Тёмный

Je Sauti ya Tumboni inakuchanganya jifunze kitu hapa,, 

IMBA TOKA MOYONI
Подписаться 22 тыс.
Просмотров 52 тыс.
50% 1

Jinsi ya kutambua kama unaimba tumboni au la

Развлечения

Опубликовано:

 

10 сен 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 56   
@user-zl2bt1lm4h
@user-zl2bt1lm4h 7 месяцев назад
Wish kusikiza mafunzo haya Kila siku.Mungu akubariki
@josepherick1570
@josepherick1570 5 лет назад
asante sana kaka unatusaidia sana ubarkiwe
@cecybby507
@cecybby507 3 года назад
Nimependa somo lako jmn hadi nataman ungekuwa hapa krb uwe mwalimu wangu jmn👏👏👏
@BONGO_FILAMU
@BONGO_FILAMU 4 года назад
Leo umetisha kuliko siku zote ...keep it up ...somo limeeleweka
@melesianageorge2012
@melesianageorge2012 3 года назад
Barikiwa,
@oldboy3760
@oldboy3760 4 года назад
nakubali sna brother
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
Sana mzazi Jiachie,,kwa raha zako
@oldboy3760
@oldboy3760 4 года назад
pamoja brother
@stellahsanga8214
@stellahsanga8214 4 года назад
Napenda kuimba san nitakutafuta nikutumie baadhi ya nyimbo ambazo naimba nikiwa chumbn au ninapopat hisia flan ya kuimba napenda san
@queensharifu3910
@queensharifu3910 3 года назад
Nimeipenda san hiii jamn je nikitak kunat n bit nifany vip
@swammylove62
@swammylove62 3 года назад
Napenda kuimba
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
Karibu tujifunze chukua +255742438384
@fanny7565
@fanny7565 4 года назад
Nakubali kaka we noma
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
Pamoja Sana karibu pia
@harmoniky4000
@harmoniky4000 4 года назад
Hili suala limenichanganya sana. Kuna jamaa alisema sauti ya tumboni inawezeshwa kwa kudhibiti misuli ile ambayo unaitumia wakati wa kutoa haja kubwa. Halafu akasema pointi ya msingi ni kufanya tumbo la chini(abdomen) kuwa taiti. Kwa sasa angalau naanza kuelewa. Ingawa kuhusu kutumia nguvu nyingi(constipated) au nguvu kidogo(vegan) inategemeana na mahali ulipo ikiwa ni studio, show ya ukumbini au uwanja wa mpira.
@youngbknzund2242
@youngbknzund2242 4 года назад
Noma Sanaa kaka nimependa mafunzo hayaa
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
Karibu san
@joycekaniki3519
@joycekaniki3519 3 года назад
Nafaidika Mungu akubariki
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
Niaje
@tizzymusicfranciss2736
@tizzymusicfranciss2736 Год назад
Mnapatikana wap viongoz
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 Год назад
+255712061252
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 4 года назад
Napenda kuimba na dream yang asant najifunza kwako ili kufkia malengo yangu.. vile tuu siko Tanzania ningeomba nipate darasa refu kutko kwako
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
+255712061252 nitafute wassap tuchati
@mycmeranyswai7957
@mycmeranyswai7957 4 года назад
@@imbatokamoyoni2209 asant
@edinaisaya6229
@edinaisaya6229 3 года назад
🥰🥰
@travixclay8990
@travixclay8990 4 года назад
Saw
@hastatz
@hastatz 4 года назад
Unapatikana wapi
@helenamsese8339
@helenamsese8339 4 года назад
Asante sana, napenda sana kuimba ila sauti yangu inakwaruza sana
@lukamolell3906
@lukamolell3906 3 года назад
Kaka vp mnapatikan wap
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
Tupo Tabata Bima Madukani
@neemalkiswaga6126
@neemalkiswaga6126 5 лет назад
Nice
@racheljacob4304
@racheljacob4304 4 года назад
Jamani mimi napenda kuimba vizuri lakini sauti yangu nindogo ila sasa nikiimba napata maumivu
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
+255712061252
@georgejohn7283
@georgejohn7283 4 года назад
Kaka kila nikikusikiliza lazima nipate kitu mungu aku baliki
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
Waambie na wengine pia kaka
@sharifuhassan3241
@sharifuhassan3241 5 лет назад
Nkbl San blood mista kiki
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 5 лет назад
Mapendo daima
@lizerlizz1166
@lizerlizz1166 3 года назад
Kaka naomba nisaidie kuimba sauti ya tumboni
@stellaenock3170
@stellaenock3170 4 года назад
Napenda sana kuimba naomba unitumie namba ya whtsap
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
+255712061252
@lulejohn82
@lulejohn82 3 года назад
nimependa maelekezo naeza kupata wapi kimfano
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
+255742438384
@nathanaelnahson5375
@nathanaelnahson5375 3 года назад
Nmekuelewa kaka lkn mi nmetokea kwenye kanisa aic shinyanga kwa sasa npo sngda npo katka kanisa la fpct nateseka kwel kuendana mawimbi ya sauti na kwaya ya huku wanaimba kisasa zaidi sjui unanisaidiaje kuhusu mawimbi ya saut
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
+255712061252
@froramsigwa6107
@froramsigwa6107 4 года назад
Kaka napenda ukifundisha ungekua songea mm nigekua mwanafunzi wa kwanza
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 4 года назад
+255712061252 njoo tuchati pia hutabaki Kama ulivyo
@mcmbega728
@mcmbega728 3 года назад
Bro samahan naomb namb yako
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
+255712061252
@naomikaaya4798
@naomikaaya4798 3 года назад
Naomba niunge WhatsApp no 0620313314
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 3 года назад
+255742438384 Sasa ivi nipo hewani nicheki
@mvungigaming
@mvungigaming 5 лет назад
Naomba contact yako broh. Plz
@imbatokamoyoni2209
@imbatokamoyoni2209 5 лет назад
+255712061252
Далее
GOODLUCK GOZBERT AFUNGUKA MENGI_TAZAMA MAHOJIANO HAYA
29:33
Je unahofia ukirekodi part 4.. JIFUNZE kitu hapa////
14:54
Hii ndio siri ya KUKUZA. SAUTI YAKO BILA KUUMIA KOO
6:56
Pumzi ya kuimbia Changamoto, jifunze kitu hapa ????
7:07
Zoezi la haraka kuandaa sauti
9:38
Просмотров 8 тыс.
Aina ya Vyakula  vinavyo haribu SAUTI 🎶
5:23
Просмотров 10 тыс.
Магия вне Хогвартса
0:11
Просмотров 11 млн