Kila anae jifanya nikungwi utakuta ameachika katika ndoa yake hii ukungwi katika dini hakuna hii NI bidaa tu. Mwanamme nikama MBWA yaani hata umfanyie nini MWAMME kakisha kukuchoka hakuna penzi JAMANI tusidanganyane wanawake.
Kungwi uko vizuri sana Ila mtangazaji Sasa mbona umechukia nafasi na wewe ? Jlitakiwa ufuate sheria za ujana habari ungetumia 5w and H Sasa umekuwa ukichangia mada sana
Nice ila huyo kungwi anawonea wazungu wanawake wakizungu wengi atahawana izo cheni wanapenda cultural baaadhi na wengi huwa awavai izo cheni ,cheni ni waarabu sana at a wasichana wakiamerika wengi ni shanga adi mchana kweupe wanavaa kam utamaduni
Ndoa ikitoke kila mwanandoa akajua wajibu wake..yaani kila mmoja kujua wajibu wake kwa mwenzio.....hakuna zaidi ya Hilo.mm na wife wangu tuna miaka 25 atujawahi hata kufokeana...