Daaah sad inanikumbusha mbali sana mashairi mazuri kabisa akuwai kupata mafanikio juu ya nyimbo zake juzi anafanyiwa enteview inasikitisha sana Mungu ampe maisha marefu ya kurudia Allah..
Watu wenye uswahili wetu wallah hii nyimbo inanikosha mama yng kipenzi mwamjua jumanne akidondosha chozi mbele ya ndugu zake likapigwa jisong hili❤❤❤ sssa sijui mama qlikuwa qkiria kwa furaha au ana mazito kwenye moyo wake
Ninamini hakika iko siku itafika kudi munazonipaka nitatakasika, sijui niwaweke fungu gani viumbe muhisabike, la faraja kwenu dhiki hivyo ndiyo mulivyozoweya sadaqqta dada mwanahawa unanikosha kwa ukweli wa nyimbo zako♥️
Kila nikikumbuka nyumbani lazima nisikilize taarab zilizofuzu shule kama hizi....Nolstagic kwa kweli. Nakumbuka sana Viumbe wazito Camp, Bububu Street, Tandika, DSM. Mungu atuweke!
Mwanahawa Ali, Zuhra Shaaban na Rukia Ramadhan nawakumbukeni na kukukoseni sana kwa nyimbo na sauti safi siku zote. Hongera taarab siku zote mnatuburudisha popote duniani, asanteni sana 07April 2020.
Nyimbo Hii haiishi utamu make maneno yaloimbwa ndo tunayoyaishi Kila siku. Binadamu wamebaki tu kwenye nguo ila tabio looo unaemdhani rafiki ndo adui. Big up mtunzi na mwimbaji
Akhlan Wa sakhlan Wa marhaba,,,Ama kweli,,,,mja hana ihsani,,,,maneno matamu,,na yenye funzo,,,,wape vidonge wapambe,,,,dada Mwanahawa,,,,mola akupe stara kwa heshima na kazi safi,,,,
Yani hili sogi sijui nilichezeje niwe nimelifaidi yani hlichuji kwangu jamaniiii toka 1994 nalisikia jamanniiiii🤸🤸🤸😂💃🌺🌺 basi acha nimpe maua yake mwanahawa weeeee
Mpaka dunia ifike tamati viumbe wagumu watakuwepo tu waambie mahasidi wakubwa hao halooooooooooo mwanamama wanikosha roho.mahasidi mpooooooo nyooooooo hilo dongo liwefikeeeeeee paka shume ninyi😁😁😁
Taarabu zamani bhana unaweza kukaa na mkwe mama yako watoto wako na mukasikiliza hakuna matusi wala maneno ya hovyo sio Sasaivi nyimbo zote matusi matupu
KIZAZI CHA ZANZIBAR bdo Sjaon w kmzidi hyu Mama MWANAHAWA ALLIY❤🎉TARABU ASILIA From ZANZIBAR ❤🎉🎉we still Love you 2024 bdo naiskliza ROHO MBAYA SIO MTAJI
Kama bado unasikiliza viumbe wazito 2020 na unampenda mwanahawa ally gonga like hapo chini jamani huyu mama anakoxha nafsi zetu maneno pambee hayo viumbemxiochukulika viumbe wazito
Aisha Oman taarabu zamani sikuhizi nyimbo zote hazina mafunzo ni kichambo na kwenda mbele hata upigaji km singeli hakuna taarabu sikuhizi AISHA WA OMAN
Swadakita.nakumbuka nilikuwa na rafiki yangu tunatoka bichi mikadi Bich nikiwa dar enzi hizo 2003 tulikuja tumepigiwa kwenye Panton na muuza kanda enzi hizo kwenye mkokoten