Mnautia madoa uislamu, wakati uislamu ni safi. Subhanallah. Mnaacha mafundisho ya Mwenyezi Mungu na Mtume mnafuata matundisho ambayo hayamo ndani ndani ya Qur'an. Hayo ni matunda ya sheitwani. Mnaitukanisha Dini ya Mwenyezi Mungu.
@@ebenezerchurchsupremetv9490 Hao si hawaelewi yaani ukizaliwa muislam kiuharisia wewe teyari una majini upo connected nayo (ndio maana wanakuwa na roho ya mpinga Kristo kafiri) na ukisilimu pia upo pamoja nayo.
Ushawahi waza katka moyo wako,je kama waafrika tungejaaliwa tecnologia nzuri ya kutengeneza siraha Bora na majeshi bora ya kujilinda,kabla ya wazungu je wangetutawala vp na dini zao wangeziingiza vp Africa,je zisingekuja hizi dini hatma yetu ungekuw nn, jiulize xna then Leta majibu
@@ebenezerchurchsupremetv9490musicho kijua nikwamba Qur'an nikitabu ambacho hakijaacha kitu,wenzetu wa upande wa pili munaamini uislam ni dini isiyo yakweli,na waislam wanafuga majini,kwanza mufaamu majini ni viumbe kama ssi Mungu aliwaumba wanadamu na majini ili wamuabudu,lakini majini haya kuna majini mema na majini mahovu kama ssi binadamu.kwahiyo basi narudi kwenye qu'ani nikitabu ambacho wazungu wanakitumia sana ili kujifaidisha kwasababu nikibu ambaho hakijaacha kitu,hivyo enyi wakristo uislam ni dini ya kweli na haina mashaka ndani yake,hawa wanaofanya hivi ni miongoni mwa wale wanaomkufuru Mungu.
Subhanallah huu ni ushirikina...mtume sws alisema Akbar kabahir madhambi makubwa kuliko yote ya Kwanza ni kumshirikisha mwenyezi mungu dini yetu ya kiislam mwaifanya ni ya ki sheitwan... sheikh umevaa vazi la heshima ila unaongea mambo ya shirki mwenyezi mungu akusameh na akuongoze njia ya swa
Usionge kitu hujui huyu sio mshirikina akueleza hajasema uwite majini huyu amesomea hayo mambo ww ukirogwa anao ilimu ya kukutibu waona nabii suleiman alikua akiwatumia kwa njia ya sawa hata ww waeza kumtumia jini ili kufanyia mtu dawa apone makosa Nepalese wataka utajiri utumie majini kua kutoa kafara ziko njia nyingi sasa ustadh yuwakueleza sio kwamba yy mchawi huyu ni mtabibu
@@adamkassim-ts2ds kushirikisha majini vp soma boss wacha kukurupukwa sawa mtume s a w amefundisha kila kitu mana ya rukia ni nn kushirikisha mungu ni kutumia jini kuroga sawa na mengineo tafauti tafauti ambayo kumdhuru binadamu mwenzako na waeza kutumia jini kisheria jini waeza kumtumia ukifanyia watu dawa kama kumtuma kutafuta miti shamba na kuna dawa zengine majini wazijua ambao ni waisilamu na kunao majini wengine wakiristo ambao kazi zao kukupa ww binadamu ugonjwa ama ukitaka akufanyie mambo yako atakwambia umshirikishe Allah ndio ufanikiwe kama kua umtoe mamako ama umtoe mtoto wako sawa soma mwanzo kabla kuropokwa tumeumbwa majini na binadamu tumuabudu Allah basi na wengine wanamusi Allah
@adamkassim-ts2ds sasa kama hunui hata mtume s a w alikutana na majini tena wakamuamini soma suratul jin usikurupukwe sawa na kila binadamu anae shitwani na malaika sawa mtume s a w pia alikua nae ila wa mtume s a w alimsilimisha akawa mwema soma baba
Dhambi kubwa lisilosamehewa ni ushirikina.Umepoteza watu wengi sasa subiri siku roho itachukuliwa na mwenyewe ndio utapata mavuno ya unayoyafanya.Hao majini unatumia watu wanamjua mwenye aliwaumba,wewe mjanja sana unapotosha watu katika njia ya Mwenyezi Mungu Ilhali Mwenyezi Mungu amesema aliwaumba majini na binadamu ili wamwabudu yeye tu.Lilia Mwenyezi Mungu na utubu,
Swadaqta huu ni ushirikina hapo nakuunga mkono kabisa, wapi mtume Muhammad (s.a.w) na sahaba zake au Tābiʿū al-Tābin wakafanya zaidi ya Quran na sunnah? huu ni ushirikina mtupu muombeni mungu pasipo na washiriki majini ni viumbe tu hata malaika ni viumbe tu hakuna anae uwezo illa Allah(s.w.t)
Nakumbuka nikislim niliambiwa,nisifuate WAISLAMU,nifuate UISLAM.Ila sina imani asilimia Mia kuwa huyu ni muislam ,pengine kalipwa ayaseme hayo.Subhanallah.
