21 день назад
Hao inaonesha wazi wametumwa na wanapewq utetezi na walowatuma mawakili 4 sio mchezo alafu mnasema alibakwa na walevi😂😂😂😂
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 21 день назад
Hatukubali mpk kieleweke na mkiwaacha tukiwaona mtaani kwisha habari zao
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 21 день назад
Kwa maana hiyo, anatuambia mahakama ina fanya maamuzi kwa ushahidi usio kweli,mahakama hawataki ukweli kuamua kesi! Wao wanaamua kesi wanavyo taka wao na kwa ushahidi wao
@MasanjaMasanja-mz3ll
@MasanjaMasanja-mz3ll 21 день назад
Ndio ujinga wa Sheria,Mimi nilishindwa kusoma Sheria baada ya kugundua kua sometimes inatakiwa umtetee muarifu,huo ni ujinga
@JasperMulokozi
@JasperMulokozi 12 дней назад
Asante kwa ufafanuzi sheria ya kutetea wahalifu ila nyingi watetezi ni watu,wenye hakili nzuri,pia mmesoma pia mna familia,tafsiri ya kuulizwa swali ukiwa ni mtu mzima na msomi watu wanakushangaa wanajiuliza kwamba uyo anaye ongea ni mtanzania?au mgeni ujue wanasema ni kusoma saana labda.au kutojua
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 20 дней назад
Kwasababu wanalipwa kutetea mtu yeyote kwa hali yeyote, nikazi ya Judge kutoa hukumu period. Thank you Henry, umesema Vizuri sana…
@yassadabrown
@yassadabrown 21 день назад
Bora hao waende jera ila wakiwa huru raia wanaweza kuwaua hao maana watu wengi awawapendi huku bora waende jera tu
@user-lq6kr2gl7n
@user-lq6kr2gl7n 21 день назад
Ww umeongea ukweli kabisa watu wanahasira nao yan kam mm namtaman huyo nyundo mfupi kama kijiko cha sukar hawa ni wa kuuwa hawafai kukaa ktk jamiii leo wamefanya kwa yule bint hatujui kesho watafanya kwa nan tz ni nchi ngumu sana
@ce-08
@ce-08 21 день назад
​@@user-lq6kr2gl7n waTz hasira kwenye social media ukija Uraia mmoja mmoja Kila mtu yupo bze kutafuta ugali wake ww chunguza tu
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 21 день назад
​@@user-lq6kr2gl7nkumaamaeee piga mapanga ya miguu yote miwili wote wawe vilema maamaee zao
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 20 дней назад
@user-lq6kr2gl7n kabisa maneno yako ni kweli sasa hivi nchi imekuwa haina amani kabisa, watoto wa dogo wana bakwa, wana walawiti sijui tuna kwenda wapi
@lightwilliam4443
@lightwilliam4443 17 дней назад
Yaani baya lolote liwapate
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 21 день назад
Hapo iko namna sawa haki ipo kwq mungu wacha tuone mwisho wake
@chancesholdan342
@chancesholdan342 21 день назад
kwahiyo mahakama itataka ushahidi kama kweli sehemu za siri ziligusana kama ushahidi, naombeni kueleweshwa
@zaidiissa3714
@zaidiissa3714 21 день назад
Hivyo vyote nimuhimu sana ndio maana ntuanapobakwatu anatakiwa akakupoti kabla hajaoga au kuguswa na mtu yoyote kwaajili ya DNA ya mtu Alie shiriki kitendo zipatikane pia fingerprint Yani alama za vidole vilivyo mgusa
@saeedmassoud256
@saeedmassoud256 21 день назад
​@@zaidiissa3714na hivo video zilizosambaa duniani kote hazitoshi ?
