Тёмный

JAPHET ZABRON ASHINDWA KUJIZUIA AMWAGA MACHOZI BAADA YA KUULIZWA SWALI HILI... ":" 

Gold TV
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 157 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 114   
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 2 месяца назад
Jamani Mungu akutie nguvu Japheth Ni pigo kubwa lakini haina Budi kumshukuru Mungu Kwa kila jambo tuko soteni kwenye hili tulimepnda lakini Mungu alipenda Zaidi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@hynesskatengu1870
@hynesskatengu1870 2 месяца назад
Poleni sana jamaniiii ni maumivu yasiyozoeleka ooh Yesu fariji familia hii.😢😢😢😢
@FlorenceMusembi-t5x
@FlorenceMusembi-t5x Месяц назад
Pole the Zabron singers. Tumepoteza kweli. Mungu awatie nguvu.
@SteveManyonge
@SteveManyonge 2 месяца назад
Poleni sana wandugu wetu watanzania na zabroni singers. Mungu awape nguvu wakati huu mgumu.
@MercyWitness
@MercyWitness 2 месяца назад
Pole sana kwa msiba, faraja ya Mungu iwe juu yenu
@pamphilianwandera4683
@pamphilianwandera4683 Месяц назад
Poleni sana familia ya Marco. Mungu azidi kuwatia nguvu, sio rahisi kupoteza mpendwa.
@leonidachepchumba6512
@leonidachepchumba6512 2 месяца назад
Pole sana Japheth,ninajua uchungu mnapitia,Mwenyezi Mungu hawafariji jamani.
@helenamwema744
@helenamwema744 2 месяца назад
Pole sana Mwenyezi MUNGU awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@AnneNgina-e4k
@AnneNgina-e4k Месяц назад
Poleni Sana Wana zabron singers. Nasikitika Sana kumpoteza mwimbaji mwenye Baraka kama huyu. Mola hakosi, ailaze roho yake Mahala Pema peponi😢😢😢😢😢
@EstherAkile
@EstherAkile Месяц назад
Ooooh mungu ailaze roho yake mahali pema peponi mtumishi wa bwana,, sote tuwasafiri duniani hatuna mji udumuo.
@SangBertha
@SangBertha Месяц назад
Poleni sana na kilicho wakuta na msiba wa ndugu yetu Marco Sisi wote moyo ina uma sana tuko pamoja from Congo 😭😭😭😭😭
@mirriamkwamboka7079
@mirriamkwamboka7079 2 месяца назад
Ndugu utafanikiwa. God's time is the best. Mungu Ako nawe😊
@ApiaTweve
@ApiaTweve 2 месяца назад
Poleni sana. Na MUNGU awafunge mkanda Kwa kipindi hiki kigumu
@Josephineayuma-w5t
@Josephineayuma-w5t Месяц назад
Pumuzika Kwa amani Marco mungu ailaze roho Yako mahali pema peponi
@mariajemutai2968
@mariajemutai2968 Месяц назад
Pole sana japheth ma zabron singers
@monicalucas3738
@monicalucas3738 2 месяца назад
MUNGU awatie nguvu sana wanafamilia ktk kipindi iki kigumu, ampumzishe kwa amani mpendwa wetu🙏🕯 😭
@agness8971
@agness8971 2 месяца назад
Poleni sana jamaa , marafiki , zabron singers na sisi mashabiki wa nyimbo z Zabron singers😢😢😢
@samuelmuhindosivamwanza4988
@samuelmuhindosivamwanza4988 Месяц назад
C’est dur, très dur. Puisse l’Eternel notre Dieu continuer à consoler et réconforter toute la famille, les amis et connaissance. Nous avons perdu un élément. Seul Dieu sait pourquoi c’est arrivé en pareil moment
@ViraBabwiriza
