Hajui chochote huyo mbona madereva tupo wengi tuliosomea na wazoefu tena tunauwezo wa kuchambua gari ya aina yoyote hadi ukaona kama kuendesha gari ni kama kula ugali tuu
Huyo jamaa haijui vizur hiyo gari, toka lini herufi R imaanishe Automatic!!?? Na herufi A je ita maanisha nn Kwenye magari??! Pia hiyo gari haina pedel ya clutch, pedel ya break ndio imeunga nishwa na mfumo wa clutch. Na mshauri afungue you tube ajifunze kupitia kampuni zilizotengeneza hayo magari, asije kuharibu bure!
Siku ukiwa dereva wa magari makubwa utaelewa clutch kwa gali kubwa ipo tena nyingi sana na ndokaziake kuondokea na inatumika zai gari ikiwa kwenye jamu sehemu pa kugeuza kwa shida lazima itumike na ipo usiyifananishe na NOA mjomba uwe muerewa
Huyo tanboy hajui gari anabwabwaja tu hajui hata kazi ya temperature anasema ni maji wakati nijoto inamana temperature inaweza kupanda kama feni lisipo fanya kazi hatakama gari ina maji