@chancesholdan342
@chancesholdan342 20 дней назад
@@zaidiissa3714 kwahiyo kwa siku zimeshapita huwenda ushahidi ukakosekana maan muhanga atakuwa ameshaoga
@asyajey3479
@asyajey3479 21 день назад
Pole sana kaka sky kwa mafua
@trizereve3386
@trizereve3386 21 день назад
Hamnachakufanana we needs justice please 🥺🥺🥺
@RynoFiree
@RynoFiree 20 дней назад
Basi kama sheria ndo ziko hivyo! Yawezekana zikawa ni mipango ya kishetani tu, ifikie muda kuwe na taasisi za siri zitakazo hakikisha kwamba watu kama hao hawafiki hata mahakamani, alicho fanyiw yule hata mbwa hawezi fanyiwa, kunasheria nizakisenge ila basi tu dah! Mimi inaniuma Sana hii
@mohamedymkopi5887
@mohamedymkopi5887 20 дней назад
Alafu kwanza ili kundi la nyundo hawana muonekano kbisa wa kiaskari bigtime navowaona otherwise mnavotupeleka huko kote tutafika tupate all prove vyenye mnataka but true say Allah is the greatest all the time sheria duniani haki mbingini we keep watching this movie
@user-eg1ts2fu9z
@user-eg1ts2fu9z 20 дней назад
Mr Henry umetufafanulia vzr sana
@princessplatnum4416
@princessplatnum4416 20 дней назад
Angekuwepo mwenda zake mmh aubasi
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 16 дней назад
Safi sana Njaa inafaya kuwatetea sababu ya njaa
@pierrebigirindavyi4378
@pierrebigirindavyi4378 21 день назад
Quick recovery kaka Sky! Nakupenda saaana
@shanimbaruku2071
@shanimbaruku2071 21 день назад
Pole sana mtangazaji
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q 21 день назад
Inshu sio mawakili inshu wanalipwa na nani
@eben_ezer8853
@eben_ezer8853 21 день назад
Kabisa nani anawafadhili
@homeandaway2811
@homeandaway2811 21 день назад
Asante sana , wanalipwa na nani?
@Hbhoola
@Hbhoola 21 день назад
Watalipwa na Wahalifu wezao Ukiona MTU anatetea uhalifu ujuwe na yeye Pia ni Muhalifu
@JoelRichard-hj3bi
@JoelRichard-hj3bi 21 день назад
Ushahidi upo,na hizo ndizo sura zao kabisa na tumezitazama kwa umakini zaidi,na hawa mawakili watalipwa na upande upi?
@aubreykasoyaga1665
@aubreykasoyaga1665 21 день назад
Serekali itawalipa 100%
@nobodyog9512
@nobodyog9512 21 день назад
Sometimes huwa naona sheria ni upuuzi
@Fgldesigns
@Fgldesigns 21 день назад
Yaaani wanaweza kupindisha mambo mpaka ikawa sio kosa, sasa kwanini wakina Gigy mliwafungia ama wao walishindwa kukata sio wao...
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Watafuteni hao mapacha wenzao sasa yani Tanzania yetu hi ni 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 21 день назад
Kwani Mama Samia yuko wapi jamani yy pia Angelivalia njuga bana🤔
@user-it2tr7ny8d
@user-it2tr7ny8d 20 дней назад
Pole kaka tuma namba 🙌
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 20 дней назад
Pole kaka
@wadantz123
@wadantz123 21 день назад
Watetewe then washinde kesi tutakutana uraiani tutakula nao sahani moja mbwa hao
@agnessherman7524
@agnessherman7524 21 день назад
Jamani eeeh mnaojua kuwapiga watu vipapai simuwapige awo wote kwa nzia aliyewateua na ivyo ubakaji vife tu visomewe hata albadili viondoke tu sheria sheria adi lini malizen mchezo wakulungwa
@ShukuruSemwenda
@ShukuruSemwenda 20 дней назад
Siyo laisi kiivo
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Hawa wangekuwa kenya ni mali ya wanaichi yani mnataka ushaidi gani???
@KhamisChaz-td4nz
@KhamisChaz-td4nz 21 день назад
NAJIULIZA HIVI MH HAYAT MAGUFULI ALIPOSEMA MTANIKUMBUKA KWA MEMA YANGU' JE ALIOTESHWA HAYA YANAYOTEKEA HIVI SASA WAKATI YEYE KESHAKUFA KWELI!?
