Тёмный

Jinsi ya kuandika Script ya filamu | Episode 03 | Swahili Film Class 

Timoth Conrad
Подписаться 4,6 тыс.
Просмотров 4,5 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 23   
@ruzhalnetwork4753
@ruzhalnetwork4753 3 года назад
Asante sana director timoth kwa darasa lako mimi ni actor lakin pia napenda na uandishi wa film hakika nimejifunza vitu vingi mpaka hapa nilipo fikia somo hili la tatu pia naombi kwako utusaidie nasisi waigizaji yaan uanzishe darasa litakalo wahusu waigizaji na sio producer, director au script writer
@tallenMovies
@tallenMovies 2 года назад
Asante sana Director lakn pia ninapenda nipate namba yako tuweze kuwasiliana nina personal issues nisingependa tuwasiliane katika uwanjaa huu🙏
@Chawamsafi1
@Chawamsafi1 2 года назад
Mfano mzuri ambayo wametuacha na maswali hadi leo ni story ya watoto wa mama ntilie na ngoswe
@ofmae-thebrainstech3501
@ofmae-thebrainstech3501 Год назад
This is the Best scool of Filming for sure.
@mussafanto7088
@mussafanto7088 3 года назад
Shukrani sana kaka
@philipojangama
@philipojangama Год назад
Shukrani sana timoth, nimeongeza vitu vingu mm Kama mwandish na mzalishaji
@BahatiNgowi
@BahatiNgowi Год назад
Good job bro ninakufuatilia sana
@halaatv
@halaatv 3 года назад
Shukran sn kk
@learnswahiliwiththeobald1283
@learnswahiliwiththeobald1283 2 года назад
kazi nzuri kaka, nilkua naomba kujua kitu ktk uandishi wa script, kwa mfano tunavyoona kweny film scene moja inakatwa kabla haijaisha, then inakuja scene nyingn na baadae ile scene inarudi inaendelea, sasa katika kuandik script ile scene tunaikata au tunaiandika had mwisho wa scene then editor anakuja kuikata?
@Adomix-zd3fj8qz6o
@Adomix-zd3fj8qz6o 6 месяцев назад
Asante sana 🎉🎉🎉
@mortencegeorge8003
@mortencegeorge8003 3 года назад
Kwamfano series ya JUMONG tulivyo tambulishwa ayamuso, mpaka alivyo kufa, act one iliishiya wapi
@HAfidh-mo3xz
@HAfidh-mo3xz Год назад
Samahani naomba unifundishe kuipanga script kwenye daftar
@mpyangatv9450
@mpyangatv9450 2 года назад
Mmmmmh...... Sio rahisi kupata mwalimu kama wewe.
@Akymedia007
@Akymedia007 2 года назад
kaka mm Niko mwanafunzi wako Kabisa nafatilia mafundisho Yako mpaka Sasa nimetengeneza flamu kwa kutumia akili niliyo ipata kwako ila nilitaka unikosoe kama Kuna mapungufu
@aminahassan7514
@aminahassan7514 3 года назад
Kaka Timothy mie napendaxana kuigiza Lkn xjapata iyo nafasi Kama kutakuwa na uhitaj wa waigizaj mie nkotayar
@selemankigoda9837
@selemankigoda9837 2 года назад
Njoo nikufundishe kuigiza
@ElishaOtieno-qi6xp
@ElishaOtieno-qi6xp 11 месяцев назад
Nimekuelewa Sasa kaka.
@ElishaOtieno-qi6xp
@ElishaOtieno-qi6xp 11 месяцев назад
Lakin brother pamoja na yote umeni kujiona mshindi katika darasa lako ktu kikubwa ninacho taka kutoka kwako ni namba yako kunamambo flani ya faragha nahitaji nikushirike tuweze kutengeneza kitu plz brow.
@Bekakiluasha-fu7pw
@Bekakiluasha-fu7pw 5 месяцев назад
Kak vip Antagonist akirudi nyuma na kuwa katka upande wa shujaa katik act3 bila lengo la kumteketeza shujaa kutakuwa na ubaya?
@anitayambayamba3035
@anitayambayamba3035 2 года назад
No yako director
@Blackmedia2745
@Blackmedia2745 Год назад
Naomba kuipata number yako brother samahani
@Lily-xw6hg
@Lily-xw6hg Год назад
Kak nakuskiliza uliko usiache kutumegea haya
@MR_RAMSATZ
@MR_RAMSATZ 11 месяцев назад
nitumie namba ako director
Далее
skibidi army returns (skibidi toilet 77)
00:49
Просмотров 1,1 млн
FAHAMU JINSI YA KUPIGA PICHA NZURI ZENYE KIWANGO.
11:05
How To Speak Fluently In English About Almost Anything
1:49:55
How To 10X Your Memory & Learning [New speech]
29:09
Просмотров 1,5 млн
Jifunze jinsi ya kutengeneza scene hii kwa urahisi
11:06
The fastest way to do your literature review with AI
19:58