Тёмный

WIMBO HUU WAWALIZA ZABRON SINGERS MBELE ya JENEZA LA MWENZAO WAKIMUIMBIA WIMBO MAALUM WALIOMTUNGIA 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 317 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 518   
@everlynewanyama3804
@everlynewanyama3804 2 месяца назад
If tears could bring this guy back 😢we've really cried..tis well .till the resurrection morning.hugs from kenya 🫂🫂🫂
@AndersonImbali-v4r
@AndersonImbali-v4r 2 месяца назад
May his soul rest in peace
@ingerannemariepulk2688
@ingerannemariepulk2688 2 месяца назад
My condolences to Family.Watching this from Norway and my heart cries with the loss.
@bethmainagakunga4017
@bethmainagakunga4017 2 месяца назад
Amen
@EltonKivuyo-cv2gq
@EltonKivuyo-cv2gq 2 месяца назад
Ndivyo Imani yetu inavyo jaribiwa ,ninacho waombea sana .Msije mkamkatia Mungu tamaa kwaajili ya hili,tazameni kusudi la Msalaba
@Judithnyantikanyaboke
@Judithnyantikanyaboke 2 месяца назад
Poleni sana nimejikuta nimelia
@maryannBoke
@maryannBoke 2 месяца назад
Poleni sana Kwa family yao Marco zabron singers 😭💔💔😭😭 inauma sana
@susanmetumi2223
@susanmetumi2223 Месяц назад
Hadi wa leo sijawai amimi Marco is no more 😢 kwani kunaedanga aje.Mungu tusaidie kuzidi kuhesabu siku zetu.we shall meet him in paradise if we remain to be faithful.poleni sana Wana Zabron .kweli inauma sana.
@ruthgeorges1001
@ruthgeorges1001 2 месяца назад
Not only Zabron singers are mourning in Kenya we knew him through your touching songs 😢we are mourning too may God comfort you guys
@esthermagova6673
@esthermagova6673 2 месяца назад
Japo ni uchungu farijikeni katika yesu mungu awatie nguvu wakati huu mgumu 😢😢😢
@dianaimali-kt4cj
@dianaimali-kt4cj 2 месяца назад
Kama machozi yangeweza kuamusha mtu aleye kufa basi Marco angeamka leo maana nimelia sana😭😭😭😭😭😭 ila hatuna hiyo uwezo rip shujaa,,,pole zangu from Kenya mungu hawatie nguvu😭💔
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv
@AdmiringBonsaiTree-nc1lv 2 месяца назад
Ni kweli kabisa😭😭😭😭
@ElishaIsaka
@ElishaIsaka 2 месяца назад
Poleni sana ndugu zangu chakufanya tumuombe dua ndugu yetu aliye tangulia mbele za haki mung ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu
@jamesmakau9476
@jamesmakau9476 2 месяца назад
I am in U S A. 19000 miles away from Tanzania but I love the songs of this team. I am writing this with a lot of tears. I wish I can be next to this brothers and sisters and sing this with combo with them. Someone needs to talk to be please.
