Тёмный

Huyu ndiye MMILIKI wa VYOMBO VYA NEEMA na ARUSHA DIAPERS, alivyoanza utahamasika, anasomea MASTERS 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Arusha Diapers Instagram - www.instagram....
Vyombo vya Neema Instagram - / vyombo_vya_neema
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@annamnyari7127
@annamnyari7127 7 месяцев назад
Nimefurahi sana kumuona Neema, nimesoma naye Neema shule ya msingi Makole, Namshukuru Mungu sana kumuona, Hongera sana Neema, mimi ni Anna .
@ZainabJolie
@ZainabJolie 7 месяцев назад
Nmempenda sn huyu dada mkarimu sn mashallah. Allah azidi kunfungulia milango ya barka Ameen . ❤
@marymkonyi5922
@marymkonyi5922 7 месяцев назад
Well done Neema. Vyombo vyako vizuri sana. Mimi ni mteja wako
@aminarashidi5649
@aminarashidi5649 7 месяцев назад
Thank you,neeema na Sky kwa interview nzuri ya kuelimisha na nimejifunza kitu🙏
@nicasmtei1749
@nicasmtei1749 7 месяцев назад
Hongera sana young Sis Ney. Endelea Kubarikiwa.
@evaemil856
@evaemil856 7 месяцев назад
Ushauri mzuri, Sana. Ukianguka futa vumbi, jipanguse, endelea. Mtegemee Mungu, bila Mungu hutoboi. Fanya kazi kwa bidii, kuwa mwaminifu na mteja ni zaidi Ya mfalme. Neema, you can be a Pastor too.
@josephjoseph8633
@josephjoseph8633 5 часов назад
Hongera ,ESAMI ada yake tu mmmmh!!!
@peninahkajura9083
@peninahkajura9083 7 месяцев назад
Nimekupenda Bure🙏
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 7 месяцев назад
❤nimejifinza Asante nami siku moja nitakuja hapo kuhamasisha kama neema Insha'Allah 😊
@theoriginals3240
@theoriginals3240 7 месяцев назад
Hongora boss wangu neema. Nakumbuka ulinipa kazi ya kupendezesha nyumba yako kwa kuweka baluster❤🎉
@evaemil856
@evaemil856 7 месяцев назад
Hongera Sana Neema. Pia umefanya interview nzuri sana you hit to the business and inspire others. I like that you did not talk politics, mama anapiga mwingi, Asante Sana mama etc. Wao wameshatoa, elimu umepata now ni sisi kujiongeza na wengine wajifunze. Asante pia sns sky.
@nicasmtei1749
@nicasmtei1749 7 месяцев назад
nimewatch yote. am inspired na hatua za Neema. Keep it on my dada
@hadijagere
@hadijagere 7 месяцев назад
Me to
@halimasanga3830
@halimasanga3830 7 месяцев назад
Dada hongera sanaaa.
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 7 месяцев назад
Mungu kwanza katika mambo yote,nimeipenda hiyo pongezi kwako dada kwa sala na kazi.
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 7 месяцев назад
Na follow now very humble😮
@nicasmtei1749
@nicasmtei1749 7 месяцев назад
Habakuk 2:2-3 SUV BWANA akanijibu, akasema, Iandike njozi ukaifanye iwe wazi sana katika vibao, ili aisomaye apate kuisoma kama maji. Maana njozi hii bado ni kwa wakati ulioamriwa, inafanya haraka ili kuufikilia mwisho wake, wala haitasema uongo; ijapokawia, ingojee; kwa kuwa haina budi kuja, haitakawia.
@mtungisimulizi
@mtungisimulizi 7 месяцев назад
Mimi wa kwanza naomba likes zangu
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 7 месяцев назад
😂
@hellenmassawe7284
@hellenmassawe7284 7 месяцев назад
Na mimi ninaomba kuwa kwenye grp jaman
@LovenessMwakalenga-g2s
@LovenessMwakalenga-g2s 7 месяцев назад
Nice
@asmahhamis9416
@asmahhamis9416 7 месяцев назад
Hivi tunawapataje kuna simu au email
@vom84
@vom84 7 месяцев назад
Wanawake wa hiv wanakuwaga na akili, ni wajanja sana.
@UpendoKalwisya
@UpendoKalwisya 7 месяцев назад
Big up ney,,,lkn kuna kitu nime notice kwako,unaiba mawazo ya watu wako wa karibu maana idea zote mbili hazikua zako,n za rfk zako...watu kama wew ndio hufanya watu wasishee idea zao za biashara kwa watu wao wa karibu
@Mwananchii
@Mwananchii 7 месяцев назад
Kwamba na hao rafiki zake wao ndo wakwanza kufanya hizo biashara!? Riziki anatoa Mungu so chill. Na by the way rafiki zake walikua okay kushare!!
@marymkonyi5922
@marymkonyi5922 7 месяцев назад
Umemwelewa tofauti, rafiki yake alikuwa anaiza brand yake? Rafiki kununua kuna ubaya gani? Hata kama angechukua haiziii rafiki zake kuendeleza biashara zao. Wateja ni wengi unahitaji mbinu kuwa pata au kuwa maintain
@MagrethKessy-fj1ul
@MagrethKessy-fj1ul 7 месяцев назад
Nikisikia mtu anaitwa somebody Mosha moja kwa moja ninamuonaga ni ndugu yanguwakin mosha tupo wachache sana
Далее
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 948 тыс.
SURPRISE YA MKE MWEMA.
2:36:51
Просмотров 59 тыс.
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 948 тыс.