Тёмный

KIJANA MDOGO BILIONEA, AJENGA JUMBA LA BILIONI 1, ANAUZA DAWA "NILIACHA KAZI SERIKALINI WAKANISEMA" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 164 тыс.
50% 1

Anaitwa Amelye Mhagama kijana mwenye umri wa miaka 34 mfamasia aliyekuwa akifanyakazi serikalini kwa miaka saba tangu 2010 hadi 2017 na kuachana na kazi za serikalini
Mwaka 2017 alianza kujitafta kwa ufungua maduka ya dawa za binadamu na safari yake ilianzia mkoani Dar Es Salaam na sasa ni miongoni mwa vijana waliojipata anamiliki maduka makubwa ya Dawa Dar Es Salaam, Arusha na Dodoma ambako amejenga nyumba ya zaidi ya Bil.1 na ameiweka nje ya mji lakini sisi tumemtafta ili atupe ukweli kuhusu kumiliki nyumba hiyo ikiwemo safari yake ya maisha

Опубликовано:

 

18 сен 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 375   
@ashurakiswamba7085
@ashurakiswamba7085 5 месяцев назад
Haya jamani walio jenga nyumba tunaziona .mwijaku mdg wangu wanaume wenzako unawaona hao.hawana mambo mengi wala maziloooo.hongera sana sasaiv matajiri vijana wadogo sana mungu 🙏 akubariki🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@emanuelkisanga3429
@emanuelkisanga3429 10 месяцев назад
Nadhani angehojiwa na mwandishi mwingine tungepata content nzuri zaidi.
@ramadhanimwendapole8265
@ramadhanimwendapole8265 9 месяцев назад
Ahsante sana mengine yote huo sichunguzi mm huwa nasikiliza nn kinasema your so genius brooh thanks
@kijanamwepec1456
@kijanamwepec1456 10 месяцев назад
Story mzuri, Ila iko hafifu Sana kuhamasisha Uma. It takes not less than 10yrs to do something big .
@daudimkuki8018
@daudimkuki8018 9 месяцев назад
Motivation speaker 😂😂 Kuna vitu havisemwi babu
@m404msigara7
@m404msigara7 9 месяцев назад
​@@daudimkuki8018😂😂ila ndio ukweli sasa
@salomemuza8509
@salomemuza8509 10 месяцев назад
Amelye hongera sanaaa,unyenyekevu,utii,bidii na kutokukata tamaaa vimekufikisha ulipo. Labda ningekuwa sikufahamu ila dah! Ulijinyima vingiii ili yako yaende. Mungu aendelee kukufanikisha🙏 MANENO HATA KWENYE KHANGA YAPO!....KAZI IENDELEEE......
@user-mt1ep9eu4e
@user-mt1ep9eu4e 9 месяцев назад
the way u speak abt ur brother shows hw much u appreciate his support, nevr leave him behind...huyo ndo CPU wako ktk mafanikio yako
@JamesWaweru-sj7lr
@JamesWaweru-sj7lr 3 дня назад
🔥🔥🔥
@JamesWaweru-sj7lr
@JamesWaweru-sj7lr 3 дня назад
🔥🔥
@riddi676
@riddi676 6 месяцев назад
Jengo bilion, kufungua office mbagala dom arusha, kununua na kuuza for 3 years only??!! Jamani hata kama ni hard worker hebu mtupumzishe kidogo wote biashara tunafanya.
@juliuscharles2574
@juliuscharles2574 4 месяца назад
😂😂
@dilliwa
@dilliwa 4 месяца назад
Huyu jamaa haelezi huo mtaji umekuaje haraharaka hivyo..... Tumpe muda....
@jumayusuf2684
@jumayusuf2684 4 месяца назад
Dawa labda za 💤
@bulugubujashi6378
@bulugubujashi6378 4 месяца назад
😂😂😂😂
@user-sr3eo8mv7c
@user-sr3eo8mv7c 4 месяца назад
Wakinga hao hatushangai na Wala usipite pressure
@musicbilali
@musicbilali 9 месяцев назад
Hongera sana brother nzotta pharmacy, hii ni hatua kubwa na unatuhamasisha sana, mimi nimefanya biashara na wewe natambua bidii yako
@jabalimikechi7750
@jabalimikechi7750 10 месяцев назад
Congratulations brother,your commitment and dedication teach me something.... Well done brother I love you discipline and your humbleness 👌👌👌💪💪💪
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
Pamoja sana mwanangu ,,,
@benedictaustard5583
@benedictaustard5583 10 месяцев назад
Kuna kitu gani kimewasukuma kumhoji!. Kuna kitu kimejificha hapo!. Hiyo historia yake ni rahisi sana kuwa uhalisia!.
