Rais Samia Suluhu Hassan ametaja sababu mbili za wananchi kutakiwa kukichagua Chama cha Mapinduzi (CCM) kubaki madarakani ikiwamo uhakika wa chama hicho kusimamia usalama wa nchi.
Sababu ya pili aliyotaja Rais Samia ni kujali maendeleo ya watu yanatokwenda sambamba na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Hayo amesema leo Jumanne Septemba 24, 2024 akiwa anaendelea na ziara yake ya kikazi mkoani Ruvuma.
#mwananchiupdates
#tunaliwezeshataifa
24 сен 2024