Ishaa Kusema kweli nakubaliana na sentiments (wazo na maongezi) yako. I believe kwa ule msemo wa we are one,no matter the tradition or religion,yaani( sote tuko sawa ingawa tamaduni na dini tofauti). Kwa hiyo huku kubaguana hakuna maana kabisa,matendo mema ya kiukweli ndo important,dini ni maelekezo tu.Mimi mwenyewe mama mkristo,baba muislamu lakini nipo, so mengine tumwachie Mungu. Thanks Isha much love from Kenya. 🇰🇪❤️. Nkija Dar naja kula huko😂.
Kutokusali hakumfanyi mtu ageuze sharia za Allah, ziseme sharia kamazilivyo ukizipindisha niwew kama binadam so yuko sahihi @hawamohammed, na ukishakua na imani yani muumin wa kweli kamwe hutoweza ingia kanisani, ukiona wew ni muslim halaf unaenda kanisan bado hujawa muumin wa kweli.
Binafsi nimekuelewa sana, naamini wengi wamekuelewa. Mimi mkristu lakini mume wangu muislamu tuna watoto na maisha yanaendelea na naamini Mungu atatusaidia tutazeeka pamoja, Amina.
Mungu akubariki sana Isha, nimekuelewa na kukupenda sana, we ni kichwa mama! Mungu akujalie sana, nitakuwa shabiki wako milele, Ukristo na Uislam ni Imani tu!
Kila mtu anatakiwa ajuwe kuna waislam na kuna waumini waislamu nd kama ao daimond hamonaiz ishamashauz washirikina zuchu na wengine ila waumini ni wale wanaojiandaaa na akhera tuu na hawapotezi mda na masuala ya dunia n kipumbavu yanayomkasirisha muumba mbingu na ardhi na viumbe vyote
We unajuaje kuw hujamkasirish Muumba kwa kuwanenea mabaya wenzako? Huyo Mungu wako hanifai!! Mungu gani asiye na upendo. Mbona Mahshehe wanakaribishwa? Kwa hiyo wewe Mungu anakupenda kuliko wote??
Unaingia kanisaini sawa kama unavyo sema,lakini jambo muhimu ni kuwa unapo ingia kanisani kwa wewe muisilamu unatakiwa ujue je mungu anaridhia?kila mtu anatakiwa ajue anacho kifanya,je mungu anamridhia?isiwe unafanya jambo ukafikiri mungu anakuridhia
Isha waislam wenzio ni wabinafsi sana huo ndo ukweli na ndo maana wanakulaum ukipata nafasi ingia mara nyingi uwezavyo Cha msingi moyoni mwako unabaki na Imani yako nakupenda sana mdogo wangu
Allah ufahamu wa sawa sawa maana hayo maneno ya mtu ambae hujui dini yake.. Kwa muislam ni haram kuingi kanisan na kwa upeo wa kawaida tuu jaribu kujiuliza hiv kwanini kuna makabur ya waislam na wakristo na kulikuwa na haja gani kufanya ubaguz huu wakuzikana wakat ss ni wamoja? Jua kabisa ukristo na uislam sii kitu kimoja na hatahao wanaojiita jumuiya ya maridhiano hakuna maridhiano ktk mambo ya itkadi.. Na allah amesema hawatakuwa radhi mayahud na manaswaea mpk mfuate mila zao.. Nikweli dini zipo nyingi ila dini ambayo itamsalimisha mja dunian na akhera ni uislam na nyumba za ibada zipo nying ila ya hak ya kuabudu ni msikt.. Dada eti amuongoze.
Hapana! Ki ukweli wa Mungu! Mungu yupo tena mmoja tu Hayo mambo ya ukristo,uislam n.k ni itikadi tu za wazungu na waarabu walikuja na kutuletea imani zao hizo kutugawa ili tuchukiane tubaguane kisha watutawale kwa urahisi
Hakuna dini zaidi ya kupendana kindugu,kuwatii na kuwaheshimu wazazi wako. Hizi zingine ni story tu Wewe fikiri kidogo tu hata kwa akili ya mtoto wa darasa la nne! Wakristo wanajiona imani yao ni bora hivyo wanajihakikishia kuwa na haki molki kwa Mungu Ukija kwa waislamu basi ndiyo kabisaa eti Mungu ni wao peke yao,walokole nao,Baniani nao na ng'ombe wao,wapagani nao na military,miti,mito,mifugo,minimum n.k wanaamini kumpendeza Mungu vilevile! Sasa hapo Mungu ni wa nani? Chenille uvivu wa kufikiri ndugu zangu
Dada mungu ni mmoja uko sahihi achana na maneno ya watu wasioenda shule, mbona Rais Samia anaingia bila shida na Majaliwa wa Majaliwa anaingia na wanaingia kwa masuala ya kitaifa na mahusiano mazuri Dada Aisha wambie wasitugawe hao kwanza Upendo mengine baada
Si makosa muislam kuingiya kanisani , ila sherti moja tu usifanye ibada nawo kwakuimba wala kwakusali wala mchango wowote wajanisa, uwe tu kama mgeni, kinyume na hicho tayari nimakosa
Mtihani mtupu,mwisiramu wakweli hapaswi kuingia kanisani,wala kusema kama unavo sema wewe,kwasababu wao wanasema yesu nimungu,haliyakuwa yesu ni mtume,kama mitume wengine,haramu kujifananisha nao,wana mkufuru mungu hawafai
Pia waislam hao hao ndo wanakuwaga waombaji mitaani kwa ajili ya kujenga misikiti mbona hawaombi kwa waislam wenzao Tu ila kwenye kuingia kanisani niwanaona shida sana basi wasiombe michango Yao kwa wakristo waombane waislam kwa waislam
wewe wacha ushabiki wa imani wacha kukashifu imani ya wengine, waisilam walikuja wapi kuomba wajengewe msikiti ? ukiambiwa uthibitishe hilo utaweza kufanya hivyo ?
@@Mariam-ke4og kwabahatimbaya huwaga siongezi uongo nami ukiona nacoment humu ujue nimeiona hiyo yakuchangia huku tuliko wanatembea sana kutakakuchangia nyumba ya ibada
@@Mariam-ke4og napia sijakashifu ila ninawashangaa waislam kuwadharau wakristo naakati msaada yakujenga nyumba ya ibada wanaenda Hadi kwa wakristo wachangie
@@gracemwingwa-jx7yynyie wakristo ndo mabingwa wakukashifu na kudharau iman za wengine ndo mlivyo wabinafsi na hiyo michango kwani mmeshikiwa fimbo kutoa shobo tu😅
Muone huyu nae Bismillah au Alhamdulillah ni maneno ya lugha inayotumika kwenye dini yetu sisi waislamu ndo mana hamuwezi kuyasema kwenye ibada zenu. Na nyie simtafute lugha aliyotumia yesu wenu😅
Usimsikilize mama bibi au mtu mwengine soma qur-an itafahamu hicho kisa ulichofanya uliza mashekh wa kislamu usichanganye dini uislam mbali na kristo mbali hakuna dini mseto
Hata ungeingia pangoni ni wewe kipenzi.maisha ni yako hayahusiani na mbuzi yeyote.mama samia anaingia kanisani mbona hawasemi?mbinguni hakuna cha mwislam wala mkristo.ni matendo yako tu. Shule ikiwa ndogo kichwani ni shida saana kwa jamii.