Тёмный

JE KISHKI NDIO SULUHISHO KWENYE UKAFIRI WA HARMONIZE || MUHAMMAD BACHU || 19/4/2024 

Muhammad Nassor Bachu
Подписаться 62 тыс.
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Игры

Опубликовано:

 

18 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 248   
@GoodluckPaul-wf9gn
@GoodluckPaul-wf9gn Месяц назад
Sheikh Muhammad Bachu Mwenyezi MUNGU azidi kukupa umri mrefu wenye kheri na akujaalie mwisho mwema Inshaallah
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Месяц назад
Wanamuziki mnajisahau sana, kumbukeni Allah yupo na mwisho baada ya maisha haya utaenda kuyajibu yote unayofanya!
@KhalfanMassoud
@KhalfanMassoud 2 месяца назад
Maashallah, mwalimu wangu bachu, nakupenda kwa ajili ya allah.
@SirlemNasir
@SirlemNasir 2 месяца назад
Masha Allah.. umesema.kweli sheikh Muhammad Bachu.. tatizo kuu ni wapi mtoto wako unampeleka.kusoma.dini. wallahi kama ungelijua hata ule munakasha wa Barzanji, ungejua unaenda kufanya naye mjadala ni mpiga gita na vinanda..usingepoteza mdaa wako.
@user-of4gj2xb6j
@user-of4gj2xb6j Месяц назад
Shekh wangu Allah hakuifazi haku zidishie neema na baraka tele
@YusraynatAlly-mo7sq
@YusraynatAlly-mo7sq 2 месяца назад
ALLAH(SW) atuhifadhi na atulinde na atuepushe na kufuru,,,,,,,,,,,,,,,mda upoo jamnani tutubuniii hakika Allah (sw) ni mwenye kusamehe,,,,,,,Allah (SW) atujaalie tupate mwisho mwema tuingie katika pepo ya firdaus amiiiin ya rabbi
@husna34562
@husna34562 2 месяца назад
Amiin 😢
@YusraynatAlly-mo7sq
@YusraynatAlly-mo7sq 2 месяца назад
@@husna34562 amiiin habbt
@Sofia-rf6nd
@Sofia-rf6nd Месяц назад
Amiin
@RehemaMgaya-zy1ht
@RehemaMgaya-zy1ht Месяц назад
Insha'allah ❤
@ZuhuraKhamis-df7hw
@ZuhuraKhamis-df7hw 29 дней назад
amiin
@user-pt1nl5rl5q
@user-pt1nl5rl5q Месяц назад
MashaAllah Allah akulipe kher shekh Bachu
@adamaliali2206
@adamaliali2206 2 месяца назад
Allah akulinde Mohammad bachu
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 месяца назад
Muhammed bachu nafatilia sana mawaidha yako upo vizur si wote watokupenda ila wew bainisha haki Allah atakupenda hongera sana napenda mawaidha yako unazungumz vitu kwa dalili
@tz2014
@tz2014 2 месяца назад
Allah azidi kuwahifadhi masheikh wote wenye kusimama katika haki kufundisha dini kama alivyofanya mtume, maswahaba na wema waliotangulia amiin.
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 месяца назад
Hata sis tumetoka madrasa hizi za maulid na mambo mengi ila namshkuru Allah sw kwa kuijuwa haki pamoja na familia yangu namshkuru Mola kwakuniepusha na batwil na kuijuwa haki
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Месяц назад
Mtihani mkubwa sana huu
@OmarAlly-iz8ot
@OmarAlly-iz8ot 2 месяца назад
Laahawl walaa quwwata illaa billaah! Kwakweli wazazi tunapaswa kua makini na kuchukua hatua stahiki kwa watoto wetu kupitia tukio hili. Pia Shekh Muhammaa kwakweli tunamuomba Allaah Azza Wajalla akupe umri mrefu wenye faida kwako na kwa ummah pia. Kwakweli umeongea vitu vya maana sana maashaa Allaah, wabaaraka Allaahu fiik.
@HussainMaula-tz8dh
@HussainMaula-tz8dh 2 месяца назад
Shekhe muhamani bachu twakuombea kwa Allha akuhifazi shekhe wetu na akupe umri mrefu ili watu wazidi kuifahamu haki na kuikataa batili.
