Тёмный
No video :(

Jinsi ya Kusafiri kwa Ndege 

Mazula Abund
Подписаться 1,3 тыс.
Просмотров 8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 63   
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k Месяц назад
🙏🙏🙏🙏
@jackcharles7218
@jackcharles7218 8 месяцев назад
Hahahahahah ahsante bro kwa mwongozo wako mzr
@rofinkitali3765
@rofinkitali3765 15 дней назад
Uwe unaongea kwa kutulia. Ikiwezekana andika orodha ya utaratibu halafu usome taratibu. Mfano 1. Pata tiketi ya kusafiri. 2.kama ni safari ya ndani uwe na kitambulisho chenye picha. 4..… Tumia maneno ya heshima. Usitumie 'atakupiga biti kali'
@kolokokoloko9276
@kolokokoloko9276 2 года назад
Safi sana ndugu kwa kutuelekeza
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Asante
@macrinacaesar1564
@macrinacaesar1564 Год назад
Hi Chriss,asante kwa tips.ubarikiwe
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
Karibu, Like, Share na wengine wapata, pia Subscribe
@aj-gw1rl
@aj-gw1rl Год назад
Asante kwa maelekezo mazuri
@user-vv2wn9qn4t
@user-vv2wn9qn4t 8 месяцев назад
Samahani kaka naomba kuhuzulia je ukiangiza mzingo kukufikiavinabidi ulipie shingapi
@MazulaAbund
@MazulaAbund 8 месяцев назад
Mzigo kutoka wap had wapi? Kwa njia gani? Wachek DHL,
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 6 месяцев назад
Airport watu huwa wanatupa Sana vitu Asa oman 😂😂😂😂😂 MI ndomaana natumaga cargo afu naondoka na mzigo wa kilo zinazotakiwa
@nditondilito2510
@nditondilito2510 Год назад
Safi
@deveralymgaya978
@deveralymgaya978 Год назад
Uko vizur
@user-vv2wn9qn4t
@user-vv2wn9qn4t 8 месяцев назад
Mimi kunamzingo nimetumua sas natuma pesa wanambia et pesa y tanzania ni ndog kwa kenya nifanye nini ili kupata mzingo wangu kaak😢
@Julie-bb6yt
@Julie-bb6yt 10 дней назад
Sio wale matapeli wew 😂😂
@user-rc9xd9hu3m
@user-rc9xd9hu3m 2 месяца назад
Nisaidie nataak kusafiri kwa ndege na sina kitambulisho chochote mpenziii 😢😢😢
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 месяца назад
Tafuta kitambulisho kwanza
@user-rc9xd9hu3m
@user-rc9xd9hu3m 2 месяца назад
@@MazulaAbund nakitambulisho Cha mpiga kura tyu jomni na natakiwa niende kesho kutwa ntafanyaj na naenda dar natokea dom
@stevekdaniel
@stevekdaniel 2 года назад
Safi sana
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Karibu
@tumtumkhan3115
@tumtumkhan3115 3 года назад
Jee unaweza kubeba perfume kwenye begi la chini
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Unaweza
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Год назад
Unabeba
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 года назад
Asante
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Karibu
@hariethcostantine9777
@hariethcostantine9777 2 года назад
Kwaiyo auruhusiwi kusafiri na parefum ya aina yoyote
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Ndiyo
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Unaruhusiwa ina unaweka kwenye begi linaloingia sehem ya mizigo, kwenye sehem ya abiria kuna shart la ujazo ambao ni ndogo sana
@nellytsuma7519
@nellytsuma7519 Год назад
Thanks bro
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
👍👍Share na Subscribe plz
@nellytsuma7519
@nellytsuma7519 Год назад
@@MazulaAbund where is party 11 and 12
@rommysandra1276
@rommysandra1276 3 года назад
Mmmh
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Karibu
@ghaosalsalum
@ghaosalsalum 11 месяцев назад
Ticket ya ndege wakesha kutumia unaenda kuitoa copy?
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 6 месяцев назад
Ndiyo
@lizzydiy4590
@lizzydiy4590 2 года назад
Kaka je unaweza pata ticketi hapo hapo airport ile siku ya safar?
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Inawezekana km ndege ipo au zipo pia kuwepo na nafasi ila mara nyingi siyo za nje ya nchi pia bei inakuwa kubwa kwa tiket ya siku hiyo hiyo na mda mfup tu safari
@Glorie711
@Glorie711 Год назад
Maybe fire ya kwenda Tanzania ni kama ngap ni kiwa kenya
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
check online ila siyo ghali sana
@Glorie711
@Glorie711 Год назад
@@MazulaAbund Asante kakangu 🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
@@Glorie711 Karibu, Subscribe, Like and Share na wengine wapate kujua na kuona
@vitymteysemere4777
@vitymteysemere4777 Год назад
Kaka naomba no yako
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
Naandaa namba afu ntaweka hapo kwa ajir ya watu wote watakao hitaji
@tinapius6795
@tinapius6795 2 года назад
Mmmh nimeogopa nyie hakuna kusemeshana tunafka tumenuniana tu
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Usiogope ni tahadhari za kiusalama tu
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 Год назад
Kwa mfano kama uko kenya unataka kwenda Tanzania utafanya nn help me plz🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
Unatakiwa uwe na hata ya kusafiria ya mda mrefu au mfupi( pasport) pia naul ya ndege au busi ukifika mpakan watagonga muhuli kwenye pasipot na kukujuza siku za kuka tz km jirani
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 Год назад
Passport niko nayo nauli pia lakin hii hata inapatikana kama wap??
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
@@fatmahkhamis9510 sijaelewa? km una naul na pasport. Tz na kenya kuna ujiran mwema hivyo visa/ ruhusa ya kuingia tz unapewa mpakan sasa nenda kituo cha basi au online au kw wakala wa ndege then kata tiket kwenda Tz. unatakiwa uwe na tiket na pasport utakapofika mpakani( cheki pia masharti ya covid km yapo)
@fatmahkhamis9510
@fatmahkhamis9510 Год назад
@@MazulaAbund Asante sana kwa kunieleweshua vizur 🙏🙏
@MazulaAbund
@MazulaAbund Год назад
@@fatmahkhamis9510 Karibu, Subscribe, share hizo video na wengine wafaham zaid nk
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 2 года назад
Kuna watu wanao kuelekeza if you need support ukiwa upo airport na haujui utaratibu
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
kuna wafanyakaza mara nying wamevaa unifom unaweza wauliza, au kuna sehem( dawati) la maulizo nk
@LyonWalker_
@LyonWalker_ 2 года назад
@@MazulaAbund but kuna ugumu kupata pass ya kusafiria na precess zipoje na ghArama kwa ujumla
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
@@LyonWalker_ ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-vwiYJtXHqZY.html
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Год назад
Me niliuliza palepale wakat nakaguliwa mabegi
@camillahamis1069
@camillahamis1069 Год назад
hahah Kama mm wakat naenda Denmark kha nyie hapana🤣🤣
@kokubanzaedi9573
@kokubanzaedi9573 2 года назад
Ivi nauli ya kwenda Nigeria Sasa ivi nishingapi
@MazulaAbund
@MazulaAbund 2 года назад
Km dola mia tatu hiv ila ulizia kwenye hizo wakala wa safar z ndege au chek online kupitia ethiopian airways
Далее
UNACHOTAKIWA KUFANYA UKIPANDA NDEGE
5:20
Просмотров 3,7 тыс.
Video 753 Muntlig norskprøve A2-B1 nivå
21:23
Просмотров 255 тыс.