@user-ev8kp3lb8e
@user-ev8kp3lb8e 10 месяцев назад
Kabisa
@wilsonjaphet5547
@wilsonjaphet5547 10 месяцев назад
Kabisa
@mrpeeh8739
@mrpeeh8739 10 месяцев назад
Sure 😊
@grevinmgaya9237
@grevinmgaya9237 10 месяцев назад
Marketing
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 10 месяцев назад
Wavejaaaaa👏👏👏👏👏🎯🎯🎯🎯
@emmanuelmkelehe366
@emmanuelmkelehe366 10 месяцев назад
humble man i appreciate you bro
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 10 месяцев назад
Naufaham huu MJENGO ndo njiayangu sema mmiliki nlikuwa cmjui hongera sana braza INAWEZEKANA
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏 tuonane soon
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 7 месяцев назад
@@amelyemhagama3997 pamoja sana bro
@oliveramani5629
@oliveramani5629 10 месяцев назад
Hongera muhagama nimekuona umejitahidi
@nolascomugalula6098
@nolascomugalula6098 2 месяца назад
Mamake nilifanya naye kazi, ila watu wa njombe wapo vzr sana kwenye nidhamu ya pesa
@Michoarbah
@Michoarbah 10 месяцев назад
Vijan awatak kabsa kusikia story kama izi ila kikubwa ni inspiration
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
Its seriously wanaelewa its impossible,, 👍👍
@wilsonkihwele5766
@wilsonkihwele5766 10 месяцев назад
Mwongo sana huyu jamaaa mungu tusaidie kuwa wakweli
@liliansangali2156
@liliansangali2156 10 месяцев назад
UONGO WAKE NI NINI?
@remigiusrwechungula7047
@remigiusrwechungula7047 10 месяцев назад
Namfahamu, he is a nice and hardworking gentleman💪💪💪💪
@yousport7050
@yousport7050 10 месяцев назад
unamfahamu kumbe 😃
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
Asante sana Dr pamoja sana ,,
@morganbrighton1552
@morganbrighton1552 9 месяцев назад
@@amelyemhagama3997congrats bro
@yordanyona1234
@yordanyona1234 6 месяцев назад
Siku zote ukijituma unafanikiwa ...huyu kama Mimi tu ...nitafika huko
@stephenmwakasonda892
@stephenmwakasonda892 4 месяца назад
Bro alitimuliw chuo mwaka wa pil mm nkiw wa kwanza check Leo mungu nkampa kitu licha ya changamoto zote alizopitia
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 8 месяцев назад
Akii hela wewe!! Hongera sana kijana.
@ezekielsaiyelelkereri4009
@ezekielsaiyelelkereri4009 10 месяцев назад
Namfahamu mpambanaji Nzota pharmacy. Kongole sana Mhangama
@fridaernestmkedege900
@fridaernestmkedege900 10 месяцев назад
Dawa inalipa sana...location plus usimamizi= unatoboa
@samoomwashumbe653
@samoomwashumbe653 9 месяцев назад
4:03 humble boss that i know...Big up broo mhagama
@ammylaza6699
@ammylaza6699 9 месяцев назад
Hapo kwenye shule katupigaa....... 2008-2010 clinical medicine...... kaajiliwa kama Medical Attendant. 2011 karudi diploma 2014 kamaliza akaongeza shuleee akafungua duka akawa yuko chuoo anaendelea na dukaaa . Anyway kainterview hapo angekarekebishaaa .. hongera sanaa lkn kwakwelii kwa kazi nzuri
@pauljohn1411
@pauljohn1411 9 месяцев назад
Hapo NDIPO kanichanganya kabisa.... Hiyo Clinical Medicine, imesomwa miaka mingapi..... Duuuuu
@pauljohn1411
@pauljohn1411 9 месяцев назад
Tukapanga tuifanye hotel then anaulizwa mko wangapi kwa huu mjengo, anasema tupo hati inaonyesha jina langu.... Ukiwa cloned utahangaika Sana.