@LouiseLove-up8fg
@LouiseLove-up8fg 2 месяца назад
It's so sad 😭💔 and painful 😢
@REHEMAMALIMA-s2q
@REHEMAMALIMA-s2q 2 месяца назад
Mungu tujalie mwisho mwema, tutaonana tena Marco Mungu awe mfariji wenu familia na zabron singers kwa ujumla.. ! Pumzika kwa amani bwana alitwaa na bwana ametoa jina lake lihimidiwe!😢
@AminaBlessed
@AminaBlessed 2 месяца назад
mungu asie waacha wana wake ,, -kwa hiki kipindi kingumu sana mungu awe upande wenu kuwafariji . hapa kenya twaomboleza na nyinyi na tunawaombea neema ya bwana iwe juu wenu ndungu na dada zetu❤❤❤❤ tunawapendaz. neema itoshe😢
@petronilaEmanuely-fv1rg
@petronilaEmanuely-fv1rg 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu poleni sana na ni msiba mzito san
@brendanaliaka5409
@brendanaliaka5409 2 месяца назад
😢😢😢
@lucymwai7645
@lucymwai7645 2 месяца назад
Mungu aiweke roho yake pahali pema peponi. 😢😢from Kenya
@Reuben-r6o
@Reuben-r6o Месяц назад
So sad, poleni, may the Lord God continue to strengthen the family and the Zabrons singers
@ElizabethKavisa
@ElizabethKavisa Месяц назад
Mungu aonaye machoji ya wapendwa awafariji jitieni nguvu katika jinala Yesu kristo
@EstherWausi-qj3oz
@EstherWausi-qj3oz 2 месяца назад
Amen
@EmmanuelMatela-kt7lh
@EmmanuelMatela-kt7lh 2 месяца назад
Polen sana watumishi wa Mungu mwenyez Mungu awatie nguvu sana
@modestamarakammbishi1127
@modestamarakammbishi1127 2 месяца назад
Poleni sana,kwa familia na wana zablon,,mungu amechukuwa kilicho cheke,,mungu wa mbinguni awafariji na kuwa tia nguvu
@MarthaMaghuta
@MarthaMaghuta 2 месяца назад
Polen sana mungu awatie nguvu familia, ndgu marafiki, na kanisa kwa ujumla mbele Yake nyuma yetu mungu pekee aijua sababu.
@EsterMsafiri-t8u
@EsterMsafiri-t8u 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu poleni sana Zabron singers tunaumia pamoja na nyinyi
@helladeogratias7630
@helladeogratias7630 2 месяца назад
Ni msiba wa Taifa huu
@MashakaMagesa
@MashakaMagesa 2 месяца назад
Msiba wa Taifa ni ule akifa kiongozi wa Kitaifa ndiyo maana hata bendera waga zinapepea nusu mlingoti.
@imranbasy4022
@imranbasy4022 2 месяца назад
​@@MashakaMagesafikiria kwa upana alichomaanisha kwa kusema msiba wa taifa.
@bethmainagakunga4017
@bethmainagakunga4017 2 месяца назад
Mungu awafariji mioyo yenu Marco ameiaga dunia sissi tumebaki tusonge mbele na kutumainia MUNGU asubuhi njrma inakuja wafu wafufuke waliolala ndani ya YESU..poleni sana
@EuniceBukhala
@EuniceBukhala 19 дней назад
Wow, niece one, creativity,hata mimi nimeumia
@derickmedson540
@derickmedson540 2 месяца назад
Poleni sana alafu pia mnajua sanaaa❤❤❤❤❤ mungu awaweke Kwa huduma yake
@ombendaud5938
@ombendaud5938 2 месяца назад
Inauma sana Mungu tusaidie sana
@WashingtonWanjala
@WashingtonWanjala 2 месяца назад
Kenya tuko pamoja nanyi pole sana
@emilysang2759
@emilysang2759 2 месяца назад
I used to play their,mkono wa Bwana daily in my work place computer daily from 9 am to 8pm Monday to Saturday,but from Friday nimeshindwa am in deep pain,imeniumiza Sana.Pole Sana our neighbors Tanzania.
