Ww muogope Allah Rudi kwa mola wako hapo unatufundisha kipo ktk jamii yetu muogope Allah tafadhali mama yako anaumia Sana alizaa mtoto WA kiume kwani unafanya Ivo unampa mama yako maumivu Kila wakati
We fala unatakiwa ujiangalie wewe mwenyewe mama yako anaumiaje kuona unapumuliwa na midume wengine? Unadhani anapenda, acha mrudi Mungu wako mama yako awe na furaha.
@@STORI_ZA_KITAA ...Haya maisha ya Sasa ni mtihani, mi sijawahi kusoma au kuskia kitabu chochote cha dini kikisema MUNGU anamkubali shoga, sana sana shoga inabidi atengwe kabisa na jamii, na hata mazishi ya shoga Yana vipengele tofauti na ya wengine, hii ni kumaanisha Ushoga ni chukizo kubwa mbele ya MUNGU, ..Rejea maandiko ya SODIMA na GOMORA ..!
Mzazi wako nae kama kweli anakubali huo ufirauni wako na unaita kipaji mimi nahisi bora wakupoteze kabisa usije sababisha nchi yetu iwe Sodoma na Gomora