@mariamsemwaiko8169
@mariamsemwaiko8169 5 месяцев назад
​@@pauljohn1411ndugu wa mtu serikalini
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Месяц назад
Kwenye floor yake ya shule Mimi ndio sijamuelewa kabisa,ananichanganya haeleweki. kasoma CO at the end kaenda Fanya kazi as a Matt, why?
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Месяц назад
Others wise atuambie kama alicheza disco akaangukia medical attendant
@georgenyoni9879
@georgenyoni9879 9 месяцев назад
Matumizi umeelezea point Sana ✌️✌️
@peterpaschal4522
@peterpaschal4522 9 месяцев назад
Jamaa yupo vizr ofc yake naijua arusha❤
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 5 месяцев назад
Kiufupi dawa zinalipa kuna jamaa yangu tuko naye hapa Kigoma alianza biashara hiyo 2001 leo yuko mbali Sana hakuwa mtu wa Serikali alimaliza Pharmacy akajitoa kwelikweli mtaji aliupata baada ya kulima nyanya na matikiti maji na biashara ndogo ya kulangua mzaao na kuuza.
@ElisioVicenteMadimba
@ElisioVicenteMadimba 9 месяцев назад
Mwiaka kidogo sana umefeli kimaisabu brow, unadanganya.
@irenecharles6111
@irenecharles6111 10 месяцев назад
Boss la maboss🔥🔥🔥
@user-wr2mx9mr3b
@user-wr2mx9mr3b 9 месяцев назад
Mungu akubaliki unapambana kijana
@user-sj3wf5vz7l
@user-sj3wf5vz7l 3 месяца назад
Ila katajirika mapema. Ila ukiwa na nidhamu na hela unaweza. Namkumbuka dada mmoja mume wake alikuwa dereva wa malory akawa anasema nitajenga gorofa. Watu wakawa wanacheka. Lakini alianza kujenga taatibu akafanikiwa floor ya chini. Sasa anaanza juu.
@Mubarak552
@Mubarak552 8 месяцев назад
Nimekuwa inspired na hadithi ya Mafanikio ya Mhagama, hongera Sana, nimependa unaporudia kila mara Kuhusu kuheshimu wateja na jinsi ya kuongea nao
@leandrymmassy9916
@leandrymmassy9916 10 месяцев назад
STORY haina uhalisia hata baadhi ya maswali ya mwandishi yanaonesha ana doubt kama niliyonayo. 2017 to 2023 now return zake serekalini zinasomaje.
@eskalade486
@eskalade486 10 месяцев назад
Achane malala miko fanyen manavyo weza mpate ela sio nyoko nyoko mala nyoko welala mika mwenzako analala golofan
@floramlowe7078
@floramlowe7078 10 месяцев назад
Sisi watu weusi ni wapumbavu kwas tunaamini kila anayefanikiwa katumia ushirikina ila angekuwa mzungu wangekubali lkn tunaamini ukiwa na nidhamu ya pesa na malengo na hauna wanao kutegemea unaweza kufanikiwa tuache imani potofu tujifunze kwa wenzetu ili tufanikiwe
@batonkabuka5039
@batonkabuka5039 9 месяцев назад
Kama humjui kaa kimya sio lazima u comment, kijana Hongera, its me kijana wako wa kaigo nakujua A mpk Z hadi mama ako kanifundisha😂😂😂😂😂
@happinesszuberi7364
@happinesszuberi7364 4 месяца назад
Miaka 34 Mbona Mzee hvyo na mim na miaka hyo hyo na mwanamke na Zipo hvyo pamoja na kuzaa
@oliveramani5629
@oliveramani5629 10 месяцев назад
Safi sana kaka by isaya
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 4 месяца назад
Hongera sanaa tunajifunza kutokea kwenu
@fridaernestmkedege900
@fridaernestmkedege900 10 месяцев назад
Hongera!
@user-jl1hh1lc8z
@user-jl1hh1lc8z 10 месяцев назад
hongera sana kaka na Mungu azidi kukuongezea maokoto kama yote
@isaachakim31
@isaachakim31 10 месяцев назад
I have the same dream 🙌
@hekimaluvanda5391
@hekimaluvanda5391 9 месяцев назад
Huyo mtu wa Iringa. Kuna Mkinga mmoja alifungua Duka la kuuza Mifuko ya Visarufet rejareja kariakoo, wenzake walimcheka sana lakini baada ya mwaka, jamaa duka lake likakua , akaanza kuuza viroba kwa jumla jumla kutoka rejareja, na mzigo ulitoka china😂chezea watu kanda ya southern Highlands.
