Тёмный
No video :(

JENERALI ULIMWENGU - "MAGUFULI ALITUVURUGA, KURA ZIMEIBWA, MKAPA ALIWAPA MAKABURU BENKI, NDUGAI..." 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 177 тыс.
50% 1

JENERALI ULIMWENGU - "MAGUFULI ALITUVURUGA, KURA ZIMEIBWA, MKAPA ALIWAPA MAKABURU BENKI, NDUGAI..."
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#Zungu #CharlesWilliam #MsumariWaMoto

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 580   
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
RIP JPM, JEMEDARI WETU MKUU, Uko mioyoni mwetu daima tunakuombea. Siku moja tutaonana! Tusaidie uko uliko kama utaweza kuongea na wale MALAIKA watuletee wa kufanana na wewe. Pumzika BABA usiwasikilize hawa, umetusaidia sana kumjua yupi mdhati na yupi msaliti. Ahsante Baba endelea kulala! 😢
@elizabethpetro1258
@elizabethpetro1258 2 года назад
Ongeza sauti maneno yako Mazuri
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
@@elizabethpetro1258 Watu tuna jeraha ambalo hatujui daktari atatokea wapi..wanatuletea perereperere mingi! Avae viatu vile aone jinsi mguu utakavyokuwa kama kalamu kwenye kikombe cha chai..shuwainyi!!!
@aronatv47
@aronatv47 2 года назад
Acha Imani Potofu..Amuombee nanii..?Jisemee nafsi yako mwenyewe sio wote walimkubalo kama wewe usivyomkubali Raisi Samia wapo wanaomkubali ..
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
@@aronatv47 Imani yangu inaruhusu hilo. Ya kwako je? Na kuna mahali nimemtaja Rais wa sasa pengine? Kwanini usiwataje waliopita kama Kikwete, Mkapa etc? Kila mtu ana namna yake ya kuongoza. Na kama ilivyo kwa yoyote kumkubali au kutokumkubali mtu fulani haipaswi ikutoe povu wewe usiyemkubali. Na wewe ungeanzisha uzi uone kama tutasifia ama tutakaa kimya! Na isitoshe topic inahusu huyo generali wala sio Rais mwingine na zaidi WANAMZUNGUMZIA MAREHEMU!! Bora angekuwa hai. Sisi tulimkubali na kama wewe hukuwa hivyo ingetosha tu wewe kukaa kimya! Ref: Rais mstaafu Mwinyi alimsifia JPM hadharani na kukiri alimzidi, Mh Rais Samia naye alikiri viatu vya mwamba ni vikubwa kwake na references nyingi tu. So who are you?!!
@abdallahally842
@abdallahally842 2 года назад
Simple jinyonge umfate acha unafiki simple ukitaka unajimaliza unaenda kumuona sasa mbona hutaki kumwahi huko ukampa tarifa ya huku duniani
@simongwandu7392
@simongwandu7392 2 года назад
Gen Ulimwengu unatuudhi unapomsema Magu unakera sana kwa kuwasema watu wengine wewe unatosha kiasi gani
@thobiasnerro2743
@thobiasnerro2743 2 года назад
Charles na Zungu. Mnamapungufu mengi sana katika kuhoji kwenu. Hamna mtiririko mzuri wa maswali yenu. Pia hamumpi mgeni wenu nafasi ya kutosha kueleza pointi zake. Halafu mnakuwa hamkujitayarisha vema kabla ya mahojiano na zaidi kuwa makini na uelewa mkubwa au mdogo wa mnayemhoji. Wengine ni watu wenye uelewa maradufu wa uelewa wenu. Hivyo mjiandae na ikibidi niwe mmejiandikia maswali yenu. Jenerali ni very intelligent. Sijasema the most, lakini ni intelligent na hao wanaopinga au kukosoa hilo na maoni yao mengine wanna wivu naye. Mimi namkubali toka G 55. Long live General Twaha Khalfani Ulimwengu.
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Ndiyo maana hukupata nafasi kama yake
@matinazaidi
@matinazaidi 2 года назад
Charles anajitahidi sana ila zungu anarukiarukia tu kama vile ajui anahojiana na mtu mwe IQ ya aina gani..pia mwenye background kubwa
@brightergermanus2163
@brightergermanus2163 Год назад
UMENIKUMBUSHA MBAAALI WAKATI NIPO CHUONI, TITI LA MAMA NI TAMU HATA KAMA NI LA MBWA. KATU HALIISHIHAMU HIVYO HIVYO LIMEUMBWAA HALELUUUUYA AMEEEN
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 Год назад
@@brightergermanus2163 NA BUYU LA ASALI NI TAMU PIA😆😆
@geofreyhezron39
@geofreyhezron39 6 месяцев назад
Hauwezi kuwaelewa katika maswali yao kwasababu na wao wapo kujifunza
@mgawerevocatus8582
@mgawerevocatus8582 2 года назад
Jenerali huwezi kumsema vizuri JPM maana wewe pia ulikuwa jipu-uliigeuza Chanel 10 shamba la bibi ulipoguswa ndiyo chanzo Cha kumchukia
@jossy8710
@jossy8710 2 года назад
KWANI CHANNEL 10 INA UHUSIANO GANI NA MADA.....
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 года назад
@@jossy8710 sasa kwani hata haya mahojiano yana ihusiano gani na magifuli? Itategemea mtu amejihusisha au kuhusishwa vipi na utendaji kazi wake magufuli. Vyote vinahusiana sana kwa lengo la kufanya analyses ya mambo ili kupata jambo.
