Тёмный

JIMY MAFUFU AFICHUA MADUDU YA SHILOLE, SABABU YA NDOA KUVUNJIKA 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 90   
@user-zb2mj5nd5g
@user-zb2mj5nd5g Месяц назад
Safi sana Mafufu umeongea points zote umemaliza
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi Месяц назад
The men is talking right there
@jokhaali5893
@jokhaali5893 Месяц назад
Good talk brother, keep it up
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
Umeeleweka mkuuu big up sanaa
@witnessmlay7415
@witnessmlay7415 Месяц назад
Safi sana Shilole, Tusaidie kuwanyoosha hawa viumbe 😂😂
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад
Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
@farhannahkulishwaburekunam5360
@farhannahkulishwaburekunam5360 Месяц назад
Kweli wanawake wengi wanatamaa wakimkuta mtu ana mali zake akishaanzaa mtoto mmoja basi ili ataka wagawane sio haki
@aishatest4451
@aishatest4451 Месяц назад
😂😂😂😂 kweli kaka, 👏👏
@RedSun-ms2zq
@RedSun-ms2zq Месяц назад
We jamaa umenena wanaume saiv tumekua wavivu sana ❤
@user-ie5on4xy9o
@user-ie5on4xy9o Месяц назад
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
@Darling99booo
@Darling99booo Месяц назад
Kaupiga mwingi 🎉
@BabaFarzan-ml4er
@BabaFarzan-ml4er Месяц назад
Ebwana huyu jamaa kaongea
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 Месяц назад
Safi Sana Jimi 🤝Ila msalimie Masha love
@abuuawalina2625
@abuuawalina2625 Месяц назад
I like it
@maryjohn5317
@maryjohn5317 Месяц назад
Hatariii,nimekuelewa kaka
@user-vg2uc3hw1v
@user-vg2uc3hw1v Месяц назад
Point sana
@nicolauselias9084
@nicolauselias9084 Месяц назад
Ahahahahahahaaaaaaa duu.jamaaaa mafufu una akili sana
@BeullahBujah-lk3sx
@BeullahBujah-lk3sx Месяц назад
True my brother
@marthadaniel4904
@marthadaniel4904 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂nimempend huy baba pont zak jmn oyooooooo
@user-iw5hu3mc7l
@user-iw5hu3mc7l Месяц назад
Daha jamaa anakili sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 Месяц назад
Hiyo kweli Mtani wangu❤❤❤
@aamaasm2141
@aamaasm2141 Месяц назад
😂😂😂unesema ukweli kaka
@AliciaJonas-gu8ho
@AliciaJonas-gu8ho Месяц назад
Mafufu chukua maua yako safi sana kwa point izo malioo watakoma🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 Месяц назад
Sense TALK
@mapishiyetumazuri2312
@mapishiyetumazuri2312 Месяц назад
Ndowa yakisilamu hako hiyo
@BakariSilima-hz8mc
@BakariSilima-hz8mc Месяц назад
Unafaa kuwa waziri sheria baba Ahsante
@JoalAlma-ci1hi
@JoalAlma-ci1hi Месяц назад
Jamaa namtusi shiloke kisomi saaan lakin nibonge la tusi😂😂3333
@AfricaQueen
@AfricaQueen Месяц назад
💯💯💯💯💯💯💯🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🥁🤸🏽‍♂️✍🏽🙌🙌🙌🙌🙌💯💯Maneno yako.
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 Месяц назад
Panga la shingoo🏃‍♀️🏃‍♀️🤣🤣🙏🙏 Mungu tusaidie
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Месяц назад
🔥🔥🔥🔥
@petermangama330
@petermangama330 Месяц назад
Kweli sheria za kiboya sana zinainkareji uvivu
@stephenmasha8623
@stephenmasha8623 Месяц назад
😂🤣 Tajiri hapigwii daaah...
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Месяц назад
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
@salisali3738
@salisali3738 Месяц назад
Eti tajiri ana pigwa 😂😂😂😅😅
@marygabagambi3342
@marygabagambi3342 Месяц назад
Mjomba Lusajo,hiyo nimecou sell, uncle Lusajo........
@lucymtui8680
@lucymtui8680 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Wanaume vitongaaa
@rehemayona2223
@rehemayona2223 Месяц назад
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
@emedimtheodor5249
@emedimtheodor5249 Месяц назад
Uko vizuri bro,ndo a zimekua business.
@user-iy7xy1np7c
@user-iy7xy1np7c Месяц назад
M
@martinjonathan4595
@martinjonathan4595 Месяц назад
Nimecheka sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 Месяц назад
Mafufu akiwa mwinjilist atanoga😅
@ZubeirJuma-up7kb
@ZubeirJuma-up7kb Месяц назад
Iyo ya Mali kwa uislam hmna
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Месяц назад
Mjomba lusajo nimekuelewa sana😂😂😂😂😂😂
@siashayo8676
@siashayo8676 Месяц назад
😂😂😂mjomba Lusajooo
@souvenirweber7169
@souvenirweber7169 Месяц назад
😂😂😂😂umesema kweli mjomba Lusajo ungesema pumbavu kaputula.