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 месяца назад
Amin
@AliSalim-dq4go
@AliSalim-dq4go 2 месяца назад
Wewe Diamond kwa maneno yako umeritadi ,piga shahada na ufanye na toba nasuha
@is-hakayussuf9981
@is-hakayussuf9981 2 месяца назад
Ameen
@kizitofarid9414
@kizitofarid9414 2 месяца назад
Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wangu na akuzidishie Elimu na ufaham zaidi na zaidi uzidi kuwafahamisha watu dini ipoje na sivyo wanavyofikiria Allah azidi kukufungulia ufaham wallah wataelewatu
@muhunzijunior5153
@muhunzijunior5153 2 месяца назад
Allah atunusur atuepushe na kufuru na atujaalie mwisho mwema in Shaa Allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
Aameen
@user-wk5ju8kd3u
@user-wk5ju8kd3u 25 дней назад
Allah akulinde Insh Allah uzidi kutuilimisha nakupenda kwa ajili ya Allah
@shaabansheehabdallah8770
@shaabansheehabdallah8770 2 месяца назад
MAA SHAA ALLAH BarrakkAllah fiik. Ujumbe umetulia kabisa
@amuribazira9350
@amuribazira9350 Месяц назад
Shukran masheikh zetu kusimamia HAKI. Ila tusiumize vichwa vyetu,huyo msanii anasifa ya kuwa mfuasi wa sheitani. Anapo kufturu ndio naingia kwenye Ibada ya kisheitwani. Allah tunusurishe na huo upotevu.
@niffonlinetz7214
@niffonlinetz7214 2 месяца назад
BACHU KAMA BACHU ALLAH AKULIPE KILA LENYE KHERI SHEKHE WETU
@nabiljumaothman5912
@nabiljumaothman5912 2 месяца назад
Mtihani wallai kijana Kaleft Group.. watu wanaomba mwisho mwema yeye Ndo anaharibu dakika za mwisho .. mungu amrejeshe kwenye akida .. maana wale wanaosema mungu ana mtoto mbingu zinatetemeka je kauli alotoa harmonize 😢
@OmanOma-xi3hm
@OmanOma-xi3hm Месяц назад
Kweli atubue asijibaba ishe
@HarunaKhamisi
@HarunaKhamisi 2 дня назад
Atakaefahamu atafahamu laa watu kama wapo kishabiki zaidi bac ila hao wsikuvunje nguvu fanya kazi allah atawajalia iposiku w atafahamu nn unamainisha
@halimamohamed4842
@halimamohamed4842 Месяц назад
Shukrn sanaa sheekh Allah akuhifadhi❤❤upo sahihi,,watching from kenya🇰🇪🇰🇪
@barakoibrahim2710
@barakoibrahim2710 2 месяца назад
Masha Allah Sheikh, nlikua natafuta mtu ka wewe wa kuwaambia Hawa watu was Lamu ukweli. Wallah kwa kweli nakushukuru kwa upande wangu ❤❤❤
@shilolemwakizenga4204
@shilolemwakizenga4204 2 месяца назад
Watu wa lamu kina harmonise 😂😂😂
@JahyAlnadhir
@JahyAlnadhir 2 месяца назад
Mungu akubadilishe pua ya tumbiri
@FreePalestineoneummah
@FreePalestineoneummah Месяц назад
Kukufuru kukubwa uliodhahiri, Subhanallah,hyo ni bangi
@MohamedMeja
@MohamedMeja 3 дня назад
Amefanyaa makosa makubwa mungu ampea mazingatio atubiea AMEEN YA RABII
@allysalimu338
@allysalimu338 Месяц назад
Allaah akuhifadhiii! Shekh bachu❤
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 месяца назад
Nikweli Sheikh wng lkn wkt mwngn tusiwalaumu tu Wazazi Kuna Familia Wazazi wao hufanya Bidii ya kila namna lkn mwsh wa sku mtt akakosa Elimu au akabadilika ukubwan Na kuna watt wengn hata hai Wazazi hawawajui-mfano mtt analelew na Mzazi 1 tu na mwsh wa sku mtt akawa mweye juhud ktk Dini....Wallahu Aa'alam
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 месяца назад
Muhammed bachu unafiks ujumbe sana Allah akuhifadh ila kuns watu wanakukejeli ila siku zote ukizungumza ukwel utachukiwa madui watakuwa wengi ilw Allah sw atawaongo endelea kutubainishia haki
@safiaMsellem
@safiaMsellem 16 дней назад
Mashallah shekh
@slimdaszwagaza2202
@slimdaszwagaza2202 2 месяца назад
Watching from ethiopia kenya border mashAllah sheikh mungu akujazie kheir na akuongoze kwa njia kamili ya Tawhid
@user-qd6iy9gt5l
