Kusaga Acha kuzingua subiri tupate elimi,uliza swali subiri majibu yatolewe yote Acha kumkatisha m beba maono? KAMA watu wakubwa wanafanyiwa hivo sisi wadogo je,,Acha tujifunze bhna..ila hongera pia bwana kusaga kazi zako ni nzuri
Baba Madeleka Mungu akuongoze zaidi Hata Nabii Musa alipewa Kazi ya kumgoa Farao Baada ya kuonekana kwamba yeye ni mtetezi wa kweli Mungu akuongezee zaidi
Wakili safi wapelekeni ndo watajifunza tena msichelewe ndo wajue wakienda kupata mafunzo yao wazingaie sheria wanatumika kisiasa sana hao polisi hawana huruma hata ya kimungu
Hapo kwenye hilo neno ambalo mwandishi alitaka kulikwepesha ..eti kulawiti.. Hongera sana Wakili msomi kwa kuliweka wazi zaidi .na ukafanya reference kwenye maandiko.. kwamba sio kulawiti.. 😂😂😂😂 wote tumesikia.. Hongera sana Wakili msomi.
Polisi ya hapa Inchi ni CCM pia sisi wanainchi tunawahamu kuwa ni wanaccm tena wakubwa tena wanahatarisha haki ya wanainchi. Mungu ametuumba ili tuwe huru. Hao wahuni kwa nini mnatesa wanainchi.
Kusaga wewe ni mwandishi mmoja mzuri sana una uelewa mzuri sana ila tu unawahi kuuliza swali kabla huyo msomi wetu hajamaliza kutoa maelezo, Mungu akulinde na kukutetea wakili wetu msomi.
Kumbe tuna viongozi ila katiba ndo inazuia isingekuwa katiba we madeleka tungependekeza uwe wazilimkuu na mwabukusi awe lais mpina wazili wa fedha polepole makam wlibodisilaa jajimkuu nk yani ccm wangekoma na maisha ya watanganyika yangependeza sana ila sio sasa
Tungepata watu wa aina hiii nchi hiii kama 600 hakika tungefaid matunda ya nchi yetu maaana tunaopotea ni sisi tu wanyonge na miaka hiiii ndio speeed ya aya matukio inaongezeka
Huyu jamaa kweli yoko vizuri katika kazi yake na sidhan kama anaweza akapindisha panapotakiwa kunyooka na mfananisha na kiongoz wawamaasai ngorongoro hotuba aliotoa 22/8/2024 - saf sana tunahitaji watu wenye ukakamavu na upana wamawazo