Тёмный

INASIKITISHA!!! WAFARIKI KWA KUCHOMWA MOTO NDANI YA GARI NA WASIOJULIKANA 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea jana Septemba 23, saa tatu usiku.
Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika.
Kamanda amesema walipokea taarifa ndani ya msitu huo kuna gari ndogo inaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wanaungua.
Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi

Опубликовано:

 

24 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 124   
Далее
🖤
00:18
Просмотров 440 тыс.
НОВЫЙ РОЛИК УЖЕ НА КАНАЛЕ!
00:14
Просмотров 557 тыс.
BlackRock: The Conspiracies You Don’t Know
15:13
Просмотров 1,3 млн