@morganmwaikusa8194
@morganmwaikusa8194 2 года назад
Huyu mzee aliwahi kusema "SAMIA hatoshi kuwa raisi eti tu kwasababu hakuepo enzi za kupigania uhuru, huyu punga haelewi kuwa waliopigania uhuru kuna wakt watazeeka, lilisema simjui samia na nchi haimtambui, anajionaga yy ndiye raisi au alistahili yy, na hiyo chuki ndio humzamisha huyu punga. JPM he will never die
@albertbunyinyiga7581
@albertbunyinyiga7581 2 года назад
Magufuli for life watetezi wake wapo milele na milele nyie pondeeeeeeniiiiiii ila amuwezi kutushawishi kumsahau mwamba poleni
@faustinerukiko2933
@faustinerukiko2933 6 месяцев назад
Yeye ndiye aliyevurugwa, sio sisi
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 года назад
Kama kunyoosha mambo ndiyo kuvuruga basi na iwe hivyo. Mwacheni mpambanaji wa wanyonge aende zake kwa amani. Ongeeni mambo mengine ya maana kwa wananchi wanyonge ambao ndio wengi kwa nchi hii...siyo kwa faida ya wachache wanaodai kuvurigwa na yule aliyekuwa mtetezi wa watu wa chini
@agogomgagagigigogo2672
@agogomgagagigigogo2672 2 года назад
Moja kati ya mabwege nisiowapenda ni pamoja na huyu Mzee. RIP JPM wetu umeondoka umetuachia shida ka hizi ,tunakumic sana baba.😭😭😭
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
Alipokuwa hai wote hawa walikuwa mikia kifuani kama mijibwa koko. Wanawezaje kujifananisha na yule mwanamapinduzi!!! Tena eti haka ka jenerali kanathubutu kufungua mdomo kumzungumza JPM..kwa kipi hasa ambacho yeye na ujenerali wake amekifanya kwa Watanzania? Angefungua huo mdomo Jembe likiwa hai basi! Mijike tu hii
@chamimdesa148
@chamimdesa148 2 года назад
Hujielewi ndg, this's the best politician it the country
@agogomgagagigigogo2672
@agogomgagagigigogo2672 2 года назад
@@chamimdesa148 hiyo ni ww sasa ndo best,kini kwangu mm simkubali,na usifosi tufanane,nimekomenti kivyangu naww komenti kwako na c ungoje mpaka uone wengine tumekoment nn ndo ujifanye kuingilia maoni ya watu ,we nae ni bwege tu😏
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
@@chamimdesa148 Huyu ni mwana habari tu huyu maneno mengi vitendo zero! Mbona alikimbia majukumu aliyowahi kupewa huko nyuma? Kama sio coward angeingia ndani ya mtanange atusaidie basi kuyafanya hayo anayozungumza! U best wake unatokea kwenye maneno au vitendo? Unamzungumza vibaya mtu ambaye kwanza Marehemu halafu zaidi ametenda makubwa kwa nchi hii! Yeye ametenda lipi?
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 года назад
@@thadeymsaki2568 Ujenerali alipewa na mama yake ndo sababu ya kubwabwaja..!!
@mandalorian_4.11
@mandalorian_4.11 2 года назад
inauma sana kuona anaejiita msomi kutetea upuuzi.... kwa akili ndogo tu ambayo inaweza kufanya mtoto wa vidudu akuone zuzu! kwa aliyoyafanya JPM lazima yataishi milele kwasababu aliamua kuweka historia na alifaulu kwa hilo, kuiba kura ndo kaanza yeye ndani ya ( CCM )? acheni utumwa wa fikra. 🗣 TUAMKE
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
hawa ni njaa tuu , wezi wote unafanyika hivi na samia na mawaziri wake wao bado wapo na mtu alikufa miaka miwili iliyopita , ni upingugu wa kimawazo na fikra na ni ujinga kwa kweli
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 2 года назад
Kwakua sio wakwanza kuiba ,wasiseme? Je kama Kuna mema / makubwa aliyatenda watu wasiseme mabaya yake ? Unadhani kina Musolin, Amini , hata Gadafi hawakutendea Mataifa Yao makubwa?
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 2 года назад
@@faroukrashid5507 sasa kiongizi gani asiye kuwa na mabaya , karume ? nyerere ,? mwinyi , ? twambie . kipindi kwa kikwete Tanzania aliongoza kwa kuuliwa wanahabari likini hakuna aliesema kitu kwa sababu watu aliwaachia kufanya yao ya wizi . kumbuka bila kupiga vita rushwa hata taifa likiwa na rasilimali kiasi gani halita piga hatua yoyote kimaendeleo na mifano ni minga kwa Africa, kila kinacho patikana kitaishia kwa wachache tuu na ndio hicho sisi tuongea na kimpa sifa yake Magu Samia anauwa saa hivi mbona hamsemi kitu au kwa sababu kakuachieni mfanye yenu ya wizi ?
@faroukrashid5507
@faroukrashid5507 2 года назад
@@whatisthetruth.8793 Nani kakwambia Kikwete hakusemwa? alisemwa Tena sana. Hao wanahabari waliuwawa Tz hii au nje ya nchi? Je au ukitaka kusema kuumizwa kwa Abusalum kibanda na Dk Ulimboka?
@samateryusuf4345
@samateryusuf4345 2 года назад
Utumwa wa fikra unaongezwa na ccm , jpm kapigika Hadi Raha Asante mungu
@ikulunimahalipatakatifu7642
@ikulunimahalipatakatifu7642 2 года назад
hacha tu Tanzania iendelee kuwa shamba la Bibi .. siku moja muda utaongea.. RIP shujaaa JPM..
