Тёмный

Huyu ndiye alikuwa mmiliki wa Ghetto Langu aliloliimba Ngwair, asimulia walivyoishi pamoja! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

1 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 50   
@contempo_builders
@contempo_builders 3 месяца назад
Huku Makole Hexagon wakina BUSHOKE halafu kule DLF wakina Voice Wonder. Dom ilikuwa yamoto sana pale NK Disco. Enzi hizo kina Chamber squad wameshapiga step kubwa. Daah enzi ingekuwa inajirudia aseeh.... Wakina Msabaha mtoto wa Shehee, Dom ilikuwa HOOOOOOT.
@brianbrayoo1590
@brianbrayoo1590 3 месяца назад
Voice Wonder kumbe ni Dom product??? okay...
@topselaz6366
@topselaz6366 3 месяца назад
Nomaaaaaa
@gilbertkalanda9354
@gilbertkalanda9354 3 месяца назад
Memories , NK kama NK Club
@alexruhigi
@alexruhigi 2 месяца назад
Kwa hio NK ilikua bonge la Club back then
@davidlaiser8174
@davidlaiser8174 3 месяца назад
Sky naona kila mtu anamuongelea Albert Mangwea.Nakushauri wote kushirikiana na kuandaa documentery yake na wote wakawepo ndani isije ikatoka ya Bongo records peke yake.
@davidhudson9194
@davidhudson9194 3 месяца назад
Wakianda documentary ya ngwair kama ile ya BIG itakuwa kitu poa sana
@ibni_H2TL6r
@ibni_H2TL6r 3 месяца назад
ACCORDING TO THE STORY UKIMSIKILIZA VIZURI INTERVIEW UTAGUNDUA Ngwair Ni Kipaji Kikubwa Sana Ambacho Mwenyezi Mungu Ameamua Ampumzishe Na Husda Za Binadam
@PeterJohnRukiko
@PeterJohnRukiko 3 месяца назад
Huyo Gsan ndo rapper Mtanzania Pekee kuwepo kwenye BET Hiphop Cypher 2009 akiwa na marehem Nipsey hussle akiwa Rookie,wale wa MMG na KRS one 💯💯💯
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 месяца назад
Ninafasi ambayo Mungu aliishaiandaa, Yani ilikuwa lazima itokeee alishapitisha.
@BongoZaKitambo55
@BongoZaKitambo55 3 месяца назад
Asilimia kubwa wasanii wa zamani wengi walitokea shule au walianza harakati shuleni ndio wakaingia rasmi kwenye muziki. Big up sana kwa interview hii.
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 месяца назад
Zamani wasanii walitokea skuli...wengi walitokea Skuli aisee. Kitabu muhimu
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 3 месяца назад
Hakuna kama ngwair ktk hiphop Tanzania nzima
@ubuntubantu2404
@ubuntubantu2404 3 месяца назад
Jamaa mzuri sana kwenye kusimulia, ana kumbukumbu za vitu vidogovidogo kama bei za kupiga simu imenikumbusha mbali sana nikiwa sengerema sekondari. Nimefurahi sana kwa interview hii, imesimulia background ya vitu vingi sana adimu kuvijua Jamaa kampa maua yake ngwea ya kutosha na kamuelezea kwa uzuri sana. Aitwe tena muda ukiruhusu.
@IddoMbogo-c2u
@IddoMbogo-c2u 3 месяца назад
Sanaaaa
@nakamsilikasi3310
@nakamsilikasi3310 Месяц назад
Aah sky walker unanikumbusha wayback weekend fever na showtime pale rfa. Mzee wa kopo za hatar hiyo 2003 -2006
@DurahRich
@DurahRich 3 месяца назад
Sema kwa enzi zao gheto la jamaa lilikua kali mno sema Albert aliiongezea kinyamwezi zaidi. Jamaa kastory vizuri mno sijaskip hata sekunde, heshima kwake broh kwa kutuletea story za mziki wa enzi hizo.
@diwanikatayankonko2671
@diwanikatayankonko2671 25 дней назад
Ngwair nilianza kumsikiliza nikiwa mdogo shule ya msingi...msiba wake niliumia sana.Sijawahi mpaka leo kuamini kama tanzania hii kutapata kuwa na msanii kama ngwair..Na mwenyewe aliwahi kuimba katika mistari yake kuwa na hata akifa leo pengo lake halina spair...
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 месяца назад
Nostalgia 😔. Damn it 😫😫
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 Месяц назад
Jamaa nae anaonekana genius sana, maana akitaja Jina la mtu anaweka na story yake kitu poa sana
@prosperkiria6383
@prosperkiria6383 3 месяца назад
Hii nyimbo naikubali mpaka leo
@SelemaniYahaya-v3w
@SelemaniYahaya-v3w 10 дней назад
Babu anafunguka real kutka kwa moyo
@daudimwidimakihanda5386
@daudimwidimakihanda5386 Месяц назад
Story moja nzuri sana
@GideonLesilwa
@GideonLesilwa 2 месяца назад
When music was music!!
