Тёмный

Jinsi ya kufanikiwa kwa muda mfupi | Kupata kazi | Utajiri | Mapenzi | Pesa | Ushindi | Cheo 

Rakims Spiritual
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Tumia njia hii kufanikiwa chochote ulichokwama.
VIDEO YA NGUVU ZA MIUJIZA
www.youtube.co....
JINSI YA KUTOKA NJE YA MWILI
www.youtube.co....
JINSI YA KUFANYA MEDITATION
• Jinsi ya kufanya Medit...
KWA HAYA NA MENGINEYO TEMBELEA
rakimsspiritual...

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 222   
@PatrickMusakajeje
@PatrickMusakajeje 2 дня назад
Jambo kk ❤❤❤❤❤
@KataniMwandete
@KataniMwandete 10 месяцев назад
Jamani kama kuna watanzania wamefanikisha kwa maswala haya basi tuelezeni nasi ambao tunatafuta kujikuamua na maisha magumu haya ,tuweze saidia wenye uwezo mdogo
@SadockKyokyo-fu2nn
@SadockKyokyo-fu2nn 10 месяцев назад
Utaunganisha vip hitahi baada ya kutamka
@SadockKyokyo-fu2nn
@SadockKyokyo-fu2nn 10 месяцев назад
Hitahi namaansha
@geofreymwakatobe7950
@geofreymwakatobe7950 4 месяца назад
Sasa baada ya kusema maneno hayo then ?
@LameckMartine
@LameckMartine 6 месяцев назад
Kaka nakukubari sana haya unayo fundisha naona kama nilichelewa kujua
@AdamOmar-ib9vw
@AdamOmar-ib9vw 6 месяцев назад
maasha allah uko allah akuongoze na akupe umri mrefu wenye kheri ndani yake tuzidi kujifunza kwako na pia mwalim juu ya hili somo nimeelewa vizuri ila je ni vitu gani natakiwa kuwa navyo kwa kufanya iyo kazi na ni wakati gani na mazingira gani.?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 6 месяцев назад
Amin atuongoze na atujalie sote In shaa Allah... Hakuna kitu chochote zaidi ya utulivu na kufanya nilivyoelekeza
@alexkipepeo3611
@alexkipepeo3611 7 месяцев назад
Sawa kaka
@FestoEliasMhh
@FestoEliasMhh Год назад
Watu wengi wanataka ila hawana imani na hichi kitu; mm nimeelewa kwa licha ya kutamka , inahitajia kuamin kwamba itakuwa
@AsumanMud-tu2yg
@AsumanMud-tu2yg Год назад
Safi sana mimi nataka nifanye
@kassimsaid9644
@kassimsaid9644 8 месяцев назад
Nimependa wewe ni Mwalimu nzuri
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Asante sana Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante
@ChipkiziRashid
@ChipkiziRashid 2 месяца назад
Mimi naomba namba Yako plz naomba​@@rakimsspiritual
@AnnaMkasa
@AnnaMkasa Месяц назад
Mwalimu unataja marangapi katika yale majina 5 ,mfono × 100 au × 1ooo
@GasoreJuma
@GasoreJuma Год назад
Kaka kila aliefaanikiwa kuwapata hawa watumwa,hasemagi. Wapo kabisaa. Namim INSHAALLAH nitawaita.
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Kusema siyo rahisi tangu nimeanzisha hii channel ni watu zaidi ya mia 6 wameweza kumuita salsal lakini 6 tu ndio waliweza kuweka kwenye comment
@JuniorAtembo-wg5mz
@JuniorAtembo-wg5mz Год назад
@@rakimsspiritual napenda niulize kutaja haya majina yuzi rasi mini sari sasi mara tano ina bidi uyataje mda gani na unatkiwa uwe na nini na sehemu gani mimi natokea congo asante kwa mafunzo yako🙏
@TenTenDJAMES-o9x
@TenTenDJAMES-o9x 11 дней назад
iv kwanin umeseme fanya usifanye pia fanya kwakumnongoneza mungu apo umeyuchanganya kaka akat anaitajika kuja kiumbe
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 11 дней назад
Sikiliza maelekezo vema ili uendelewe ndugu.