@nasseralbutrani435
@nasseralbutrani435 2 года назад
Alikua rais jambazi akateuwa majambazi wenzake wawe wakuu wa mikoa kama jambazi makonda na jambazi sabaya.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 года назад
Kwanini magufuli anatajwa, ebufikilia. Nimajina mangapi yanatajwa kwenye historia, kwahiyo magufuli lazima atajwa,
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 2 года назад
Unataka utajwe wewe ambaye hujatuongoza na hautatuongoza hata siku
@josephpaiter440
@josephpaiter440 2 года назад
Alikua mavi
@antonykomba6631
@antonykomba6631 2 года назад
A brave person would always make a beeline to the issues, and not nailing someone to the cross especially a deceased one!!!. I have been swept off my feet by Mr. Ulimwengu's touch of patriotism, but mentioning JPM's name while the man's no longer in touch with this world nor any other world is not appropriate
@egidiuskahamba4153
@egidiuskahamba4153 2 года назад
JPM? So is not OK for JPM but OK for JKN and BWM?! Strange!!@Anthony Komba
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 Год назад
Huyo mkimbizi arudi kwao burundi kwao huko
@abdifaraji2883
@abdifaraji2883 Год назад
​Kweli inauma.@@antonywilliama2868
@felixsanga
@felixsanga 8 месяцев назад
Good deeds of the dead we accept,refer always"Hata baba wa taifa alisema,Hata Yesu alisema,Hata mtume alisema!but when it comes to evils of the past we tend to shut mouths of talkers!It seems we like defending all evils of the dead probably are beneficial to defenders!We talk much of the Devil daily in all religions but who confronted physically,mentally &spiritually was Jesus!But we still talk today!Tanzanians are really interesting people that they dictate all affairs of another person"What to support,how to talk,how to cry even when is beaten or has been agrieved severely either with powers ,authorities&other systems!This is purely justices miscarriage and criminal like terrorism,murdering and all kinds of oppressions against others in favour of a certain group of people whom you think are better or superior than others which is against the Constitution and God who is the source of everything including 'Freedom"!
@musasabuu2808
@musasabuu2808 7 месяцев назад
​@@antonywilliama2868mambo ya urundi yanaingia vipi hapo mjibu kwa hoja iliyoshiba zaidi
@josephmwita5959
@josephmwita5959 2 года назад
watanzania wengi Wana criple of mind ni ngumu kumuelewa mzee ulimwengu ndo maana wamekalia uchawa tu na kusifisifia na wajue anayestahili sifa ni mungu tu pia tujue kwenye sayansi za siasa ni hatari sana kusifia sifia kiongozi hapo ndo mwanzo wa kujikweza unaanzia
@salehmdumbwa6181
@salehmdumbwa6181 2 года назад
Nchi yetu hatutaki siasa tunataka vitendo kabla ya mjomba nchi ilikuwa mbovu kimaendeleo mshamba ww halafu ss tunaenda wapi
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 2 года назад
Bwege kweli, Hali ya Sasa Ni ngum kuliko wakati wa magufuri. Wezi wote hawakumpenda magufuri yalizoea kuiba tu na kuto kuwa WAZALENDO🤸
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 2 года назад
Huyu mzee sijui alisha wahi kumpenda kiongozi gani wallah
@robertphilip385
@robertphilip385 2 года назад
Kwani wezi waliendaga wapi siwakotu ccm
@chrismassawe2939
@chrismassawe2939 2 года назад
Ww ndo bwege mwizi ni huyo aliepiga Trilion 1.5
@mahyorokalokola4012
@mahyorokalokola4012 2 года назад
Kwani Magufuli hakuwa mwizi? Wapi tr 1.5 aliyotupiga
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 2 года назад
Mzalendo gn aliyeibiwa na hao unaowaita wezi kwani ss tumeona kinyume chake utawala ule katili ndio umedhulumu Mali za watu kwa hila na kuwapa majina mabaya kwa kweli walikuwa wanafanya ujambazi wa kupora kwa kutumia Dola..!
@joshuajofrey9832
@joshuajofrey9832 2 года назад
Hivi vizee vimesha choka viacheni vipumzike RIP JPM 🙏
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 2 года назад
Kamfuate uzikwe naye.
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 года назад
Wewe ni mbuzi wa kafara tu hujui chochote yaani bangosilo
@mussamalilo8294
@mussamalilo8294 2 года назад
Hii nikrim yataifa jenerali Yuko vizuri zaidi yasana
@aloycemacha9894
@aloycemacha9894 2 года назад
Tutamsema maovu yake
@adanfarah2080
@adanfarah2080 4 месяца назад
Youth is not a virtue
@marieconnect6389
@marieconnect6389 2 года назад
Yaani tunakuheshimu mzee ulimwengu ila biashara ya kuendelea kumponda na kumkejeli magufuli inakupunguzia heshima yako. Magufuli bado anaheshimika na kupendwa sana kwenye mioyo ya wananchi wa Tanzania. Achana na fikra au mikakati ya kumchafua. Uanazidi kujiharibia sifa
@IlhamKhalid-mt3jp
@IlhamKhalid-mt3jp 11 дней назад
Magufuli siyo Mungu anaheshimiwa kwa mazuri yake na ataendelea kusemwa kwa mapungufu yake ndio hali ya kibidamu na uhuru wa kuongea/kujieleza muhimu asivunje sheria
@mmarandu2417
@mmarandu2417 2 года назад
WISE PEOPLE SAY: ABOUT THE DECEASED, NOTHING BUT GOOD. RIP JPM. WE LOVE YOU ❤ AND PRAY FOR YOU.
@joshuamassawe2474
@joshuamassawe2474 2 года назад
Never the truth, huh?
@user-zh8wg3lc4i
@user-zh8wg3lc4i 2 года назад
Nakupenda wewe Generali Ulimwengu Mungu anajua, wewe ni kiboko safi sana.
@reynaldakizuri7354
@reynaldakizuri7354 Год назад
Wengi hawamfahamu vizuri General( tulivyokuwa tukimwita akiwa pale Tabora School). Huyu mtu anajielewa sana, hata kwenye debate alikuwa hatari. Msumbuji wenyewe wanamwelewa vizuri hasa ktk harakati za kupigania uhuru chini ya chama chao FRELIMO na Mwanamapinduzi Samora Machel.
@gaudenciamallya9779
@gaudenciamallya9779 2 года назад
Hazina kubwa ya taifa hili. Mungu akubariki Sana Mzee wetu. Ndugaiii ! Ila amekusifia kuwa una Akili.
