@@braystuskibassa3842 Bila Israel Marekani kwenye utengenezaji wa silaha sio chochote.. wale wameshea vitu vingi Sana myahudi ni mbunifu wa silaha na ndege za kivita.. ndo maana kwenye mashambuliz ya anga hawamuezi.. halafu Israel ni Marekani na Marekani ni Israel nikiwa na maana asilimia 95 ya wazungu wa Marekani ni Wayahudi na matajiri wakubwa katika mabenk.. fanya utafiti acha kuropoka.
Walisema ,makombora yote yamedunguliwa ,WATU wakaanza ushabik mandaz nimebshana nao sana. but time will tell bado watatangaza tu athari wamepigwa kweli kweli wakubali yaishe
Israel inaoneaga wanyonge natamani aamue vita kamili then time will ,, Iran sio kama Hamas au Hezbollah pia Israel Katia aibu mfumo wa ulinzi wa Iran umefanya kazi vema Sasa wasubir
Akuna air defense yeny 100% pia ata ikitokea Ivo bado mabak yataanguk na kujelui au kuua mf ndege ikianguk juu ya nyumb yako autadhulikq? Kwaiy madhala ayawez kukosekn lkn ayatalongn Kwa walivotalajia
Linapokuja swala la vita duniani nchi pekee ambayo haiendekezi meza ya mazungumzo ni israel, IRAN na makundi yake ya kigaida Hezbollah na hamasi watapigwa kwa pamoja
@@hurumajosephat6333Tena kipigo kibaya.. Mimi niliwaambia watu wakanishambulia.. nikisema huyu mjeshi wa Irani msemaji mkuu wa jeshi anaongea kwa jazba halafu wanasema hakuna madhara Wala vifo?? Nikasema hapa kichapo kimepita watu ooh drone edaka asilimia 💯 .. yameshinda imebidi waseme yamewafika shingon.. matambo meng ooh tumeirisha ulinzii wa kutosha angani 😂😂
Irani walipopiga hakuna Muisraeli aliyekufa bali ni Mpalestina mmoja (1) na waIrani watano (5) waliokufa wakati kombora lilipowalipukia wenyewe. Leo Israel kapiga washakufa wanajeshi wanne (4). Israel ana Mungu.
Nchi pekee inayo weza kupigana na nchi kumi ni Israel 😅 mrusi Ukraine tu anamtoa jasho na iran ndy inasaidia urus 😅😅 kubabake warabu njoo home nina mafuta ya p ddy niwafanyie masaji😅
Nd maana niliamua kuikataa mimba ya mama ako nilijua tu utazaliwa kilaza leo nd nakuambia me mwenyewe wewe c mwanangu Kama mama ako alikuwa anakupa matumaini Kama baba nitakukubali nd imeisha hivyo nakukataa moja kwa moja me siwez kuwa mtoto Kama wewe usiokuwa na akili timamu kama hujui mpaka sasa Urusi anapigana na NATO me wewe wa kazi gani tena?
Swali.. Israel wameshambulia Irani kupitia Anga ya inchi gani? Irani ilisema Imeongea na nchi jirani kuzuia shambulio lolote la Anga kutoka Israel!. Akaonya Tena Nchi yoyoyte ambayo Itahusika kutoa Anga lake ili kuishambulia Irani Basi itakua imehusika moja kwa moja kuishambulia Irani.. hii imekaaje ninependa Kwenye GPS ikaruka hii..... asante
Bro kaa utulie israel pia imefany maxhambulizi kwenye defence system za iran na nyingi zimehalibiwa next time akixhambulia na israel ikijibu mapigo kuna kuanza kusema israel inawaonea maana mazara yatakua makubwa mno
Mkiambiwa kuwa Israel huwa hawafeli kwenye mission zao mnadhani utani....mara oooh Rassia imeleta air defence ya hali ya juu...mara oooh ..hakuna madhara....vipi hao wanajeshi walinyongwa na viazi ama...? 😂 ..🇮🇱❤️... wakijaribu this time round ni hizo Nuclear facilities zao... nadhani ujumbe umefika... hakuna air defence system yoyote yakumzuia Israel
Israel Yair Rapid mpinzani mkuu analaumu idf imefanya operates ya uoga coz imekua successfully kwa iran na mazara madogo jaluo unakuja kuongea laiti kama kila kitu kiko sawa nenda vyombo tofauti kaangalie proximity ya shambulio na air superiority ya jeshi Lao la anga kuweni huru kujua vitu kwa uhalisia na si kwa hisia
@@FahadAbubakari-y3f tatizo ni kuwa unaleta hisia za kidini hapa... angalia targets za Israel zilikuwa zipi na je wamefaulu...? hata mimi ninatumia different sources za habari bro na madhara hayafichiki....Kwanza Israel imetumia ndege zake zakivita...si kama Iran ambao walituma missiles tu... ndege zimetoka Israel mpaka Iran... hiyo ni 2000km na bado radar za Iran zilishindwa kudetect ... huo ni ujumbe Kwa Iran kuwa Israel inauwezo wakuipiga sehemu yoyote wakati wowote
@@SuleimanJuma-c9t wanajeshi walikuwa tano ...acha upuuzi...unatuletea habari kutoka sources za kidini hapa 🤣🤣...juzi Tu mlisema kuwa mkuu WA wanajeshi wa Israel ameuliwa...😂😂😂
F-35 ambazo zilikua tano tu,ziliingia kwenye anga la iran na kuachia makombora na kisha zikageuza na kurudi Israeli Salama,kuna mwanadada mu Israeli pairot ni shida sana ndiyo alipelekea matatazo mazito kwa iran kwa jinsi alivyocheza na ndege,hii inamaanisha Iran anga lao halina ulinzi kabisa au ni dhaifu maana kama wangeamua kupiga sehemu za raia wangeua watu wengi sana sema ilikua target ni sehemu za jeshi tu.