Nimuisilamu huyu huyu kazi yake nikukusaidia kama ww ukirongwa akupe dawa huyu amesomea haya mambo ila hawa watu wanakua na taa kama wazee wazamani wakikutibu atakwambia nipe chochote ila hawa watakwambia toa laki milioni yani wafanya kwa manufaa yao watu wingi hawafanyi kwa ajili ya Allah
Right ungejua usingewaita wachawi, hao ndio walioshika dini hasa.. soma uislam sana, utakua mganga mzuri. Hukusoma kua Muhammad alisilimisha majini na majini yana sura yao kwenye Quran. Nina mengi ya kukwambia, siri ni nyingi. Haujiulizi kwanini majini yanaitwa Kwa lugha ya kiarabu tu.
@@mosesmutharimi5837 Elimu ya shetani ndiyo inayo sisitiza kuwa Yesu ni Mungu lakini ki uhalisia Yesu hakuwa Mungu wala si Mungu. Kla kwa shinikizo la shetani watu wengi wataingia motoni. Na huo moto ni uji wa chuma unasiribwa nao
Tuwekee..clip inayo onesha Dr sule ameongea kuwa jini aitwi au akuna mtu anaye weza kumwita jini..tuoneshe sasahivi..mtangazaji ni muongo sana..anapeleka maneno nyuma na mbele..anachanganya changanya...sule alisema kuwa inabidi uwe na elimu ya kutosha ndio umwite jini..rakini wengi wao ni waongo wanasema wanaweza kumwita jini aje pia atoe utajiri..ila kwanini wao wanaweza kumwita jini mbona bado masikini..pia maisha yao sio mazuri..si wangekuwa matajiri kwanza..ndio wafundishe wengine kuita majini..ndivyo alivyo ongea Dr sule..sasa uyu mtangazaji ni muongo arafu mgombanishi pia anataka kuchafua dini za watu
@@zahraabdul9652 Quran si Kuna sura nzima ni majini tu inaelezea Nikuambie tu rafiki yangu Dini yako ukiisoma nakuelewa lazima uwe na uhusiano na majini usikatae
Inna li llah wainna ilayhi raajiun Elimu za kupotoa hizi watu wamtegemee Allah pekee waache manen y hawa wanaolingania elimu za kijini n kutegmea majini
Jielimishe vizuri kwanza kabla ya kulaumu, elimu mbaya ni uchawi elimu inayokuweka karibu na Allah sio mbaya kwasababu utajua utukufu wake vilivyo na utakuwa na ihlaswi ya kweli.
Wewe ulikuwa uangalie na kuckiliza na sio kucomment usicho kijuwa kwenye imani, ukwel ni muumba wa vyote ndio atakae toa jibu na amesha yatoa. Endelea kumpenda mtu asiekuweko kwenye msaada kwako, Nabii Issa alikuja kwa wana kondoo wewe punda unahusu nini, huko Israel hata kukujuwa hukujui ni mswahili hujiulizi jambo tu, kweli unakiza machoni.