@adanfarah2080
@adanfarah2080 4 месяца назад
Generali is the perfect anecdote for Tanzania's hero worshipping and sycophantic political culture, he says it like it is, like it or hate it
@rugendorunene545
@rugendorunene545 2 года назад
Wakuu wa mikoa au Wilaya... ni vibaraka tangu enzi za mkoloni. Hizi nyadhifa za faa kuchaguliwa na wanainchi wenyeji.
@bonnyngowo7567
@bonnyngowo7567 2 года назад
Jenerali watu waliosoma makala zako za uchambuzi huwa hatujuti kukusikiliza.Big up!
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Год назад
Unakumbuka gazeti- Rai/Raia Mwema!!!!
@immanuelinvocavith1498
@immanuelinvocavith1498 2 года назад
Dunia haipendi ukweli na ukweli unauma ila ni dawa kitakachoiponya tz ni kusema ukweli, marehemu ni ruksa Sana kumsema Nyerere amefariki lakini tunamsema ukifa mchawi tutasem ulikua mchawi ukifa mtumishi wa Mungu tutasema, wote mnaocomment mkifa watenda mabaya tutawasema Kwa mabaya yenu maana matendo ya mtu yafuatana nae, tengenezeni historia njema Kwa kutenda mema. Kama mnavyofurahi akisiwa na huku amefariki vumilieni wengine wakisema walivyomfahamu
@sikitu8957
@sikitu8957 2 года назад
Ukiona waliyo hai wanamzunguzia aliye kufa jua kabisa maiti ya mtu huyo ina nguvu nyingi kuliko ya walio hai Na ni kweli kabisa magufuli ndio mtu pekee ambaye anaweza kutowa ccm madarakani kama wapinzani watatumia fursa hii vizuri kutumia jina la magufuli kuwa bendera yao hakika na kuambia 2025 kuna watu watatoka madarakani kwa aibu watajipitisha ila kwa asira ya wanainch watakubali kuacha INCH
@robertphilip385
@robertphilip385 2 года назад
Kwani jpm alishinda kihalali sialikua mwizitu wakura
@lilykarim8968
@lilykarim8968 2 года назад
Wakuache baba yetu upumuzike kwa amani wasikuchoshe wasaka tonge rip jmp
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 2 года назад
Huyu mzee ajengewe sanamu aiseee yy husema ukweli halafu hakimbiiii kudaadake
@abednego3876
@abednego3876 2 года назад
Siio kweli, huyu ni tapeli
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 года назад
Watanzania Bado tunamachungu yetu msituchukulie poa IPO siku mtakuja kuona machungu tuliyonayo halitabaki jiwe juu ya jiwe
@YOSHUAMWAMPETA
@YOSHUAMWAMPETA 2 месяца назад
TUMEISHAWASHITAKI KWA MUNGU. Kwanini hakumtaja MAGU akiwa hai?
@abdulrwenza986
@abdulrwenza986 2 года назад
Huyu ana ushaidi gani kwamba kura ziliibwa?Magufuli alikuwa ni upepo wenye akilli nyingi ubunifu mwingi kuchapa kazi na uzalendo kupita kiasi lakini pia kutetea wanyonge haya yote yalifanya wengi wamiamini na kumpenda hasipoteshe ukweli na hawezi.
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 2 года назад
Haikuhitaji akili kubwa kujua kwamba kura ziliibiwa. Kila mwenye akili analijua hilo.
@aronatv47
@aronatv47 2 года назад
Sikatai Kuwa Jpm alikuwa na Mazuri na Mabaya..Kinachonishangaza tu ni kuwa Sijui JPM aliwapa nini wa TZ hats ujinga alioufanya wawazi wazi wanataka uonekane ni mzuri/ wmaanaa..Na ndio alishatujua wa TZ akili zetu zilivyo alichokifanya nikuziweka mkononi mwske kiasi kwamba Ujinga na Uzuri vyote alivyo Fanya vioneka ni sawa tu ..
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 2 года назад
@@aronatv47 Una akili kubwa sana ndugu👍. Hongera saana🤝. Kunywa pepsi moja kwa mangi hapo nitalipa. Kwa bahati mbaya wenye akili kubwa hivyo kama wew ni wachache. Wengi ni mazuzu tu.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 2 года назад
@@aronatv47 Kwangu mimi najuwa kila binaadam atatenda makosa lakini JPM alikuwa na maono ya kulipeleka mbele Taifa kiasi kwamba hata CCM wenyewe hakupenda, aliongoza kwa kutumia sera za Wapinzani kama vile ufisadi, Elimu bure, afya , taifa halina ndege nk. Binafsi nilimpenda kwa kushughulika na wananchi moja kwa moja ule ubwana mkubwa usiopungua tuliodhani hata hawawezi kuhojiwa na Polisi tuliona wakiwekwa hadi cello, nchi ilikuwa na nidham na heshima kiasi. Yote kwa yote upinzani wa Tanzania bado haujawa na nguvu za kuishinda CCM pamoja na figisu zilizofanyika. Ukiwa na nguvu za kutosha hakuna figisu itakuzuwia toka 1995 Pemba kule Zanzibar Upinzani unashinda 99% na inatangazwa.
@mustaphahassan589
@mustaphahassan589 2 года назад
Kwan ilihitaji akili ya degree kujua uzumbukuku wa 2020
@user-rh5zr1vk1w
@user-rh5zr1vk1w 9 дней назад
Komredi ninakukubali sana. Na na kumbuka makala zako nzito kwenye rai raia mwema.na pia mkuu wa wilaya ya ilala na kua karibu na vijana.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 года назад
Ungekuwa mwenye mapinduzi wa kweli ungewatete Wamasai ngoro ngoro na kutoa mawazo mbadala kuhusu mfumuko wa bei we kila siku ni Magufuli Magufuli kama vile aliwahi kukupora dem. Muacheni Mze yule apumzike jamani
@willbroadmwikwabe3103
@willbroadmwikwabe3103 2 года назад
Mbona Jenerali amezungumza kuhusu wamasai mara nyingi tu lakini pia ana haki ya kumkosoa magufuli maana aliwai kuwa kiongozi mkuu wa nchi na kuwa marehemu sio kigezo cha yeye kutozungumziwa mbona mpaka leo watu wanazungumza kuhusu idd amin na alishafariki kitambo sana.