@emmanuelsipendi5625
@emmanuelsipendi5625 10 месяцев назад
Jamaa anaongea lakini hayupo comfortable. Ni vigumu mno kufanikiwa kiasi hicho kwa muda mfupi bila kupata sapoti nyingine.
@anithanithaa2651
@anithanithaa2651 10 месяцев назад
Nmeona pia Hayuko comfortable ni kama anatafta Kuunganisha point
@mahadmohd9138
@mahadmohd9138 10 месяцев назад
Hapana huyu jamaa namjuwa Hadi mizigo ya dawa nilikuwa nampelekea
@petermsigala8187
@petermsigala8187 9 месяцев назад
Kuna tofauti kati ya professional speaker na business man , kama huyu . I know him very well , ni hustle zake kama alivosema
@limbisa891
@limbisa891 9 месяцев назад
wizi
@dannysengata2298
@dannysengata2298 5 месяцев назад
Wewe akili Yako umeifunga sana....pole
@onlinemateustv1925
@onlinemateustv1925 10 месяцев назад
Congratulations nyingi kwako
@alristv3599
@alristv3599 3 месяца назад
Daaah very interesting story
@MagrethMussa-hm3qm
@MagrethMussa-hm3qm 4 месяца назад
Hongera sana brother
@JumaHassan-ws6tv
@JumaHassan-ws6tv 4 месяца назад
huyu jamaa namfahamu kabisa yani me ni fundi nishawai kumfanyia kazi zake sana yani
@mwalimusalanga
@mwalimusalanga 10 месяцев назад
Caigo Boyz wandewa kigonsera 🎉
@kiungonazareno7080
@kiungonazareno7080 4 месяца назад
Ni mkaigo huyo kumbe🎉
@Jackylmariam-qy6qe
@Jackylmariam-qy6qe 10 месяцев назад
Mnaosema ana undugu na Yule mama waziri sidhani Ila uyu Kaka alikuwa na Hali ya kawaida Tena alikuwa hana hata gari kipindi anafanya kazi kimara hospital juhudi iheshimiwe hongera sana
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
Nashukuru sana kwa kunikumbuka tupo pamoja sana In God we trust
@thresherjordan6829
@thresherjordan6829 10 месяцев назад
​@@amelyemhagama3997hongera
@NgengeMkeni-uo5hq
@NgengeMkeni-uo5hq 8 месяцев назад
Swali moja, ni ndugu yake Jenister Mhagama au la?
@noelkivamba5526
@noelkivamba5526 9 месяцев назад
Leo nmepata something new kwa uyu mwamba mim CO nkiamua naweza kumbe😅😅
@saeedamour5483
@saeedamour5483 5 месяцев назад
Uza dawa
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Месяц назад
😅😅😅😅😅.....jichanganye.
@leaherasto929
@leaherasto929 9 месяцев назад
Kila kitu kinawezekana vijana tupambane uku tukimtanguliza Mungu mbele kwenye kila jambo
@msungumwilapwa4234
@msungumwilapwa4234 10 месяцев назад
Yaah ni story flan ukiisikiliza haina uhalisia, kwa biashara kwa mda mfupi hivyo, ukiweka na investiments za kuanzisha biashara kwenye mikoa tofauti tena kila mwaka, na kama unayojua kila biashara ukifungua inahitaji mtaji, na wakati huo huo unakuwa unajenga na kama ujuavyo hela ya ujenzi hairudi, sawa kama unasema hatuwezi kubisha ila kukubali ndo tuachie sisi.