@DavidVenance-k4v
@DavidVenance-k4v 3 месяца назад
shule kubwa
@gambajunior138
@gambajunior138 3 месяца назад
Asubuhi tunaibuka zetu mitaa ya chaga bite tunapata supu na chapati. Mchana tunaagiza ugali mkubwa na samaki/Baadae graveyard kupata nyasi.. "Hapo Ngwea kachana maisha ambayo kayaishi utagundua maisha halisi Yana make sense Sana kwenye uandishi kisanaa ✅✅✅
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 3 месяца назад
DaH! Makole Hexagon
@geniusplus8586
@geniusplus8586 3 месяца назад
Kimsingi hapo sudani haikuwa kimsitu per se. Ila lilikuwa bonde fulani hivi, wana walikuwa wanapatumia kurefresh na kuvuta wida.
@elianyigu5500
@elianyigu5500 3 месяца назад
Hatari saaana
@priscajube4239
@priscajube4239 3 месяца назад
Festo ndalu wa dom Sec namjua.
@yusufushabani691
@yusufushabani691 3 месяца назад
BYC aiseh Sangaya RIP, na wenzake pale N.K na TIGER kulikuwa hapatoshi
@DurahRich
@DurahRich 3 месяца назад
High school ndio kuna uvumbuzi wa vipaji vingi. Enzi hizo hawa jamaa walizingatia kweli kweli coz inaonyesha walikua BRAINERS sana🫡🫡🫡👏🏾
@cornellmallya4455
@cornellmallya4455 3 месяца назад
Naomba ninyaze ila huyu jamaa ni cloud chesar. Sky don't fall for this rubbish. Umaarufu bongo ni bei ya gengeni
@imogimasta9077
@imogimasta9077 3 месяца назад
NGWEA KATIKA AHADI ZA BOSS ALIFANYA CHORUS NA VESI YA MWISHO
@silverman6930
@silverman6930 3 месяца назад
Such an excellent story teller my guy big .: I’m so indulge in this convo .. very refreshing.: thanks all. Sns such a great channel 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿👊👊👊
@samnyambabe2529
@samnyambabe2529 3 месяца назад
Sema wasanii wengi wa zamani walikuwa maginiaz sana, kuanzia darasani maana kiukwel kwa elimu ya kitambo hicho mtu kutusua kwenda Five ni sawa na sasa mtu kutusua kwenda chuo kikuu haikuwa kazi rahisi na jamaa wote walikuwa wanapg shule vzr
@ustrashidsalimtz9316
@ustrashidsalimtz9316 3 месяца назад
Sisi tulikuwa watoto wa mtaa huo ila Bibi Dj kafariki nwaka huu, kitambo sana yani😊
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 3 месяца назад
This man anajua kusimulia vizuri. Much love and R.I.P the genius ngwair.
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 3 месяца назад
Mwaka 2000 nilikuwa ninasimu ya mkononi ilikuwa inaitwa Panasonic inamlio wa treni. Lakini nilikuwa form 1, lakini pia nilikuwa nina simu hiyo walimu na wanafunzi hawakuwanayo, lakini pia ilisababisha nichapwe sana viboko mpaka nikaamua kuachananayo.
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 месяца назад
tafadhali tutafutie na Nourah nasikia anauza spare shinyanga
@snawtasnota6708
@snawtasnota6708 3 месяца назад
Mbona mm nimeku dm na simu nakupigia haujawahi kupokea??????????
@tahirnephessalum3678
@tahirnephessalum3678 3 месяца назад
Good interview... RIP Mangwair
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 3 месяца назад
Abdul amran badoga chadunga ❤
@josephkavindi3666
@josephkavindi3666 3 месяца назад
Yeah home boy East zoo Dom ❤
@geniusplus8586
@geniusplus8586 3 месяца назад
Lakini kuna kitu hapa hakiko sawa. Mo alisema huu wimbo wa geto langu ulikuwa wa huyu mwana mwanzo-mwisho, hata pesa ya kuurekodi majani aliwarudishia kesho yake.. Lakini huyu mwamba amekuja na stori tofauti kabisa.. Inabidi atafutwe majani aje kutuweka sawa.
@samwelmasssawe1767
@samwelmasssawe1767 3 месяца назад
Inawezekana pesa ilirudi ila mwana akafanyia matumizi mengine, si unajua tena bata boy
@gabonwashington3032
@gabonwashington3032 3 месяца назад
Story nzuri sana
@LetdiscussBusiness
@LetdiscussBusiness 3 месяца назад
Mangwair is the goat asey
@SalimSalim-ls9lg
@SalimSalim-ls9lg 3 месяца назад
Dogs chata
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 3 месяца назад
Nomaaa sanaa
Далее
Сколько стоит ПП?
00:57
Просмотров 55 тыс.
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
NILIACHA BIASHARA ZOTE NA KUFUNGUA SALOON YA KIKE!!
11:07
KAMA HUKUUMIYA KWA HAYA WEWE UNAPATA DHAMBI
20:12
Просмотров 15 тыс.