Watu wengi husahau walikotoka, Maisha Duni na jinsi walivyolelewa katka Hali ya uduni. Mungu alinipa hii nyimbo, THAMANI YA BIBI. Kunikumbusha na kuwakumbusha ndugu zangu kwamba Iko Thamani ya huyoo Bibi au mwanamke aliekulea mpka ulipofikia
Usimsahau Bibi muheshimu saaana, msaidie , muombee maana mengi wameyafanya katka familia zetu. Baba na mama wengi hukimbia familia na watoto hutupiwa Bibi na Bibi Hana wa kumtupia analea na kupambana mwenyewe.
Barikiwa na hii nyimbo ya Thamani ya Bibi.isikilize Kwa makini naamini itakuvusha na utauona mkono wa MUNGU
10 окт 2024