@josephineokama2200
@josephineokama2200 9 месяцев назад
mi mwenyewe nimebaki natumbua tu macho ni duka la dawa nimefungua mwaka 2017 mpka sasa mbona sijatoboa kama yeye jaman
@godfreymhagama-fp6yl
@godfreymhagama-fp6yl 9 месяцев назад
​@@josephineokama2200😂😂😂😂 Sasa mm sijakuelewa unajiringanisha kwa kipimo kipi duka lako liko wapi ulianza na mtaji wa kiasi gani. Usipaniki bhana
@josephineokama2200
@josephineokama2200 9 месяцев назад
@@godfreymhagama-fp6yl sasa hiyo mbinu aliyoifanya akatoboa sasa ndo naitamani hapo.kutoka medical attendant mpka duka la dawa atimaye mapharmacy jaman nyie
@dr.jaymesdamas2011
@dr.jaymesdamas2011 10 месяцев назад
Acha kaziiiiii
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 5 месяцев назад
Wapo watu hapa hawana hata laki na wanajipa moyo watajenga nyumba kama hii 😅😅 msikilize Mwamba ANAPIGA KAZI acha uvivu
@Mwenyekiti1118
@Mwenyekiti1118 10 месяцев назад
Mbona siyo Mkweli yaani usome clinical officer halafu uajiriwe kama medical attendant
@kalmaarufuofficial74
@kalmaarufuofficial74 9 месяцев назад
Kaka mtu anaeza ajiriwa kwa mshahara mdogo lakini awe anaingiza Hela nyingi sana kutokana na biashara zake ndogo ndogo
@abdulhassan9760
@abdulhassan9760 8 месяцев назад
​@@kalmaarufuofficial74 hapo ishu sio kuajiriwa cheo kidogo. Hapo utata unaanza pale alipo sema amesomea clinical medicine ( ambayo ni diploma ya udaktari) halafu Awe anafanya kazi za usafi hospitalini wakati elimu yake halisi hatakiwi kufanya hicho kitu popote pale. Mimi nimesomea clinical medicine najua hapa jamaa katudanganya pakubwa sana
@Mrauto12679
@Mrauto12679 6 месяцев назад
Simulizi ya nje tofauti na uharisia wa maisha yake
@dottomarikatv780
@dottomarikatv780 4 месяца назад
kweli
@dismaslalubare4196
@dismaslalubare4196 10 месяцев назад
Kuna ulioacha kuzungumza iko nyuma ya pazia rudi mbele ya kamera uelezee vizuri bhanaa msema kweli ni mpenzi wa mungu kaka
@Michoarbah
@Michoarbah 10 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@salhawaziri1668
@salhawaziri1668 10 месяцев назад
Hahahahahah Aki waja
@VictorHassan-nr2ef
@VictorHassan-nr2ef 10 месяцев назад
Hilo jengo lipo Kona yavitanda jirani shule yasantimely
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
@@VictorHassan-nr2efits true tupo hapo karibu soon sana tutaanza matumizi
@EDGARBARAKA-fz8cz
@EDGARBARAKA-fz8cz 10 месяцев назад
Nothing is true here
@HidayaBomani
@HidayaBomani 26 дней назад
Great 👍👍👍👍👍
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 10 месяцев назад
Na kuhusu umri katucheza
@amirishauur5795
@amirishauur5795 10 месяцев назад
Okoz ila U40
@user-ov6pb1nx8u
@user-ov6pb1nx8u 10 месяцев назад
Kabisa...
@FarhiyaThani-yc5et
@FarhiyaThani-yc5et 10 месяцев назад
Kwa kwel
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Месяц назад
@@FarhiyaThani-yc5et acheni chuki, atakuwa mdogo sana huyu
@abdulwahababdulkadir9965
@abdulwahababdulkadir9965 10 месяцев назад
Vijana tufanye kazi maana kuna vitu ukivitafuta sana unaweza kuona unakosea,ila sisi tuwekeze nguvu zetu katika kujiwekeza,sio kuchkua maisha ya wengine maana huwezi jua yaliyomo,mambo ni different kwa ground
@collinsstanley6126
@collinsstanley6126 9 месяцев назад
Facts man
@solomonadams6337
@solomonadams6337 6 месяцев назад
mimi niko Uk mwaka wa 21 wewe una akili za English man time is better then money...💯👌
@pioustrevol3468
@pioustrevol3468 10 месяцев назад
😂 Ila After All of that Tayar anamiliki Mjengo Wa Maana na kibunda kipo Muim n Binadamu upate Mahitaji matatu muim ya Binadamu kila mtu atatafta kwa style ake na atapata kwa style ake Sio wote tutapata wengne tutaishia Kupanga wengine watapata mali kama mwamba apooooh Tuache makasiriko 😅
@abdallahmmary8591
@abdallahmmary8591 10 месяцев назад
Kila jitihada inalipa napia Anapewa uwezo na Mwenyez Mungu hakuna wakuzuia biashara yeyote ukifanya Kwa nidhamu kipato utapata kikubwa Rehema za Mwenyez ndio kila kitu hakuna jingine maana wengi wetu baadh tunatafir nyingi nk,
@amelyemhagama3997
@amelyemhagama3997 10 месяцев назад
Amen 🙏
@cleofaskasonso4603
@cleofaskasonso4603 10 месяцев назад
Safi sana
@tumainielmaruwa3148
@tumainielmaruwa3148 10 месяцев назад
Aiseee Tz nizaidi ya tunavyo ijuwa hello Jasusi from Tz work up......... Haka kamchezo haka mmmmm
@benkitwae6099
@benkitwae6099 10 месяцев назад
Kumbe ni mtu wa njombe imeisha iyo 😂😂😂😂
@user-ev8kp3lb8e
@user-ev8kp3lb8e 10 месяцев назад
Kwamb nin😅
@user-bd6kp6tq4b
@user-bd6kp6tq4b 10 месяцев назад
Njombe wana nin mkui...?
