Тёмный

Jux Afunguka kukosa Mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen! Part 5 

LilOmmyTV
Подписаться 544 тыс.
Просмотров 15 тыс.
50% 1

Swala la Jux kupata mtoto limekua stori kubwa pia kwa Msanii wa RNB Jux African Boy, katika interview hii, Jux amemaliza utata wa swali la kwanini hakuwa kupata mtoto na Ex zake wote, Jackie, Vanessa Mdee wala Karen!
Tazama full interview ya Jux hapa
Subscribe, Like, Comment & Share

Развлечения

Опубликовано:

 

11 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@annethsongwe6063
@annethsongwe6063 2 месяца назад
Umeongea point hapo kwenye kuhandle family alafu unakuwa na mtu kwaajil ya mapenz,mi nimeweza hilo ila nmeona watu wengi wananiambia najitesa ningetafuta mtu anisaidie kulea but mi natambua Mungu ananisimamia hata km nina umri mdogo na mume wangu amefarik nikiwa na 20something hadi leo,Nakuombea Jux upate mtu mwenye kujielewa,mpambanaji,msimamizi mzuri na hofu ya Mungu🙏
@esthermatisho2604
@esthermatisho2604 2 месяца назад
I love the way Jux knows who he's and what he wants in life. Kila la kheri wake. 😊
@scollantandu2350
@scollantandu2350 2 месяца назад
Jux jamani mie nakukubali kinoma, hunaga zarau unahekima sana, MUNGU akupiganie usijebadilika ❤
@emratekawala5853
@emratekawala5853 2 месяца назад
I wish I could meet this guy ❤one day
@robert.joseph
@robert.joseph 2 месяца назад
This is the best part of the interview out of them all
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 месяца назад
jux kuwa makin sana kuanzia leo wanawake watajitegesha hili mladi tu wapate mimba kwakuwa tu wewe umesema upo tayar
@SweetnessGregory
@SweetnessGregory 4 дня назад
I wish uwe baba wa watoto wangu
@deogratiusleonard
@deogratiusleonard 2 месяца назад
While excessive stress isn't good for your overall health, there's no evidence that stress results in miscarriage. About 10% to 20% of known pregnancies end in miscarriage. But the actual number is likely higher because many miscarriages occur before the pregnancy is recognized.
@hiki242
@hiki242 2 месяца назад
Insha'Allah Allah yupo pamoja nawe
@El-roseMaya
@El-roseMaya 2 месяца назад
Uwo ndo uanaume baba nakusapoti sana😮❤❤
@thadeoponas4458
@thadeoponas4458 2 месяца назад
Facts🎉
@j...876
@j...876 2 месяца назад
Kaka uko ready sasa mad huo ndo una henda kupata ki TUMA njiya!! Pole lakini kwa ma fans-!!!
@bizzyjunior_tz
@bizzyjunior_tz 2 месяца назад
🔥🔥🔥
@jimmyjaphet136
@jimmyjaphet136 2 месяца назад
Huyu ni mimi kabisaaaaaaaa yani kabisaaaaaaa❤❤🔥🔥✌🏾
@mariesafari4266
@mariesafari4266 2 месяца назад
❤❤❤❤
@user-lq6mt5ji4l
@user-lq6mt5ji4l 2 месяца назад
Jamani nampenda jux sema nimezaa ananizidi umri walah angenioa tunaendana nae kabisa lakini ndio hivyo Niko usd😂😂😂🎉🎉🎉❤❤❤
@dreliangasu6245
@dreliangasu6245 2 месяца назад
Used😅
@Sonia_abass
@Sonia_abass 2 месяца назад
Ety used jaman!!!
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 4 дня назад
😂😂😂
@thabitdaudi9815
@thabitdaudi9815 2 месяца назад
Pia jamaa hajatambua nin anataka. Anasema mwanamke aweze kusimamia familia asipokuwepo. At the same time ata provide kila ktu kwake.😅 how does that even sound in the same sentence
@albertmullah2377
@albertmullah2377 2 месяца назад
It does bro.. mm pia napenda mwanamke independent ambae anaweza kusimama hata nisipokuepo, but that doesn't affect the fact that am a man na nitatakiwa kuprovide kila kitu. Mtu ambae hajielew ata ukiwa unaprovide unaweza usione faida yake yoyote na kua na mtu anaejielewa/fighter, hata ukiwa na kidogo unaona impact kubwa
@stevewanga957
@stevewanga957 2 месяца назад
Mayai viza itakua ...
@DjmekaMeka
@DjmekaMeka 2 месяца назад
interview bovu kinoma yaan
@sylviaforest3001
@sylviaforest3001 2 месяца назад
Haya maswali ya watoto wacheni kuliza uliza watu juu Mungu ni yeye anapewa watoto sio kwa bidii zetu watu wakajuwa hivyo wangenyamaza
@NiceJoram-pl7vf
@NiceJoram-pl7vf 2 месяца назад
Hata usipotaja huyo ni vee coz alishawahi sema interview moja hawezi beba mimba coz hayuko tayari bado anatafuta pia ana stress nyingi za utafutaji😂😂
@IbrahimShan-qu3um
@IbrahimShan-qu3um 2 месяца назад
Ili chokoo tu
@misheckmisheck6350
@misheckmisheck6350 2 месяца назад
Huyu ni Mimi kabisa
@Bill_boyy
@Bill_boyy 2 месяца назад
hahahahha mwamba anaachika yy tyu daily 😢
@DorcMfinang
@DorcMfinang 2 месяца назад
Juma nakuomba plz unipigie nakupenda San
@athanasmasmami5389
@athanasmasmami5389 2 месяца назад
😂😂
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 4 дня назад
😂😂😂 ameikuta wp namba yako😂
@Inzaghi809
@Inzaghi809 2 месяца назад
Huyu ni shoga hazai
@user-pf1tb5ic2h
@user-pf1tb5ic2h 2 месяца назад
Unauhakika? ushawai kulala nae?
@user-lo5cl4ll5p
@user-lo5cl4ll5p 2 месяца назад
Wewe muongo jux ulivyo mzr iv mtu asizae na ww itoke mimi hapa siwez kuacha kubeba mimba ako ata iweje nazaaa😂
@barakanaseeb7155
@barakanaseeb7155 4 дня назад
😂
@williamdungumaro6668
@williamdungumaro6668 2 месяца назад
Uyu bwana Hana mbegu
@EvaBintony
@EvaBintony 2 месяца назад
nakupenda ww mmbwa
@gudayakutemile577
@gudayakutemile577 2 месяца назад
Machoko bhna Huwa wanaona kama wanaongea points
@eliachaula6542
@eliachaula6542 2 месяца назад
Aah wote
Далее
Jux na Ommy Dimpoz Hawaongei? #Jux #Karen #OmmyDimpoz
9:39
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 220 тыс.
Впервые дал другу машину…
0:57
Просмотров 746 тыс.