Тёмный

Je, Unataka kujua kama Mwanaume wako anakupenda? Tazama hii video. 

Mbeki TV
Подписаться 14 тыс.
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Usisahau Kusubscribe | Like | Comment | Share |
Maoni na Ushauri nicheki WhatsApp Karibu sana🤝.

Опубликовано:

 

17 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 211   
@LightnessMnyanga-uj4yx
@LightnessMnyanga-uj4yx 2 месяца назад
Ananijali zaidi mimi, kwakwwli yote uliyosema ananifanyia asante Mungu, naomba Mungu azidishe upendo wetu
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@LightnessMnyanga-uj4yx amina🙏😊
@ShubiraCostac
@ShubiraCostac 5 месяцев назад
Umetufungua macho 😂wanawake wengi wanaishi bila kupendwa ,ila wanaishi kwa sababu wamewekeza nguvu zao katika kujenga nyumba na hao wanaume,na wengine umri umeenda wanaona bora wamalizie maisha yao hapo hapo,
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Hakika
@Tatufadhili-ud6se
@Tatufadhili-ud6se 3 месяца назад
Mashallah somo zur nashukur nipo maali sahihi mungu akuongoze uzid kutufunza mengi
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Amina mpendwa😊🙏
@LuciaPhinias-wy3do
@LuciaPhinias-wy3do 4 месяца назад
Hongera❤❤unafundisha vizuri
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
Asante sn mpendwa
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 6 месяцев назад
Umesem kweli matendo yanaongea kuliko maneno naaam 😍😍
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Hakika
@maryamChumas
@maryamChumas Месяц назад
Shukran sanaaaa ❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@maryamChumas karibu tena
@DevothaDomican
@DevothaDomican 8 месяцев назад
Daaah Kaka mungu akubariki umenifungua masikio yangu laiti ningelijua mapema Ningeachana nae kabla atujakaa mda mrefu lakn nimeachana nae xio mda mrefu ni ngumu kumsahau
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Kumsahau sio lazima wala mateso, muhimu umejikumbuka mwenyewe. Cos kama now umejikumbuka na kuelewa unachostahiri basi haijalishi ata kama utamkumbuka cos ata ukimkumbuka bado utakumbuka hakuwa mtu sahihi so kumkumbuka kwako hakutaathiri kujikumbuka kwako.
@irinekadzo6579
@irinekadzo6579 Месяц назад
Ubarikiwe kaka kwa somo zuri
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@irinekadzo6579 amina amina
@rayhans-h9b
@rayhans-h9b 6 месяцев назад
jamani mafundisho mazuri sana Ahsante ❤
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Karibu saana
@OptimisticStar-yz1yn
@OptimisticStar-yz1yn 3 месяца назад
Mimi wangu tulipokua tunaanza nilimkuta anasoma kwaio tukawa tunaongea mda wote lkn alipokuja kupata kz yani amebadilika kumtafta mpk nianze mm na nikianza kumtafta kujibu km nilimtafta asubui atanijibu mchana na nikimuuliza kwann anasema yuko bize sana na anachoka sana na kuna wakt namuona online anasema uwa azimi data na kuna wakt nikimlalamikia kuusu kubadilika kwake kuna mda mwengne ajibu au mda mwengn ananijibu kunambia yuko bize sana na niwe na subra kila kitu kitakua sawa
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Pole sn. Kuna somo nimeongelea Kwanini watu upunguza hamu ya mahusiano Ebu litafute lipo hapa katika video zangu. Litakusaidia sana.