@judithwililo7727
@judithwililo7727 10 месяцев назад
Kwamba tukoje?
@geofreyndambo8635
@geofreyndambo8635 10 месяцев назад
Njombe Wana displine sana na pesa
@amryayoub1194
@amryayoub1194 10 месяцев назад
Hawa ndo wanafanya vjana tunakuwa na depression ya maisha kumbe wanapita mishortcut
@daudimkuki8018
@daudimkuki8018 9 месяцев назад
😂😂
@eliasmbise4328
@eliasmbise4328 9 месяцев назад
😁😁😁
@Msafirimakini
@Msafirimakini 8 месяцев назад
Akina Mr vimbao
@pandecomputers2202
@pandecomputers2202 9 месяцев назад
Kumbe ndio huyu, aise amenunua Nyumba mbili mtaani kwetu sinza anataka kushusha apartment
@josephatjordan2150
@josephatjordan2150 10 месяцев назад
MAELEZO YAKE HAYAINGII AKILINI KABISA UKIRINGANISHA NA ALICHONACHO HAPO NA UPATIKANAJI WAKE WA HELA HIZO!!HATA KUJIELEZA HAJUI !! TUNAOKUJUA WEWE NI MDOGO WAKE NA JENISTA MHAGAMA !!PESA ZIMETOKA SERIKALINI STRAIGHT!!NIMEMALIZA MM
@mxofmfk8406
@mxofmfk8406 10 месяцев назад
Okay baada ya kumaliza kuandika hiki umeingiza sh ngapi? Nawe kuwa mdogo wa Mhagama basi. People can't think positively rather than kukosoa kosoa tu😢
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 10 месяцев назад
​@mxofmfk8406 but I appreciate kusema mdogo wake kibosile obviously kasaidiwa. Hii inatufundisha usione majengo yamesimama ukafikiri ni rahisi. Wengine Wana mikono Mingi ya kuingiza pesa
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 10 месяцев назад
Mwenye pesa huwa haongei mitandaoni kujitangaza , wapo akina kishimba wanamiliki mipesa na vitu vikubwa kuliko hivyo ila hawajitangazi kwasababu mafanikio ni siri
@bossandingy412
@bossandingy412 10 месяцев назад
Umejuaje kama kishamba ana pesa ? Si alihojiwa na hawahawa Ayo Tv
@HagaiRodrich
@HagaiRodrich 4 месяца назад
Mimi sna elim ya engirish
@user-ms3tp9oy2o
@user-ms3tp9oy2o 10 месяцев назад
Sound
@zakatumbuka8856
@zakatumbuka8856 5 месяцев назад
Story Ina scratch scratch haivutii! Kuna mahala white inafichwa!?😢
@alfredshemkai7696
@alfredshemkai7696 4 месяца назад
Kwahiyo mkuu despensary iliishia wapi?