@puritymuiruri3353
@puritymuiruri3353 2 месяца назад
Pokeeni pole zetu kutoka kenya ,maumivu makali kweli mungu awape nguvu zabron singers na familia ya Marco
@jacklineemanuel4755
@jacklineemanuel4755 2 месяца назад
Ikiwa machozi yanaweza kumuamsha kaka Marko hakika angeamka ni wapi pumzi ya uhai inauzwa niwapi pumzi ya uhai inauzwa hakika wangenunua kaka aamke ....ASANTE MUNGU TUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU😢😢😢
@CynthiaKarungu
@CynthiaKarungu 2 месяца назад
Poleni sana
@IsakaPaul
@IsakaPaul 2 месяца назад
Pole sana mungu azidi kuwaongoza
@SuzanLyatuu
@SuzanLyatuu 2 месяца назад
Mungu hufanya njia pasipo na njia hata hili mtalishinda poleni sanaa
@GloriaVaati-ls9ql
@GloriaVaati-ls9ql 2 месяца назад
😢😭😭😭angekuwa hapa tungeskia sauti yake tamu aki mbona kaenda jamani Mungu mbona
@fideacynthia2690
@fideacynthia2690 Месяц назад
❤❤❤❤❤ nakuomba 4:22
@Bee-iq2wm
@Bee-iq2wm 2 месяца назад
From Kenya, So painful. May God give fortitude to Zabron Singers and the entire family. @ Japheth and Victoria na wengine, mungu awafariji wakati huu mgumu. Mjane wa Marco pole sana. Siku moja tutakutana nae na tujumuike pamoja kwenye kiti cha enzi. Poleni
@GodfreyJohn-kf8qn
@GodfreyJohn-kf8qn 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu watumishi wa Mungu katika kipindi hiki kigumu
@eunicemutiso5788
@eunicemutiso5788 Месяц назад
av watched this hundred times in disbelief! poleni Wana zablon tumo safarini sisi wote
@EvaYohana-f8o
@EvaYohana-f8o 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu family ya zbron kazi yake mungu haina makosa tumuombee ndugu yetu marco apumzike kwa aman tutaonana mbinguni kwa baba marco amna
@edinanyaonge
@edinanyaonge 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu. Japo yanazushwa mengi ila daima Mungu ni mwema
@FaithJoel-yz7ho
@FaithJoel-yz7ho 2 месяца назад
Poleni sana watumishi wa mungu.acha Mungu hamlaze mahali alipojichangulia Marco na Mungu hawafariji na hawatie nguvu
@fridaymganga4327
@fridaymganga4327 2 месяца назад
Nimejikuta nalia sana! Huu wimbo unaumiza sana! Kuliko unavyodhan. Nimemkumbuka kaka simon! Kwann Mungu alituhudu aondoke
@KasanaKikuli
@KasanaKikuli Месяц назад
Hakika maisha yetu Mungu ndiye anayajua, wimbo huu umeniliza na kunikumbusha mbali sana 😭😭😭😭😭 Mwenyezi Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@Hellenah_Sufii
@Hellenah_Sufii 2 месяца назад
Hili linaumiza sana😭😭. Enda salama Michael ❤❤❤.
@AnacletEdward
@AnacletEdward 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu ktk kipindi hiki kigumu Wana wa Mungu, amen
@leonardwafula4791
@leonardwafula4791 2 месяца назад
Mungu mwenyezi ufuna mahali bake
@NeemaKimario-ui3ir
@NeemaKimario-ui3ir 2 месяца назад
Mungu mwenyezi awe faraja yenu
@VedianaNyamka
@VedianaNyamka 2 месяца назад
Poleni Sana MUNGU MWENYEZI awatie nguvu inauma Sana
@rachelcheyo-p5z
@rachelcheyo-p5z 2 месяца назад
Poleni sana mungu awatie nguvu
@nyaswieelias183
@nyaswieelias183 2 месяца назад
Poleni sana Zabron Singers. Mungu awafariji nyote pamoja na familia ya Marco
@WairimuJane-p2t
@WairimuJane-p2t 2 месяца назад
Have cried so much,may God comfort you zabron singers
@irenemuriithi2943
@irenemuriithi2943 2 месяца назад
Mungu mwenyezi awafariji 🇰🇪.
@IRENEBITATIe
@IRENEBITATIe Месяц назад
Mungu amlaze mahalo pema peponi, awatie nguvu familia yake waliobakia
@MamaMalcolm523
@MamaMalcolm523 2 месяца назад
Farijikeni katika Bwana.Mungu awatie nguvu
@elickbahingaye-fp1re
@elickbahingaye-fp1re 2 месяца назад
Nimelia sana Yan nmeliaaa Mungu nitie nguvu maana huyu kijan kaniumiza Sana kwanini majambazi na wahalifu wengine wanaishi Ila huyu kaondoka mapema sana😢😢😢😢😢 daaaahh
@CarolineAuma-o9x
@CarolineAuma-o9x 2 месяца назад
Poleni Sana. Mungu awatie nguvu. Wakati Huu wa. Uchungu,Caroline from kenya
@Sheba22468
@Sheba22468 2 месяца назад
Subscribe for me too dearest 🥰
@QueenRachel-l1g
@QueenRachel-l1g 2 месяца назад
Mungu awe faraja sana kwetu,ata sisi roho zetu zinauma saaana
@AgnessAgness-w6s
@AgnessAgness-w6s 2 месяца назад
Mungu awatie ngumvu katika Imani
@vacsmilechepkogei3255
@vacsmilechepkogei3255 2 месяца назад
Msy lord receive marco in eternal live
@EliceMbwilo-k6y
@EliceMbwilo-k6y 11 дней назад
Polen sana.Mungu awafariji
@abinelysemundi2073
@abinelysemundi2073 2 месяца назад
Pole sana kwa ndugu jamaa na marafiki wote.