@ViraBabwiriza 2 месяца назад
Ata Mimi ningekua tanzania ninge kuja kumsindikiza from Congo tupo pamoja sote mashabik wanyimbo zake apumzik kwaamani
@ShabanHassan-g2r
@ShabanHassan-g2r 10 дней назад
Japhety mung akutie nguvu ww pamoja na kund lako Kwa ujumla namke wa marehem
@edahuxley8184
@edahuxley8184 2 месяца назад
poleni sana mwenyezi mungu awatie nguvu wakati huu mgumu
@gwantwamwamwendesi6139
@gwantwamwamwendesi6139 Месяц назад
Pole sana Japhet Mungu wetu aendelee kuwa faraja
@joyceagustino1531
@joyceagustino1531 Месяц назад
Poleni sana zabron singers najua maumivu mnayopitia
@AnnastaziaFrancis
@AnnastaziaFrancis Месяц назад
Polen sana ndg zangu mungu awatie nguvu ktk kipindi kigum
@evakabete2944
@evakabete2944 Месяц назад
Huyu anamfanana sana Marehemu
@SarahMajaliwa-px2qj
@SarahMajaliwa-px2qj 2 месяца назад
Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema,,🙏😭
@ManirereGedeon-d7d
@ManirereGedeon-d7d 2 месяца назад
Japhet Pole sana Mimi nimekosa mambo❤😭😭😭😭
@JenniferKalia
@JenniferKalia 2 месяца назад
Poleni sana familia ya zabron Kwa jumla, kuongea mtu akifa ni kawaida so mjitie nguvu Mungu yu upande wenu, tutamiss sauti yake SIsi kenyans
@marthabruckman5850
@marthabruckman5850 Месяц назад
Poleni sana jamani.Mungu awatie nguvu.
@kingsgospelsingers
@kingsgospelsingers Месяц назад
Pole sana Mungu akutie nguvu Japheth
@RhodaDamas
@RhodaDamas Месяц назад
Mungu awape faraja jaman i
@lydiakareithi9820
@lydiakareithi9820 Месяц назад
Huyu Japheth, ni yule kijana alikuwa akiimba kanisa la Ukerewe kwani anamfanana sana!!? Poleni sana wana Zabron Singers 😢😢
@doradaniely2036
@doradaniely2036 2 месяца назад
Siku ukipunzika utabebeshwa mizigo mikubwa sana jmn badala kuombewa kila mtu anaanza kusema yake lakini familia mim binafsi nimeumia sana na poleni sana mungu ailaze roho marehemu mahala pema peponi
@judithbahizire4298
@judithbahizire4298 2 месяца назад
Mungu tu naye Mwamini na amini ata ji shugulisha na maman na watoto. Mungu ni Mume wa wajane tena baba wa mayatima.
@ninaelswai7903
@ninaelswai7903 Месяц назад
Pole sana Jafet usilie
@annahgodblessyouandprayfor6515
@annahgodblessyouandprayfor6515 2 месяца назад
Poleni sana tuko safarini sisi sote ,let him rip and shine on his way home to the creator of everything 🙏🏽
@Flora-t6e
@Flora-t6e Месяц назад
Polesana jafet mungualitoa nametwaa
@MilycentMilycentomondi
@MilycentMilycentomondi Месяц назад
Sijawahi lia nikisikia MTU Fulani ametuacha lakini zabron amefanya nikalia Sana Tanzania Ni mbali but Mungu awafunge mganda jamani.zamani pia Kenya tunalia poleni.
@dennok3357
@dennok3357 Месяц назад
My sincere condolences to the bereaved family. However, in my humble opinion, whenever someone creates a song, it should be done to glorify God, rather than focusing on whether it will become a hit or not. All the same, their songs will continue to bless many in all aspects.
