Ivii jmniiiiiiiiii ktk dunia hii yapo yale mapenz mwanamume hana kitu mwanamke pia hana kitu wakaamua kuanza pa1 maisha na kuvumiliana ktk maisha yote na mapenz yakawepo kabisaaaaa🤔🤔 au ndio yale kuvumiliana mwanaume akipata kitu anaanza kula Bata na wa type yake😂😂😂🤔
Tatizo sio Kuwa mwanaume Hana Kitu Bali Je mwanaume Anashughuli ya Kufanya ambayo inamuingizia kipato ambacho kinamfanya ajitegemee? Hiyo ndio point kubwa Sana coz Kwanza Mwanaume Lazima awe na uwezo Wa kujihudumia Mwenyewe ndio Maana ulienda hata ukweni au jamii Lazima ikuulize unafany shughuli Gani inayokupa mkate wa Kila Siku?? Sasa kuhusu Mafanikio au ukubwa wa kipato itategemean na maono ya Mwanaume so ni Muhimu Sana Mwanamke Kuwa na Mwanaume Anaejua anaelekea wapi Kwa Vitendo sio Kwa Maneno
@@user-ki9wu6no3d ni kwel ila hata hua hawatabiriki viumbe Hawa maana anaweza kuwa anajuhud ya kufanya Kaz na akaka na mwanamke 1 ila akijiona anaanza kupata zaid ya mwanzo bas vijidharau vinaanza Yan wanaume ni haraka kubadilika kuliko wanawake
naongea kitoto saana maana hapa mmeongelea wtu kwenye kipato kikuubwa Sasa sijui napiga story zenu kwanini hamuongelei jamii yenyewe inayo wasikiliza maana ninaamini wanaowasikiliza ni wakipato cha chini Sasa muwe mna balance basi😊
mapenz na pesa ni uncomparable...unaweza kuwa na pesa na ukam honga mwanamke na bado ucmpende, na unaweza ukawa huna pesa ukashindwa kumhonga mwanamke kwa kiwango anacho kihitaj ukampoteza ila ukawa unampendaa san,wanawake na pesa ndio mnafanya mwanaume ateseke kupata pesa ili mioyo ipate ganzi tuwanyooshe kipindi tuna pesa an