This Word Is Crazy,,,,,, This World Is So Sad 😔 😔 😔,,,, Walimu Wa Mapenzi Ni Wengi Na Watu Wko Busy Na Mapenzi,,,,Lkn Cha Ajabu Ndiyo Kizazi Kinacho Ongoza Kwa Talaka, Ukahaba, Umalaya, Usaliti Na Tamaa,,,, Mungu Tusaidiye Ichi Kizazi Na Hii Sayar Ya 21th
tunakosea sana katika malezi ndo maana hata waalimu wa ndoa tukiwa wengi,bado inakua vigumu kubadilisha tabia aliyoiona kwao/aliyoizoea kwao. sio wote wapo tayari kwa mabadiliko ya kheir. Tuosome mtume wetu/mwalimu wetu mtume Mohammed S.A.W alivyoishi na wake zake. na kwa sasa tunafaa mafunzo ya ndoa yaanze kufundishwa Madrassa...ili watoto wakikua watapata muongozo mzuri. Madrassa tunafundishwa dini Alhamdulillah ila ndoa/dunia waalimu wanaogopa kuyasomesha. Utakuta hata Baadhi ya mashekhe ku quote Quran ayyat zinazowazungumzia wanandoa vipi wanapaswa kuingiliana wanazikwepa. je tutaona aibu hadi lini kulizungumzia tendo la ndoa na vizazi vinaharibika? Unaona usipomfunza mwanao kuhusu mitandao na dunia,wengi tu wanaingia na kujifunza wenyewe...unaona aibu kumweleza mwanao ubaya wa kupiga punyeto/kumfunza kuhusu hisia atakazozipitia akianza kuingia umri wa miaka 12....unaifanya siri nae akifikia anafanya siri. kwa nini sikjuizi vijana wadogo tu wanaongoza kwa ngono za mapema???? wazazi tunaona aibu kuwazungumzia watoto maisha watakayoyapitia. Hauelewi kua wakijua mapema wataweza kujichagulia maisha wanayoyataka? watajua ubaya na uzuri wa jambo flani na wataweza kufanya maamuzi yaliyo na busara?
Rahill Hamidu .Tusimsingiziye Mungu, Mungu Wala Hahusiki. Mungu Aliumba Dunia Kisha Alituwekeya Mipaka Ila Wanadamu Tumejitengezeya Mipaka Ya Kwetu Wenyewe. Ina bidi Turudi Nyuma Kwenye Fact Na Tujiulize !!!!!??
TIRA,napenda kuangalia The XO kwa sababu unajua sana ku-host,hauna papara,una maswali ya msingi alafu uko tayari kusikiliza sio tu kuongea kama ma-host wengine. Thank you.
Bro abdulrazzak nikiwepo pba napnda kufatlia THE XO ukiwepo wewe na dada Tira nawapenda sn mungu awabarki mzidi kutufunza cc bdo tunahtaj kujua ivo kbla hatujaingia ndoan