😂😂😂😂😂😂😂😂 walisema zimepigwa ewani 😅 nyiny warabu wa buza acha ushabeki wa kidini, et dini ya aki 😅😅 aki gani mnapigwa kama ngoma atakae nitukana nitakutafuta nikufire pimbi nyiny
Mbona mkuu Putin kaguswa, mtoa siraha mkuu kwa Ukraine, Iran fanya kweli mlisema mtateketeza mitambo ya mafuta yote khuba na mashariki ya kati yote fanyen kweli
Zimetumika zaidi ya ndege za kivita 100+Sasa utazuia ipi na ipi uache kiumweli kumzuia mwisrael ni Ngumu huyu Muyahudi anatumia akili nyingi sana .na mbinu ambazo hata hazifikiriki na Israel..awazi kima yoyote ndo maana amelipa kama mnataka vita fresh ..😂
Lakini asubuhi mlipolishwa taarifa ya kuwa hakuna madhara Wala vifo, mara drone zimedumguliwa mliwakashfu Sana Israel 😅😅 .. Hawa Irani wamechezea kipigo si ajabu Kuna wanajeshi wengi tu wamekufa na majeraha 😅😅
Kwa kila mwanajeshi mmoja zitakuja kombora 1000 hizi taarifa huwa hatufichi ili tukijibu mjue mashoga km mnaazibiwa kwa kosa gani jitaarisheni mwambieni biden akupakeni mafuta vizuri ili azidi kukupeni msaada mana round hii mtabloo
Mnakuwa watu mnanichekesha kwel vita vyote vinapangwa na marekan maamuz silaha gan zitumike wap tupge mwisho wa siku utasikia ISRAIL noma sana ss huwa hamuona toka mwazo nan anaendesha vita au
Serikali za kisilamu hawafichi kitu km madhuruba yakiwa makubwa basi wanakwambia kweli ila hao wazayuni wanaojita waisraeli wa mchongo hawatangazi hata wapate madhara gani
Mashambulizi yalikuwa nimakubwa ila yamemezwa na ulinzi wa iran hapo Israel imejikamuwa vyakutosha, iran ficheni kama wao walivyo ficha majuzi mlivyo washambulia wakatuficha ukwel, Kwanza simlisema awamu hii Israel ita mu attack ayatollah, mlifikiri ayatollah ni Kama babako,
Akijibu , apo atafuatwa mzima mzima , save hii comment 😂, utanambia .wametikisa ili mdudu atoke shimon .akijibu tu ,watakachokifanya Israel nyote mashabik mandaz hamtokuw na ham ya kuingia FB mwez mzima
Mnaangalia madiapers .. hivi wanajeshi 70 vyombo vya habari vikubws wasijue.. jaribu kutofautisha habari vinginevyo wew ni rahisi kulishwa matango pori na hao madiapers watafuta viewers
Oo ilani inamifumo imara sana mara mifumo ilijitahidi sana kukinga maroketi Sasa hivyo vifo vimetokeaje kama ilani inamifumo ya ulizi IPO imara ilani imepigwa vibaya sana
Jamani nauliza tu hapa mtaan kijiweni nilikuta ubishani et Israel na urusi nani anaweza kumuattak mwenzake au niache uchonganishi maana ndan ya dk 7 kuna nchi itapotea alafu lawama ntazibeba mimi kwa hapa bongo
Atakaye pigwa ni URUSI,niulize kwanini??jibu atakayepigana na Israel anapigana na MUNGU,sasa umewahi ona MUNGU anashindwa? Naongea kimaaandiko sikurupuki nataka nikufundishe neno La MUNGU linavyosema achana na hao maamuma ambao hawajui bibilia,nina mifano hai ifuatayo,nadhani unajua misri ilikua na nguvu kiasi gani kipindi cha MUSA? sasa najua unafahamu kilichotokea pale bahari ya shamu upoo! Soma maandiko ktabu cha kutoka utaona yale mapigo aliyokutana nayo farao ambaye waislam wanamuita firauni!!pili,ukisoma kitabu cha waamuzi utaona jinsi gani MUNGU alivyokuwa pamoja na waisraeli kwenye vita zote na wakashinda. Tatu,mwaka 1979 Israel waliwekwa kati na nchi tisa ambazo zilitaka kuifuta kabisa cha ajabu kabla hawajafanya