@maryamChumas
@maryamChumas Месяц назад
Pole sana dear❤
@JasminiNkusa
@JasminiNkusa 25 дней назад
Naomba no za kujiunga na darasa lako kaka
@JasminiNkusa
@JasminiNkusa 25 дней назад
​@@mbekitv693Naomba no za kujiunga na darasa lako kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 25 дней назад
@@JasminiNkusa 0659152333
@FarajaFighter
@FarajaFighter 4 месяца назад
Ahsante kaka umenifunz kitu
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Good
@ZahraYahya-lh2lb
@ZahraYahya-lh2lb 9 месяцев назад
Nice brother i get thing through your saying
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Good👍
@MariamCalyx-ju7jv
@MariamCalyx-ju7jv 4 месяца назад
Thanks dear🎉👏👍
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Karibu
@Bintmwafurani
@Bintmwafurani 10 месяцев назад
Jamani Asante sana kaka balikiwa mno mpenzi wangu kalibu dalili kadhaa yupo nazo na nimefurahi Kupata ufumbuzi wa maswali niliyokuwa nikijiuliza kuhusu yeye ni wakati wangu sasa wa kuzidisha upendo zaidi ili ifike lengo 🎉🎉🎉
@mbekitv693
@mbekitv693 10 месяцев назад
Woow hongera sana😀👏
@BurureMarwa
@BurureMarwa Месяц назад
Asante sana sasa nimejua niko katika penzi gani
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@BurureMarwa good
@NancyKadzo-jn9ws
@NancyKadzo-jn9ws 4 месяца назад
❤wow wajua kufunza wallahy
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Asante sn😊😰
@ShkaChibu
@ShkaChibu 2 месяца назад
Mmmh namshukuru mungu wangu ananipenda jaman jap sikai nae hila Ana bahabat ya kwel Kansas namuomba mungu azidishe upnd zaid
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@ShkaChibu amina 😀🙏
@NasmaKaunga
@NasmaKaunga 4 месяца назад
❤❤ wow...
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
Karibu kutazama video yangu mpya
@Khadijah-eq2oe
@Khadijah-eq2oe 9 месяцев назад
❤❤❤❤❤ nmjifunza
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Good🤝
@silviafurah9172
@silviafurah9172 6 месяцев назад
Asante kwa mafundisho be blessed
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Asante sn mpendwa 🙏
@Komdomhando59
@Komdomhando59 5 месяцев назад
Kwel kabisa kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Hakika
@Jokha1Jokha
@Jokha1Jokha Месяц назад
Alhamdulilah mume wangu ananipenda
@mbekitv693
@mbekitv693 25 дней назад
@@Jokha1Jokha mungu awabariki😊🙏
@abbymalima9609
@abbymalima9609 3 месяца назад
Mungu nisaidie nimpate mtu wa namna hiii🙌🙌🙌
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@SaraMsawila
@SaraMsawila 5 месяцев назад
Axant xana brother mungu akupe maisha malefu zaidi uzidi ku2fungua zaidi wanawake mungu akubaliki xana nimejifuza ki2❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Karibu katika darasa langu la whatsapp tujifunze pamoja🤝 0659152333
@user-bi3dz8ik6t
@user-bi3dz8ik6t 4 месяца назад
Asante San kak angu mwenyez muu akubalik san
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Amina amina
@levajob3326
@levajob3326 2 месяца назад
Asante 🙏💒💃💃💃💃💃
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@levajob3326 karibu sn
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 месяца назад
Ubariikiwe
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
Amina🙏. Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@TiffanyCherotich
@TiffanyCherotich 4 месяца назад
💝💝wow
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
🥰
@fatumakale7004
@fatumakale7004 6 месяцев назад
Thanks so much
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Karibu sana
@GladysWanzala-jh6ig
@GladysWanzala-jh6ig 5 месяцев назад
Asante kaka,❤❤❤❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Karibu👏
@vivianfransis2473
@vivianfransis2473 2 года назад
Asante San kwasomo zuri
@mbekitv693
@mbekitv693 2 года назад
Karibu sn vivian😊🤝
@mbekitv693
@mbekitv693 10 месяцев назад
nitext
@MarySalama-l2i
@MarySalama-l2i 5 месяцев назад
Asante sana kaka yng ila mm nina swali je ikiwa kama mpnz wako anakupenda ndio tena sana lkn anashindwa kutokuongea na baadhi ya marafiki zako ambao washawai kukusema ww vby mbele yake japokuwa alikasilika lkn bado anaongea nao je huyo ni sahihi 😔
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Yes sio mbaya
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Hakika
@NsabimanaAnge-lj4qp
@NsabimanaAnge-lj4qp 3 месяца назад
Mbona kama sipendwi 😢
@GracePendo-nc1el
@GracePendo-nc1el 3 месяца назад
😂😂😂😂😂subiri wakati wa mungu ukifika hautakuwa na wasiwasi 😢😢😢😢😢jitoe apo
@Kipepeocheusi
@Kipepeocheusi 3 месяца назад
😂
@GracePalangyo
@GracePalangyo Месяц назад
Tupo wengi dia..