@michaeljuma254
@michaeljuma254 20 дней назад
Dah! Wanyonge tutahangaika mpaka siku ya kiama😢
@surusuru1994
@surusuru1994 21 день назад
Walah hikatiba tz niyakijigamno jmn mama zang tuige mtaan situmewajuwa kulaladadeki moja moja watajulie kw Good
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Wewe m wenyewe ongea yako umeshakula hela mungu A nakuona kaka
@NandoWaUsa
@NandoWaUsa 20 дней назад
FabrizioRomano wa bongo💯
@JOKHAALIY
@JOKHAALIY 21 день назад
Hivi huu udhalilishaji unapingwa kwa raia tu wakifanya wanaolinda nchi haina shida Nyie mawakili mnatetea nini hapo na kila kitu kipo wazi Mnataka ushahidi gani wakati unaonekana Mnachunguza ninin hapo kilichokua hakionekan
@mtazycomedy
@mtazycomedy 19 дней назад
Kijana anapenda kukaa mbele
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 21 день назад
Mbona yule dada wanyama ya swala hawakujitokeza mawakili mpaka alpohukumiwa ndio watu wakaanza kushtuka lakni haw mar tu wamepat mawakil.
@ce-08
@ce-08 21 день назад
Lazma atakuwa akipata baadae
@erickphilipo6058
@erickphilipo6058 21 день назад
Hela
@fetychina3969
@fetychina3969 20 дней назад
Hawa dawa yao na wakiachiwatu nawao walawitiwe ili wanaone kama nivizuri pumbavu zao
@HusseinSuleiman-g3b
@HusseinSuleiman-g3b 21 день назад
Kwaiyo ile clip waliyopost awakuwa wao? Acheni kutuaminisha uongo nyinyi mawakili hii sio Tanzania ya mwaka 1980 haki ipi mnayoitafuta ?
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Hivi hi tanzania ikoje jamaniiiii
@sharifamunisi4378
@sharifamunisi4378 19 дней назад
Wakirudi mtaani hao mmmh
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 21 день назад
Ple kwa mafua sky ila hawa nikuwaroga tu ndo dawa hizo pesa kupeleka police na hakuna haku heri upeleke kwa mganga tu.....
@leeyjr1446
@leeyjr1446 21 день назад
Get well soon comrade 😊❤
@user-fj4kj8xc5x
@user-fj4kj8xc5x 20 дней назад
Nime elewa hakika kumbe mpaka mahakama ithibitishe kama kweli ni wao wametenda hio jina, kwa ushahidi ulio jitosheleza , nichekeshe kidogo yaani hata shetani lazima apate wa kumtetea , ila Sheria ni ya ajabu sana
@lilyanmongi1075
@lilyanmongi1075 16 дней назад
Mbona kama naona hawa wa2 inaonekana wanatetewa sana? Kuna kitu hakiko sawa na inaonekana hawafungwa kabisa na hili likitoa basi watoto we2 hawako salama kabisa. Utetezi wa kufafanua sheria umekuwa mkubwa sana
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 16 дней назад
Mnatuzingua tu watu anaonekana kabisa wanambaka bado mnawatetea
@khurlainashly5686
@khurlainashly5686 19 дней назад
Nguvu ya pesa😮Yani wabakaji wanakiburi pyee
@TeddyDickson-w5p
@TeddyDickson-w5p 21 день назад
Hivi ule ushahidi wa video haukubaliki mahakamani,au mie ndio najichanganya
@athumannyungundileki9799
@athumannyungundileki9799 21 день назад
Kama alie watuma hajakamatwa na sio kwa hawamjui badi nina wasi wasi hata upande wa mashitaka hawata leta vielelezo vya kutosha tutegemee jamaa kuona wakiwa huru
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 20 дней назад
Katiba ya hovyo hiyo ishapitwa na wakat ibadilishwe
@juliusdominic-uk4bu
@juliusdominic-uk4bu 21 день назад
Ngoja yatoke yabake na watoto wao ndio tutaona kama watainuka kutetea mbwa hawa
@user-sy4ku4xm7q
@user-sy4ku4xm7q 20 дней назад
Kweli huyu jama amesomea sheria,yani anajua,mwanasheria huwa hashindwi kesi ovyo yani huwa kama mechi mawakili na makama,jamani tafuteni pesa tuwe na mawakili
@Az__2012
@Az__2012 21 день назад
safi endeleeni kuwa elimisha
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 20 дней назад
✌️👍👊.
@KhatibHamadi
@KhatibHamadi 20 дней назад
Mi niuliza kwani ushahidi Namba moja Upo wapi pengine mnaweza kufungua akili zenu
@rayaalhabsi1725
@rayaalhabsi1725 21 день назад
Huyo afande na hao walio tumwa wote ni kunyongwa mbele ya hadhara ya watu hasbiya Allah wani'mal wakiil
@ce-08
@ce-08 21 день назад
Labda Saudi Arabia sio Tz
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Tuseme hela inatembea mnakosea sana hii hela hi kiukweli ni laana sisi tunasema ni wao ety wanafanana kaka muogope mungu ingekuwa mdogo wako je??????