hilo walishangaa wanapigwa na kusambaratishwa wote! Nne,soma kitabu cha esta utaona ni jinsi gani wayahudi walivyofanyiwa njama ya kutaka kuuwawa lakini mwisho wa siku yule aliyepanga kifo kilimkuta yeye na wayahudi wakapona kwa mkono wa MUNGU. Hivi haujawahi kujiuliza kwanini Israel hawashindwi ingawa ni kataifa kadogo saaana? Jibu ni rahisi tu MUNGU analitazama na kulilinda agano lake alilofanya na Ibrahim,isaka,na yakobo ambaye ndio israel.usitishwe na mataifa makubwa na yenye silaha kuuubwa ukazani ndio watashinda nop! Wapo waliokuwa na nguvu enzi hizo kama misri n.k lakini walidondoka kama mdudu mbele ya Taifa teule.ukifanya vita Na Israeli maana yake unataka kubatilisha Agano la MUNGU,Na MUNGU alishasema wazi kwenye Neno lake. Cha ziada Ni kwamba Israeli ndio imebeba unabii wa siku za mwisho Hasa lile la mpinga KRISTO hivyo huwezi kuipiga Wala kuifuta Israeli.
😂😂😂 sema nin wanajeshi wa israel wanakufa afu unacoment njugumawe kaka yaan bado hamjasema mpak mseme ni maelien wanapigana maana hamuelew iran anashenyentwaje@@FunnyProteaFlower-dg4gi
Sisi kama waafrika tupo pamoja na iran 🇮🇷 . Maana wanazuia utawala wa kimabavu wa wazionisti duniani. Nchi za afrika zimegubikwa na wimbi la ugaidi na uongozi mbovu, yote inasababishwa na nchi za ulaya na zionist, hivyo tusilaumu serikali zetu kuwa zinakopa sana na hakuna maendeleo kwani adui mkubwa wa afrika ni ulaya na zionist ❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇸🇴🇸🇴🇭🇹🇭🇹🇸🇸🇸🇸🇸🇩🇸🇩
Jifunze kua na Heshima kwa watu wengine Heshima haiyuzwi sijui kwa nini hamukupewa malezi hasara iliojee aibu kubwa ktk jamii kua na mijitu ya Ovyo kama nyie Hasbiya ALLAH waneemal wakil
Israel wamekufa kibao ila wanaficha tu,ila kichapo wanakipokea vizuri tu... Israel ilizoea kuwaonea wapalestina ila Sasa wamepatikana hata kama wakishinda haitakuwa rahisi lazima watachapika tu
Uchungu unaweza kufanya ukaongea pumba .. pole lakini , ,, ukweli umejilikana mlilishwa matango pori asubuhi.. kumbe hasara kubwa na kipigo kimetembea 😅😅
Acha uongo buda... video ziko za jets za kivita za Israel zikitoka na zikirudi... kwanza shambulio hili Israel wametumia jets zao...si Kwa kutuma missiles.... hiyo ni kumwonyesha Iran kuwa Israel inauwezo kukwepa radar zao
Zote hizi ni jeuri ya marekani na sio Israel msimpe kichwa huyo Israeli. Kila kukicha Beiden anaingiza shehena za silaha huko Israel na mifumo ya ulinzi wa anga.. Ppp
Israel ni Marekani, na Marekani ni Israel.. kaka kama hujui fanya hata utafiti .. kabila lililojikita kwa wingi vna lenye utajiri wa mabenk hapo marakani ni lipi.. jibu Wayahudi.. na asilimia 95 ya Wamarekani ni Wayahudi.. acha blabla kama hujui haya mabo Kaa kimya uajitia aibu kwa ajili ya ushabiki maandazi 😅😅 pole lakini.. hivi hamjiulizi kwanini Marekani haachani na Israel? Jibu kwamba Marekani na insrael ni mtu mmoja kasoro wengine wpo Israel na Wengine wapo Marekani.. daah jambo usilolijua ni kama usiku wa Giza 😅😅
Israel Hata wafe wao hawatangazi na vyombo vya habar vimefungiwa kutangaza ukweli asa hao wanaocomment ujinga kufrahia hzo habar wote naona wajinga wa fikra na hawanaakili coz ukitegua bom kunamabaki yanarudi ardhini ndio yaliowaathiri au mlijua yanayayuka angani?😂😂😂😂