@francismuli-c7s
@francismuli-c7s 2 месяца назад
Mungu wafariji na ailaze roho yake mahali peponi pole zangu kwa familia
@owenbilly1687
@owenbilly1687 2 месяца назад
Poleni sana tuko na nyinyi zablone sigers pole sana kutoja kenya
@shamsidaniel5582
@shamsidaniel5582 2 месяца назад
Pole kwa Familia Ndugu na Jamaa Mungu akawe Faraja
@gamgangweesechota3589
@gamgangweesechota3589 2 месяца назад
Poleni sana sana wapendwa, Mwenyezi Mungu ameona mnaliweza hili jaribu atawafunga moyo mkuu litapita,pumzika kwa amani Marco
@JanetMulle
@JanetMulle 2 месяца назад
Inauma sana,lakini si wote tuko safarini.mungu angekuwa anaulizwa swali,angeulizwa sana kwanza na watoto wangu wanapenda zabron singers
@Lianah-t2z
@Lianah-t2z 2 месяца назад
Mungu amlaze pema peponi
@juliuswerema3655
@juliuswerema3655 2 месяца назад
Poleni sana kwa kipindi hichi kingumu mungu awatieh nguvu
@naomkemuma2259
@naomkemuma2259 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu .kaa na imani kuwa there is a bright morning
@HappyMsofe-i6w
@HappyMsofe-i6w 2 месяца назад
Mungu afanyike faraja kubwa kwenu🙏🏾,poleni sn ndugu
@daisyo.m3981
@daisyo.m3981 2 месяца назад
Poleni sana wanzetu Watanzania...Toka hapa Kenya tumeguzika poleni poleni poleni
@JosphatKairu
@JosphatKairu Месяц назад
Poleni sana aki mungu amueke pahari pema
@TimothyMsuko
@TimothyMsuko 2 месяца назад
Mungu ndiye anajua ,Naomba awafariji poleni Mungu amlaze mahali pema
@PastorIsraelIGMTZ
@PastorIsraelIGMTZ 2 месяца назад
Poleni sana Mungu awe mfarijini wenu na awape amani yake.
@EdwardBundara
@EdwardBundara 2 месяца назад
Hakika kizuri hakidumu kama ambavyo wasemavyo wahenga wetu, hatuna namna ya kusema au kufanya ,zaidi ya kumrudishia utukufu wake Mungu,pumzika Kwa Amani kipenzi Cha wengi,aAmina
@ledwinajamesmasulube7884
@ledwinajamesmasulube7884 2 месяца назад
😭😭😭😭poleni sana Yani nimeumia sana kaka Marco Mungu akupokee🙏
@PetroChibago
@PetroChibago 2 месяца назад
Poleni sana najua mpo kwenye kipindi kigumu sana ila mungu yupamoja nanyi
@JosephCharles-lk3ne
@JosephCharles-lk3ne Месяц назад
Mungu awapiganieeerr😮😮
@MatayoMoleli
@MatayoMoleli 2 месяца назад
Mungu akupe pumziko lamilele mteule wa bwana
@ntirandekuraedmond8771
@ntirandekuraedmond8771 2 месяца назад
Pole sana ndugu zeto.May God confort you
@alicemuiruri-qn1kl
@alicemuiruri-qn1kl 2 месяца назад
Yauma kweli🇰🇪
@magangasau9060
@magangasau9060 2 месяца назад
Poleni zabron. Singers kwa msiba uliowakumba. Ni huzuni sana kumpoteza.marco kwa huo umri mdogo. Mungu awafute machozi nyote. RIP Marco
@FelistarMagige
@FelistarMagige 2 месяца назад
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki pumzika kwa amani ndugu yetu
@HajiratDamian-je9ms
@HajiratDamian-je9ms 2 месяца назад
Apumzike kwa amani Amina
@Magdalene-er2ur
@Magdalene-er2ur 2 месяца назад
Kweli ni huzuni sanaa na upweke ndani ya mioyo,kijana mdogo kuacha family ikiwa bado wanamhitaji.mungu ingilia Kati hili
@princecharles612
@princecharles612 2 месяца назад
Mungu awape nguvu na ujasiri yakuendeleza kazi yake
@Peres-q9n
@Peres-q9n 2 месяца назад
Poleni sana zabron singers, nimejikuta machozi yakitiririka.
