Тёмный

JUX: Vanessa Alidata / Kifungo Cha Jack Cliff / Niliachana Na Wolper Kisa Pesa - EXCLUSIVE PART I 

Dozen Selection
Подписаться 231 тыс.
Просмотров 202 тыс.
50% 1

#Jux #Bdozen

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 287   
@melvo_2547
@melvo_2547 5 лет назад
Dogo Janja hujui kuvaa!!! Jux ni shidaa👏👏❤❤Nani anakubaliana na mm #Like
@kokise75
@kokise75 3 года назад
Amevaa tu vizuri acha wivu na labda wewe unavaanga crazy wear 😡
@ivantompoo7843
@ivantompoo7843 4 года назад
B. Dazen suto imekukaa na jux pia naipenda clouds
@bellahyuzzomylife4428
@bellahyuzzomylife4428 5 лет назад
waliogundua hawa watu bado wanatakana wagonge like tuuuuu😁
@ivantompoo7843
@ivantompoo7843 4 года назад
Nc b dazen
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 лет назад
Nakupendaga sana kati ya wanaokupenda na mm nione
@solomonfaithbless5940
@solomonfaithbless5940 5 лет назад
Veronica Daniel oh wow, I can see love is in control
@juniorombeni7177
@juniorombeni7177 5 лет назад
wawhooo
@isunga1964
@isunga1964 5 лет назад
Duh sijawahi kusikia Wolper alipita na Jux shikamoo mapenzi
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂Wolper ni mama wa kukuza vipaji🤣
@arerimanafatma4021
@arerimanafatma4021 5 лет назад
Isunga 1 😀😀😀jux nikijan mweny anaji elew
@rahisalovely9622
@rahisalovely9622 5 лет назад
Alipita nae kitamboo kipindi icho instagram haipoo famous...2011-2012 walikua wanagongana
@jndaki8273
@jndaki8273 5 лет назад
Dozen selection iko vzur sana,
@benimagaya2968
@benimagaya2968 4 года назад
Sawa sawa Mfaume Wa Rnb #Jux Like Hapa
@janethmarealle3594
@janethmarealle3594 5 лет назад
'Uzuri wako' best song ever!
@rashidsaid1092
@rashidsaid1092 2 года назад
Huo mkao sio wa kiume usipende kukaa huo mkao
@e.m.lgishinganotv7834
@e.m.lgishinganotv7834 5 лет назад
Jux man Good
@hilarysamwel6496
@hilarysamwel6496 5 лет назад
kama unasubiri part 2 gonga like apa
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 лет назад
Interview ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥Jux unajieleza vizur asanteni
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 5 лет назад
Wanaume jifunzeni hapa, si vizuri kumsema vibaya mtu ulieachana nae, kwenye mahusiano kila mmoja hua ana mchango na maisha ya mwinzake, utakuta wengine wameachana na wana watoto wanasemana vibaya.Jux we ni mwanaume na Vanesa songa mbele wewe ni mwanamke bora kuliko yote uliyopitia.