@befamgaya4633
@befamgaya4633 2 года назад
Je hayo yote yalitokea katika kipindi cha utawala wa magufuri tu?
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 2 года назад
@@willbroadmwikwabe3103 hujitambui kwani ukimsema itakusaidia nini wakati hata kusikia hakusikii???
@willbroadmwikwabe3103
@willbroadmwikwabe3103 2 года назад
@@befamgaya4633 ni kweli kabisa shida imekua ya mda mrefu na wala haikuanza kwa jpm na ulimwengu amekua akikosoa kabla ata ya jpm bahat mbaya ni kwamba magufuli amekua kiongozi miaka ya hivi karibuni na huwezi jua kwa namna gani ulimwengu aliathirika ktk utawala huo kwa hiyo kama raia ana haki ya kusema.
@willbroadmwikwabe3103
@willbroadmwikwabe3103 2 года назад
@@zeralucyntazimila6600 kumsema haina maana kwamba akusikie ila inasaidia kuwaonya na kuwakumbusha watawala waliopo juu ya mambo yaliyotokea katika vipindi vya nyuma, ni kama tu vile mtu akimsifia jpm kwa mazuri aliyofanya wala jpm hawezi kumsikia.
@princehancesam9892
@princehancesam9892 2 года назад
Magufuli historia yake na mazuri yake hayatokuja kufutika
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
Hakuna rais historia yake itafutika. Wote wa TZ. Tambua hilo!
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 2 года назад
Historia iwe nzuri au mbaya haifutiki,jisumbukie mwenyewe.
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 2 года назад
Mema yake yatakumbukwa wanaonikela Ni wale wanaotumia hoja za nguvu kufunika mabaya yake.na wakome.
@charlesmpemba9387
@charlesmpemba9387 2 года назад
Mmekosa wakuwahoji mnahoji Hilo jinga
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 2 года назад
Maoni yako yamekuvua nguo
@benjaminibirama6664
@benjaminibirama6664 2 года назад
Huyu Mzee ni mwehu mtangazaji usirudie kuhoji watu kama Hawa
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 года назад
Wewe ndo zuzu huna upeo wa kujua Mambo kaa kimya
@petronilamruma2418
@petronilamruma2418 2 года назад
Yaan jpm anawatisha tangu akiwa hai mpaka amekufa.. Kweli jpm Ni mwamba and he will always be.. Wachana kupambana na marehemu deal na wazima.. We don't need degrees kuona Alichotufanyia Magufuli bana.. jitahid utengeneze mchiriz wako ili hata we ukifa uzungumziwe!!!!
@samsonfulgence5553
@samsonfulgence5553 2 года назад
Ni kutokana na hicho alichokifanya ndo maana anasemwa. Wew unaona cha upande mmoja, acha wanoona cha upande wa pili ambacho wew huna macho ya kukiona wakiseme.
@zeralucyntazimila6600
@zeralucyntazimila6600 2 года назад
@@samsonfulgence5553 kwa hiyo anasikia??
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
Wanapatwa na mihaho. Bila shaka wamekwishakwenda penye kaburi la MWAMBA kuzindika asifufuke..! JPM ametufungua macho na kutuonesha kuwa tunaweza wenyewe. Sasa hawa uwezo mdogo, tamaa binafsi, uchu wa madaraka na mali bila kujua kuwa wametumwa kuwatumikia wananchi hasa wale wanyonge..kiongozi unakula milo sita unalipwa na zaidi ya mshahara unasahau kuna watu huo mlo mmoja ambao hata haujakamilika kwao ni ngumu kuupata kila siku. Shuwainyi!!!
@thadeymsaki2568
@thadeymsaki2568 2 года назад
@@samsonfulgence5553 Mafisadi tu ninyi mnajotahidi kuchafua jina la JPM kwa vile aliwafinya mahali!
@patrickkalengela7125
@patrickkalengela7125 2 месяца назад
Generali Ulimwengu Ni Mkweli , nuakati za Sasa tunaona Wakuu wa Wilaya na Mikoa Vimeo na tunajua wamewekwa bila kufahamika uwezo wao, Ila yu kwa kuwa Wanajuana na Wakubwa Fulani. Mungu ainusuru na Janga hili la Kupeana vyeo kwa kujuana badala ya kuangalia uwezo wao
@daudisaid6198
@daudisaid6198 2 года назад
Hili senge sana magu pumzika kwa amani baba haya mapiga dili acha yaendelee kukuchafua ila Dunia mapito tu.
@daudisaid6198
@daudisaid6198 2 года назад
@@Abs-tz8dl ebana alhamdulillah siko vibaya ila nahurumia mama zako huko shambani pumbavuuuuu wewe magu aliwabana wapiga madili mkaanza kuuza mikundu coz hamwezi fanya kazi ya kutoa jasho nyau weusi nyie na kwanza mchunguzwe vizuri uraia wenu tunamasha
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 2 года назад
Magufuli bado hai,,kwa kazi zake.na kutonyenyekea watu kama hawa vivuruge.ambao wameubwa kwa ajili ya kuzungumza tu.pasipo matendo.
@DUL69
@DUL69 Год назад
Badmouthing A Deceased one isn't Appropriate. Especially Badmouthing JPM. OUR LATE PRESIDENT JPM WAS A MAN AND A TRUE PATRIOTIC TO HIS COUNTRY. R.I.P MR. PRESIDENT JOHN POMBE MAGUFULI. WE TRUE TANGANYIKANS REALLY MISS YOU.