@davidnjile4995
@davidnjile4995 23 дня назад
😂😂😂
@arafakiloli749
@arafakiloli749 2 года назад
Naam Asante sana
@mbekitv693
@mbekitv693 2 года назад
Karibu sn Arafa 😊🤝
@greacembwnwilibati8197
@greacembwnwilibati8197 19 дней назад
Mpenzi wangu mm simulewi yaani unatumia msg ajibu Kwa alaka adi YY atakapo jisikia kujibu ukimwambia anakwambia ww unawsisi gani mm nakupenda lakini mm Moyo wangu unauma sana 😢😢😢😢
@mbekitv693
@mbekitv693 19 дней назад
@@greacembwnwilibati8197 tafuta somo hapa linaitwa lugha 5 za mapenzi.. litakufaa sana.
@salmakiti1517
@salmakiti1517 9 месяцев назад
Asante sana kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Karibu sn
@HadijaKidunda
@HadijaKidunda 8 месяцев назад
Daaah!my future husband ❤❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Mungu awabariki🥰🙏🏼
@ernestaalphonce1952
@ernestaalphonce1952 6 месяцев назад
Kaka nashukur sana balikiwa
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Amina🙏
@MailatiHatibu
@MailatiHatibu 2 месяца назад
Nipe ushauli jaman.mm mwanaume wangu nampenda sana lakini yeyeyupobize sana anijali kabisa kunitafuta tuu mtihani
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@MailatiHatibu pole sn
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@MailatiHatibu ni mumeo?
@RehemaIsingo-zb5gk
@RehemaIsingo-zb5gk 5 месяцев назад
Asante kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Karibu katika darasa letu la whatsapp tujifunze zaidi na kushauriana😊🤝 0659152333
@ernestaalphonce1952
@ernestaalphonce1952 6 месяцев назад
Ww ni mwema sana
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Asante sn🙏
@HalimaOmari-x8e
@HalimaOmari-x8e 2 месяца назад
Kweli na mshukuru mungu jamani wakwangu anavo vote vizur ulivo visema
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
Oh Mungu awabariki 😀🙏
@user-jq4uk8sx1x
@user-jq4uk8sx1x 5 месяцев назад
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
❤️❤️
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 6 месяцев назад
Kwakweli mie sijui km ananipenda au la
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Hadi umetazama hii video bado haujui nani anakupenda na nani hana upendo?
@ShubiraCostac
@ShubiraCostac 5 месяцев назад
Unajua kinachoendelea ila unajitoa ufahamu❤
@AngelShedrack-q4u
@AngelShedrack-q4u 4 месяца назад
Ulikuwa wap siku zotee broo
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
😀 Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@user-oq2iy9ne8g
@user-oq2iy9ne8g 7 месяцев назад
heee kaka jaman apo kutambulishw umenigusa jaman me natambulishwa sana ad naogop
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
Mmefikia wp
@StellaKugomwa
@StellaKugomwa 2 месяца назад
Je anayependa kuongea vi2 bila vitendo inakuwajee ivooo
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@StellaKugomwa fata matendo zaidi na sio maneno.
