Wakati mwingine tunapitia mambo ambayo tunashindwa kujieleza, lakini Mungu tukumbuke, tuokoe na ututetee. Hongera mtumishi kwa wimbo Mzuri wenye maombi ya matumaini.
Asante sana Mtumishi wa Mungu kwakutusaidia kuomba kupitia huu wimbo, wengi tunavunjika mioyo kwasababu ya shida na matatizo, mpaka tunashindwa tuombe aje. Asante sana, Mungu akuzidishie Nguvu baraka na maarifa
You never disappoint my favourite gospel artist,i always listen to your songs every hour of the day, much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪may God continue blessing you and your family
I believe Cassian is insisting on people acknowledging God speaking to His people using human beings. Give Glory to the Lord and pray for Mtumishi. All praises belongs to God
Oh GOD,!.naomba unifanyie wepesi wa maisha yangu, Amen mwinjilist, song yenye kunitia nguvu na ujasiri. Amen Amen sana mungu n mwema, barikiwa sana mwinjilist nabarikiwa sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Daaaaah huu Wimbo Mungu ausikieee abadilisheee maishaaa ya baba yanguuu daaah Kwa mapito aliyonayoo hakikaa Mungu amuokoe,amtete tunamuaminuii Mungu atafanya yote
No matter how rude you are, this song inakufanya unapondeka roho time 10, nmejipata nikilia saa 02:31am, mwenye amefanya nikajua nalia n kuomba ni my fellow workmate mwenye tunalala naye Kwa room, yeye ndo ameniguza akaniuliza what's wrong, but lemme tell, nguvu za Mungu Kwa maombi nobody can stop it unless Holly spirit to take control. Whoever is passing a lot, it coming to an end before the end of this month in Jesus name
Mtumishi wa Bwana wetu YESU Kristo Ariyehai, kumbewakatiule ulipokuwa Bss Ulikuwa nidhahabu Ikiwa jikoni Ikipikwa na Sasa tunaona Ishaiva natayariipo Sokoni nani Maligafi iliyonathamani Isivyo Kawaidi, YESU Kristo Ariyehai Naazidi Kukupeleka Utukufu hadi Utukufu.
Hakika Mtumishi unaouwezo wa kipekee saaana juu ya Neno la Mungu. Unaweza saaaaaana tena Mnoooo. Wimbo mzuri...Ujumbe safi na video saaaafi...sauti imetuliaaa saaana. Barikiwa saana Pascal Cassian
Sio kwenye sim tu mtumishi huwezi sikiliza radio zetu asubuhi na mwanao kwenye gari nyimbo Zina maneno machafu mpaka una huzunika moyoni sasa unawaza Hawa nao wanawatoto majumbani kwa hizi nyimbo???
Nashukuru kwa hii wimbo imeninguza ndani ya maisha yngu 😭😭😭mtumishi wa mungu Asante kwa hii wimbo mahali nlipo nko na shida hdi sina la kusema na shida ni forward hii wimbo juu inaninguza sna si umbarikiwe mahali ulipo 🙏🙏🙏
ubarikiwe mutumishi na OMBI le tu kwamungu ni akusaidie kwa kazi lake unalo tumika na azidi inuwa wengine kama wewe ( wewe ni danieli kati WA nabii WA uongo twa juwa wapiganishwa )
Amina ubarikiwe sana sana hakika wewe ni mtumishi wa mungu na unajuwa kuchunga kondoo wako nanimkweli kwa kukemea manabii wa uongo ni mkweli mungu yupamojanawewe