@@WilliamstozzoAlipigana na Hezbollah 2006 na kipindi icho Israel ilikuwa na Jeshi kubwa na vifaa vya kisasa wakati wapinzani wao Hezbollah Walikuwa na Jeshi dogo sana na mabomu ya masafa marefu na mafupi lkn Hezbollah Al
Nashindwaga kuelewa vikundi vya kiarabu vinavyosifiwa vimeshinda vita. Wanakandwa alafu Israel akisema anasitisha mashambulizi wanadai wao wameshinda, kama wanashinda si wakaisambaratishe Israel ipotee. Wanatesa raia wa kawaida tu kisa interest zao
Kwa liport ya Mzee wa fyuzi and logic 😂😂hiyo taalifa haipo popote izilaer kupigwa. Mnapenda kufarijiana ujinga sana ngoja tutakapo wavunja vinyeo ndo mtaelewa
Ndyo uhasama utakuwa mrefu lakini hakuna ataishinda israel intelligence yake ni ya kushangaza hawategemei silaha tu hadi usiyetegemea anawezq kuwajasusi wa israel
Israel omba omba wa m Marcani, Hana jipyia😂😂😂😂 na asisubutu kutia mguu huko Libani kuna vikosi vi nae nsubiria shoga nsomali, Taliban, yemeni irãn, na mwenye kijiji Hezbollah
@@JeanMalilo tuliaje kwamfano israel wenyew vita vimewashinda wameona bora tulipize tukauwe watoto na wazee lkn pale mm sioni jeshi bora nisifa2 mwezi watisa sasa kumbuka waliahidi nn mwanzo, alafu mnakaa nakuambia watu ss tumeokoka mtu anaeokoka anachekelea maovu
Vita sio vizur, Bora suluhu ya maongez kuliko vita, hesebolla wanatiwa moyo lakin kiuhalisia Israel sio ya kitoto ndiomaana ipo hapo katikati ya adui zao na maisha yanasonga, ukitaka uliwe kichwa watafute Israel, hiyo 2006 hesebolla ilishinda nn Kwa Israel? Unasahau kwamba Israel alishapigana na nchi zote zilizoozunguka Kwa wakati mmoja? Tafuta history vizur
@@user-qp5vi9yt6misabollah ni genge la wahuni Kama Hamas, nao watachapwa Kama mpumbavu mwenzao Hamas, iran mwenyewe alitupa tukombora twake tukadakwa na yeye akatumiwa moja tu , akafyata mkia, ajakaa vizuri Rais wake akafa na wafuasi wake, sembuze isabollah.
Acha jinga wewe tupo kibao tunaoipenda israel na sio mashoga usipangie mtu upande wa kukaa fara wewe mbona huwasemi hao mashoga wakiarabu na ndo ulikoanzia
Mamae kuwapelekea Hadi zama zamawe😂😂😂 Yani wanalushwa zama 2 Kwa mpigo🤔 Yani ni mamilion ya miaka unaludi 😂😂😂😂😂😂😂😂 SEMA hii mechi inaanzia ugenini ingekuwa nyumbani tunge lipa viingilio. Tuwachane vinyeo✊ hakuna namna kama wana leta shobo🙏🙏
@@shafiismaily9223 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 halafu itabaki story kuwa kuliwahi kuwepo na nchi ya Lebanon🙆 watasomwa kwenye history wasipo kuwa makini🤔 waambie kabisa hao ndugu zako😡😡
@@BenjaminMetanyau mashoga nyiny ndo mnaleta laana duniani Israel mashoga apige nyukilia na yeye anapigwa nyukilia tu watu silaha wanazo wamekaa kimya tu
Hakuna taifa chini ya mbingu itakayo ipiga israel, Mungu ndiye aliyewaweka kwenye hiyo nchi, mkiwalaani mmelaaniwa ninyi, na kadiri mataifa yanavyozidi kuwatenga na kuwageukia kuwanenenea vibaya, ndio navyozizi kuingia kwenye laana
Ivi unaufaham kwel ivo kweli hamas ipo? Hhujui aina ya vita hamas wanapgana hata hezbollah na makundi wengine wanaitumia ni gorrila war vita ya kuvizia uncivilized war with no scientific output
@@user-lv4cx1sc5d Tukome! Nyie wapenda vita endeleeni kupigika! Mnachokoza watu wakati nguvu ya kuwapiga hamna, alafu mnaanza kulialia nakutilisha huruma!
Ezbolla niwavuta bangitu kama hamasi bangi zkiwazdia kilaktu wanajifanya wanaweza minacho homba wawe na uwakika wa kuwalinda laia wao si hatutak kilele vta havina macho sihatutak kuskia mahuhaj ya watoto nakina mama hasa mnaho shabikia nyny sku sonyng mtahanza hala hala
Tatizo hivi vita vilishaingia udini ila wacha wachapane ili maandiko katika vitabu takatifu vitimie Ki uhalisia Israel isingekuwa na nguvu ingeshapotea katika map ya dunia Yaani wanapigana na nchi pamoja na vikundi vingi vya kigaidi tena kwa wakati mmoja sio kitu kidogo