@PaulinaMeshaki
@PaulinaMeshaki Месяц назад
Duh an hap cjui me nifanyaje sasa
@emilykwingwa236
@emilykwingwa236 9 месяцев назад
Ahsante kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Karibu sn
@emilykwingwa236
@emilykwingwa236 9 месяцев назад
Ahsante
@user-bg7kn3rx6d
@user-bg7kn3rx6d 8 месяцев назад
Kaka mimi kuna mwanaume anaonyesha dalili za kunipenda lakini kila nikimwambia atafute muda tukae mahali tuongee anasema yuko bize lakini kulingana na kazi yake yuko bize nifanyeje ili awe karibu na mimi
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Usifanye lolote acha muda uamue cos muda ni jambo mihimu sana katika mahusiano so heshimu muda, ukitaka kwenda nnje na muda utalazimisha na itakugalimu. So relax kama anakupenda atatafuta njia ya kukufikia
@JoyceWilliam-ee4em
@JoyceWilliam-ee4em 7 месяцев назад
​@@mbekitv693Asante
@aishaignatus2475
@aishaignatus2475 6 месяцев назад
Wangu anisaidii adi nimeamua nimuache nipo sahihi
@doctersalmini9704
@doctersalmini9704 5 месяцев назад
Hello assalaamu ghalaykum kaka mm nilifunga ndoa na mume wangu,ila ajawahi kunitambuliza kwao,,mm ni mkenya tulifunga ndoa lakini sijui ndugu yake at moyo.tulienda tz na yy ila tunayizi nyumba ya kunda,jee nifanye ajee​@@mbekitv693
@annahdamascus
@annahdamascus 3 месяца назад
❤❤❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@NemaEmmanuely-ch6ez
@NemaEmmanuely-ch6ez 9 месяцев назад
Ahsant kipenz
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Karibu sna 🥰🙏
@maryamChumas
@maryamChumas Месяц назад
Je kama mmeanzisha mahusiano lakin mpo mbl nchi tofaut itamjuajee mtu huyu❤❤please help me kaka❤❤❤
@EfrahimMwambande
@EfrahimMwambande 2 месяца назад
Yan me Wang atasimuelew
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@EfrahimMwambande muelewe sasa
@MayasaJuma-kk1zi
@MayasaJuma-kk1zi 2 месяца назад
Hilo la4 acha nicheke mie😂😂
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@MayasaJuma-kk1zi eeh😀
@cecyjohn4746
@cecyjohn4746 2 года назад
💥💥💥
@mbekitv693
@mbekitv693 10 месяцев назад
asante
@Hashim-p4d
@Hashim-p4d 3 месяца назад
I really miss my man 😢😢😢😢
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Yuko wpi?
@ZASTAMWE
@ZASTAMWE 8 месяцев назад
😅😅asante kaka kumbe na mimi nipo kwenye mahusiano ambayo yanaeleweka yanahusiana na nini😅😂❤ waoooo asanteee kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Karibu sn😀
@BalqeesSaif-s7b
@BalqeesSaif-s7b 7 месяцев назад
Assalam aleykum ​@@mbekitv693
@BalqeesSaif-s7b
@BalqeesSaif-s7b 7 месяцев назад
Naomb unixaidie mie ninampenz Wang Niko nae MBL xan lakn naon xmuelew kwa xax coz 2napendn
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
@@BalqeesSaif-s7b Afrika hatuwezi mapenzi ya mbali mpendwa nyie endeleeni na mahusiano achaneni na mambo ya mapenzi huo ni uongo tu, endeleeni na mahusiano muda ukifika wote mkamaliza mambo yenu mkaja kukutana mtaendelea na mapenzi
@BalqeesSaif-s7b
@BalqeesSaif-s7b 7 месяцев назад
Et kak IV mpenz anaekupend anawez ikafk wiki ajakutaft ap kun mapenz yakwer
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 6 месяцев назад
Mie wangu nimkali sana kunawakati adi namuogopa asa linapokuja swala la kazi nimkali pia anawivu sana adi celewi je ananipenda au ananiitaji
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Kuna video nimeweka hapa inaitwa mambo 5 ya kuzingatia kabla haujaingia katika mahusiano hiyo inakufaa sana ukiitazama itakusaidia sana
@user-xo4hz4lj8k
@user-xo4hz4lj8k 6 месяцев назад
Na Je mwanaume akikwambia bado ujani jua vizuri au kumelewa vizuri utafanyaje
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