@kulatulefathfully5777
@kulatulefathfully5777 5 лет назад
TedY Mwandara
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 5 лет назад
Nimekuelewa mamaa
@rehemajongo8579
@rehemajongo8579 5 лет назад
Naaam
@sabynerarizona6126
@sabynerarizona6126 5 лет назад
Great interview Dozen umejua kumuuliza questions from the scratch which many people wanted to know 🔥
@bigboyben6932
@bigboyben6932 5 лет назад
Sabyner Arizona i agree witchu
@lindsey9460
@lindsey9460 5 лет назад
both of these people are still in love
@swagimachafu8689
@swagimachafu8689 5 лет назад
congulatulation kk kwa kupendezaaa
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 5 лет назад
Daa bonge moja la show iko hot Sana
@stanslausmamba1147
@stanslausmamba1147 5 лет назад
Ok
@artemisneoy9596
@artemisneoy9596 5 лет назад
Hapa bongo ni Jux na Ommy Dimpoz pekee wanajua fashion kwa wasanii wa kiume
@juliusdaniel3514
@juliusdaniel3514 5 лет назад
Bdozen tunashukuru kwa kuiboresha dozen selection kuondoa microphone na sauti iko bomba
@ibrahimmariam7252
@ibrahimmariam7252 5 лет назад
Jux nakukubali. Sio uachane na mtu alafu unaanza kumchafuwa
@lucyaspenas4384
@lucyaspenas4384 5 лет назад
Kati ya wasaniii ambao nawakubali hapa tz, ni wewe jux keep it up ila chonde naomba mrudiane na wifi yetu wa Taifa V,money
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 5 лет назад
Yani nilivojipinda kuangalia interviw kisa nimskie anavomuongelea vanesa 😂😂😂umbea kaz jamani
@dadnawakala260
@dadnawakala260 5 лет назад
Hasna Abduly 😂😂
@hasnaabduly4945
@hasnaabduly4945 5 лет назад
@@dadnawakala260 😂😂😂yani ata kama hutaki kuangalia mtu unajikaza tu ili uspoteze point
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂
@neemavaleli2575
@neemavaleli2575 5 лет назад
Hahahahhahaha
@islaahrasheed6939
@islaahrasheed6939 5 лет назад
Hahahaha mimi jeee
@musaalex2579
@musaalex2579 5 лет назад
Daah hizo pamba sio za nchii hii, ila Jux kauwa kama sio kumfunika Dozen
@halisiaisaya7832
@halisiaisaya7832 5 лет назад
Musa Alex jux yupo juu sana pia mzuli sana
@hadijaabdallah5477
@hadijaabdallah5477 5 лет назад
@@halisiaisaya7832 Museme mashallah midomo mengine husda
@irankundasada4927
@irankundasada4927 5 лет назад
Nakupenda saana jux
@tausishabani8778
@tausishabani8778 5 лет назад
Jux kaka napenda mavazi yako nyimbo zako nakukubali vibaya
@igorivannovnimbona2683
@igorivannovnimbona2683 5 лет назад
As our ex #teamvee +257 Niko hapa kusikiya his side talk about the sagga..like
@salumjumah4820
@salumjumah4820 5 лет назад
Dozen selection interview iko motoooo
@danielkembo2177
@danielkembo2177 5 лет назад
Napenda hii session asee
@DULLAHMASTER
@DULLAHMASTER 5 лет назад
B dozen nakubali sana umekua mfano mkubwa sana katika industry hii nikiendele kufualia kuanzi xxxl nagundua kua unaakili nyingi sana afu iq kubwa na industry unaijua
@gastorjohn5308
@gastorjohn5308 5 лет назад
Talented host
@eneolatukio8493
@eneolatukio8493 5 лет назад
Sikujua kama huyu Jux ni mtu wa kufunguka ivi..now i know..wale wa 'No comment' laleni mbele uko
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 5 лет назад
Miaka yote alokua akisoma china hakuwa akiongea kiswahili lakini mwanzo mwisho hakuna no wala yesMwanaume wa ndoto yakila mwanamke
@mkomatembo
@mkomatembo 5 лет назад
Safi sana Jux nimeipenda Story yako ya Kimziki na kimaisha Very Good History si wengi wajuao
@amoxisaac4912
@amoxisaac4912 5 лет назад
Na ipanda sana
@beddahboy7757
@beddahboy7757 5 лет назад
Huyu ndo Star Wang
@christinajoel7073
@christinajoel7073 5 лет назад
Nakukubali Sana Dozen
@ashurathabiti695
@ashurathabiti695 5 лет назад
Jux kupendeza ndo kitu anajuaga
@aishayahya7687
@aishayahya7687 5 лет назад
Nakukubal sana jux
@allymnzava3818
@allymnzava3818 5 лет назад
Jux umesoma bhana! Acha kuongea kiswahili kibovu! Sio "nyimbo yangu" bali 'Wimbo wangu'
@maryjosephat2885
@maryjosephat2885 5 лет назад
Jamaniii
@rizikibakar3186
@rizikibakar3186 5 лет назад
Mi cjawai kusikia wimbo mpk nimekuwa mkubwa ujue.Nimeishi Zenji na nimezaliwa huko huku bara nimekuja kufanya kazi ndo nasikia wimbo ila mi najua nyimbo
@harnize_msafi
@harnize_msafi 5 лет назад
Una pesa ama unajua tu kumkosoa mwenzio?