@user-qd6iy9gt5l 2 месяца назад
Sheikh huyo msaa nii jashakiri kama amemkosea Allah
@user-kb7bk3sq6v
@user-kb7bk3sq6v 2 месяца назад
Allah umuongoze kijana wetu
@user-zr7on8ys1l
@user-zr7on8ys1l 2 месяца назад
Alhaa Akubariki na Akuepush fitin za duniya
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад
Naukiangalia. Wanamuziki wote wametokea madrasa za madufu. Mtiihani. Allah atuongoze hawamashehe ubwabwa mtuhani.madufuni muzikitu .. zambi zilezile
@mzalendohasa
@mzalendohasa Месяц назад
Kwa hiyo na wanaziki wanao imba nyimbo zinazo itwa nashidi wametoka kwenye madrasa za dufu tuache chuki zisizo za maana ndugu
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Месяц назад
​@@mzalendohasahuo ukweli wala hakuna mjadala
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl Месяц назад
@@mzalendohasa kwani anashidi ni halali zone ni bidaa sugu hizo hazitakiwi ni walewaletu
@cityhuntermkali2468
@cityhuntermkali2468 Месяц назад
Muhammad bachu Allah akupe uhai mrefu tuendelee kunufaika na madini yako
@omarmwabege
@omarmwabege 2 месяца назад
Maa shaa Allah,أحبك في الله يا أخي
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 2 месяца назад
Subbhanna Allah, mola amuongoze kijana huyo , arudi kuwa muislam safi , Hakika kakosea sana
@youngtomuller-vh2pu
@youngtomuller-vh2pu 29 дней назад
Allah ti abençoe irmao insha-Allah 🙏
@user-pt4qj4qh3r
@user-pt4qj4qh3r Месяц назад
Ndo mana Allah kasema tusimfikirie san yupoje tutamkufuru ndo hivy sasa
@KomboHussein
@KomboHussein Месяц назад
Allah akuhifadhi shekh Mohammad Bachu,
@ibrahimjumaa538
@ibrahimjumaa538 2 месяца назад
Muombeeni Duah!!❤
@leilakhamis983
@leilakhamis983 2 месяца назад
Muhammad bachu Allah akuhifaz aamin
@HamisMtonnya
@HamisMtonnya 26 дней назад
Maneno ya kweli kabisa ,mashaallah
@abdulmwakubambanya9091
@abdulmwakubambanya9091 2 месяца назад
Barakh Allah Kher sheikh
@user-nk4px3bt1m
@user-nk4px3bt1m 2 месяца назад
Shekha Allah akulipe nimekuelewa
@user-nc5ug2pj3j
@user-nc5ug2pj3j 2 месяца назад
Asc ,,,Maa,SHaa,Allah,,Allahuma,Ahfith,,kullu Sheikh,,Allmusliiin☝️👍
@ArunaDjumapili
@ArunaDjumapili Месяц назад
Mwenyezi Mungu asamehe na amuongoze
@user-nk3dp9cv9c
@user-nk3dp9cv9c 2 месяца назад
Alhamdulillah, umetufunza na nimepata kitu kupitia video yako hii, Alhamdulillah
@sarahabdullatif8556
@sarahabdullatif8556 2 месяца назад
Mungu hapiganiwi kwa Yesu Raha anajuwa sio mungu wa kweli ndio mana anafanya hivyo hebu hayo naayafanye kwa Yesu
@mohamedlali4229
@mohamedlali4229 2 месяца назад
1 Samweli. 15: 2-3 soma humo utaona kama Mungu wako anataka apiganiwe au vipi
@jumasalum2677
@jumasalum2677 2 месяца назад
Masha Allah
@YahyaYahya-vp2pp
@YahyaYahya-vp2pp 2 месяца назад
Muhammad bachu ❤❤❤
@AshrafBunu
@AshrafBunu 2 месяца назад
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@bakarihote
@bakarihote 2 месяца назад
Allah amlinde shekhe bachu 6:32
@SeaPower-pu1mq
@SeaPower-pu1mq 2 месяца назад
Upo Sahihi shekh langu
@babatidaawa6550
@babatidaawa6550 2 месяца назад
Shukran Sheikh wangu
@allysalimu338
@allysalimu338 Месяц назад
Kwahaki ulionayonna unayo wapa watu sikilq mmoja atakupenda wako wenye husdaa ilaa toa haq sheikh wangu mpka itapokufika yakin😢
@kheirjuma931
@kheirjuma931 Месяц назад
Uko vyema sheh masha allah
@abdulkadirhaji3947
@abdulkadirhaji3947 2 месяца назад
Shk Mohamed bachu uko miskiti gani nataka kuja kusikiliza kudba zako wallahi kwajili ya allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
Hua yuko Migadini sana sana,
@tztanzania2262
@tztanzania2262 2 месяца назад
​@@habibasalim3092upo Kenya?
