Тёмный

Kumbukumbu ya Lowassa | Utendaji na Mifumo ya Uongozi -Jenerali Ulimwengu Exclusive 

The Chanzo
Подписаться 92 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 27   
@EliasNgoikai
@EliasNgoikai Месяц назад
Jamani atusifii maiti tunasifia utendaji wake alipo kuwa hai kama tunavyofanya kwa baba wa taifa au una lako na wanamunduli amefanya kazi nzuri
@chrismwanjalika9892
@chrismwanjalika9892 8 месяцев назад
Hakika umekuwa muhtasari mzuri sana kwa kiongozi wetu, Maana inawaambia wengine wao habari yao itakuwaje.
@ukweli255
@ukweli255 8 месяцев назад
Ongeza Sehemu ya Pili Jeneral
@letemelekimboipoi6773
@letemelekimboipoi6773 8 месяцев назад
Excellent KATIBA MPYA ni muhimu kwa mamlaka ya wananchi
@Brightonkatabaro
@Brightonkatabaro 8 месяцев назад
Asante sana Mzee Generali Ulimwengu! Maelezo yako yanaelimisha na yanatoa picha nzuri sana ya mchango wa Hayati Edward Lowasa.
@EliasNgoikai
@EliasNgoikai Месяц назад
Ukweli ndio huo wewe na warioba ni hazina ya ukweli Long live saidia Lowasa aenziwe kwa maji. Shule za kata na UDSM.
@goodlucknnko1280
@goodlucknnko1280 8 месяцев назад
Duh Waziri Mkuu Garasa, Aisee!
@nsajisambi3417
@nsajisambi3417 7 месяцев назад
Wewe ndiyo mwenye akili sana ulitakiwa uwe waziri mkuu badala yake kisha yeye akafuge mifugo
@ukweli255
@ukweli255 8 месяцев назад
🙏 Tuko pamoja Baba
@ossipparsalaw-cx3jp
@ossipparsalaw-cx3jp 8 месяцев назад
Umenena ukweli
@raphaelkessy7360
@raphaelkessy7360 8 месяцев назад
Thanks
@EliasNgoikai
@EliasNgoikai Месяц назад
Jenerali umesema ukweli Lowasa apewe maua yake
@adenmwakalobo760
@adenmwakalobo760 7 месяцев назад
Kwa mara ya kwanza namuona Jenerali Ulimwengu asiyeusema ukweli wote juu ya mtu uliyemfahamu vema, tena kwa kukusudia kabisa! Nadhani ulikusudia kumsifu kwa vipawa ambavyo alividhihirisha ktk nafasi alizozishika, jambo ambalo ni sawa kwako kulifanya na ni haki yake kufanyiwa. Lakini umekwepa kabisa kuzizungumzia hoja za msingi za nakisi kubwa ya maadili zilizojengwa dhidi yake ambazo ndizo zilizosababisha asipate fursa ya kuwa Rais. Hata kama kwa sababu zako zozote hukukubaliana na tuhuma nzito za ulaji rushwa dhidi yake, ulipaswa kuzieleza tuhuma hizo walau kwa kiasi kile ulichokijua, yaani "ktk sura mbili, tatu" kama ulivyosema mwenyewe mwanzoni mwa mazungumzo yako. Inafahamika, kama alivyosema jaji Warioba, mwl Nyerere ndiye aliyekuwa wa kwanza kumkataa Lowassa ktk vikao vyao vya uteuzi mwaka 1995. Nashangaa kwamba hata aliyoyabaini mwl Nyerere juu ya ulaji wa Lowassa umeyapa kisogo, ingawa wewe ktk makala zako nyingi umemtaja mwl kama mtu asiye na upendeleo. Kudai kwamba ''waziri mkuu ni tarishi tu'', na wakati huo huo ukimsifu juu ya ujenzi wa UDOM, shule za kata, hatua ktk mkataba wa DAWASA, n.k ni CONTRADICTORY. Kwa nini umpe sifa wakati hiyo ni "nishati ya tarishi/garasa?" Kwa nini basi tulimsifu sana PM Sokoine kama alikuwa 'garasa' tu?? Hivi ni lini Lowassa alikuwa mnyonge kiasi cha kukubali kashfa asizohusika nazo? Kila alipoulizwa juu ya alikopata ukwasi wake, alijibu "MIMI NACHUKIA UMASIKINI"...hivi hilo ni jibu kweli? Tunaujua ugumu wa kuyasema mabaya yake mtu aliyekutendea wema uliouhitaji, na Lowassa alisifika kwa ukarimu kwa wengi-nimemsikia Chenge, prof Tibaijuka na wengine. Huenda Jenerali nawe uko hapo, lakini tutakubaliana kwamba uongozi wa juu ktk nchi lazima utanguliwe na uadilifu wa kutosha ndipo nishati na uwezo wa uendeshaji vifuate. Vinginevyo, moral authority ya kuzuia maovu haitokuwepo na hatufiki popote!