@elinisaidiemlay2374
@elinisaidiemlay2374 9 месяцев назад
Bilioni moja
@mcgabby
@mcgabby 10 месяцев назад
Yaani Bongo bana, Mnatupanga sisi tuwe na nizamu alafu mnaenda kutuzunguka mnapata pesa kwa njia nyingine😂😂😂
@rukandizastephen1390
@rukandizastephen1390 10 месяцев назад
Na wewe si uzunguke mkuu😅
@mcgabby
@mcgabby 10 месяцев назад
@@rukandizastephen1390 Aaaaah wao wanatushauri vingine alafu wao wanaenda kufanya vingine 😂😂
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 5 месяцев назад
Hap inaitwa changany na zako
@trendtv3323
@trendtv3323 10 месяцев назад
JAMANI SEMA KWELI MOAKA NIMECHOKA SIAJELEWE CHOCHOTE ATA CONNECTION HAIENDANI KABISA SASA ACHA NITAFUTE PESA NIJUAVYO MWENYEW😅😂😂😂😂
@ipatemedia
@ipatemedia 10 месяцев назад
Yaan clinical medicine alafu ulikua unafanya kazi ya kufagia hospital 😂😢😢 hii umetupiga
@husseinhussein9971
@husseinhussein9971 10 месяцев назад
Amesema alifanya kazi hiyo akiwa medical attendant baada ya hapo ndio akaenda kuongeza ujuzi.
@allandavid752
@allandavid752 10 месяцев назад
Eti kasoma dipl
@allandavid752
@allandavid752 10 месяцев назад
Eti kasoma diploma alafu aajiriwe kama mfanya usafi?? Jamaa ni muongo muongo
@allandavid752
@allandavid752 10 месяцев назад
Tulijenga..tumeona tufanye iwe hotel..pia mbona ana mashaka
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 месяцев назад
Hata bilioni moja hapo nadhani wataalam wa ujenzi sidhani kama wanakubali yanaweza kua kama ya akina Mwijaku. Na Diploma MTU anaitwa Clinical Officer au Medical Assistant zamani na si attendant
@user-bw9rt1cq3e
@user-bw9rt1cq3e 10 месяцев назад
Wabongongo tumejaa na wivu tupambane mbona hayo mafanikio yanawezekana tu
@dossmonster4084
@dossmonster4084 9 месяцев назад
Jamaa kaongea kitu muhimusana
@itikamwasimanga4202
@itikamwasimanga4202 9 месяцев назад
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwako
@Udindigwa
@Udindigwa 10 месяцев назад
Point Tupu Kabisa
@user-us8vp6nc2f
@user-us8vp6nc2f 10 месяцев назад
Jamaa hayuko comfotable anavyoongea nimejaribu kukaza kichwa nimsikilize kwa makini lakini wapi
@jramadhanmgonja6110
@jramadhanmgonja6110 9 месяцев назад
Ameongea Ukweli Ila Story Yake Haina Uhalisia! Shule, Ufunguzi Wa Zahanati, Pharmacy 3Branch Then Ujenzi Wa Nyumba Zaidi Ya 1B. Brother Muogope Mungu Kaka😅
@ibrakanan
@ibrakanan 10 месяцев назад
Hii interview tumepigwa sana ukimsikiliza jamaa vizuri haelezi connection ya biashara yake ya dawa na yeye kujenge jumba lenye dhamani ya 1B+ yaani dawa tu hizi hizi ndo ujenge nyumba ya gharama kiasi iko??
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 10 месяцев назад
Endelea kubaki na denial😂
@wilsonkihwele5766
@wilsonkihwele5766 10 месяцев назад
True
@alexanderpallingo7960
@alexanderpallingo7960 9 месяцев назад
Huyu jamaa Dom nzima ndo anakimbiza kwa kuuza dawa yaani ukifika location ndo utaelewa kwann amejenga hyo nyumba yaani ukisimama kwa mda wa dakika kumi tu dukani kwake ukamhesabia pesa aloingiza sio less than 3 milioni
@Sngpark
@Sngpark 9 месяцев назад
Wanyumbani kabisa yn👊🏾
@user-yy6wf7ve4k
@user-yy6wf7ve4k 10 месяцев назад
Bossi wa nzota pharmacies dodoma arusha daresalam ....