@ishany6005
@ishany6005 5 лет назад
Riziki Bakar kbsa ni nyimbo huyo ni mshamba t
@CeeIgamba
@CeeIgamba 5 лет назад
Na bali ndio nn😏😏😏
@ashurasaloum6012
@ashurasaloum6012 5 лет назад
Kumbe umesoma green acres 🔥
@fatumadaudi6453
@fatumadaudi6453 5 лет назад
Jux nakuelewaga sana we mtu
@TOP10-c9r
@TOP10-c9r 5 лет назад
the way he talks about Vanessa!!!!!anampenda huyu
@miriyamasanja6766
@miriyamasanja6766 5 лет назад
Jux nakukubali sanaaa
@elishamwaipasi5469
@elishamwaipasi5469 5 лет назад
Hii interview mmeuwa ile knyamwezii
@Clamvevootz
@Clamvevootz 5 лет назад
Dazen nataka unisaidie namba ya jux
@agnessjohn8404
@agnessjohn8404 5 лет назад
harmonize kwenye list ulimwacha jux hahaha huyu Dada kawakung!uta sana wanaume daa! kumbe na jux kapita makubwa
@beatricejoseph3537
@beatricejoseph3537 5 лет назад
Alimtaja kweny list
@aminhoyo8800
@aminhoyo8800 5 лет назад
Mama huruma wolper,😂😂😂
@heriegbert6064
@heriegbert6064 2 года назад
Ninge full happy kama wangerudiana na vannesa mdee.
@yasmenoozm8094
@yasmenoozm8094 5 лет назад
Jux nakueshimu sana
@samsonabel2031
@samsonabel2031 5 лет назад
Bro #dozen napenda Sana huki kitu chako inanisaidia kujenga imani ya safari yangu ya mafanikio, good interview, jux Yuko simple sama kumbe
@jeremiahmwasapilicharlie2926
@jeremiahmwasapilicharlie2926 5 лет назад
waandixhi nikama mnaigana baadhi ya vitu ,,,sio mbaya jitahidini kuwa bora zaidi na kufanya utofauti ,wa interviews,,,
@tazasfilms
@tazasfilms 5 лет назад
aiseee
@mdmubrak8152
@mdmubrak8152 5 лет назад
Hawandowatu wakuhoji siounamuhuji limtuhalijitambui jux unashawishi kusikiliza kwakweli
@jumasaid442
@jumasaid442 5 лет назад
Unajuw
@princelukas5380
@princelukas5380 5 лет назад
Jamaa ukimskilza hachoshi anajua kuongea vzr
@ramlaameer2057
@ramlaameer2057 5 лет назад
Dah jux ku2pia tyu
@queenofambitiondeus8780
@queenofambitiondeus8780 5 лет назад
Jux umeniangusha mwanangu wa kike alikuwa anakuwa anakupenda Sana umuoe lakini nikamwambia huwezi muoa sababu unampenda Vanessa asome tu,ila Leo umemuacha Vanessa badala uoe mwanangu umeenda kuoa mchina why jux
@reallyshiners9555
@reallyshiners9555 5 лет назад
😂😂😂😂😂Jmn
@freddychebayi9441
@freddychebayi9441 5 лет назад
Baba yao
@dismaskelvin7522
@dismaskelvin7522 5 лет назад
Levels 🔥🔥🔥🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻
@muuelano6794
@muuelano6794 5 лет назад
Oyooo
@nasibukiangai4639
@nasibukiangai4639 5 лет назад
Mwendelezo plz
@oscaroscaroscar7974
@oscaroscaroscar7974 5 лет назад
Mama miparushuti nae Katombesha Wengi
@marymarwa8428
@marymarwa8428 5 лет назад
😁😁😁mama nani?
@oscaroscaroscar7974
@oscaroscaroscar7974 5 лет назад
@@marymarwa8428 Miparashutiii 😃
@siwemamichael690
@siwemamichael690 5 лет назад
Jux upo juu umedeti na Jack wa wili
@marymarwa8428
@marymarwa8428 5 лет назад
🤣🤣🤣nimecheka
@rockyvlogs2214
@rockyvlogs2214 5 лет назад
Hahahaaa
@emanuelmhagama8193
@emanuelmhagama8193 5 лет назад
*interview kali sana dozen*
@neemanicholaus5468
@neemanicholaus5468 5 лет назад
Duh 😁 umebold kuonesha mcctizo 😁.
