Ubarikiwe sana MTUMISHI 😢😢ujumbe huuu ni ujumbe wa wakati kabisa wakujiuliza kama tutaitwa kwenye kitabu gani 😢😢Mungu wangu nisaidie kutenda matendo mema Baba yangu
Wimbo mzuri unatufanya tujitafakari, naomba nikushauri jambo maana naona unaupenda Utakatifu wasaidie hata hao wadada wa thamani wa BWANA unaoimba nao bado wako kwenye mapambo ya kidunia wasaidie wafanane na unachokiimba pia. Barikiwa kwa kazi njema Mtumishi wa MUNGU
Wimbo mzuri sana, hongera, nimekuwa nikikufatilia sana katika nyimbo na mahubiri umekuwa mstari WA mbele kukemea mambo mabaya. Juu ya MANABII WA UONGO, na watu waliokoka kuwa kama mataifa, Sasa nauliza hapo mbona waimbaji wako wameweka mirasta katika vichwa vyao?? Ukihubiri hubiri na matendo yaonekane mtumishi. Ila Hilo najua utalifanyia kazi Mungu WA mbinguni akubariki mtumishi
Amina amen, barikiwa saana kaka nyimbo nzuri na ujumbe mzuri , wachanijichunguze Zaid na zaid, nijue jina langu litakuwa wapi, na pia saidia na hao wanawake, wape SoMo wabadilike KIMUONEKANO. Barikiwa kaka Pascal
Wimbo mzuri sana barikiwa sana na Mungu! Ila tu wanawake ndo wamekuharibia, sijui uliwashirikisha kwann watu ambao hawataki kumtii Kristo kwa kutokucha bidhàa za Jezebel!!
Waambie mabinti ulio nao waondoe mawigi marasta nywele bandia zote makeup na vipodozi vya kila aina na vichwa wafunge vitambaa vinginevo kuzimu inawahisu
Nina hekima sina hekima I don't care siku izi za mwisho haina haja kutafuta hekima ninapoonya Mtu maana kuzimu kunatisha kuliko hekima unayoitafuta kuzimu wapo huko waliotafuta hekima kuzimu haijalishi una hekima kiasi gani lkn inameza waliookoka na wasiookoka
Na vizuri zaidi Mtumishi wa MUNGU Cassian anayapinga sana haya mapambo na huenda basi anatafuta hekima jinsi ya kuwaambia au anajua wanajua lkn kila mtu amepewa kivyake mwenye kuonya tena kwa bidiii maana unapotafuta hekima kifo nacho hutafuta hekima?!!! Huja km mwivi
Wala hujawahi kukosea kusema ukweli mungu akuongoze vwema uzidi kufanya ukombozi duniani mi mwenyewe najiuliza jina langu limeandikwaje Bado nazidi kuka kalibu na mungu NAMI jina langu liwe miongoni mwa watenda mema ubalikiwe sana mutumishi wa mungu gonga like kama unatamani jina lako liwe miongoni mwa watenda mema 🙏🙏🙏🤝
Amen and amen always am blessed with your powerful messages may the God bless you always God's servant🙏🙏, honesty I love your songs pastor paschal the message do go deep in my heart keep doing your call in God mission🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mtumishi WA Mungu amepewa kutambua kweli na kuamua kubadilika ama kutobadilika ni maamuzi ya mtu mwenyewe . Nina Imani kuwa ujumbe unaohusu mapambo wamesikia Ila hawajataka kubadilika Ila mtumishi kamaliza kazi yake .kuchagua uzima au mauti ni kazi ya mtu mwenyewe.
Amen mwinjilist, 🙌🙌🙏🙏acha nijitafarie njia zangu, na kujichunguza kikamilifu kwa maana siku ya hukumu jirani wala mzazi hatakuwepo kutetea, eeewe mwenyezi mungu nazidi kuka ndani mwako milele na milele Ameen🙏🙏🙏barikiwa sana mwinjilist kwa wimbo huo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦
May God bless you brother and your song has encouraged me to keeping going on with the race for heaven, I believe by his Grace i shall finish my race till the end of my life here on earth.
Wimbo iko poa ni ya mafunzo ya kubadilisha mtu aachane na dhambi barikiwa sana ndugu yangu Paschal cassian lakini hao wanawake ndiyo walioharibu hyo video kwa mavazi yao make sure next time uweze ku correct usiharibu tena kwenye video yoyote ambayo utatowa barikiwa sana na Yesu Kristo wa Nazareth kwa wimbo mzuri 🙏🙏
Kakangu Bwana asifiwe Naomba pia uwasaidie hao wamama kwa jili ya ufalme wa Mungu watoe hiyo mambo warudi kwa Yesu ndio mwenye mapambo yaliyo mema yanayofa utakativu Samahani!
Tangu nianze kumsikiza Sasa ndiyo nimejua mana ya wokovu baada ya kuokoka kwa muda mrefu haki nimekuwa kiumbe kipya nimejifunza kuisoma biblia singonjii pastor anisomee
Amen, Amen kwa wimbo mzuri ambao unatufanya tujihoji je tutakuwa upande gani Yesu atakapokuja mara ya pili, barikiwa Mtumishi wa Bwana Paschal Cassian!!
Sasa Mtumishi wa Mungu Cassian ni kweli unahubili na kukemea dhambi na mapambo ya yelizabeli kwa wanawake Sasa inakuwaje una shoot wimbo na wanawake ambao wamesuka nywele pia wavaa mawigi sasa hapa tuelewe vp
Ubarikiwe mtumishi. Ila hakikisha kila jambo unalofanya umelikagua kabla ujalirusha mitandaoni kwani watu wengi wanakufatilia sana ili waone kama Kuna kosa lolote linalofanana na wale unaowaonya. barikiwa sana tuko pamoja.
I like your song it's inspired me a lot But the women should have covered their head scarf and not putting making up. I 'sorry it's just a advice, don't get me wrong at all.
Daaaaah umenifanya nilie kwani nimewapoteza marafiki zangu wengi sana ambao wameondoka bila kuwa na Yesu swari linaloniumiza kichwa mimi je nitamalizaje safari yangu
Comment yako na mimi inaniliza 😢😢 ndo swari letu hilo sisi bado ambao tupo hai la kujiuliza kwamba tutamalizaje mwendo 😢na je tutaitwaje mbele ya kile kiti cha hukumu 😢😢
Thanks Paschal for the english translation. Beautiful song and the music is also beautiful. Is my name written in the book of life? Please MUNGU WANGU. There will be books and there will be A BOOK. Thanks Paschal just beautiful. USA