@ElinaikeNyange
@ElinaikeNyange Год назад
Asante sana kwa darasa.naweza kuonana na Wewe?? Ninashida zaidi nahitaji tuzungumze
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Karibu 0783930601
@MejagaredAbambo
@MejagaredAbambo 8 месяцев назад
Habari za mchana ,samahani naomba kuuliza ,unielemishe kuhusu Jini ninayemshikia anaitwa MAMI WATA .ni ji gani
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 8 месяцев назад
Nitamuelezea nikipata wasaa
@zainabmusa-kf8zi
@zainabmusa-kf8zi 3 месяца назад
Asalamu alaykumu warahmaturulla, kk,nitakupataje
@zainabmusa-kf8zi
@zainabmusa-kf8zi 3 месяца назад
Kk,samahani sija elewa kwaili,somo, naomba, namba yako,,kk wetu
@rataxtage2896
@rataxtage2896 22 дня назад
​@@rakimsspiritualAsante mwalimu ila mm na omba namba yako ya watssap
@komboarts7110
@komboarts7110 8 месяцев назад
Sijaelewa kaka tunakupataje Ili nipate faida zaidi. Nitashukuru ukija inbox
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante
@dieumerciundimundi4383
@dieumerciundimundi4383 10 месяцев назад
Jambo kaka naitaji number yako ya what’s up na code number Asante taphazali nakusihi naitaji kujifunza mengine
@AmuzaMuemede
@AmuzaMuemede 9 месяцев назад
je ukiita yuzi lasi mnsalsasi nini kitakachotokea?
@zachariamwiroli4960
@zachariamwiroli4960 Год назад
Tatzo una maneno mengi huendi kwenye point unaelezea sana vitu visivyousiana ukiwa unaelezea nenda kwenye point video znakua ndefu 🙏
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
asante kwa kuendelea kuwa nasi
@JonathanKebaso-yk8le
@JonathanKebaso-yk8le 9 месяцев назад
Sii hututafutie zire zakutoa kafara ya mbuzii au kondo juu hii uta ezafanya kesho upate ajali???????
@Princefidèle-z7g
@Princefidèle-z7g 5 месяцев назад
😅
@DrakeThedon
@DrakeThedon 10 месяцев назад
Mimi bado sijaelewa
@josephndunguru6552
@josephndunguru6552 Год назад
Hongera san mkuu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Asante tupo pamoja.
@theobson5004
@theobson5004 5 месяцев назад
@@rakimsspiritualsamahani mkuu nikitaka kuwasiliana nawe personal nakupataje kaka
@HildaGerald-xq4dc
@HildaGerald-xq4dc Год назад
Mm nataka utajir mkubuwa lakini izi njia zako zote azini taki
@ramadhanialhabiby6458
@ramadhanialhabiby6458 Год назад
😢
@FESTOCHAWALA
@FESTOCHAWALA Месяц назад
Naomba naomba yako
@MashauriNgambabujimile
@MashauriNgambabujimile 8 месяцев назад
me naitaji kua najin je nifaenye yapi ili nimpate
@JackElly-s6s
@JackElly-s6s 6 месяцев назад
Hivi ni mara tano au mara saba maan kwenye video umeandika mar saba
@ChimolasiniourMagawa
@ChimolasiniourMagawa 6 месяцев назад
Mwalimu naomba maelekezo yakina sijaelewa sawasawa
@jabirkassim6249
@jabirkassim6249 2 года назад
Kaka Ntajuaje kama ameshafika ? Ili kueleza shida yangu.?
@AlmanoKuchungula
@AlmanoKuchungula 11 месяцев назад
Habar naweza pata namba yako
@RogerMahesh-w9s
@RogerMahesh-w9s 24 дня назад
Kutamka ilejina namuna gani mualim
@NasmaBakari-tt8ci
@NasmaBakari-tt8ci 6 месяцев назад
Naita namba au maelekezo nifanye
@TenTenDJAMES-o9x
@TenTenDJAMES-o9x 11 дней назад
nayenyewe paka uwe msafi kama majinwengine na ukimaliza unamwita anakuja apo apo iwe mchana usiku
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 9 дней назад
Hii ni Spell na sio wito wa kijini
@japhetochuro3871
@japhetochuro3871 2 года назад
na mim nahitaji nifanye je kuna njia zingine
@ShafiiShabani-g8m
@ShafiiShabani-g8m 2 месяца назад
Hakuna kifaa chochote?