Wachungaji, lugha wanayo isema wao wenyewe hawaielewi na wala si lugha, naweza kusema ni ubabaishaji Lugha isiyo tafasirika hiyo siyo lugha. Kama ni Malaika, tuba elewa Malaika alimtokea Maryam akampa ujumbe wenye kueleweka tena SOFT LANGUAGE ila hawa wa chungaji ni sehemu ya upigaji na wenyewe wanajuwa ila ni siri yao. Lazima tuelewe, Maana kubsa ya uwepo wa makatazo.
Ni kweli maana Uislamu bila Uchawi hauendi ndio maana kuna surati jini pia majini yalisikia Quran yakasilimu ,Sasa hii ndio dini eti ya myazi mungu Allha asiye Mungu muumbaji
Ndio uislam ni dini ya haki na ndo maana hata majin wanatubu wakiisikia kwasabb nao ni viumbe wa Allah kama unakataa leta ushahd kwanza kama majin hawakuumbwa na Allah ili tuendelee
Kuna tofauti kati ya jini na sheitan, jini ni kumbe kama wewe TU ambaye kaumbwa amuabudu mungu, ispkuwa anakuwa sheitan pale anapo muasi mungu nikikumbuka mafundisho Kuna majini wanafanya Ibada vizuri TU je, hawa hawapendwi na mungu??
@ayoubshaibu8123 WEWE NI MODERN ISLAMIC MNATUMIA MAWAZO YENU KUJIBU HOJA SIO VITABU VYENU BUT VITABU VYAKO VINAKUELEKEZA HADI USALI NAO IJUMAA. DINI YA MAJINI NA UCHAWI😂
Hawa watu wataangamia kwa kukosa maalifa na kuamini majini na mashetani katika mafanikio,wakati Yesu Kristo mmoja majini yooote dunia nzima yanamshidwa kwa nini msimuamini, yeye ndio njia ya kweli na uzima?
Wa kristo ndo hamu muamini Yesu sababu na huyo ukubwa wake mnao mpandikiza mathubutu kuhakikisha kama amekufa , sasa na Mungu wa waislam Yupo milele Hafi , haja zaliwa , haja zaa , na hafanane na kiumbe chochote. Huyo ndo Allah Alie umba na huyo Yesu .
Wengi wanaokoment hawamwelewi huyu bwana,ameanza kusisitiza kwanza elimu hizi ni hatari na zinaenda kinyume na mafundisho ya Allah, huyu anajaribu kutoa ilimu tu
Ni kweli ila na yeye anaamini mengine na kukufuru mengine kama hayo ya pete anayo ,nu ya kishirikina Pili ,kujifunza elimu hii ni ushirikina hata kama utajufunza kutengua uchawi
Ametaja Azazel na Samyaza, lakini hawa wawili ni malaika waliobanwa kwa minyororo na Archangel Michael Kufuatia maagizo ya Mwenyezi Mungu, kisha wakatoswa kwenye shimo jangwani lililo mvunguni mwa River Euphrates. Maandishi matakatifu yanasema ipo wakati huo mto utakauka na wataachiliwa huru kwa muda mfupi.
Nawe unapotoa komenti fikiria usiropoke kuna waisilam na waumin,,hat wewe hapo kwenye dini yako hiv vitu vipo kwa wachungaj wenu sisi hatumkatai ila tunamuelewesha asipotoshe wengne
Hiyo ni elm dunia ni ushirikina uislam haujafundisha hayo munautia doa uislam mutaulizwa na allah kwa kuwatoa watu ktk Imani na utajir ni qadar ya Allah mwenyewe acheni Mambo yenu hayo Allah awaongoze
Muogope mungu acha na na dini hata wanaomuita yesu hawajui Nini wanakiabu yupo yesu mtume na yesu mwingine pole pambana kivyako usichafue Imani za watu sio wote wanao muita baba atakaouona ufalume wa mungu😂 kuvaa kanzu na kikofia ni waisila Isilamu ni dini ya khaki
Muogope mungu acha na na dini hata wanaomuita yesu hawajui Nini wanakiabu yupo yesu mtume na yesu mwingine pole pambana kivyako usichafue Imani za watu sio wote wanao muita baba atakaouona ufalume wa mungu😂 kuvaa kanzu na kikofia ni waisila Isilamu ni dini ya khaki Haina mungu watatu ni mungu mumoja elewa
