Ndoa nyingi sanaaaa zinavunjika sanaaaa hawamalizi hata miaka 2 laana ni nyingi sana Natasha kama usemavyo madhindano ni mengi hakuna anaekubali kushuka kwa mwenzie
Yani hiki kichwa cha habari cha hii video ni very sad , Hiyo title ya hii video is BIG MISLEADING, terrible for broadcasting, hakuna credibility kabisa hii online tv is STUPID na haifai kwa jamii
Watu maarufu mnasikika kwa kua mnapo anzisha mahusiano yenu,mnayaweka mitandaoni then kila mfanyacho kwenye hizo ndoa zenu mnapost,na hata zikivunjika pia hivyo hivyo!Ukipendana na msanii wa kike wa bongo movie,jiandae kuaibika kama sio leo ni kesho!