Nimeota niko porini kuna mti mkubwa unakivuli kikubwa na mimi niko chini ya hichokivuli nikaona nyoka wengi sana chini ya mti huo nikawa natamani kupanda juu ya mti na huko juu ya mti kukawa na nyoka wengi sana wengine wanapanda wengine wanaanguka lakini lana wananikimbia akuna aliye nidhuru ila mimi nilikuwa na hofu
Niliota hayati raisi Magufuli amenitokea gafla akanipa wareti nikamwambie nitochukuwa pesa zote hakusema kitu akatabasam tu nikatoa ela zote zilikuwa nyingi Sana nikamludishia waret yake gafla akatoweka Ina maana gani