Тёмный

LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 287 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 109   
@Srene0225
@Srene0225 6 месяцев назад
Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;- 1. Tambua thamani yako 2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana 3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka 4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'
@lestutamdota715
@lestutamdota715 6 месяцев назад
Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏
@aminajuma1156
@aminajuma1156 5 месяцев назад
Hicho kitabu kinapatikana wapi
@eliastanda9825
@eliastanda9825 5 месяцев назад
Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤
@elishamwalongo3010
@elishamwalongo3010 5 месяцев назад
@@joelnanauka ''????'
@SalumuSaid-vq2kp
@SalumuSaid-vq2kp 12 дней назад
Mapenz,yamekua yakiongoza dunia kwenye nyanja mbalimbali
@Khadij-v3m
@Khadij-v3m 12 дней назад
Mie Kuna kitu kimeniokoa nilikuwa na waza kumpa mtu moyo wangu naona siyo sahihi kwangu Bora nijipende tu menyewe kunavitu umenifanya viniponye haki shukrani mungu akubariki afya njema
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 6 месяцев назад
Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢
@aminajuma1156
@aminajuma1156 5 месяцев назад
Kabisa unaweza kufa imenikuta😢
@timothykengere2535
@timothykengere2535 5 месяцев назад
Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................
@fedrickmwinuka1656
@fedrickmwinuka1656 5 месяцев назад
Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san
@SilonMwakisunga-qz9xf
@SilonMwakisunga-qz9xf Месяц назад
AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana
@carolinekalume934
@carolinekalume934 6 месяцев назад
Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Hongera naaamini umejifunza
@user-ts4jr7ok1e
@user-ts4jr7ok1e 5 месяцев назад
Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa
@user-fu5wi1ez7e
@user-fu5wi1ez7e 5 месяцев назад
Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 5 месяцев назад
Pole sana
@righitkileo
@righitkileo 5 месяцев назад
❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤
@bernadetachari7648
@bernadetachari7648 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete
@VickyKijazi
@VickyKijazi 5 месяцев назад
Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!
@user-lj4pz4pv8o
@user-lj4pz4pv8o 5 месяцев назад
Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi
@gloriatoya72
@gloriatoya72 6 месяцев назад
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 6 месяцев назад
Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye
@samwelimwanja4105
@samwelimwanja4105 6 месяцев назад
Pole sana betric
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 5 месяцев назад
Nan wa kukupenda wew na mwanao?
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 5 месяцев назад
@@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu
@beatricemwita4380
@beatricemwita4380 5 месяцев назад
@@samwelimwanja4105 ahsante ndugu
@FilbertHabashi-zn1qu
@FilbertHabashi-zn1qu 5 месяцев назад
​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.
@LakinaneMuna
@LakinaneMuna 5 месяцев назад
Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako
@DevothaJohnMagessa
@DevothaJohnMagessa 5 месяцев назад
Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 5 месяцев назад
Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 6 месяцев назад
Hayaa ni zaidi ya maarifa
@KasimBadi
@KasimBadi 6 месяцев назад
Thank you brother JOEL
@tarsisiamwalongo6819
@tarsisiamwalongo6819 6 месяцев назад
Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 6 месяцев назад
Somo🙌🔥👏🏆
@peacennko2003
@peacennko2003 6 месяцев назад
Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
@edommdende4309
@edommdende4309 6 месяцев назад
❤️🙏
@user-sp1ig8ul2s
@user-sp1ig8ul2s 6 месяцев назад
Nanauka kwenye line
@rosadamassawe8019
@rosadamassawe8019 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏
@Tonga994
@Tonga994 4 месяца назад
Ahsante kwa Elimu hii kaka
@fawziyahassan5714
@fawziyahassan5714 5 месяцев назад
Asante sana Kaka JOEL
@alexlucas1571
@alexlucas1571 5 месяцев назад
Daaah episode hii nzuri sana
@user-er2if3dl9d
@user-er2if3dl9d 5 месяцев назад
Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,
@KelendoLaizer-yf8jy
@KelendoLaizer-yf8jy 6 месяцев назад
Asante kwa somo ubarikiwe
@naomitheobald125
@naomitheobald125 5 месяцев назад
Be blessed brother J.nanauka
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 6 месяцев назад
Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa
@godlistenmangowi9328
@godlistenmangowi9328 6 месяцев назад
Usikwahi kukata tamaaa!amka ufurahie tena,Wafilipi 4:4
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 6 месяцев назад
Pole asee NAMI pia napitia IRA tusonge mbele
@janetmbwana553
@janetmbwana553 6 месяцев назад
Pole sana lkn bado unayo nafasi
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 5 месяцев назад
Pole sana
@user-td8zl2jd7r
@user-td8zl2jd7r 5 месяцев назад
Ahsante kwa somo
@user-fo8pd3cx9h
@user-fo8pd3cx9h 5 месяцев назад
Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01
@isacksolomon5309
@isacksolomon5309 6 месяцев назад
Asante sana mwlm.
