Wanaume jifunzeni hapa, si vizuri kumsema vibaya mtu ulieachana nae, kwenye mahusiano kila mmoja hua ana mchango na maisha ya mwinzake, utakuta wengine wameachana na wana watoto wanasemana vibaya.Jux we ni mwanaume na Vanesa songa mbele wewe ni mwanamke bora kuliko yote uliyopitia.
B dozen nakubali sana umekua mfano mkubwa sana katika industry hii nikiendele kufualia kuanzi xxxl nagundua kua unaakili nyingi sana afu iq kubwa na industry unaijua
Mi cjawai kusikia wimbo mpk nimekuwa mkubwa ujue.Nimeishi Zenji na nimezaliwa huko huku bara nimekuja kufanya kazi ndo nasikia wimbo ila mi najua nyimbo
Jux umeniangusha mwanangu wa kike alikuwa anakuwa anakupenda Sana umuoe lakini nikamwambia huwezi muoa sababu unampenda Vanessa asome tu,ila Leo umemuacha Vanessa badala uoe mwanangu umeenda kuoa mchina why jux
Mhm!! haya mambo ni magumu, leo nimejua kama ulishatoka na wolper duh!!! tutajua mengi mwaka huu hata ambayo tulikuwa hatuyajui bado ya lulu diva na mondi nayasubiri