Wewe unasema shobo kwani shishi kwani alipoolewa kwani hakuona ni mpiga mpicha na pesa yake ni ndogo na al8kuwa anampeka dodom kw gani akiendesha kama dereva na hamlipi kitu sasa leo hana kitu
Kaka yangu mafufu wew ni mwanaume na nusu unaongea point tu niimefanya kurudia interview yako mara mbil mbili aisee una point sana kaka na ndo wengi siku iz hao wanaume WA ivyo wanaume halos wamebak wachache
Kuhusu Sheria hujui hujui kitu kabisa heshimu Sheria za nchii wewe endelea kuigiza tu alaf wewe kama hujawahi pata mwanamke mwenge hela sababu huna sifa alaf unaongea sana Kama mdada
Kweli kabisa hata mm ninae mwanaume dizaini iyo akijuwa nina pesa atui hata mia utasikia wewe pesa siunayo anipigia esabu pesa yangu kaah aibu kweli 😂😂😂
Hiyo ya kusema mali za watoto ipo shida inakuja Baba anaoa Mwamke mwengine alafu Mali zilizoamuliwa Mahakamani za watoto zilizochumwa akiwa kwenye ndoa ya Mke wa kwanza zinahamia kwa Mke mpya na watoto atakao wazaa.Hiyo ipo sana na imetokea kwenye Familia nyingi labda huyo hajui ndio maana anaongea anayoyawaza yeye.Hebu ajaribu kuzunguka kutafuta ukweli wa ninayoyasema atashangaa
Shilole katoka kwa Nuh Mziwanda, Uchebe, Rommy na sasa kachukuwa kijana mdogo mwengine tena kwa kweli haipendezi kabisa, kwasababu ni mtu mzima na ana mabinti wakubwa, kwahiyo angetafuta mtu mzima mwenzake ingependeza zaidi.
Sheria za nchi nyingi,mke na mume mnapo achana mnagawana mali au pesa mlizo tengeneza ndani ya muda mlio kuwa pamoja kwa ndoa,na kama kati yenu alikuwa na mali au pesa kabla ya ndoa haigawanywi. Mchango wa mtu kwenye mahusiano au maisha siyo pesa tu,kakayake.😮
We jamaaa fala sana acha kuingilia fani za watu ambazo huzijui hata kidogo!Nani kakwambia kuwa sheria za Nchi hii wanandoa hawawezi kumiliki mali zao binafsi??!kilaza wewe unaongea mpaka mishipa inasimama kwa kitu usichokijua