Umetufungua macho 😂wanawake wengi wanaishi bila kupendwa ,ila wanaishi kwa sababu wamewekeza nguvu zao katika kujenga nyumba na hao wanaume,na wengine umri umeenda wanaona bora wamalizie maisha yao hapo hapo,
Kumsahau sio lazima wala mateso, muhimu umejikumbuka mwenyewe. Cos kama now umejikumbuka na kuelewa unachostahiri basi haijalishi ata kama utamkumbuka cos ata ukimkumbuka bado utakumbuka hakuwa mtu sahihi so kumkumbuka kwako hakutaathiri kujikumbuka kwako.
Mimi wangu tulipokua tunaanza nilimkuta anasoma kwaio tukawa tunaongea mda wote lkn alipokuja kupata kz yani amebadilika kumtafta mpk nianze mm na nikianza kumtafta kujibu km nilimtafta asubui atanijibu mchana na nikimuuliza kwann anasema yuko bize sana na anachoka sana na kuna wakt namuona online anasema uwa azimi data na kuna wakt nikimlalamikia kuusu kubadilika kwake kuna mda mwengne ajibu au mda mwengn ananijibu kunambia yuko bize sana na niwe na subra kila kitu kitakua sawa
Jamani Asante sana kaka balikiwa mno mpenzi wangu kalibu dalili kadhaa yupo nazo na nimefurahi Kupata ufumbuzi wa maswali niliyokuwa nikijiuliza kuhusu yeye ni wakati wangu sasa wa kuzidisha upendo zaidi ili ifike lengo 🎉🎉🎉
Asante sana kaka yng ila mm nina swali je ikiwa kama mpnz wako anakupenda ndio tena sana lkn anashindwa kutokuongea na baadhi ya marafiki zako ambao washawai kukusema ww vby mbele yake japokuwa alikasilika lkn bado anaongea nao je huyo ni sahihi 😔
Mpenzi wangu mm simulewi yaani unatumia msg ajibu Kwa alaka adi YY atakapo jisikia kujibu ukimwambia anakwambia ww unawsisi gani mm nakupenda lakini mm Moyo wangu unauma sana 😢😢😢😢
Kaka mimi kuna mwanaume anaonyesha dalili za kunipenda lakini kila nikimwambia atafute muda tukae mahali tuongee anasema yuko bize lakini kulingana na kazi yake yuko bize nifanyeje ili awe karibu na mimi
Usifanye lolote acha muda uamue cos muda ni jambo mihimu sana katika mahusiano so heshimu muda, ukitaka kwenda nnje na muda utalazimisha na itakugalimu. So relax kama anakupenda atatafuta njia ya kukufikia
Hello assalaamu ghalaykum kaka mm nilifunga ndoa na mume wangu,ila ajawahi kunitambuliza kwao,,mm ni mkenya tulifunga ndoa lakini sijui ndugu yake at moyo.tulienda tz na yy ila tunayizi nyumba ya kunda,jee nifanye ajee@@mbekitv693
@@BalqeesSaif-s7b Afrika hatuwezi mapenzi ya mbali mpendwa nyie endeleeni na mahusiano achaneni na mambo ya mapenzi huo ni uongo tu, endeleeni na mahusiano muda ukifika wote mkamaliza mambo yenu mkaja kukutana mtaendelea na mapenzi
inategemea na sababu ya kukwambia haujamjua, cos sio kila kitu utajua kuhusu yeye lakini pia sio kila kitu hautojua kuhusu yeye, hivyo itategemea na nini kimetokea hadi anakwambia hivyo kisha link hiyo sababu na namna unavyomuelewa-
Wangu aliniowa aswa na watoto tumezaa watano mmoja mola akamchukua lkn mm apenda sana akiwa aribu yangu atakama atuna kitu lkn ujickia furaha sana lkn akapata kaz mjini kujakwake nyumbani ni baada ya miezi mitatu na ucku saa nne ndio yuaingia na pia atokaa atatoka akaruguruke mpaka saa sita ucku na aligajiri yuaondoka akidai kuwa anakazi zawatu naapo akija ata zawadi ama lada cm kamauma kaunayo bc akuna zawadi na ukijarbu kumwambia Ana sema vtu vyenu viko gali sio kama zetu kila cku nguo zetu ziko gali na ukikaa nae anasema nikipata mke mm naowa mke wapili sasa unashindwa mm moja zikogali je tukiwa wawili na watoto wakike pia itakuaje na mm cke wakukaa tu la napenda sana kufanya biashara ndogo ndogo lkn badae ananifelisha koz nikifanya biashara bc pesa ya matumizi autoiona tena itskua kila kitu tumia izo mpaka atoendelea tena ushauri wangu akipate pesa autaki ukifate wake atuendelei kila cku chanza upya nimeomba talaka nimechoka nikimwambia kuhusu talaka animbia umeshapata mwengine na pia umenichoka umasikini wangu nanikianga lia mm nimempenda koz ni masikini pakulala pia Ana nashidwa cjui ni mwanaume ainagani mpaka nikaamua kuondoka nikaenda saudi kutafuta nikamuacha ajifunze vizuri mm ni nani nanina umuimu gani nilipofika saudi nikamtumia makosa yote na nika mwambia ctokuamini tena pesa zangu cmpi tena cm yake ikaaribika ckumnunulia mpka akaniambi nisamehe nilikuchiti lkn kilicho nikuta ata ctakitena najipanga sasa namaisha yangu na bado niko saudi yy alisharudi kijijini tuliko kua tuna kaa sasa sijui ni vp ebu ni fumbulie uyu mwanaume niwaaina ngani pz naomba jibu
Yani mimi ndio niko ivyo kwa mwanaume wangu mimi ndio napenda mpka natamani nipate dawa ya kupunguza atukai pamoja naweza kuonana nae leo tukakaa masaa ata 7 kesho yake tu jamani nakua nimmiss kama tunamwaka mzima atujaonana 😢
Kaka mm na kijan kwenye mahusian lakin yupo mbali ila hanataka kua haribu lakin hajali ukimuomba kitu hawez nisaidia kam nipesa anasema sina. Ila ananiqmbia ananipenda saaaan naomba nishaury kaka
Watanzania wengi hatuwezi mapenzi ya mbali so hivyo ndivyo yatakavyokuwa, so ni juu yako sasa if utapendezwa na namna hiyo basi Sawa but usitegemee tofauti na hivyo
Mm katikahayoyote amewahitu kunitiamoyo kwamba ntafanikiwa lakini hayomengineyote cjafanyiwa na kwakweli nampendasana sijui hanipendi yani hana stori cmtuwakuongea
Kaka mm mpenz wang anasema ananipenda na mm nampenda lkn kila napo jarib kumjulia hali anajifanya kuwa bize yan anakuwa bize na kaz zake mara ajal kuhusu ww nitafanyj
dah pole sana, nadhani sasa hapo umeshaelewa wewe nani kwake [chombo cha starehe] hivyo akiwa nashida ya kukutumia lazima akutafuta ila shida zake zikiisha hana sababu ya kukutafuta. so maamuzi ni yako uendelee kutumika au ukatae-
Kaka mm naomba nsaidie mpenz wangu kanitambulisha kwao lakn hanisaidii kabsaa ata nimwambie nashda nimzito hapo napata mtihani kimtambua ni mtu wa aina gan huyu
Kaka me nishauri kitu nna mpenz wangu atanipigia sm tutachat ataitaji kampani kula na kunywa tutukutana tupige atori ila ikitokea namisis kuwa nae faragha anakua hana mda na hicho kitu ata tukikaa miezi mi2 ye anaona sawa tu kwanini