Uwe unaongea kwa kutulia. Ikiwezekana andika orodha ya utaratibu halafu usome taratibu. Mfano 1. Pata tiketi ya kusafiri. 2.kama ni safari ya ndani uwe na kitambulisho chenye picha. 4..… Tumia maneno ya heshima. Usitumie 'atakupiga biti kali'
Inawezekana km ndege ipo au zipo pia kuwepo na nafasi ila mara nyingi siyo za nje ya nchi pia bei inakuwa kubwa kwa tiket ya siku hiyo hiyo na mda mfup tu safari
Unatakiwa uwe na hata ya kusafiria ya mda mrefu au mfupi( pasport) pia naul ya ndege au busi ukifika mpakan watagonga muhuli kwenye pasipot na kukujuza siku za kuka tz km jirani
@@fatmahkhamis9510 sijaelewa? km una naul na pasport. Tz na kenya kuna ujiran mwema hivyo visa/ ruhusa ya kuingia tz unapewa mpakan sasa nenda kituo cha basi au online au kw wakala wa ndege then kata tiket kwenda Tz. unatakiwa uwe na tiket na pasport utakapofika mpakani( cheki pia masharti ya covid km yapo)