@Tamarrind97
@Tamarrind97 2 месяца назад
😢😢😢😢😢 poleni poleni sana. Mungu Mwenyewe awafariji na kuwapanguza machozi. Lala salama kaka Marco 🙏🏽
@irenejepkemboi2806
@irenejepkemboi2806 2 месяца назад
Poleni sana majirani and God comfort you all.
@TheresSimewo-sw1tr
@TheresSimewo-sw1tr 2 месяца назад
Pore. Mwihangane Mungu amwakire
@simionmomposhi1728
@simionmomposhi1728 2 месяца назад
haki inauma sana pole sana japhet na victoria machozi yenu imenikuza rip marco na nyinyi wote wa zabron singers
@LouiseLove-up8fg
@LouiseLove-up8fg 2 месяца назад
Ties has fallen after listening to this song,rest in peace my dear brother...at first i thought that it was a joke 😢😢now I can see that it's true you have left us by b
@LeahCosmasNzoka-po3dr
@LeahCosmasNzoka-po3dr 2 месяца назад
Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu 🙏
@mercynasimiyu-ry8ct
@mercynasimiyu-ry8ct Месяц назад
Mungu anasababu ya kila jambo.jina lake liini
@wycliffmomanyi-p1i
@wycliffmomanyi-p1i Месяц назад
Pole zabrons momanyi kenya
@JonesMwita-lb3wm
@JonesMwita-lb3wm 2 месяца назад
Pole yenu watumishi wa mungu Acha mungu awafute machozi rest in eternal peace Shujaa mark
@nsiamasawe4578
@nsiamasawe4578 2 месяца назад
Mungu azidi kuwapa nguvu na faraja ya kweli.
@ChristinaMagulu
@ChristinaMagulu 2 месяца назад
Mungu wa mbinguni,hawakumbuke kwa kipindi hichii kigumu,poleni sana,😢😢
@CHRISTINADEUS-gs6lg
@CHRISTINADEUS-gs6lg 2 месяца назад
Mungu awe mwamba imara kwenu
@lydiahkadenyi2115
@lydiahkadenyi2115 2 месяца назад
Poleni Sana team zabron and the entire family
@YasintaThomas-k9k
@YasintaThomas-k9k Месяц назад
Mungu atusaidie
@greenspan2011
@greenspan2011 2 месяца назад
Poleni wan Zabloni singers familia jamaa na marafiki, sisi kama your fans twaendelea kuwashikilia na maombi. Amani ya bwana na iwe nanyi mkimpumzisha. Mpendwa Marco
@LydiaKarioki
@LydiaKarioki 2 месяца назад
Inauma sana
@eliazabron5759
@eliazabron5759 2 месяца назад
Daaah inauma sana lkn mungu yupo pamoja nanyi
@elizakamau1652
@elizakamau1652 2 месяца назад
Mungu awepe amani,pia sisi Kenya tunaumia pia especially us your fun.
Далее
IMENIUMA SANA by Zabron Singers (Official Video)
5:05
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Просмотров 30 млн
Marco Joseph - Daktari (official video)4k
3:17
Просмотров 1,8 млн
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Просмотров 64 млн