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
@@tztanzania2262 yes
@abuubakaramer7782
@abuubakaramer7782 2 месяца назад
kwani zanzibar hayupo tena au
@musakibindo6345
@musakibindo6345 2 месяца назад
Mmojawapo ya watu ambao haifai kuchukuliwa dini kwao ni wewe. Maana unatumia nguvu nyingi, siasa nyingi na propaganda tele kuwanasa, na kuwavuta watu upande wako. Hivi siku zote hamjawahi kuuona dharura ya kuwazungumzia wanamziki ambao ni waislamu waache kuimba mziki wa kishaitwan. Nyinyi Mashekhe mchongo bin propaganda Allah anawaona. Yaani siku zote Harmonize alikuwa mwema mpaka hivi majuzi ndio akaanza kufru hapo mbeleni hakuwa na kufru yoyote? Mungu anawaona.
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
Walahawla walaquwwata illa-billaah, inakuwaje wazungu sasa hivi wanaukumbatia uislamu wakiwemo ma priests, khasara hii ya harmonize
@user-ny3dw4xs1z
@user-ny3dw4xs1z 2 месяца назад
Shekh nauwakika wengi wanachukia mawaidha yako2 lakin wengi wanapenda mawaidha yako ila mungu akipende zaid akulipe janna insha Allah
@anthonykariuki2438
@anthonykariuki2438 Месяц назад
Ali iga hayo maneno kutoka kwa mwanamuziki mwenye asili ya kimarekani anayejulikana kama Shaggy katika ule wimbo wake strength of a woman.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Месяц назад
Kitu cha kwanza ninachompendea bachu simnafiki na haogopi kuchukiwa kwa ajili ya allahh
@SalehKhatib-ey6ct
@SalehKhatib-ey6ct 2 месяца назад
Bachu endelea kusambaza dawa sisi tunakupenda kwa ajili ya Allah endelea kuwanyoshaa na waepukane na batili waje kwenye haki inshaallah Allah atawajalia kuijuwa haki
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 2 месяца назад
Mm ningefurah ungemwita ukammkanya 🤝
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 2 месяца назад
Alaaaa dj said bwana
@user-pd2fk6kt5i
@user-pd2fk6kt5i 2 месяца назад
Bangi ni mbaya kwakweli 😢😢😢 Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake sababu huyu ni msiba mkumbwa sana kufuru kama hiii Daah
@UlamaaWaUlamaa
@UlamaaWaUlamaa 2 месяца назад
Mashallah huyu namfuatilia yeye na baba yake Shekh Nassoro Bachu
@MteleShadia-lc6gi
@MteleShadia-lc6gi 2 месяца назад
Mashallah mashallah,,shekh,,,pia nurudin kishik Allah amlipe,,kwaa Kaz nzr yake,, anayoyafanya kwenye din hi Allah amlipe,,popote alpo
@yusufathman2478
@yusufathman2478 2 месяца назад
Aaaamin.. Nampenda sheikh kishki kwa ajili ya Allah
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
Aamiin
@amrikimbede
@amrikimbede 2 месяца назад
Na mimi pia nampenda Sheikh Nurdin Kishki kwa ajili ya ALLAH
@user-zg6hx6xi3x
@user-zg6hx6xi3x 2 месяца назад
Mashallah , mawaidha mazuri
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад
Masufi wapiga madufu mtihani. Allah atuongoze atujaalie mwishomwema atuepushe na shilki
@MWAMBAZanzibar
@MWAMBAZanzibar 2 месяца назад
Wao ndio wanao sema hivyo ?