@lameckmnanka9330
@lameckmnanka9330 Месяц назад
Poleni sanaa mungu awape nguvu
@hellenjohn9865
@hellenjohn9865 13 дней назад
Polen sana
@alicerosah3084
@alicerosah3084 2 месяца назад
Poleni sana mungu awape nguvu katika huu wakati mgumu 😢
@PhylliskhasialaShipwoni
@PhylliskhasialaShipwoni 2 месяца назад
Poleni marafiki na jamii kwa jumla 😢😢😢ni uzuni kumpoteza mpedwa wa karibu bila kuunguwa 😢💔💔
@angemureba4087
@angemureba4087 2 месяца назад
Poleni sana Mungu awatiye nguvu
@WinroseMusimbi
@WinroseMusimbi 2 месяца назад
Pole Sana Kwa msiba huo pia sisi tumeumia
@lightnessmeena1315
@lightnessmeena1315 2 месяца назад
Mungu awape uvumilivu kipindi hiki kigumu kwenu
@FrederickDeus
@FrederickDeus 2 месяца назад
Pole sana mungu ampumzishe kwa amani
@neemamanjale
@neemamanjale 2 месяца назад
mungu awatie nguvu kwa msiba huu hakika inaumiza mnooo
@georgetteniyonkuru9060
@georgetteniyonkuru9060 Месяц назад
Pol sana nduzetu🇧🇮
@AdamMakoye-w2n
@AdamMakoye-w2n 2 месяца назад
poreni sana ndugu mungu yupamoja nasi site
@eunicemusande5477
@eunicemusande5477 2 месяца назад
Inauma sana Rip Marco
@MercyCherono-o1e
@MercyCherono-o1e Месяц назад
Poleni sana
@drucillawainaina3162
@drucillawainaina3162 2 месяца назад
Mungu watie nguvu hawa ndug u
@bethgithaka6317
@bethgithaka6317 2 месяца назад
My condolences to you and family 😢
@PriscaJohn-y8s
@PriscaJohn-y8s 2 месяца назад
Polen sana zabron singers
@FlorenceKirigo
@FlorenceKirigo 2 месяца назад
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
@salomemoreri4550
@salomemoreri4550 Месяц назад
I use to think they are brothers from same mother.
@lydiahnyabonyi9367
@lydiahnyabonyi9367 2 месяца назад
Poleni majirani wetu
@JacklineOuma-bn1ck
@JacklineOuma-bn1ck Месяц назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢sory
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 2 месяца назад
Poleni sana i
@jacklinejohn5727
@jacklinejohn5727 2 месяца назад
Mtasikiaa kama hamjasikia
@lucynduta9644
@lucynduta9644 Месяц назад
RIP 😔
@jacklinejohn5727
@jacklinejohn5727 2 месяца назад
Huyu Japhe
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 месяца назад
Yaani kaka wawatu kafariki na maumivu ya kidonda daaah
@MagdalineMigwi
@MagdalineMigwi Месяц назад
may his soul rest
@mercysereh
@mercysereh Месяц назад
😢😢😢😢
@AHappyDaddy
@AHappyDaddy 2 месяца назад
Makiwa!
@josephinemuyoma7838
@josephinemuyoma7838 2 месяца назад
Apumzike kwa aman 😭😭
@emmilyngina5405
@emmilyngina5405 2 месяца назад
Mara nyumbani mwake Kahama mara makaburini, 😢
@marymuthi6865
@marymuthi6865 2 месяца назад
Pore sana
@MariamWikama-q9j
@MariamWikama-q9j 2 месяца назад
Watumishi jipeni moyo roho mtakatifu afanyike faraja kwenu
@RosieNgina
@RosieNgina 2 месяца назад
Hawa wanahabari wanapenda kusumbua watu na maswali badala ya waache watu watulie
@MaurineCherop-y7x
@MaurineCherop-y7x 2 месяца назад
😢c ndio update kamili
@Janemuthoni289
@Janemuthoni289 2 месяца назад
Wakenya tunaomboleza pamoja😢😢😢😢wapee mda waomboleze channel moja iwahoji wanachooka kuongea
@divinahmachuka1859
@divinahmachuka1859 2 месяца назад
Weka live tu watch😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 месяца назад
😰😰😰😰😰😰💔💔💔
@evalinemalole6709
@evalinemalole6709 2 месяца назад
Michael??