inategemea na sababu ya kukwambia haujamjua, cos sio kila kitu utajua kuhusu yeye lakini pia sio kila kitu hautojua kuhusu yeye, hivyo itategemea na nini kimetokea hadi anakwambia hivyo kisha link hiyo sababu na namna unavyomuelewa-
@JudithNgela
@JudithNgela 4 месяца назад
Nikauli inayofanya akufikilishe kwenye uongo wake hakuna chakumjua vizuri hapo
@MarimSali
@MarimSali 4 месяца назад
Wangu aliniowa aswa na watoto tumezaa watano mmoja mola akamchukua lkn mm apenda sana akiwa aribu yangu atakama atuna kitu lkn ujickia furaha sana lkn akapata kaz mjini kujakwake nyumbani ni baada ya miezi mitatu na ucku saa nne ndio yuaingia na pia atokaa atatoka akaruguruke mpaka saa sita ucku na aligajiri yuaondoka akidai kuwa anakazi zawatu naapo akija ata zawadi ama lada cm kamauma kaunayo bc akuna zawadi na ukijarbu kumwambia Ana sema vtu vyenu viko gali sio kama zetu kila cku nguo zetu ziko gali na ukikaa nae anasema nikipata mke mm naowa mke wapili sasa unashindwa mm moja zikogali je tukiwa wawili na watoto wakike pia itakuaje na mm cke wakukaa tu la napenda sana kufanya biashara ndogo ndogo lkn badae ananifelisha koz nikifanya biashara bc pesa ya matumizi autoiona tena itskua kila kitu tumia izo mpaka atoendelea tena ushauri wangu akipate pesa autaki ukifate wake atuendelei kila cku chanza upya nimeomba talaka nimechoka nikimwambia kuhusu talaka animbia umeshapata mwengine na pia umenichoka umasikini wangu nanikianga lia mm nimempenda koz ni masikini pakulala pia Ana nashidwa cjui ni mwanaume ainagani mpaka nikaamua kuondoka nikaenda saudi kutafuta nikamuacha ajifunze vizuri mm ni nani nanina umuimu gani nilipofika saudi nikamtumia makosa yote na nika mwambia ctokuamini tena pesa zangu cmpi tena cm yake ikaaribika ckumnunulia mpka akaniambi nisamehe nilikuchiti lkn kilicho nikuta ata ctakitena najipanga sasa namaisha yangu na bado niko saudi yy alisharudi kijijini tuliko kua tuna kaa sasa sijui ni vp ebu ni fumbulie uyu mwanaume niwaaina ngani pz naomba jibu
@safiasuliman5136
@safiasuliman5136 7 месяцев назад
Daah yamenikuta ayo jmn ataman tena
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
Eeh
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 9 месяцев назад
Asant kaka😭
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
Karibu sn mpendwa🤝
@venahonwonga710
@venahonwonga710 3 месяца назад
X wangu ndio naona unifanyie hayo yote
@HalimaOmari-x8e
@HalimaOmari-x8e 2 месяца назад
Ilaminaona mwanaume akikukuta bikra yeye ndowakwanza kukuacha ningum sana
@SubiraLuhanga
@SubiraLuhanga 2 месяца назад
😂😂😂😂eti mbona kama hupendwi umenichekesha jamani
@glorymlawa7078
@glorymlawa7078 5 месяцев назад
Jamani wakwangu mwongo mpaka nukta😂😂
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Then jibu umepata hapo
@user-pq8rr7ts9t
@user-pq8rr7ts9t 4 месяца назад
Wangu nko nae mda mref lakini mamb yake hanishirikish ,pia sometimes hantft lbda awe na ham na mm na mm siko available nfany mm nktk
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Mmh mtihani huo😰
@user-tw4xt7ol1c
@user-tw4xt7ol1c 6 месяцев назад
Mm anasema kua ataki wanijie ili wasiseme ety iyo imekaaje japo kua kanitambulisha kwawatu kadhaa
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Kuna video Yangu inaitwa Mambo 5 yakuyajua kabla haujaingia katika mahusiano, itafute hiyo video ipo hapa hapa hiyo itakusaidia sana.
@BekaNyapala
@BekaNyapala 4 месяца назад
Np nae mwez mmoj na nusu lkn anatk niend kwao kwa mama akee vp hp
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Sio mbaya ila na Yeye ndio aje kwenu ww ndio unaeolewa sio unaeoa.