@user-mw8cv2pq2k
@user-mw8cv2pq2k 2 месяца назад
Tatizo vijana kashfa nyingi kwa walimu wa mwanzo fanyeni subra kwani Wew unapata fursa ya kumjua bachu kuna wengine ata kanzu hawaijui acheni zalau kwa ndugu zenu
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 2 месяца назад
@@user-mw8cv2pq2k kwani kanxu ndiyo kujia Dini. aundiyo. Kufata haki kanxu mavazitu
@ali_ford
@ali_ford 2 месяца назад
Mungu=miungu shirki Mwenyezimungu sahihi
@hajiamiri1658
@hajiamiri1658 2 месяца назад
Jazaakhallah kher
@adamaliali2206
@adamaliali2206 2 месяца назад
Allah akulinde
@Saidally-ih6jd
@Saidally-ih6jd Месяц назад
Allah amuongoze
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 месяца назад
Wanamiziki wa east Africa wanaodai kuwa ni waislamu wote ni wanafunzi wa masufi, masufi hufundishwa uimbaji kuanzia madrasa.
@Khalid-mf3iu
@Khalid-mf3iu 2 месяца назад
Ndio maana wengi masufi hupenda migoma
@mbarakomarmbarak5863
@mbarakomarmbarak5863 2 месяца назад
bachu alishindwa kwa elimu si kwa Gita
@jamilashabani8580
@jamilashabani8580 2 месяца назад
Acha zako Sikiliza yalio hapa uyafuate acha kusema watu bila ⁷bu et masufi kule madrsa hawafundishwi mzik bali kumsifu Allah na Mtume wake
@faisalmohamed727
@faisalmohamed727 2 месяца назад
@@jamilashabani8580 Ulionapi mtu wa sunnah muwaitao (mawahabi) kiwa mwanamziki au mpiga ramli mganga? Hao hupatikana kwa masufi tuu, waganga wapiga ramli waimbaji na wanaoabudu masharifu na makaburi yao.
@issambamba9236
@issambamba9236 2 месяца назад
Kiukweli hakuna mwenye kumjua Allah kiuhakika ya dhati yake,kikubwatu tuamini uwepo wa Mungu muumbaji wetu.
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Месяц назад
Yarabi tunaomba utuongoze
@user-zg6hx6xi3x
@user-zg6hx6xi3x 2 месяца назад
Subhanallah! Hawo wenye wako kwenye makaburi na dufu ni wapi? Msiba
@mzeemzee7503
@mzeemzee7503 29 дней назад
TAFADHALINI MASHEKHE NAWAOMBA MUNATOKA KATIKA MALENGO YA DINI WAKATI TULIONAO SASA NIKUWAOKOWA UMMAH NA MOTO WA ALLAH AWE MUHUNI MCHAWI MZINZI MALAYA NAWENGINEO ZAMA ZILISEMWA ELIMU WASOMI KUTAKA UMARUFU NA SIFA SIO KULINGANIYA WATU WAIPENDE NAKUINGIA KWA DINI SHETANI AMEWAZIDI NGUVU DIAMOND KONDE BOY NA ALI KIBA SABABU YA MAISHA NA ANASA MASHEKHE HAMTUMII HEKMA YA QURAN NA HADITH ALLAH AWAPE TAWFIQ WARUDI KWA MUONGOZO KUMBUKA WANAMUZIKI WANAFILM WACHEZA MIPIRA WANATUMIYA KUANGAMIZA JAMII NA MWISHO WAKICHOKA WANAULIWA MFANO MINGI BOB MARLEY WHITENY HOUSTON CELINE DEON NAWENGI MAMBO YAKO WAZI SHUKRAN
@SwahibAjamy
@SwahibAjamy 2 месяца назад
Jivute kwa Allah upate radhi za Allah
@user-iv3ou4qg4d
@user-iv3ou4qg4d 2 месяца назад
Ni kosa mpiga gita kumwita sheikh.