@emanueligidion8248
@emanueligidion8248 5 лет назад
Kijana unaeza walai
@catherinephales4646
@catherinephales4646 5 лет назад
visuti vimekaaaa jaman mweee
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 5 лет назад
Wamedamshi mwe
@juliusdaniel3514
@juliusdaniel3514 5 лет назад
Kama Jux kaachana na Vanessa mimi ni nani nisiachane na Asha wa tabata
@mwisegemwandemele8552
@mwisegemwandemele8552 5 лет назад
Hahaa jamani mbona vituko, mecheka kwa kweli
@salommmbaga8491
@salommmbaga8491 2 года назад
Hahahaha
@artemisneoy9596
@artemisneoy9596 5 лет назад
Dada wolper nawe umekitembezaaaa 😂😂😂😂
@prettyshemsanelly4374
@prettyshemsanelly4374 5 лет назад
artemis neoy 😅😅😅😅kila mwenye kuanza maisha yaku sex anaaanzia kwake daaah
@nasridickson8664
@nasridickson8664 4 года назад
Ahahahahaaa
@inocentlema5574
@inocentlema5574 2 года назад
Uyo Jack amelambwa jaman🙆🏿🙆🏿 kahaaa
@mercymac1007
@mercymac1007 5 лет назад
jux am coming for u from 254
@asiazuberi9722
@asiazuberi9722 5 лет назад
Jux kumbe nae ana domo😂😂
@zaliali9412
@zaliali9412 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣Njo kuyiyona ?
@CeeIgamba
@CeeIgamba 5 лет назад
Na mate ,waaaaaa!!!
@dangoteeddow5118
@dangoteeddow5118 5 лет назад
Jux ulikwama wapi kwa Veeee Mapesa?
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Mwanaume unavaaje cheni tatu km dem bado hereni wakati kina juma naowajua ni makomandoo jeshini we kweli wa mama
@okellodavid4379
@okellodavid4379 5 лет назад
Mbona mondi akivaa hamsemi
@pilikasimu1593
@pilikasimu1593 5 лет назад
Wamependeza na suit zao
@gibsonyshadrack4543
@gibsonyshadrack4543 5 лет назад
Kwanzia Leo sitaki demu wangu aende harusin,kunakina jux watamchukua ahaaaa
@nasimmeral5623
@nasimmeral5623 5 лет назад
😂😂😂
@nabyswabz1522
@nabyswabz1522 5 лет назад
Wambea Mko Faster....Hehe Sisi Wa Free Wi-Fi Tujuane Hapa
@زينابوو
@زينابوو 5 лет назад
😂😂
@issanaseeb7699
@issanaseeb7699 5 лет назад
😂😂😂😂
@nabyswabz1522
@nabyswabz1522 5 лет назад
Nawaona Nawaona
@lattyhansy6608
@lattyhansy6608 5 лет назад
😂😂😂
@ndayisengafrorence8461
@ndayisengafrorence8461 5 лет назад
Tupooo 😁😁😁
@abdulmaster8550
@abdulmaster8550 5 лет назад
shoo kali shoo z kibabe big broo
@sosbrayantbenjamin9701
@sosbrayantbenjamin9701 5 лет назад
Maswali hayo jux kaulizwa interview nying sana bro jaribu kuwa mbunifu kwenye maswali kama lil ommy😊 ila show kali
@terryabuu4884
@terryabuu4884 5 лет назад
Sawa wakuu
@melissalablonde9580
@melissalablonde9580 5 лет назад
Sikupenda kuacana kwenu😭
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 5 лет назад
Jux, blue kabyser nä Ommy dimpoz km inspector Haroon kweny pamba
@richiepaul9383
@richiepaul9383 5 лет назад
Aixeeh DOZEN dondoxha part 2
@ramabendera8183
@ramabendera8183 5 лет назад
tayari kashadondosha shuka Chini utaiona
@zachariabernard9660
@zachariabernard9660 5 лет назад
I am waiting for you
@almasitv9748
@almasitv9748 5 лет назад
jux kweli vanesa umemtema,umekubali kumtaja jina na kumzungumzia jacline walper
@elickjohn3760
@elickjohn3760 5 лет назад
