Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.
ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi
Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili
Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki
Laahawl walaa quwwata illaa billaah! Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili. Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia. Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.
Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu
Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani. Allah tunusurishe na huo upotevu.
Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢
Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam
Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki
Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.
Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki
Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu
@@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.
TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN
Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.
Huyu angelikuwa huku Saudi Arabia bila shaka angelishachinjwa mapema sana, ila kwa Tanzania hatofanywa chochote na yeyote atakayejitokeza kumfanya chochote kwenye mwili wake atafungwa, Cha kufanya basi TUMSH'TAKIE KWA ALLAH.
50% ni kweli me nnavijana wenzangu na wanasomeshwa na shekhe lakini pakianza kuswalia swala wanaacha kusoma baada ya kwenda kuswali wanaenda maskani swala ikiisha wanarudi darsa kiukweli naumiaaga sana. Na 50% ni mazingira yanachangia chuoni tunafundishwa Tawhidi lakini mazingira tunayoyaishi hayaendani na Tawhidi hali ya kua Tawhidi inatakiwa ilindwe na serikali ya kiislam lakini mfumo si wa kiislam tuna mfumo wa kitwahuti ambayo akida yao tofauti na uislamu so suluhisho tutawaliwe na uislamu yote haya tunayoyaona hayatakuwepo
😅😅😊huyo hapo aliyekua siku zile eti anakwambia ulikimbia munakasha wa kitabu cha barzanji, akalia haswaa eti ameshinda kuhusu kupga pianos na maulidi, hahaha, na ndie anayesikilizwa na ma sufi ,Allaah jamani azidi kutuelekeza katika njia iliyo sahihi, na tuombe tusife hadi atakapo jua tumeobgoka vuzuri Aameen