@PendoMatemba-ql1ng
@PendoMatemba-ql1ng 19 дней назад
Unataka ushaidi gani mwingine na wakati watanzania wore ni mashaidi hivi kaka unaongea nini na wakati sisi wenyewe tumewaona ni wao
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 21 день назад
Pole kkangu Kw mafua
@ShemsaKiobya-x8h
@ShemsaKiobya-x8h 19 дней назад
Ngoja waje wabake wake zenu ndio mtajua
@fakijecha
@fakijecha 19 дней назад
Mungu aliweka hukumu ili mtu apare haki binaadamu hawezi kuweka Sheria abadani kweli kesi km hii wanataka ushahidi gan mbna alochana picha ya raisi haikua hivi kesi yake aduwi shetani muwogope sana kava suti nzuri lakin nafsi zao chafu kuliko mavi alafu Wanaka Kwa wanachi haki za wanawake wakati wao ndo hawapendani likikutike jambo saiv malizana nalo mwenyewe mana unao wapelekea ndo wahuni wakubwa ifike mdaa akili ifaye kazi na sio elimu
@bishweko
@bishweko 21 день назад
Kwa ufupi Mdogo wangu Sky. Kidini yetu Wakili kafananishwa Na mganga wa kichawi
@bishweko
@bishweko 21 день назад
Sababu Wakili anamtetea mwema na muovu. Kama mchawi anaroga huyu na anatolea yule uchawi
@MinaahOmary-wd8ls
@MinaahOmary-wd8ls 20 дней назад
Mungu afanye wepes Hill jambo tupate haki kabisa wahalifu wakafie jelaaa uko
@temuramadhani5134
@temuramadhani5134 16 дней назад
Ata majambazi na wezi watawaze kuwatetea, sababu ya Njaa,
@trizereve3386
@trizereve3386 21 день назад
Get well soon mtangazaji
@ShadyAbdallah-vu7iu
@ShadyAbdallah-vu7iu 21 день назад
Kwahiyo wote ndy wafanane
@mussabuhe8881
@mussabuhe8881 20 дней назад
mawakili nao ni wakuuwa tu nahao wabakji lao Moja nahao washemzi wenzao
@athumaniamani9905
@athumaniamani9905 20 дней назад
Yule mama alikutwa na vipande kazaa vya nyma tu miaka 20 jero duuuh
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 21 день назад
Nasheria hapana kwakweli
@Bmhalisi2349
@Bmhalisi2349 21 день назад
Oyaaa nipeni like hapa haraka haraka tuondoke
@markomapessa9536
@markomapessa9536 20 дней назад
Like zinakusaidia nn sasa
@flaxbeatman
@flaxbeatman 21 день назад
mpaka iishe ndio raiya tuelewe tumeumia wengi sanaaa nabado sheria itende haki tu basi.
@alphadreammedia
@alphadreammedia 21 день назад
Video wanafikiri imeeditiwa yaani wamesingiziwa daa😢😢😢
@Aminimalewa
@Aminimalewa 21 день назад
Kwastahili hii mwalifu akikamatwa na raia hatafika polisi kwanza, hukumu yahaaraka itatoka mambo mengine yaendelee, yaan ukweli upo wazi alafu kutwa mnazingushana mahakamani, hichi kipindi kingekua kile Cha magufuli nahakika hili swala lisingeleta ubabaishaji huu, ushenzi mtupu, hizo Sheria inabidi zibadilishwe,
@erickphilipo6058
@erickphilipo6058 21 день назад
Sasa hizi sheria ndio za kimataifa toa uone wanavokutenga
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 20 дней назад
Hao wanao tetea wanalipwa na serikali
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 15 дней назад
Kama watarudi urayani lazima wafe akuna uchenzi na hukatili kama walio fanya hawo mafirauni
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 21 день назад
MIFANO NI MINGI SANA El CHAPO PABLO NK HAKI YA MWNAADAMU IPO PALEPALE ENDAPO BADO HAJATIWA HATIANI
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 21 день назад
User umeuliza suali zuri
@IsmailYusuf-nb9jt
@IsmailYusuf-nb9jt 20 дней назад
Twende mbele na kurudi nyuma huyu dada ametuweka katika wakati mgumu sana leo nimekosa demu ameniambia ana wasiwasi nna mme 😂
@vitaminonlinetv8884
@vitaminonlinetv8884 20 дней назад
Sky huyu jamaa naomba atutofautishie ushahidi na kidhibiti ili tujue Ile video mahakamani itaitwaje
@user-lk9rh5xp4u
@user-lk9rh5xp4u 21 день назад
Na je,yule binti anatetewa na nani?