@Ally-Tv2
@Ally-Tv2 7 месяцев назад
Nikisha fanya baada ya siku nagapi nitaona mafanikio
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Siku 3 hadi 7
@Ahmad_XVII
@Ahmad_XVII 2 года назад
Useful Mantra, please i Would like to use some more Mantras, O spiritual guider
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
In shaa Allah I will teach more
@HamisiAmri-p4d
@HamisiAmri-p4d 8 месяцев назад
SoMo zuli ila maelezo mengingi mafunzo ayaishi auja tuekeza Sasa ujiansae vp kita tokea nn ufafanuzi aupo monyo ndio mengi punguza maneno mwalimu
@HappinessZakayo-z2d
@HappinessZakayo-z2d 7 месяцев назад
hiyo matra niitaje mda gani usik au mchana
@SaidaDiriwa
@SaidaDiriwa 8 месяцев назад
Hbr. Maneno yako, yanatia moyo, lakini hujibu comment za watu, wala hutoi namba yako ya cm. Kama unania kweli yakusaidia wengine jibu Basi mbona tunaishia kusikiliza maelezo tu, mb zenyewe ni, zakukopa kaka?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 8 месяцев назад
Pole sana, yaelekea hujafuatilia ni comment zipi najibu. Asante kwa kushiriki nasi
@Victor-g8k
@Victor-g8k Год назад
Okay mwalim Mimi nauliza ukisha muita atajuwaaja unacho taka
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Unamwambia
@chachuomalisa590
@chachuomalisa590 4 месяца назад
​@@rakimsspiritual mwalimu una weza nitajia hayo maneno kwa kuyandika sahamani lakin
@TenTenDJAMES-o9x
@TenTenDJAMES-o9x 11 дней назад
kaka sijakuelewa
@AbdulmarickIbrahimu
@AbdulmarickIbrahimu 8 месяцев назад
kaka naomba namba zako nisaidie kufungua jicho la tatu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 8 месяцев назад
Kuna group ya kulipia elfu 60k kwa mwezi kama unaweza
@KhamisOmar-s8b
@KhamisOmar-s8b 8 месяцев назад
Mwalim hii video mm sjaifaham vizur
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 8 месяцев назад
Angalia upya, utafahamu kama wengine walivyofahamu
@shariphmahalim5045
@shariphmahalim5045 Год назад
Maharim mm nashida yakuzungumza nww nkuomb
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
0783930601
@MartinRadjabuusseni
@MartinRadjabuusseni 2 месяца назад
Nambayako shehe
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 месяца назад
0783930601
@BarackaMchapakazi
@BarackaMchapakazi 7 месяцев назад
Naomba unitumie namba wanayo tumia free masoni
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Hapana sina, Asante kwa kuendelea kutufuatilia.