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 Месяц назад
Myeeeee myeeeeka😂😂😂😂shenzi kaputura😂😂😂😂
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 Месяц назад
😂😂😂😂 imenibidi tu ni cheke Astaghafirullah
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 Месяц назад
😂😂😂😅vitonga sawa sawa
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Месяц назад
kumbe unaakili mafufu kabla sikusikiliza Nilitaka Niseme ivo ivo
@leokamil6284
@leokamil6284 Месяц назад
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
@Qs3557
@Qs3557 Месяц назад
Mwandish rud nyuma kdg mbona Kama unataka kukumbatia
@GraceMalley-ly2xn
@GraceMalley-ly2xn Месяц назад
Pia Hata music Wa dance umesahauliwa sanasana wanatajwa na kuwapronoti ni WA bongo flavor pia wawakumbuke na music Wa dance
@mambas264
@mambas264 Месяц назад
Panga la shingo typing…😅
@user-nr5tj2gq7i
@user-nr5tj2gq7i Месяц назад
Nchi za kiarabu mkiachana km mmezaa baba anatoka mama anabaki kwenye nyumba na watoto
@SuzanA-up4pr
@SuzanA-up4pr Месяц назад
Jojo
@petermangama330
@petermangama330 Месяц назад
Vyombo haviwezi kujenga Nyumba
@ShukurMkan
@ShukurMkan Месяц назад
Wapo wengi
@user-kp6lz7zs1w
@user-kp6lz7zs1w Месяц назад
Kusikia muda Umeisha 😂😂😂😂😂😂😂 mie hoi cn mbavu sina 😂😂😂😂😂😂
@frankemmanuel5239
@frankemmanuel5239 Месяц назад
Mzee wa myekaaaa
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Месяц назад
kuish Namwamke alie kuzidi kipato harafu mwaume ukawa hujielewi itakua kazi kubwa sasa hapo Nani kaachwa Ni Chi-Chi au 3D
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Месяц назад
Mjomba umeshinda kuhusu Shilole na sheria za ndoa, Shilole nene nene 😂😂 linaolewa muda mchache na kusukuma mume nje
@farajapeasonmagota8226
@farajapeasonmagota8226 Месяц назад
Kaka kamuuaaa
@alsam4881
@alsam4881 Месяц назад
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg Месяц назад
Huyu baba anajielewa tofauti na wasanii wengi.
@rehemaomary6631
@rehemaomary6631 Месяц назад
Umesau barnaba j
@ernestkatyega5781
@ernestkatyega5781 Месяц назад
Mtu akupige panga la shingo huyu jamaa anahamasisha mauaji kwenye jamii
@petermangama330
@petermangama330 Месяц назад
Aende Tamwa naye akavute kidogo
@gordiansoko9113
@gordiansoko9113 Месяц назад
Bonge la interview vijana wanatumika kama mashine za kukoboa zikishachokwa zinaletwa zingine brother mafufu nipenda nondo zako vijana waache kuwa vibenteni watafute pesa.
@annajohn3377
@annajohn3377 Месяц назад
Nimecheka umeongea ukweli sasa ww mvula unaend oa mtumzim hiyo familia utaipata saa ngapi
@wakushibandfrombushland
@wakushibandfrombushland Месяц назад
H😂😂😂😂😂😂 mnaopenda kitonga
@LillyaneJoseph
@LillyaneJoseph Месяц назад
Serikali inazngua
@chantalmulasi5663
@chantalmulasi5663 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf Месяц назад
Mjomba lusajo
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Месяц назад
Vivulana vinavizia 😂😂😂😂 vijanaume vinavyodhani kunyonya nanihii za mwanamke ndio utamvuruga hela huna kazi uvivu kudoea doea lazma uachwe
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 Месяц назад
Mama samia mama yetu muangalie mjomba lusajo Kwa jicho la tatu anafaa
@tonyi6807
@tonyi6807 Месяц назад
😂 kampen hiyo
@haidhabushiri9558
@haidhabushiri9558 Месяц назад
Vivulana😅
@ALmolhamFarsy
@ALmolhamFarsy Месяц назад
😂😂😂😂
@esuvathmollel2475
@esuvathmollel2475 Месяц назад
Shishibabeeee anafanya vizuri 🤣🤣 be
@janethhendry6734
@janethhendry6734 Месяц назад
We demu miyayusho sikupendi maswqli ya kifala
@lailaabeid717
@lailaabeid717 Месяц назад
Ukimpemda bwana ako inatosha sana sio lazima umpende
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 Месяц назад
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад
Oman ukizaa watoto kama unamwacha mke mpe talaka lakini anabaki hapo nyumbani na watoto wewe mwanaume ndio uondoke unam achi Kula kitu upo
@Mwamba-fh2zf
@Mwamba-fh2zf Месяц назад
Kweli kaka sheria zingine ni za ajabu,inabidi zibadirishwe.Mtu unatumia nguvu nyingi kutafuta hela alafu mtu anakwambia tumetafuta wote.
@Marjeby
@Marjeby Месяц назад
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua
@javandaudi5553
@javandaudi5553 Месяц назад
Acha ushoga tafuta hela pimbi ww
@katabaroonlinetv9688
@katabaroonlinetv9688 Месяц назад
​​Samaleko 😅😅😅o​@@javandaudi5553
@safiasaleh669
@safiasaleh669 Месяц назад
Unafaa uwe mwanasheria Mkuu umeongea point 🎉🎉🎉
@charlesngamanya9275
@charlesngamanya9275 Месяц назад
Toa mfano ya hizo nchi wewe mande hata Sheria hujui
@tinnahagustinolyelu4247
@tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад
Kaka una Akili saana wewe wanaume tafuteni Hela jamani kumbe huo
Далее
Кто быстрее? (GTARP)
19:19
Просмотров 250 тыс.
DUDU BAYA AMVA NAPE NNAUYE NA VYOMBO VYA HABARI
4:11
Просмотров 2,8 тыс.