@Ethnicfm91
@Ethnicfm91 20 дней назад
Zingatia "MAFUA MAKALI MNOO" 😂
@mbzoboy
@mbzoboy 17 дней назад
pesa ndo kila kitu wame lipwa
@sholastikaHenjewele-rh4gw
@sholastikaHenjewele-rh4gw 21 день назад
Nan anawalipa hao mawakili wao shida sio wakili shida Nan anawalipa
@ce-08
@ce-08 21 день назад
Serikali
@erickphilipo6058
@erickphilipo6058 21 день назад
​@@ce-08kuna pande mbili hapo kuna mawakili wa serikali na mawakili binafsi . Na hao binafsi hawalipwi na serikali, wao hulipwa na mteja anaemtetea
@allymtunge5530
@allymtunge5530 20 дней назад
Mimi silewi ata kidogo kwehilo bhn.
@Fgldesigns
@Fgldesigns 21 день назад
Ama kweli mahakama sio ya kuiamini hata kidogo, hapo mawakili wakiwa vizuri wanaweza kuonekana hawana kosa ama wakafungwa mwaka mmoja au miezi sit
@ERRICKISIGO-mv7co
@ERRICKISIGO-mv7co 20 дней назад
Uko sahihi mi nipo hapa,Mana naofia kukomaa kusema imeeditiwa
@sonnyr1899
@sonnyr1899 21 день назад
Ningekuwa mwanasheria kuna kesi ningezikata kama hii hapana jamani. We hukuona mtoto wa miaka 17 alivyo kuwa anasulubiwa 😭😭😭 hio video nilishindwa itazama sec 10
@chazy7ya216
@chazy7ya216 20 дней назад
Awonikuwauwa wote hadi hao wanawowatetea wakufe hiyo mahakama inapoteza mda kwaniiyo video siinaonyesha kilakitu wamebaka wamelawiti awonikuwauwa tuu tena nninavochukia polisi polisi niwabaya sana wangekua nivijana wakawaida washaguswa washavunjwa kila mahali kwakweli ninahasira sana kwahilijambo
@robertmasele9895
@robertmasele9895 21 день назад
Hii pia ninasaidia sabb watuhumiwa wanaweza kubadlishwa pia,
@user-fj4kj8xc5x
@user-fj4kj8xc5x 20 дней назад
Chamsingi aletwe mahakamani mtendewa atawatambua wahusika
@tatutatu1570
@tatutatu1570 19 дней назад
uko mahakamani wala rushwa tu hakuna haki😏
@WakiliHaule
@WakiliHaule 21 день назад
Ile biashara sio kosa...tulaumu aliyeanzisha matumizi ya ela
@happynesssamwel4249
@happynesssamwel4249 21 день назад
Uthibitisho gan sasa wakat video ndo uthibitisho tosha
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 21 день назад
Mbona yule mwenye kipara simwoni jamani
@shaimamabrouk9937
@shaimamabrouk9937 21 день назад
Wamtoe yule msichana awe shahidi mwenyewe maana atawatambua mamaee mlolongo mwingi manina huyo nyindo itakua mtoto wafulan ndio maana kunapawa kubwa hapo
@erickphilipo6058
@erickphilipo6058 21 день назад
Kwani mtu hawezi kuzingizia kosa
@victaboy7273
@victaboy7273 21 день назад
Bila kujalisha ukubwa wa kosa. Utetezi ni haki ya kila mtuhumiwa hata kama ametenda adharani
Далее
Почему не Попал?!
00:15
Просмотров 27 тыс.
Apple Event - September 9
1:38:50
Просмотров 25 млн
iPhone 16 - презентация Apple 2024
01:00
Просмотров 129 тыс.
Почему не Попал?!
00:15
Просмотров 27 тыс.