@amourmtungo623
@amourmtungo623 2 года назад
🤔Kama uliwahi kuwa kiongozi wa nchi au wananchi, uzuri na ubaya wako utarudiwarudiwa na kusemwa sana midomoni mwa watu. Kwahio watu kuwataja viongozi waliopita na waliyoyafanya sio jambo jipya au geni. Tusihoji sana Watanzania kutoa dukuduku lao kwa mtazamo wao kwasababu kila mtu ana mtazamo wake juu ya viongozi na matendo yao ya uongozi. Kukosoa, kusema na kushauri ni sehemu ya demokrasia. Kisichohitajika ni matusi. Tukiwa hai ni lazima kuhoji, kuuliza maswali mengi tu yanayohusu nchi, kisiasa na uchumi. Sote tuna haki sawa juu ya hili. Tupendane na mazuri tuyapongeze mabaya tuyalani🤔.
@salehmdumbwa6181
@salehmdumbwa6181 2 года назад
Mimi nasema uongozi mbovu mnatuletea siasa ndio maana nchi inadorora tulishavuka huko mnaturudisha tena Mara Mchele mafuta miradi imesimama mnazingua tatizo lenu wengi mnaleta siasa dunia ss hivi uchumi ndio kila kitu oooh Mara mboe Mara mjomba kakosea
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn 6 месяцев назад
Huyu Mzee SI mtu wa mchezo anaakili nyingi sana.nyerere mwenyewe alimkubali
@godwinmbwambo3316
@godwinmbwambo3316 Год назад
This man is very smart!
@martineshija2712
@martineshija2712 2 года назад
Huyu mzee ni msomi lakini mjinga
@stanslausmachege2179
@stanslausmachege2179 2 года назад
Huyu Mzee anaona yeye ndiyo Yeye
@gaitanokamage7366
@gaitanokamage7366 Год назад
HUYU MZEE ANAWIVU TUU WA KUKOSA KILA KITU KUPINGA
@michaelmkisi6999
@michaelmkisi6999 2 года назад
Freedom ya uandishi sio hatred ya kumsema mtu ambaye kaenda mbele ya haki kumsema vibaya mtu wakati wewe mwenyewe hujatenda haki yeyote dunia hii. Chunga sana ulimi wako utakufa vibaya.
@collinmhema5443
@collinmhema5443 2 года назад
Kwani aliyoyatenda nayo yameenda mbele ya haki? Mbona tunayasema mazuri ya mwalimu kila siku na katangulia mbele ya haki na husemi
@raheemmahadi2987
@raheemmahadi2987 2 года назад
Jmp 4 life ..until end of dz country
@gulalakitinya7615
@gulalakitinya7615 2 года назад
Very rich discussion.
@anthonypatrice5247
@anthonypatrice5247 2 года назад
JPM, RIP PEACE but like him
@tumsifumartine612
@tumsifumartine612 2 года назад
Uyu Generali Ulimwengu ni mjinga sana,na hana akili kabisa kila saa anamuongelea Magufuli mtu ambaye hayupo tena watu wajinga sana hawana cha kuongea wameishia, rest In Peace the lite president Magufuli
@salimukimwaga
@salimukimwaga Год назад
Huyo jenerali anamtuhumu Magufuli aliwavuruga kwa kweli watu wabinafsi na walafi unafikiri nchi ilivyoachwa na mtawala aliyepita kabla ya Magufuli ikiwa kama nyumba hainA mkubwa anayekemea mabaya yote yaliotokea sawa tu Magufuli kama kuweka nidhamu serekali mpaka mtaani hata maendeleo ya nchi yakaonekana kwamba sasa nyumba imepata na a kiongozi huyo hatumshangai hata kwa asili alikotoka
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 3 месяца назад
Kama Mrema alikuwa hivyo je Makonda naye nani wanainchi Inchi hii watu wamefanywa kutofikili vizuri. Kwa sababu wanainchi wamefanywa kutofikili mpaka kesho kwa sababu CCM imewafanya watanganyika wanadhani kuwa hawawezi kufikilia wao wenyewe hawawezi kufikili bali raisi ndiyo ana akili kuliko wao wenyewe.
@justusngonyani165
@justusngonyani165 27 дней назад
Magu ataishi.Tunamkumbuka sana.
@pantaleogregory2175
@pantaleogregory2175 2 года назад
General umeongea ukweli mtupu Mungu akulinde
@ukweli255
@ukweli255 Год назад
23 January 2023
@pendomalisa9308
@pendomalisa9308 2 года назад
Akili yako haipo ungeongea vitu vyenye point
@damianichayo895
@damianichayo895 2 года назад
Si yote anayosema ni sawa anahisi na kutetea nafsi yake kisiasa na hususa ni kuwa against na CCM tu. Mkitaka kujua ukweli wa wapiga kura walimwagika kumpigia JPM mkitaka ushahidi wa haya pasipo kutafuta sifa ebu acheni kura za masanduku halafu watu wajipange mstari ndo mtajua wengi wapo chama gani hasa kwa kumhusisha JPM. Msiguse vinijini hata kidogo. Alipendwa kupitiliza.
@lawrencekyando2275
@lawrencekyando2275 Год назад
Unamsema mutu hayupo iliiweje sema kinashoendelea sasa mnafiki tu mope mungu.
@johngibson3089
@johngibson3089 2 года назад
Jenerali Ulimwengu ni hazina zaidi ya viongozi wengi tu waliopita na hata waliopo
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 2 года назад
JENERALI HATA MIMI NILIMHOFU MNO MREMA KUINGIA IKULU ILIKUWA HATARI MNO!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Wewe mrundi au mnyarwanda toa kelele zako mitandaoni kumbuka yaliyokukuta nyuma mtanzania magazine imeishia wapi
@everestmrema1762
@everestmrema1762 2 года назад
For rememberness y'r exeptiona.we depend on you for our National politics.BRAVOOO GENERALI
@safnasachu3515
@safnasachu3515 2 года назад
Bravo Jeneral
@frankmkude8593
@frankmkude8593 2 года назад
Mzee hatupo nae rkn bado tu jina harifi
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 2 года назад
Jamani huyu mzee namkubali Kama baba yangu nampenda sana na misimamo yake nakukubali saaana yaani hakuna lugha niayoweza kuitumia jinsii ninavyompenda
@jamesmasome359
@jamesmasome359 2 года назад
Nyambafu...