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 6 месяцев назад
Mungu akubariki my Brother❤
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Ameen Ameeen
@user-ms3gw9if4h
@user-ms3gw9if4h 5 месяцев назад
Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 6 месяцев назад
Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia
@user-bq7ym3tv1h
@user-bq7ym3tv1h 6 месяцев назад
@@joelnanauka ahsante kaka
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
@EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 6 месяцев назад
Ubarikiwe san
@OmanOman-c9d
@OmanOman-c9d 6 месяцев назад
Shukran joel ❤❤❤
@saidalhabsi9257
@saidalhabsi9257 6 месяцев назад
😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Nashukuru kwa Mrejesho 🙏
@user-zf1sp9ez4v
@user-zf1sp9ez4v 6 месяцев назад
Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢
@user-dy6mx4yc6y
@user-dy6mx4yc6y 6 месяцев назад
Sijatoka bure Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Nashukuru sana sana
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 5 месяцев назад
​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 6 месяцев назад
Shukrani kaka ❤❤
@niriacatering172
@niriacatering172 5 месяцев назад
Asante sana
@johnwangubo3342
@johnwangubo3342 6 месяцев назад
Asante sana kaka joel nimejifunza kitu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Karibu tuendelee kujifunza🙏
@user-bi7hz1mu7p
@user-bi7hz1mu7p 5 месяцев назад
Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤
@eliasmugume254
@eliasmugume254 6 месяцев назад
Mungu awabariki Sana tena Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Ameen Ameen Ameen
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 месяцев назад
Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi
@user-ql5vl1rf4l
@user-ql5vl1rf4l 5 месяцев назад
Pole sana dear
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 5 месяцев назад
Nakuombbea upate alie sahihi
@LeahLuhwavi-pd6cz
@LeahLuhwavi-pd6cz 6 месяцев назад
Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Nashukuru sana tuendelee kujifunza
@ZubedaVicent
@ZubedaVicent 5 месяцев назад
​@jpoelnanauka please help me
@user-ds2em7or1w
@user-ds2em7or1w 6 месяцев назад
Asante kaka
@stanleyandrea5153
@stanleyandrea5153 6 месяцев назад
AHSANTE
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 6 месяцев назад
Noted.
@everose276
@everose276 6 месяцев назад
Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊
@user-gz1cd6kn5j
@user-gz1cd6kn5j 6 месяцев назад
Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi
@Yonzomc01
@Yonzomc01 6 месяцев назад
Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.
@ahz6907
@ahz6907 6 месяцев назад
Hongera....Kila siku tunajifunza.😊
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏
@jkifutu7936
@jkifutu7936 6 месяцев назад
Absolutely 💯 💯 💯
@abdulfatahjuma3105
@abdulfatahjuma3105 6 месяцев назад
More blessing
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Ameen Ameen 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Ameenn
@rebeccakisale
@rebeccakisale 6 месяцев назад
🙏🏾🙏🏾
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm
@Elishanabagingisemvayle-ob4cm 3 месяца назад
Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.
@nasha_59
@nasha_59 5 месяцев назад
Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 6 месяцев назад
All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 5 месяцев назад
Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 6 месяцев назад
Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi
@paulmayombe4336
@paulmayombe4336 5 месяцев назад
Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka
@FrancisTossy-zy2tu
@FrancisTossy-zy2tu 5 месяцев назад
Acha tu aise
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 6 месяцев назад
Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 6 месяцев назад
Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini
@joelnanauka
@joelnanauka 6 месяцев назад
Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70
@SilonMwakisunga-qz9xf
@SilonMwakisunga-qz9xf Месяц назад
AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana
Далее
LIFE WISDOM : AINA 6 ZA UTAJIRI - JOEL NANAUKA
18:01
Просмотров 15 тыс.
▼ЮТУБ ВСЁ, Я НА ЗАВОД 🚧⛔
30:49
Просмотров 519 тыс.
BINTI ANGEL - SIMULIZI MPYA YA MAPENZI
2:50:01
Просмотров 51 тыс.
NGUVU YA ZIADA KWENYE KUWEKA MALENGO - JOEL NANAUKA
41:10
Dr. Chris Mauki: Mbinu 5 za kujipa furaha mwenyewe
8:08