Sehemu ya kwanza ya #ChillnaSky tukiwa na Joel Lwaga. Anasimulia safari yake ya muziki na jinsi wimbo wake Sitabaki Nilivyo ulivyobadilisha maisha yake baada ya kusota kwa miaka mingi hadi kutaka kuktaa tamaa
This was so powerful. Hasa kwenye hustle. Umepata matatizo ya moyo na umetokea kuwa bonge la vocalist. God is real Joel, stick with Him. Yaani huo wimbo ulishushwa moja kwa moja kwako.
Mimi ni hule wimbo baba humejuwa kunifurahisha baba umenfuta machozi nilie hitwa lahana nikafanyika baraka nilionekana sifahi umenieshimisha umenipa sababu yakujidai nakukutukuza hahahaha baba aaaaa umejuwa kunifurahisha uwa nafarijika sana sana mungu akuweke kaka angu🙌🙌🙌