@mwaminianasi9919
@mwaminianasi9919 2 месяца назад
Allah akuhifadhi , akupe Umri mrefu wenye kheiri na Barka 🤲
@AbdalahAlly-nc8xs
@AbdalahAlly-nc8xs Месяц назад
Kijana wape hao alllaah anapenda watu kama hao
@user-rz2ek3qw3h
@user-rz2ek3qw3h Месяц назад
Kwa maana hii basi ata kwenda hija maka pia ni upuuzi katika uislamu, kwa sababu wanokwenda kule ni kwenda kudhulu kaburi pale maka. Ndugu Zangu waislam tutafute ukweli sisi wenyewe tusipelekwe kama bendera inavyopelekwa na upepo.
@amiripolwe985
@amiripolwe985 2 месяца назад
Huyu angelikuwa huku Saudi Arabia bila shaka angelishachinjwa mapema sana, ila kwa Tanzania hatofanywa chochote na yeyote atakayejitokeza kumfanya chochote kwenye mwili wake atafungwa, Cha kufanya basi TUMSH'TAKIE KWA ALLAH.
@kassimsalim6160
@kassimsalim6160 2 месяца назад
سبحان الله الله أكبر 😭😭😭😭💔💔💔 الله المستعان والله العظيم 🤲😭💔
@MchinaMchinaboy
@MchinaMchinaboy 2 месяца назад
Awa jamaa wamekaa kama makondo akili hawana kabisa yani wanaenda kuabudu makaburi ushirikina mtu wallahi mungu awaongoze inshallah
@idrismaalim2254
@idrismaalim2254 2 месяца назад
Sasa Mpiga gitaa alikunyamazisha ukiletewa maUstadh si utahara.?
@abuuaidh6500
@abuuaidh6500 2 месяца назад
Inafaa kupiga dufu ,Asiliyao hao wanamiziki wote ni kutoka Madrasa za gitaa na kasida ndugu yake taarabu.
@bashishimrisa
@bashishimrisa 2 месяца назад
man was created from the dust and in the dust you will return
@HappyClogShoes-hp9ho
@HappyClogShoes-hp9ho 2 месяца назад
Subhanaalah
@latayclassic1524
@latayclassic1524 2 месяца назад
Kumbe vita inaendeleeaa bachu usizunguke nenda moja kwa mojaa kwa shekhe said
@Abuusaad-uy5cx
@Abuusaad-uy5cx 2 месяца назад
MM BINAFSI HAKUNA HATA SHUBHA INAYONIBABAISHA HAPO... KASOME KIJANA UJUHA UWACHE
@razoindeed8228
@razoindeed8228 2 месяца назад
Hatar kw kwel jaman tusomen dini yetu ili tujue uharam wa vitu vinavonasibishwa na dini ya kiislam ili tuvikemee na kuviepuka
@omarsirleem7105
@omarsirleem7105 2 месяца назад
MashaAllah
@AthumaniSwarehe-tj8sf
@AthumaniSwarehe-tj8sf Месяц назад
Yaarabi tupe mwisho mwema
@user-nv7jg6xc8l
@user-nv7jg6xc8l 2 месяца назад
50% ni kweli me nnavijana wenzangu na wanasomeshwa na shekhe lakini pakianza kuswalia swala wanaacha kusoma baada ya kwenda kuswali wanaenda maskani swala ikiisha wanarudi darsa kiukweli naumiaaga sana. Na 50% ni mazingira yanachangia chuoni tunafundishwa Tawhidi lakini mazingira tunayoyaishi hayaendani na Tawhidi hali ya kua Tawhidi inatakiwa ilindwe na serikali ya kiislam lakini mfumo si wa kiislam tuna mfumo wa kitwahuti ambayo akida yao tofauti na uislamu so suluhisho tutawaliwe na uislamu yote haya tunayoyaona hayatakuwepo
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
@sanoureyaliwadoakaroyo1696 2 месяца назад
ALLahu Akbaru
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 2 месяца назад
Kwa wenyw akili watafahamu hongera😊
@habibasalim3092
@habibasalim3092 2 месяца назад
😅😅😊huyo hapo aliyekua siku zile eti anakwambia ulikimbia munakasha wa kitabu cha barzanji, akalia haswaa eti ameshinda kuhusu kupga pianos na maulidi, hahaha, na ndie anayesikilizwa na ma sufi ,Allaah jamani azidi kutuelekeza katika njia iliyo sahihi, na tuombe tusife hadi atakapo jua tumeobgoka vuzuri Aameen
Далее