Jux ndo king rnb hakuna kama wewe
@saluuhans2037
@saluuhans2037 5 лет назад
biggest baddest wanyama wakali wamekutana
@mwashbabytz2427
@mwashbabytz2427 5 лет назад
wolper tamaa zilimuandama jaman kaah sas huy mtu mbna hajamuoa
@tinaseth7550
@tinaseth7550 5 лет назад
Duuu Jack cliff ,,,😭
@sheilanambala4380
@sheilanambala4380 5 лет назад
Yani huuu...interiewer..ako safi sana..unajua kuuliza maswali poa sana
@josephinengoda2858
@josephinengoda2858 5 лет назад
Jux we ni mwanaume wa ukweli....pole kwa changamoto zote ulizopitia
@estherjoshua2250
@estherjoshua2250 5 лет назад
Mhm!! haya mambo ni magumu, leo nimejua kama ulishatoka na wolper duh!!! tutajua mengi mwaka huu hata ambayo tulikuwa hatuyajui bado ya lulu diva na mondi nayasubiri
@iambaizo
@iambaizo 5 лет назад
Esther joshua hyo kitambo sana
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 5 лет назад
Mmmh.....🤗
@superbosskijanamrmkinga517
@superbosskijanamrmkinga517 5 лет назад
Show kali
@stevewanga957
@stevewanga957 5 лет назад
Kwa kuvaa bongo ni Jux na Ommy dimples basi.....
@happinesskashalaba2936
@happinesskashalaba2936 5 лет назад
Hatal
@monicaalute1777
@monicaalute1777 5 лет назад
Jamani umbea kibarua kwakwel, nimekomaa kuangalia interview ili nickie kile anaongea kuhusu Vanessa. Duh umbea mzigo sana
@nasmaabdalla3817
@nasmaabdalla3817 2 года назад
Hata mm naona kibaruwa😀😀😀😀
@makulaikuku6909
@makulaikuku6909 5 лет назад
juma jux shikamoo maana umependeza hatariiii
@igorivannovnimbona2683
@igorivannovnimbona2683 5 лет назад
First viewer.first like
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 5 лет назад
Makubwaaaa jacline worper kapitaaa hadi kwa Jux uwiiii🤔🤔🤔
@husnajohn7466
@husnajohn7466 5 лет назад
Aisha Ramadhan acha tu uchi unuke hakuna namna
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 5 лет назад
@@husnajohn7466 hahahahhh nimecheka km mazuri vile
@hadijabashil2680
@hadijabashil2680 5 лет назад
Aisee wolpa noma,yaan asinge Sema jux mwenyewe nisingeamin
@marymarwa8428
@marymarwa8428 5 лет назад
🤣🤣🤣
@aisharamadhan5257
@aisharamadhan5257 5 лет назад
@@hadijabashil2680 kabisaaa
@nickymeel986
@nickymeel986 5 лет назад
Kumbe na wolper kapita huku😂😂😂
@helenkambi3918
@helenkambi3918 5 лет назад
Jux u are well dressed. I didn't know kumbe ulisomea kenya
@watownsuleimany2470
@watownsuleimany2470 5 лет назад
Dozen🔥
@jammomasaai4764
@jammomasaai4764 5 лет назад
nakukubali
@chiefosward1376
@chiefosward1376 5 лет назад
Big up Jux
@jamaly5710
@jamaly5710 5 лет назад
Nazani mlipania kupiga pamba ila Jux shikamoo
@ramabendera8183
@ramabendera8183 5 лет назад
Jux akoseagi kwenye kutupia
@marymalaika476
@marymalaika476 5 лет назад
.....inaonekana wamevalishwa/wamenunua sehemu moja maana suti zinafanana tofauti rangi tu!🤔
@aishamawalla1839
@aishamawalla1839 5 лет назад
Hii suti ni tam+hicho ki tisheti cheusi daaaah umenizuuuza
Далее
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 21 млн
Vanessa Mdee.Hakukuwa na mapenzi tena.
18:22
Просмотров 299 тыс.