Huku Makole Hexagon wakina BUSHOKE halafu kule DLF wakina Voice Wonder. Dom ilikuwa yamoto sana pale NK Disco. Enzi hizo kina Chamber squad wameshapiga step kubwa. Daah enzi ingekuwa inajirudia aseeh.... Wakina Msabaha mtoto wa Shehee, Dom ilikuwa HOOOOOOT.
Sky naona kila mtu anamuongelea Albert Mangwea.Nakushauri wote kushirikiana na kuandaa documentery yake na wote wakawepo ndani isije ikatoka ya Bongo records peke yake.
ACCORDING TO THE STORY UKIMSIKILIZA VIZURI INTERVIEW UTAGUNDUA Ngwair Ni Kipaji Kikubwa Sana Ambacho Mwenyezi Mungu Ameamua Ampumzishe Na Husda Za Binadam
Jamaa mzuri sana kwenye kusimulia, ana kumbukumbu za vitu vidogovidogo kama bei za kupiga simu imenikumbusha mbali sana nikiwa sengerema sekondari. Nimefurahi sana kwa interview hii, imesimulia background ya vitu vingi sana adimu kuvijua Jamaa kampa maua yake ngwea ya kutosha na kamuelezea kwa uzuri sana. Aitwe tena muda ukiruhusu.
Sema kwa enzi zao gheto la jamaa lilikua kali mno sema Albert aliiongezea kinyamwezi zaidi. Jamaa kastory vizuri mno sijaskip hata sekunde, heshima kwake broh kwa kutuletea story za mziki wa enzi hizo.
Ngwair nilianza kumsikiliza nikiwa mdogo shule ya msingi...msiba wake niliumia sana.Sijawahi mpaka leo kuamini kama tanzania hii kutapata kuwa na msanii kama ngwair..Na mwenyewe aliwahi kuimba katika mistari yake kuwa na hata akifa leo pengo lake halina spair...
Asubuhi tunaibuka zetu mitaa ya chaga bite tunapata supu na chapati. Mchana tunaagiza ugali mkubwa na samaki/Baadae graveyard kupata nyasi.. "Hapo Ngwea kachana maisha ambayo kayaishi utagundua maisha halisi Yana make sense Sana kwenye uandishi kisanaa ✅✅✅
Such an excellent story teller my guy big .: I’m so indulge in this convo .. very refreshing.: thanks all. Sns such a great channel 🏴🏴🏴👊👊👊
Sema wasanii wengi wa zamani walikuwa maginiaz sana, kuanzia darasani maana kiukwel kwa elimu ya kitambo hicho mtu kutusua kwenda Five ni sawa na sasa mtu kutusua kwenda chuo kikuu haikuwa kazi rahisi na jamaa wote walikuwa wanapg shule vzr
Mwaka 2000 nilikuwa ninasimu ya mkononi ilikuwa inaitwa Panasonic inamlio wa treni. Lakini nilikuwa form 1, lakini pia nilikuwa nina simu hiyo walimu na wanafunzi hawakuwanayo, lakini pia ilisababisha nichapwe sana viboko mpaka nikaamua kuachananayo.
Lakini kuna kitu hapa hakiko sawa. Mo alisema huu wimbo wa geto langu ulikuwa wa huyu mwana mwanzo-mwisho, hata pesa ya kuurekodi majani aliwarudishia kesho yake.. Lakini huyu mwamba amekuja na stori tofauti kabisa.. Inabidi atafutwe majani aje kutuweka sawa.