@YassinPaul-io1xb
@YassinPaul-io1xb 4 месяца назад
Nitumie namba yako
@NtemiKumarija
@NtemiKumarija Год назад
Habari ndugu naomba kuuliza ukisema maneno hayo anakuja kiumbe au inakuaje
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Fuatilia maelekezo vema
@AnnaKajumi-ks4qj
@AnnaKajumi-ks4qj Год назад
Kaka MBONA mm nimeita lakini hakijatolea kitu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Inategemea na shida uliyokuwa nayo na jinsi ulivyoita vile vile kwa kipindi cha ramadhan huwa si vema kufanya haya
@mohamedjuma9115
@mohamedjuma9115 2 года назад
Asante hii ni zarura mungu atusamehe
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
In shaa Allah
@Victor-g8k
@Victor-g8k Год назад
Yes my teacher good evening I'm trying to call her but I'm don't see anything about that
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Follow the instr... careful
@abbastshiband1687
@abbastshiband1687 2 года назад
Nataka number yako ya simu
@salumujuma0412
@salumujuma0412 Год назад
Sorry mwl kama ninadharura ya hela afu sina chanzo chochote cha hela nikifanya nitapata hela?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Ndio unaweza kupata
@Abdulsaid-h7r
@Abdulsaid-h7r Месяц назад
Kaka nipe namba yako ya watssap
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Месяц назад
+255783930601
@HappinessZakayo-z2d
@HappinessZakayo-z2d 6 месяцев назад
nimefanya hii mantra sijaona kitu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 6 месяцев назад
Unaweza kuongeza idadi ya 7,77,777 kutegemea na uzito wa ulichotafuta au kunuia
@ramadhanhassan36
@ramadhanhassan36 Год назад
Naomba namba
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
0783930601
@rashadally6871
@rashadally6871 7 месяцев назад
Vip kuhusu mazingira ya kumuitia yanatakiwa yawe vip na muda gani
@ishaqamohammed7922
@ishaqamohammed7922 2 года назад
Kaka kwaio ukiitaj Kufanya hivyo haiitaji kutumia udi wala ubani au Kufanya katika chumba kitupu haitaj hivyo vitu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Hapana hizo za chumba tupu ni masharti ya kuita jini
@BitangimanaJaenmarie
@BitangimanaJaenmarie 9 месяцев назад
Naomba namba yako mwalimu wang
@ZawadiKajia
@ZawadiKajia Год назад
Maalimu mim naomba namba yako tuwasiliane nina mengi ya kuongea
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
0783930601
@HappinessZakayo-z2d
@HappinessZakayo-z2d 7 месяцев назад
nitaje mda gani usiku au mchana
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Wakati wowote
@Tingi-j5v
@Tingi-j5v 3 месяца назад
NATAMANI NIJUE HAYA
@eliezergama7073
@eliezergama7073 Год назад
unaunganishaje unachotaka na hiyo mantra?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Inategemea
@lazarolazaro5497
@lazarolazaro5497 Год назад
Hii natakiwa nifanye mda gani usiku mchana au asubuhi?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Muda wowote wakati wpwote ukiwa umetulia.
@JonathanKebaso-yk8le
@JonathanKebaso-yk8le 9 месяцев назад
Alafuuu aiombi kafala????
@YusuphromanRoman
@YusuphromanRoman 3 месяца назад
Yanisija elewa
@benedictodaniel1842
@benedictodaniel1842 8 месяцев назад
Wewe nimwalim mzulisan ila maelezo unayatowa Sana ila point fuifafanui vizuli, kwaulefu Yani mwanzo unaongea sanaa ila pointi unaongea kidogo,
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Endelea kutufuatilia kwa maarifa zaidi asante
@shabzabdi4923
@shabzabdi4923 4 месяца назад
Muda Gani mchana ama usiku ama ni wakati wowote
@malongeaxiome4526
@malongeaxiome4526 Год назад
Naomba maelekezo sahihi ili nisipite njiya isiyo sahihi
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Karibu
@kelvinally7384
@kelvinally7384 Год назад
Vitabu unvyo soma kuusu uchawi vinaoatikana wapi
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Vya uchawi sifahamu najua vya maarifa.
@MahirOmar-jd5es
@MahirOmar-jd5es 8 месяцев назад
Nisaidiye namba yakoo
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Kwa shida gani mkuu.
@HildaGerald-xq4dc
@HildaGerald-xq4dc Год назад
Mwalimu mm nmesha fanya sasa namaliza wiki nsku kazaa sasa amuna matokeo yoyote ata kuwita jina lautajiri nimesha yaita sana lakini amuna matokeo yoyote nanina sikiliza vizuri amuna ninapo kosea maali lakini amuna matokeo
@ShijaBoniphase-sf7fi
@ShijaBoniphase-sf7fi 10 месяцев назад
Ivi shetani na mzimu ni ndugu?
@Princefidèle-z7g
@Princefidèle-z7g 5 месяцев назад
😅
@dullahrashid5970
@dullahrashid5970 2 года назад
Je ukisema haya maneno na hakuna matokeo yeyote unafanyaje na ni mudagani inafaa kutamka haya manone
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Unatumia muda ambapo yamekufika na huna jinsi kuna state ya mind unakuwa nayo ambayo hu trigger nguvu ya roho yako ku command a thing to happen.