@BoBo-kg1me
@BoBo-kg1me Месяц назад
Kuvuta maji kutoka ziwa Victoria is not rocket science. It's something ought to be done
@boneyme9433
@boneyme9433 8 месяцев назад
Magufuli ..your Wisdom PLEASE
@jamesmramba7134
@jamesmramba7134 8 месяцев назад
😢
@marthamungure1777
@marthamungure1777 8 месяцев назад
Rais asiwe kama mfalme. Tufanye kama UK waziri mkuu awe na mamlaka zaidi
@boneyme9433
@boneyme9433 8 месяцев назад
Mzee Mwinji?
@alfredkinswaga8010
@alfredkinswaga8010 8 месяцев назад
General ungekuwa wewe Rais ungependa Mawaziri wako wajiamulie mambo makubwa ya nchi bila wewe kuyaafiki? Mfumo wetu ni wa Executive President. Bila badiliko kwa hilo, Waziri Mkuu pamoja na Mawaziri wengine bado watabaki kuwa wasaadizi wa Rais na si vinginevyo.
@marthamungure1777
@marthamungure1777 8 месяцев назад
Adui wa Lowassa watalipwa sawasawa na matendo yao. Mbona mkuu, rais wake wakati huo hakumtetea😢? Alimkana
@George-jz3jg
@George-jz3jg 8 месяцев назад
Yaani na wewe jenerali umekuwa mjinga tu ebu jaribu kueleza na mabaya yake mbona hukumpamba hivyo akiwa hai? yaani na wewe ni mtu wa kuyasifia maiti
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 8 месяцев назад
Alaa, kumbe huyu mzee naye ni mnafiki. Nakumbuka wakati wa sakata la Richmond huyu mzee alimtupia mawe sana marehemu. Africans, ni hatari sana!
@idrissamtonda737
@idrissamtonda737 8 месяцев назад
Jenerali umezungumza vizuri kumuhusu Edward. Lakini ninachojiuliza wewe na wengine wenye platform za kuzungumza mlikuwa wapi wakati Edward anadhalilishwa na kukashifiwa? Mlikuwa wapi wakati Edward akitukanwa na kina Slaa na CHADEMA yao lakini alivyotukanwa na watu CCM alipohamia upinzani!!!!? Au na ninyi mnaendeleza falsafa ya kusifia watu wanapokufa!!!?
@kevintruman9981
@kevintruman9981 8 месяцев назад
Inauma sana mafarisayo walikwama sana
Далее
ИСТОРИЯ ПРО ШТАНЫ #shorts
00:32
Просмотров 392 тыс.
DR Congo rebel chief justifies his fight - 21 Nov 08
2:28
ИСТОРИЯ ПРО ШТАНЫ #shorts
00:32
Просмотров 392 тыс.