@elishuaisaya4176
@elishuaisaya4176 2 года назад
Nakuogopa Sana mzee wangu kwani wenye nywele nyeupe wengi pia huwa na akili nyeupe lakin kwa akili yako inanishinda kuelewa kila iitwapo leo ninampango wa kufa sijaona Tanzania anayoisemea ulimwengu kwa namna ya wananchi tulionao
@tiffahdangote7548
@tiffahdangote7548 2 года назад
MAGUFULI ALIKUA ANANYOTA WW.....! HAHAJAHA THE DEAD PERSON MPAKA LEO ANATREND HAMSHANGAI?????? MAGU WAS GREAT ASIKWAMBIE MTU! ALIKUA UPEPO WATU TUNAMFATA TUUUUUU.....LEO HIIIII HEEEEE MAMA ATAUKISIKIA ANAPITA HAPO HAKUNA HATA ANAESIMAMA! NANI ANABISHAAAAA???? HEHE MAGU REST IN PEACE!
@lilykarim8968
@lilykarim8968 2 года назад
Kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 2 года назад
Alikua ana nyota ya kuua watu na kuteka watu mwanaharamu yule afie mbali
@user-kq5si5pv9n
@user-kq5si5pv9n Год назад
Huyo jenerali ulimwengu hafai kwanza, wajeshi gani?
@fikirinyanda6805
@fikirinyanda6805 2 года назад
Huyu mpuuzi hana uwana harakati wowote kwanza anatukera sana
@sifathyunusu871
@sifathyunusu871 Год назад
Wewe Ulimwengu hujui lolote hata ufanye nini Hatugomsahau Raisi magufuli
@rashadu874
@rashadu874 Год назад
VIJANA WA OVYO AZANA CONTENT ZA KUONGEA NA JENERALI
@makondorshimora5017
@makondorshimora5017 2 года назад
Huyu jamaa anazeeka vibaya, kwanza wasiwasi upo huyu ni wa kuja yaani mamruki ukichimba undani wake, ilishaonekana uraia wake ni wa mashaka!
@j.c.maxima816
@j.c.maxima816 2 года назад
Akili nyingi sana huyu Mzee! Huwezi kumuelewa ww!
@c75923
@c75923 2 года назад
Hili ni moja ya pandikizi toka nchi jirani yanayoletwa kama "shushushu" Mkapa alilipiga PI likaanza kulia lia! Ningemuona wa haya maneno angeyasema wenyewe wapo! Apart from that its NONSENSE
@makondorshimora5017
@makondorshimora5017 2 года назад
@@j.c.maxima816 amechelewa, anazitumia uzeeni ujana wake alikuwa wapi?! Now these days his brain is a retired brain 😂
@francisassenga2546
@francisassenga2546 2 года назад
Nimependa jinsi waandishi mlivyomhoji Jenerali kwa weledi na kwa uhuru mkubwa. Hongereni sana.
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 года назад
Jenerali Ulimwengu ni Kichaa, msaidieni afikishwe Mirembe kwa matibabu.
@wilbertsanze285
@wilbertsanze285 2 года назад
Kicha wazazi wako
@eng.mallya9532
@eng.mallya9532 2 года назад
Mama yako ndio kichaaaaa
@BongoCryptos
@BongoCryptos 2 года назад
@@eng.mallya9532 Mataahira wote mnajulikana tu
@janiaoma7093
@janiaoma7093 2 года назад
JENERALI ALIJIFURUGA MWEYEWE KWA UJIGA WAKE WA TAMA YA KUTAFUTA WAZFA WA CHEO AGALIENI SANA SISI WATANZANI UKIKOSA CHEO SEREKALINI AU UKIKOSA KUPATA PESA ZA UJANJA UJANJA UNAKUWA MKALI SASA WATU KAMA HAO WALISHIKWA NA MAGUFULI HAWANA MWAYA WA KUPATA PESA ZA WIZI
@ChristerShao
@ChristerShao Год назад
Kyerwa mmetueshimisha.Mbona Mbowe hukufika Izimbya,Ibwera na kasharu.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 7 месяцев назад
Akili kubwa sana 💯
@Jal210
@Jal210 2 года назад
Hina adabu wewe mzee kafilie mbali huko
@user-qx4pc3rx8g
@user-qx4pc3rx8g День назад
Nyie hamna akiri
@samwelipima3795
@samwelipima3795 2 года назад
Anatafuta Kiki huyo mzee hakuna namna JPM hatupo nae lakini huyo Hana HOA za msingi hata kidogo Kama kila kitu nikumponda mpendwa wetu jpm
@rehemashabhay8946
@rehemashabhay8946 Год назад
Jeneral wewe ulimsema sana J.P.M. wewe ulikuwa na makandokando yako mabaya.,sasa hapo unatueleza nini????
@brightluvanda2795
@brightluvanda2795 2 года назад
Umezeeka hivyo lakini bado linamponda magufuli,,,utafikiri lenyewe lina muda mwingi duniani??aibe kura kwa lipi?,,,,kazi aliyoifanya magufuli ndio iliyowashawishi watu kuipa kura ccm!!",,,,endeleeni kujidanganya!",,,,na kwa taarifa yenu ,,,sasahivi watu wamegundua kuwa hata ukitaka viongozi bora bado,,,wanaweza kutoka ccm,,,maana sio wote ccm wameharibika bado kuna wenye uzalendo,,,,kuliko kutegemea nyinyi upinzani,,,,,wakati wote ni wanafiki tu na wachumia tumbo!,,,,kitu ambacho mmeshindwa kuona kuwa,,,pamoja na shida zote bafo wananchi hawajawrka imani kwenu,,,,kwani wanaamini bado kuna mbegu bora na zinazoweza leta matumaini kama zikipewa nafasi ndani ya ccm!.,,,magufuli ametuonyesha hilo,,,hivyo nyie endeleeni kuvizia !!"