@shedy_marie
@shedy_marie 5 месяцев назад
Mm wangu ni muhuni sugu nimejua juz nataka kuachana nae polepole
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Mmh
@veronicamrukwamba9094
@veronicamrukwamba9094 5 месяцев назад
Ex Wangu tuliachana akaanza mahusiano mengine ila kila siku ananitfuta huyu nimuache kwa njia gani
@shedy_marie
@shedy_marie 5 месяцев назад
@@veronicamrukwamba9094 sikushauri umwache km anakupenda atabadilika tu mpenz la moto
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
@@veronicamrukwamba9094 Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@HusnaSalvatory
@HusnaSalvatory Месяц назад
Kaka naomba nitumie Whatsap
@mbekitv693
@mbekitv693 Месяц назад
@@HusnaSalvatory nicheki whatsap
@FatmaHassan-gq9sh
@FatmaHassan-gq9sh 2 месяца назад
Mimi wangu hata haeleweki
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
@@FatmaHassan-gq9sh muelewe sasa
@annamarybenjamin5754
@annamarybenjamin5754 3 месяца назад
Yani mimi ndio niko ivyo kwa mwanaume wangu mimi ndio napenda mpka natamani nipate dawa ya kupunguza atukai pamoja naweza kuonana nae leo tukakaa masaa ata 7 kesho yake tu jamani nakua nimmiss kama tunamwaka mzima atujaonana 😢
@mbekitv693
@mbekitv693 2 месяца назад
Ahahaha
@AnnaMushi-d3g
@AnnaMushi-d3g 6 месяцев назад
Kaka mm na kijan kwenye mahusian lakin yupo mbali ila hanataka kua haribu lakin hajali ukimuomba kitu hawez nisaidia kam nipesa anasema sina. Ila ananiqmbia ananipenda saaaan naomba nishaury kaka
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Watanzania wengi hatuwezi mapenzi ya mbali so hivyo ndivyo yatakavyokuwa, so ni juu yako sasa if utapendezwa na namna hiyo basi Sawa but usitegemee tofauti na hivyo
@user-cu2oj9co8n
@user-cu2oj9co8n 7 месяцев назад
Mm katikahayoyote amewahitu kunitiamoyo kwamba ntafanikiwa lakini hayomengineyote cjafanyiwa na kwakweli nampendasana sijui hanipendi yani hana stori cmtuwakuongea
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
Sawa
@nchandzessaid680
@nchandzessaid680 4 месяца назад
N kama mwanaume una date nae lkn hawez kukueka wazi Kwa Maisha yke
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Kuna somo jipya ishara ya mwaume anaetaka kukuoa ebu litazame hili litakusaidia
@RachelEmmanuel-ff2el
@RachelEmmanuel-ff2el 4 месяца назад
Kwan inamaana lazima hayo yote yawepo!!
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@user-jt5ee1pw9z
@user-jt5ee1pw9z 5 месяцев назад
😢😢😢😢
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Karibu ujiunge katika darasa langu la whatsapp tupate kujifunza mengi pamoja 0659152333😊🤝
@adrianysway357
@adrianysway357 6 месяцев назад
Kaka mm mpenz wang anasema ananipenda na mm nampenda lkn kila napo jarib kumjulia hali anajifanya kuwa bize yan anakuwa bize na kaz zake mara ajal kuhusu ww nitafanyj
@aishaabdahh1957
@aishaabdahh1957 6 месяцев назад
Nasubiri majibu maana suali lake linaendana na la kwangu
@kamarhelo
@kamarhelo 5 месяцев назад
Hakupendi kwa kifupi
@hafidhsalim578
@hafidhsalim578 5 месяцев назад
mie wangu namuona tu na dalili za kunipenda ila hawezi kunitamkia huu mwaka tena nifanyeje
@mbekitv693
@mbekitv693 5 месяцев назад
Sijakuelewa
@NaisoSimon
@NaisoSimon 7 месяцев назад
Kaka naomba namba pliz nataka kuongee na wewe zaidi
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
0659162333
