mungu akubariki sna ila teacher mm nina swali je kma wapangaji wake wako zaidi ya 3 najuwa kila mmoja lazima awe na sub metre yake je kila moja atatumia mcb yake au mcb moja wanaweza kutumia wote 3 ukaunga tu wire zote tatu hebu teacher nieleweshe hapo nielewe
Thanks for that guide teacher but i just have one question for you sir, have been following your tutorial teachings but unfortunately i don't understand kiswahili so i wanted to ask if an already used power sub metre can be reset back to 0000.0KWT and how?
Mwalimu unakuta nyumba nyingine wayaringi yake zinajitegemea kama taa waya 1.5 na soketi 2.5 chumba kimoja zimeingia saplai 2 ya taa na soketi inakuaje hapo mwalimu?