Тёмный
No video :(

JEMEDALI AWAVAA YANGA KUMSAJILI BALEKE/AICHAMBUA YANGA KUCHEZA NA KAIZE CHIEFS YA SOUTH AFRICA 

JEMBESPORTS
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

12 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@Feitoto-rk1tv
@Feitoto-rk1tv Месяц назад
Lingekua kwa Yanga,ungeongea adi mishipa ingekutoka
@SelemaniMarko
@SelemaniMarko Месяц назад
Ingekua yanga tungeona makala mpaka yaliyoandikwa kwa kimakonde ila kwa makolo aaaah
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 Месяц назад
Ikiwa Simba unaongea kwa adabu lakini ingekuwa wamefanya Yanga ungekenua mpaka gego la mwisho.
@twahakabajemi9716
@twahakabajemi9716 Месяц назад
Yanga wa kisajili roho inakuuma
@michaelthobias9967
@michaelthobias9967 Месяц назад
Mashabiki wa yanga kitendo Cha mumfata huyu jamaa kwenye mitandao yake na kumponda kinampa nafasi ya yeye kufanya anachota acheni kumtafuta itasaidia Sana kuliko kumjibu kama hivi msikilizeni mpuuzeni
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Месяц назад
Huyu jamaa hujui lolote kuhusu soka ni upenzi tu alionao kwa simba
@samsonmwaipaja5231
@samsonmwaipaja5231 Месяц назад
simba wahun hawana shukran watakula kumi
@hockingsshangali1747
@hockingsshangali1747 Месяц назад
Jemadari hilo ni kwa simba na azam. Lingekuwa upande wa yanga ugelisema sana chawa wewe. Umesahau ulivyokuwa wayasema ya fei toto
@fadhilisalmu723
@fadhilisalmu723 Месяц назад
Huyu ni shabiki wa Simba ndiyo maana anasema ninyonge, haijalishi vyovyote haipendi Yanga hata kidogo
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Месяц назад
Ingekuwa yanga mngesikia maneno
@HappyKitindi
@HappyKitindi Месяц назад
Mbona ya Yanga unaonaga sio sawa, ila ya simba umesema ni kama umeolewa ukubali kulala bila nguo kwahiyo hata kama inaumiza inabidi ukubaliane nayo. Kwa mantiki hiyo ww ni simba au umeolewa na simba kwahiyo chochote wanachofanya huwezi kuwapinga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kutetea makolo tu, kusema mazuri kwa Yanga aaaaaah
@matiankomola2391
@matiankomola2391 Месяц назад
Huyo hana jambo jema la Yanga!
@josephmwise3177
@josephmwise3177 Месяц назад
Manura namuonea huruma, lkn kwa huyu Jemedar ni sawa tu, Natamani siku moja nisikie Manura kamtema Jemedar.
@adinanzacharia409
@adinanzacharia409 Месяц назад
Kwani kakosea wap
@Evance-op4jw
@Evance-op4jw Месяц назад
ingekuwa yanga ungetoa maneno .. haya ni maisha tu safari inaendelea.. lakin nibora ungekuwa shabiki tu kuliko kuwa mchabuzi wa kuchambua umeegemea mti fulani tu hivo kuwa shabiki hapo tutakubali wewe mtani tu kuliko unafki
@rasakakaombwe
@rasakakaombwe Месяц назад
Sema nyie simba mna vihoro sana
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад
Utakoma na wachezaji wako (Haishi Manula). Azam haendi utakoma.
@saidmbarouk3553
@saidmbarouk3553 Месяц назад
HUYO MCHAMBUZI AU NJA TU MUOKOSI WA YANGA
@NickmasGozi-tt2sh
@NickmasGozi-tt2sh 28 дней назад
ww jemedar acha upumbavu uo niusenge2 hiyo sio simba
@rashidmaulid7312
@rashidmaulid7312 Месяц назад
Naona ktk comments kumetajwa yanga ....hii ni studio au maana sielew....i
@bennieoswald8140
@bennieoswald8140 Месяц назад
Wachambuzi wengi Nanyi ni washabiki
@robertchazya2351
@robertchazya2351 Месяц назад
Pumbav ndo maana hamuendelei
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Месяц назад
Wewe umeendelea?
@AhmedMussa-q9f
@AhmedMussa-q9f Месяц назад
Wacha maneno ya kishenzi wee ngedere
@halson827
@halson827 Месяц назад
Sipendi taarifa zinatotumia clickbait ni ushamba...
@MjMohammed-nt6fq
@MjMohammed-nt6fq Месяц назад
Yaan huyu kumbe akiri hana yaaan anadai viongozi hawafati uweledi lkn yeye nae ni kiongozi amekiri boko kaisha lkn katumia uwongozi wake kumsajir boko jkt ambaye ameisha sasa uweledi wake upo wap mbwea wewe
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Месяц назад
Ww muongo sanaaa mpuuzi
@stephanSandika
@stephanSandika Месяц назад
Uwezi kuwa kiongozi bila kuwa mshabiki
@musamusa6213
@musamusa6213 Месяц назад
Timu yako simba waseme kama unavyotoaga maneno machafu Kwa yanga
@kasimumughuna201
@kasimumughuna201 Месяц назад
Wapi alipowavaa yanga mwandishi????😮😮😮
@hellenmchomvu6296
@hellenmchomvu6296 Месяц назад
Sura tu haina nuru😂kisa kuchukia yanga
@shaameshaame2837
@shaameshaame2837 Месяц назад
Apumzike kama mudathir tu mwakani ataondoka bure. Kikubwa uhai na afya tu
@yunusimchala6569
@yunusimchala6569 Месяц назад
Tena huyu amendable kuiharibu crown
@B.M-ix4rz
@B.M-ix4rz Месяц назад
Kiba hapa amefeli bora angalimchukua. Mwanduke
@Dula707
@Dula707 Месяц назад
Kama ww tu pia ni shabiki tu Ila unajikuta wewe umenyooka
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy Месяц назад
Wewe mmakonde kua muazi tu ww ni chawa wa simba
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Месяц назад
Hapo kwa simba unyooshi maneno wewe mchambuzi uchambuziwako ni wa kubabaisha tu sasa aish kukaajukwaani unaona sahihi semaukweli
@DENISURIO-r3v
@DENISURIO-r3v Месяц назад
Hujielewi wewe
Далее