Uyu hajasoma mafundish ya kur-ani ndio mana mana mtume hakufundish ivo mtu atafute rizki namna iyo wala maswahaba zake hakuwafundish zaid ya duwa nakusimama usiku kumuelekea Allah sw wamuombe yeye na wasitegeme kwengine .awa wanachangany iman munasahau mashekh kama kunasuratul ikhlas aya ya 2 inasemaje eeeee subhanallah yarabbi tuongoze na vizazi vyetu ktk mamb ya kher nakufata muongozo wa kurani na sunnah
SubahanaAllah ,sijui waitwa nani wewe mushrik lakini namuomba Allah Akuongoze uujue uislam.ki ukweli hauna hata nuru ya uislam Wala hukai muislam.Jaribu sana utubie kabla ya wakati wako kufika
Yaani maana halisi ya ushirikina ni kuchanganya mafundisho sahihi ya Mungu na yale ya shetani kwa nia ya Kumuudhi Allah na kumtumikia Shetani. Washirikina wote motoni
Huyu cy shaikh acheni kutukana UISLAM.........HUYU NI MWANGA....KIGAGULA.....MGANGA NJAAA....UISLAM NI MSAFI KABISA.....HUYU NI MUSHRIK SUFI HUYU........
Tatizo elimu watu hawana,uislam,majini, uchawi ni vitu tofauti... Anachoongelea ni elimu kama elimu nyingine sio uislam msiuchafue uislam na mueleweshe sio mnakurupuka tu.shule muhim sana wakati mwingine... Some jamani
le problème avec ce Pays vous savez c'est qu'il est bâti sur de la sorcellerie depuis le VI ème siècle a peu près sauf qu'il a été habité bien avant . le peuplement a commencé avec les Africains , les Malgaches et les Arabes . la majorité était des sorciers et pour eux s'était une tradition même si ça allait a l'encontre du Créateur . ils on continués sur ce chemin et vous savez tous comme moi que les Africains et les Malgaches beaucoup il ne jurent que par ça . Alors moi je penses que tous leurs problèmes vient de là .
Hukuna shetani , wala jini mzuri wote ni wabaya, na kufanya ubaya ndio masilai yao. Kwahio akikupa utajili,.ujue anajambo kwako: hivyo ukiwafuata ujue unaangamiaa;? Mfuate yesu roho yako itaisj u HB cm
Only evil jinn come if summoned ,Good jinns can’t go against the teaching ,they fear Allah and they know it’s forbidden so keep summoning the evil jinn and later wait for the consequences
Sema tu,maji wamebenzi kwenye uislam,nakwanini majini wanapenda uislamu,nikwasababu uislamu ni usafi na majini wanapenda usafi,nasi usafi mnaoujua nyie wakuoga nakupaka mafuta ukapendeza lahasha niusafi wakujisafisha namaji ambayo utatouchafu naikosi pamoja na majanaba ambayo unayo kwenye mwili wako hivyo,kwahiyo hapo ndipo utakapoona uislam na ukristo unapo tofautian na ndipo utakapojua nikwanini majini wanapenda miskiti kuliko makanisa.
Haya mambo mbona yanazidi Tanzania nini mbaya .hakuna kadhis..cort..wakinyang'anywa license wasipotoshe watu.ikiwezekana wasionekana mitandaonidoooh too much.
Kwa hiyo waislamu ni wachawi tuu na majini. Yesu kristo kweli ndio nuru. Kumbe waislamu majini pekee yake hawana ukweli bali majini . Uislamu dini ya siri na majini na uchawi. Damu ya mnyama ni uchawi. Sasa kama dua zenu ni uchawi mnaomumba Allah gani wachawi nyie
Jamani msikazanie niuislam,mnamuelewa huyo kijana lakini,amewaambai na anasisitiza kila wakati,kwamba ni ilimu nyingine na si waislamu,na katika mambo hayo hata wakristo wanafanya hayo.
Sheikh twakuomba uweze kurudi kwa allah na utubie uwachee kupotosha watu .....kisha ww uko na imani za ushirikina ....vua hio kufia na kanzu vua vyote....muone vile muogope Allah na ulimi wako mchafu huo.....