Vp bro?.me nimshabik wako pia nafuatilia saana vipindi vyako.et kula pili pili kunapelekea kuharibu sauti?.mbona wahindi wanasemekana ni mabingwa iyo kitu na sauti zao ni fireeee...pia maji ya baridi nayo vp?.mbona russia kuna barid saana lkn wanamzik wake wanasauti safiiii?
NI waz Kama unaimba huwezi,kuimba kwa urahisi ,,wasanii hawatumii hio kaka ,,pengine,,,ili kuondoa pilipili huenda wakawa wanakunywa maziwa ya Mgando,LAKINI Nina uhakika waimbaji si walaji wa hio kitu,,na kuhusu urusi ,sio kwamba wanakunywa maji baridi kaka,hili swala la utnzaji sauti suala la kidunia sio la mazingira Fulani tu ,,lipo kitaalamu zaidi