@JoyceMartin-co3fu
@JoyceMartin-co3fu 4 месяца назад
Kaka Mimi wakwangu ukimpigia sm hapokei sms hajibu lkni moyo wangu hauna waswas nabado nampenda nikiacha nguo yngu kwake aliniambia niache lkn namwambia anirudishie hataki nikipata tatizo anapatwa na huruma namimi yn ananihurumia naanaumia kbsa lkn kinachonishangaza kwann sm zangu hapokei Wala cm hajibu? Nahana mke nisaidie kwa ushaur simuelew naaliniweka waz kwakila kitu narafikiyake mmoja ananijua anakujaga nae ofisini kwetu msaada kk
@mbekitv693
@mbekitv693 4 месяца назад
Karibu katika darasa letu la whatsapp tuzidi kujifunza pamoja na kushauriana zaidi.. 0659152333😊🤝
@siprinadamas4673
@siprinadamas4673 6 месяцев назад
Kaka mwanume wangu mim nilikuwa nae kwenye mahusiano lakini cha ajabu ananimbia sasivi tuwe marafiki sasivi ataki mapenzi wala mahusino lakini akitaka sex ananitafuta anitafuti mpka nimtafute mim nisipo mtafuta yeye anapiga kimya alafu mim nampenda nifanyeje
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
dah pole sana, nadhani sasa hapo umeshaelewa wewe nani kwake [chombo cha starehe] hivyo akiwa nashida ya kukutumia lazima akutafuta ila shida zake zikiisha hana sababu ya kukutafuta. so maamuzi ni yako uendelee kutumika au ukatae-
@user-sh3mc9zz2u
@user-sh3mc9zz2u 8 месяцев назад
anasema yuko bizy Kil wakt
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Then hayupo tayari kuwa katika mahusiano ya namna yako kwa sasa
@NepayaMayombe
@NepayaMayombe 7 месяцев назад
Sasa Kama yupo mbali?
@mbekitv693
@mbekitv693 7 месяцев назад
Africa hatuna mapenzi ya mbali tuna mahusiano ya mbali
@RahelLwanzali
@RahelLwanzali 6 месяцев назад
Kaka mm naomba nsaidie mpenz wangu kanitambulisha kwao lakn hanisaidii kabsaa ata nimwambie nashda nimzito hapo napata mtihani kimtambua ni mtu wa aina gan huyu
@RahelLwanzali
@RahelLwanzali 6 месяцев назад
Naomba namb yako tafadhar nashda unishauli sana
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
0659152333
@AngelKitomari-h9w
@AngelKitomari-h9w 8 месяцев назад
Kaka me nishauri kitu nna mpenz wangu atanipigia sm tutachat ataitaji kampani kula na kunywa tutukutana tupige atori ila ikitokea namisis kuwa nae faragha anakua hana mda na hicho kitu ata tukikaa miezi mi2 ye anaona sawa tu kwanini
@mbekitv693
@mbekitv693 8 месяцев назад
Yeye anasemaje kuhusu unavyofikilia
@ingabireshakira9631
@ingabireshakira9631 3 месяца назад
Huyo shoga😂
@DelilaKazamaso-bq4hy
@DelilaKazamaso-bq4hy 10 месяцев назад
Kaka ntumie hii watsap🙏🙏
@mbekitv693
@mbekitv693 10 месяцев назад
nitext
@deboramayaya
@deboramayaya 3 месяца назад
Wanaume wa hivyo walikufa na corona
@mbekitv693
@mbekitv693 3 месяца назад
Karibu katika darasa langu la WhatsApp tuendelee kujifunza mengi pamoja, na kushauriana mambo mbali mbali. 0659152333.
@eamieami
@eamieami 10 месяцев назад
Safi kaka na namba yako
@mbekitv693
@mbekitv693 10 месяцев назад
0659152333
@ErastoAnania
@ErastoAnania 6 месяцев назад
Bc
@mbekitv693
@mbekitv693 6 месяцев назад
Vipi tena😐
@annamnyazi8206
@annamnyazi8206 9 месяцев назад
❤❤❤❤
@mbekitv693
@mbekitv693 9 месяцев назад
❤️❤️
Далее
DALILI 20 ZA ASIYEKUPENDA.
17:33
Просмотров 6 тыс.
Saikolojia ya Mwanaume
1:17:37
Просмотров 11 тыс.
WANAWAKE WASIOPENDWA #PART2
29:03
Просмотров 18 тыс.
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Просмотров 18 тыс.