@sambulugu9988
@sambulugu9988 2 года назад
Huyu mzee anajionaga ana akili kuliko wengine! Lakini hana lolote ambalo ashawahi kufanya ujinga ujinga tu na udini unamsumbua! Ogopa sana kichwa cha muvi kilicho jaa upumbavu! Mzee mpuuzi sana huyu! Yaani viatu vya JPM huwezi hata kuvivaa!
@salimabdallah7252
@salimabdallah7252 2 года назад
Mzee bingwa sana huyu....
@adanfarah2080
@adanfarah2080 4 месяца назад
Wasafi, mbona background chafuu!
@godluckdenismalisa8736
@godluckdenismalisa8736 7 месяцев назад
Elimu ni tatizo kwa kweli punguzeni miemko makasiriko na kufata mkumbo mzee jenerali ulimwengu ni makini sana. Pendeni kutumia akili ata kindogo watz
@patrickmukundichalamila3038
@patrickmukundichalamila3038 2 года назад
Magufuri mumuache alale salama,kama alkua mbaya basi ubaya wake anaujua yeye alie fanyiwa ubaya na Alie fanyiwa mazuri basi amkumbuke kwa mazuri yake. Mungu ndo ataamua nan alkua salama sababu dunia hii twapita
@okokakasumba3031
@okokakasumba3031 2 года назад
Kubwa jinga rudi kwenu Rwanda huna jipya kabisaa
@ambokileasheengai1140
@ambokileasheengai1140 2 года назад
Tuwaenzi na Kuwaheshimu sna hawa wazee wetu ni Hazina Yetu kwa Nchi Yetu
@user-kq5si5pv9n
@user-kq5si5pv9n Год назад
Hâta kumtumia ni aibu hafai kuwa mzee
@twahirabasi9765
@twahirabasi9765 2 года назад
Hongereni vijana mmeuliza maswali ya msingi sana. Big up Jenerali, umetema madini mazito.
@eliaszenda7935
@eliaszenda7935 Год назад
Pensheni ziongezeke wazee kazi wamesha fanya ajabu Serikali imekopa na tunaombwa sasa walipe.
@tonnyojambo1731
@tonnyojambo1731 6 месяцев назад
We Ulimwengu ndiyo maana unaoza sura si uende kwenu kwani wewe mtanzania! Kila siku magufuli, Magufuli utakufa huku unatembea kwa laana ya kumsema Magufuli
@aliyageorge6794
@aliyageorge6794 2 года назад
For some reason anyone who critises the dead person has no sense.
@jeraldboman3053
@jeraldboman3053 2 года назад
Jinga wewe!
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
Koiyo Nyerere na Mkapa yuko hai... hehehehe
@antonykomba6631
@antonykomba6631 2 года назад
You're right on the button Aliya, they say it's not wise to nail the dead on the cross. It's beating the dead 🏇 to a pulp
@katunduhamisi9333
@katunduhamisi9333 2 года назад
What about praising them..? I think he who thinks critising the dead person is the one who has no sense..! Shouldn't we criticise Adolf Hitler?
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
@@katunduhamisi9333 Halafu tangu na tangu Adolf anasimangwa tu!
@wadeelegbogun3015
@wadeelegbogun3015 2 года назад
Mzee mzima hovyo..nonsense
@dicksonmakunja5831
@dicksonmakunja5831 2 года назад
Hawa wengine utawajadili siku wakifa Mzee si ndo kawaida yako
@andrewlimbe-vo8tg
@andrewlimbe-vo8tg Год назад
Ww ulimwengu unajambo lako na magufuli unachuki binafsi na magufuli yawezekana awamu zilizopita ulikua na maslahi haramu Fulani ,,acha unafiki kweli magufuli mazuri na ujasir wake wote kwako ni mbaya tu,,kweli nchi hii inawatu wanafiki hatar nilikuheshim sana ulimwengu lakin Kwa dharau zako hzo za kinafik Kwa magufuli hakika naww umeoza ndan Kwa ndan
@ezekielmrema3279
@ezekielmrema3279 2 года назад
Mimi Nipo west Africa. Kila ninaposema natokea Tanzania 🇹🇿. Watu wanausifia nchi Hii. Swali ni “kwanini mlimuua Rais wetu”? Magufuli ni kama alikuwa Rais wa Africa. Ameiendeleza Tanzania hata El Hadj Mwinyi alimsifia. Tuache dhambi Za wazi. Apumzike kwa Amani baba Magufuli
@Jal210
@Jal210 7 месяцев назад
Huyu mzee hajielewi mlevi mmoja
@valentinemtei3588
@valentinemtei3588 2 года назад
Nimeipenda
@kevinmary7129
@kevinmary7129 6 месяцев назад
Generali ulimwegu msukuma wa ikili igulu Misungwi mwanza ,amezaliwa kukosoa na kupiga kila kitu huo nao ni ugonjwa
@Ericomtz5
@Ericomtz5 Год назад
Ukweli ni kwamba sisi ni manyumbu acha tupelekwe tu wanavyotaka kikubwa uzuma
@tonnyojambo1731
@tonnyojambo1731 6 месяцев назад
Baada ya kuwahoji watu wenye akili zao mnahoji wendawazimu
Далее
Cristiano ronaldo VS Tibo Inshape ! 😱😱
00:20
Просмотров 3,1 млн
REFLEX CHALLENGE vs FOOTBALL MACHINE 🙈😱
00:24
Просмотров 3,5 млн
'Sikutoroka' - Dereva wa Lissu aiambia DW
16:33
Просмотров 767 тыс.