@user-gw7fu9pu7d
@user-gw7fu9pu7d 9 месяцев назад
Sema Tanzania Bana.. Mimi Tanzania nchi yangu.. Hila mje Kampala mwuone watu wanavyojenga kuanzia gorofa 10..hila kwa tanzania ukijenga nyumba Kama hiyo watu wanakushangaa sana
@danielmwita2136
@danielmwita2136 9 месяцев назад
🤣🤣 Jenga wewe huku, kisha utupe mfano. Ulivyoandika mtu anaweza fikiri Uganda ni first au second world country. Hapa kinapofanyika ni kujenga motivation na kuonyesha inawezekana
@kondoatown8765
@kondoatown8765 9 месяцев назад
Huyo kijana ukisema wanaojenga maghorofa wapo , unamjua Bakhresa, MO, na wengine
@PascalJumanne-gr4ey
@PascalJumanne-gr4ey 10 месяцев назад
Ukiona ameanza kusema ujue amejua kua serikali inamfatulia kimya kimya akaona ni Bora ijitafute taratibu ndomana unaona ameanza na mama alikua nani ili apunguze mwendo wa serikali
@user-qi6wy6kl4g
@user-qi6wy6kl4g 10 месяцев назад
Millard anapewa hela ili afanye interview za ajabu 😅😅
@jrsaid4270
@jrsaid4270 10 месяцев назад
Yaan hii Media yake Kwasasa inaelekea kuwa kama ndizi media
@samniza1763
@samniza1763 10 месяцев назад
Mambo ya bandari na maaskofu husikii wakiongelea, mimi hizi media za bongo ni bogus.
@dennismongi8970
@dennismongi8970 10 месяцев назад
Boss hebu tuambie ukweli ni dawa tu za binadamu tu au dawa za kina el-chapo?
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 10 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@user-gi5fv2hz7b
@user-gi5fv2hz7b 10 месяцев назад
Dawa ni dawa tu kikubwa inauzika haijalishi mazingira gani
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 10 месяцев назад
🤣🤣
@Michoarbah
@Michoarbah 10 месяцев назад
😂😂😂
@ashuramhandoashuramhando6798
@ashuramhandoashuramhando6798 10 месяцев назад
Nashikilia hapo Njombe hao watu wahuko kupata hela kwao kawaida tu mi naishia hapo hakika utafika mbali sana
@josephatjoseph1755
@josephatjoseph1755 10 месяцев назад
Wanapambana sana au wananguv za ziada
@neemataris3273
@neemataris3273 9 месяцев назад
​@@josephatjoseph1755 wanapambana sana na wanapeana michongo na biashara ya mbao inawatoa sana, Zaidi ni wapambanaji sana.
@barikilangoy4737
@barikilangoy4737 10 месяцев назад
Acha kutupoteza sisi watoto wa makapuru kila kitu umetafuniwa
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 10 месяцев назад
Medical attendant ?!! Okay amesema anaitwa mhagama ?! Kwahiyo anataka kusema yule waziri mhagama ni nani ? Nyie watu nyie haya
@avitusmichael5
@avitusmichael5 10 месяцев назад
Ni dada yake
@mahadmohd9138
@mahadmohd9138 10 месяцев назад
Mm najuwa sana na namba yake ninayo jamaa anapambana sana
@tobiasrocks2339
@tobiasrocks2339 9 месяцев назад
acheni kunungnika pgeni kazi ni matesii😄😄
@neemamollel840
@neemamollel840 4 месяца назад
Sema kuna kitu Millard ayo anazingua sasa wewe unatuletea watu ambao washasoma Hadi vyuo na wazazi wao walikuwa waajiriwa wa serikali tafuta watu ambao wametoka familia maskini na wametoboa maisha acha kutuletea watu wanaokuja kujiuzisha sura na kujisifia
@elisante6838
@elisante6838 9 месяцев назад
Mpangaji wangu
@user-di5fw2cq7m
@user-di5fw2cq7m 9 месяцев назад
Mshkaji anapambana kweli tukubali
@upgo6112
@upgo6112 2 месяца назад
Ukweli ni hadithi TU ..ila ukweli wa pesa anaujua yeye
@savioalfred1492
@savioalfred1492 10 месяцев назад
Shkamoo boss
@mangimeli5846
@mangimeli5846 9 месяцев назад
Mwandishi kampiga swali Moja la maana sana,ila huyu kadanganya hayo maelezo yake sijaona kuweza kumiliki huo mjengo wa B
Далее
CHURCHILL SHOW S1E2 2024
22:20
Просмотров 196 тыс.