@RoseNyawirakenya
@RoseNyawirakenya 2 месяца назад
Ooh hicho kilio jameni😂😂😂sitie shaka,utafaulu kama alivyotamani...
@faithjelagat176
@faithjelagat176 2 месяца назад
Unacheka Nini gasia wewe
@faithjelagat176
@faithjelagat176 2 месяца назад
Unacheka Nini gasia wewe
@avernegervas5839
@avernegervas5839 2 месяца назад
​@@faithjelagat176hajui matumiz ya Emoji ni hatar cm hiz
@annendumia38
@annendumia38 2 месяца назад
Wacheka nn wewe sasa
@dainayvonne7627
@dainayvonne7627 2 месяца назад
Unacheka nini wewe chizi
@emmilyngina5405
@emmilyngina5405 2 месяца назад
Kw hivyo Japhet sio kakake Marco tumbo Moja, they are first class cousins, their fathers are brothers
@claudialupimo7614
@claudialupimo7614 2 месяца назад
Ni mtoto wa uncle wake
@vivianmaingi
@vivianmaingi 2 месяца назад
Wanafanana sana,,,wanakaa mapacha
@lydiahondari2343
@lydiahondari2343 Месяц назад
Wueh, na vile wanafanana
@liz5859
@liz5859 Месяц назад
Japhet's mother is sister to Marco's dad..
@joera_media1749
@joera_media1749 2 месяца назад
😢😢😢Tupe live link
@evalinemalole6709
@evalinemalole6709 2 месяца назад
Anasema Michael ama me ndo naskia vibaya jaman
@JonasKishaiga
@JonasKishaiga 2 месяца назад
Mbona kama unajipigia promo sana wewe ni kama unam dump mwenzio na neno la uchawi linatoka wapi
@HyacintaGugu
@HyacintaGugu 2 месяца назад
Umeonaee anajitangaza watu wajue kama yeye ndie alikuwa mtunzi..Anakera sana sana sana sana
@AminaMadaraka
@AminaMadaraka 2 месяца назад
Tatizo amjaelewa sikiliza kwa makini
@AminaMadaraka
@AminaMadaraka 2 месяца назад
Anazungumzia umuhimu wa Marco katika huduma yake
@NAOMIYOHANA-j5l
@NAOMIYOHANA-j5l 2 месяца назад
Mmmmh jarbun kuelewa nn anazungumzia sidhan km amejipromo apo anazungumzia kwa uzur mbna
@Ginger_n_Vanilla
@Ginger_n_Vanilla 2 месяца назад
Kwanza kabisa huyu ndio mwandishi wa nyimbo za Zabron lakini walikuwa wanashiriki pamoja kujadiri mawazo, na anaeleza mambo yao. Wacheni uchungu. Japhet ni mtu mzuri na alimpenda sana marco
@salmakirundu2076
@salmakirundu2076 2 месяца назад
Selfish
@NUHUONLINETV
@NUHUONLINETV 2 месяца назад
maji matamu
@CalebBillio-vl2tm
@CalebBillio-vl2tm Месяц назад
Watu Wana ufala sana.... Lazima utumie maneno ya uongo ndo u capture attention.?? Watu waomboleza n you are busy doing this stupidity to gain more likes and subscribers???
@NyandwiGenerose-w8j
@NyandwiGenerose-w8j 2 месяца назад
Poleni sana
@FlorenceKirigo
@FlorenceKirigo 2 месяца назад
Wanawake pliz wacheni mambo yakuwekelea watu wa mungu
@josephinemtei186
@josephinemtei186 2 месяца назад
😭😭😭😭😭
@jacklinecherono95
@jacklinecherono95 2 месяца назад
Poleni sana
Далее
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
🎙А НЕ СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?🕺🏼
3:06:10
ДУБАЙСКАЯ ШОКОЛАДКА 🍫
00:55
Просмотров 2,7 млн
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05