@mohammedowity4137
@mohammedowity4137 2 года назад
Ni lazima uchore circle am pentagram ama
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Hakuna ulazima kwa maana hapa hauiti jini wala shetani.
@MetodMakungu
@MetodMakungu Год назад
Kaka nabaada yakutamka hayo manene atasubili aje ndouseme hitaji lako? au tasema tu hatakama haujamuna
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Ukimaliza kutaja maneno unasema nia yako
@dullahrashid5970
@dullahrashid5970 2 года назад
Na maandalizi gani yanatakiwa kabla ya kufanya au kutamka hivi
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Uwe msafi usiwe na hisia za kucheka au kulia. Uwe katikati kihisia uwe huna chochote cha haramu umetoka kufanya muda huo.
@AnnaKajumi-ks4qj
@AnnaKajumi-ks4qj Год назад
Je kaka siku kama ya Leo naweza kumuita usiku
@malongeaxiome4526
@malongeaxiome4526 Год назад
Kaka Naitaji nambayako ya watshapp ili tuwasiliyane
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
0783930601
@lilianmagori4189
@lilianmagori4189 5 месяцев назад
Naomba number
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 5 месяцев назад
0783930601
@ShijaBoniphase-sf7fi
@ShijaBoniphase-sf7fi 10 месяцев назад
Ivi shetani na mzimu ni ndugu
@fivechannel7607
@fivechannel7607 10 месяцев назад
Majirani
@MndashaMndasha
@MndashaMndasha 24 дня назад
🤣​@@fivechannel7607
@williammbinda-9877
@williammbinda-9877 Год назад
Ndugu yangu uko wapi
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Karibu
@PhilimoniBkangeze-hg2ln
@PhilimoniBkangeze-hg2ln Год назад
Natamani nipate namba yako unielekeze vizur
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Unaweza kuulizia hapa kwa faida ya wengine pia.
@mangametwalbu7595
@mangametwalbu7595 2 года назад
Uko wapi, je namba za simu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Napatikana Tanzania
@markangel8331
@markangel8331 2 года назад
Nisaidie na namba yako ya WhatsApp
@ramadhanihangolwa2500
@ramadhanihangolwa2500 3 года назад
Mwalimu,umesema useme Mara tano hayo maneno matano ila hujasema akija anataka nini !!!na pia vipi unamuona!?na ana Masharti yoyote ?na kama humuoni atakupa kwa njia IPI!
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 3 года назад
Hii ukifanya haina maagano yoyote rudia upya video utaelewa.
@sabinarhainer6438
@sabinarhainer6438 2 года назад
Mbona sijakuelewa
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Rejea tena kusikiliza
@neemaabdallah8285
@neemaabdallah8285 2 года назад
mwalimu habari tafadhar naomba mawasiliano yako
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
0783930601
@mwajumaabdul1520
@mwajumaabdul1520 Год назад
kaka naomba namba
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Bonyeza hapa www.youtube.com/@rakimsspiritual/about
@shabzabdi4923
@shabzabdi4923 4 месяца назад
Na ni muda Gani mtu anataka kufanya na unamwitaje unafukiza
@MedenMuthama-yb9gf
@MedenMuthama-yb9gf Год назад
Mfano unataka mali je utasema majina Kisha useme utakacho ama utasema utakacho ndo uyataje hayo majina?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Unaanza nia kisha unatamka na kumalizia wingi wa kutaja unategemea na wiki wa hitaji...
@MedenMuthama-yb9gf
@MedenMuthama-yb9gf Год назад
@@rakimsspiritual qwa hivo inategemea wingi wa kutaja na wiki WA hitaji? ningependa kuelewa zaidi...
@asiakumpuni1512
@asiakumpuni1512 Год назад
@@MedenMuthama-yb9gf naona kamaanisha wingi wa uhitaji ila kachapia t
@ramahamyt3604
@ramahamyt3604 2 года назад
Naomba namba ya wsapp
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
0783930601
@abrahmankhamis4705
@abrahmankhamis4705 Год назад
Mkuu ikiwa ucku panaulazma chumba kiwe giza au vp?????
