We mpuuzi huyu mungu mwenyewe kasema isimamie haki yako hata kama ndogo vp ww unasema dhahabu hio haihusu muhim mtu kusimamia haki yake unataka kujifanya una elimu au unaongea tu
Inna lillah wainna ilaihi raj'uun..!! Allah tupe misimamo katika maisha haya ya duniani..!! Huu ni mtihani km mtihani mingine..!!! Kwa mjinga ambae hajafikwa na mitihani anaweza kuchekelea hili.. Lakini kumbuka kuwa kila mja anamtihani wake...!!! Huyu kakutwa yu aiba..!! Wengine Allah bado anawasitiri pamoja na madhambi wayatendayo mfano uzinifu nk..!! Allahu musta'an..!!
Subhana laah, umaa umeharibika, hii inachangiwa mara nyingi na sisi wanaume kutowastiri wanawake na kuwapa mahitaji na muongozo. Sasa binti huyu anahadhirika, na mara ningi sababu ni ugumu wa maisha. Mashallaah kava stara nzuri, binti huyu anapatikana wapi tumpatie mume amstiri
Nanyinyi pia mnamakosa kumtoa mitandaoni kama wewe huyo anakua jamaaa yako munaweza kumrusha mitandaoni ipo siku Allah nanyie atawafedhehesha kama mlivo mfedhehesha yeye
Dahh kweli mumemwonea haya kutokana na rangi yake mweupe pia kava ijabu..mumemstili aibu yake... Hili nalo sijambo dogo...kiukweli binadamu tumeubwa na haya, pia akuna asie na mapungufu
Huyu binti amewadhalilisha sana wake zetu wanaojistiri hivyo wallah..Na pia mmemstiri sanaa wallah allah awalipe kheri mpeni nasaha sanaa msimwache hivi
pumbav sana ss kwa nin msifunue wote mko mnao ongea ongea tu heshima kwa anaejishim asie jieshem mdhalilishe ningekuwa mim hapo wote kaz hamna nyie mna nidham ya uoga pumbav.
Hakua mwizi kiukweli, walikuwa kwenye maigizo tu, kama ni mwizi kweli wasingelibali mpaka wakamuonesha na sura yake. Ni wao wenyewe kwa wenyewe wakiigiza.
Ndugu zangu sio kila mwarabu ni mzanzibar, hio ni Tanganyika imetokea. Na huyu anaonekana ni damu ya kihindi ukiangalia hako kamwanawe ndio utajia kuwa ni aidha muhindi au muarab wa Tanganyika. Na mzazibar hasemi "astafilullah " ila hutamka Astahfir-Llah. So hspo ni kwenu Tanganyika
Natumain muslam ni mtu mweny iman n dini ni iman imetokea swala km Hilo bc natuman kuchukuw kit chako n kumuelemish ili asiwe kweny muongoz huo m,baya il si kumzalilisha hasa kweny jinsi hiyo
Mwarabu wala mzungu wala mhindi ni binaadam kama wewe na sote tuna kasoro upo zulfa kapea? Kukicha wa Africa huiba ,ao ndio roho ya chuki kwa watu weupe ime kupamba?