IDDY PIALALI Amshauri MWAKINYO Baada ya KUFUNGIWA - "WATU WANAMCHUKIA TU, MAISHA Yake YAPO JUU"
Bondia Iddy Pialali Ametangaza rasmi kuwa yeye ni Team Hassan Ndonga na Atahakikisha Anashinda siku hiyo ya Oktoba 22, 2023 katika pambano lake dhidi ya Oscar Richard wa Naccoz Gym.
11 окт 2024