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Hakuna lazima kuwe na giza
@stanslauskitale-xb1zp
@stanslauskitale-xb1zp Год назад
Mungu akubaliki kaka tunapata elimu endelea kutufunza pia naweza pata namba yako ya what's up
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Asante sana, Karibu unaweza kuipata kupitia About ya channel hii karibu.
@AliceKapata-h5f
@AliceKapata-h5f Год назад
​@@rakimsspiritualnaweza kupata namba yako yasimu
@Ally-Tv2
@Ally-Tv2 7 месяцев назад
Unaita mchana au usiku na maandalizi yanakuaje
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 7 месяцев назад
Muda wowote
@AsumanMud-tu2yg
@AsumanMud-tu2yg Год назад
Emuniele weshe
@geoffreymwangi6627
@geoffreymwangi6627 2 года назад
Nataka kumuita Salsal.
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Karibu mkuu
@chrispomjinja9243
@chrispomjinja9243 Год назад
Kaka naitaji kujua naita mara ngapi??
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Kama ni jambo la kawaida mara 7 kama ni kubwa 77 kama ni kubwa zaidi mara 777 kwa siku 7
@AdamOmar-ib9vw
@AdamOmar-ib9vw 6 месяцев назад
saasa maalim ukishatamka ayo maneno yakishatimia kutokana na uzito wa tatizo lako kama ulivoelezea kwenye comment mwisho wa ayo wa ayo maneno ukishamaliza tu unainuka na kufanya mambo mengine tu au unatakiwa kufanya kitu gani kutamka maneno gani kama kuhitimisha ulichoanzisha.?
@saadislam718
@saadislam718 3 месяца назад
Wewe wacha kudanganya watu ndio nini sasa uzirasiminsalisasi yaani wataka tu video yako ipate like
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 3 месяца назад
Halafu ikipata like ndio nini? Na mtu anaanza vipi ku like kitu cha uongo? Pole mdogo wangu unachotumia hakiendani na umri.
@elisamehemndeme4906
@elisamehemndeme4906 2 года назад
Kwann usimshirikishe mungu
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 2 года назад
Maana yangu usifanye kama ibada (usifanye kama vile hiyo kauli ndio Mungu wako) waislam tunaita shirki
@chachuomalisa590
@chachuomalisa590 4 месяца назад
Hayo manen mwalim sija ya papa vizur
@ramadhanihangolwa2500
@ramadhanihangolwa2500 3 года назад
Na kama humuoni kuna dalili yoyote ya kujua kwamba yupo?!au baada ya kutaja hayo maneno Mara tano basi unasema tu shida yako kwake?
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 3 года назад
Unataja mara 7 mkuu kisha unaweka nia yako!
@gundogan8364
@gundogan8364 Год назад
@@rakimsspiritual mbona aieleweki mara5 au mara7
@chershabdallah1723
@chershabdallah1723 3 года назад
Sijakuelewa
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 3 года назад
Tizama tena,
@chershabdallah2388
@chershabdallah2388 2 года назад
@@rakimsspiritual sawa napia nawezaje kumuita jini
@adammgaya8102
@adammgaya8102 3 года назад
Mbna ukisema hamn matokeo yyt et kaka
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual 3 года назад
Inategemea na unachotaka na idadi unayotaja
@adammgaya8102
@adammgaya8102 3 года назад
@@rakimsspiritual mi nimetj kama ulivy sema ila imegma
@mussamtupa
@mussamtupa 2 года назад
@@adammgaya8102 😂😂😂
@anwaritemalley9917
@anwaritemalley9917 Год назад
@@mussamtupa 😎😎
@anwaritemalley9917
@anwaritemalley9917 Год назад
@@mussamtupa 😎
@FatmaFaki-rk8hd
@FatmaFaki-rk8hd Год назад
Muda gan ni sahh kufanya hii
@rakimsspiritual
@rakimsspiritual Год назад
Muda wowote
Далее
Matangazo ya Dira ya Dunia TV
Просмотров 521
🔴 NTV LIVE | October 2024
Просмотров 1,9 тыс.
Jinsi ya kutajirika Kinyota
26:06
Просмотров 10 тыс.
Meditation ya mafanikio | faida za Meditation
13:11
Просмотров 10 тыс.
Mapenzi na Meditation pt2 @thexoshowtira .
11:25
Просмотров 1,3 тыс.