Jamaa katumia fasihi amabyo ni ngumu sana kuielewa Najua wengi hamjaelewa UNAONA HAPO WATU WANAINGIA AMERICA wanarud wakiwa kwenye majeneza na wengine wanarudi wakiwa washakuwa mateja 😂😂😂😂 this man is creative #umewachanganya wengi awamu hii @kalajeremiah
Nimeelewa Sana bro ...vijana wengi wanaaminni ughaibuni ndo Kuna maisha mazuri kumbe balaa tupu ...wakirudi hawana kitu,mateja na Wengine inarudi miili tu wakiwa wafu
Jamaa ametisha sana, huu wimbo lugha ya picha imetumika "ujumbe ni kwa vijana wanaotaka kwenda nje kwaajili ya biashara ya madawa ya kulevywa" WELL DONE KALA
Muimbaji Kala kwa nyimbo hii nimekuelewa kua ndani yako kuna kipawa na elimu kubwa ambayo Mungu ameweka ndani yako kwaajili ya kuelimisha dunia.... Kwani watu wengi wamekua wakifata upepo kama bendela na huku wakiwa hawajui kua wanapotea... Ninakuombe na nitazidi kukuombea ili Mungu azidi kukutumia uelimishe watu na sio kupotosha watu na jamii kama wengine wanavyofanya.. By Prophet Luckson N.M
Back to African movement. Falsafa ya MTU mweusi myahudi halisi fuatilia makala za @HMG. Ujifunze falsafa ya MTU mweusi na historia tata. back to African movement. #Kala Jeremiah umefanya kitu chatofauti sana na chenye maudhui mazuri hongera black mwenzangu
Ebanaa mwanza tumekiwasha tenaa awakina baracka da Price kina h baba wamesha shindwa majukum na kuolewa sasa matumain kwa kina kala na fid q msodiki pia
Broo katika nyimbo ambazo huwa c choki kusikiliza ni hii amerika yaan kuna vitu umeongea ndani ni vya msingi mnooo big up broo mungu akujalie kazi uzid kutoa nyimbo za kuelimisha bro
I can not believe that we still tuanataka kwenda America after watching this Video . KALA J you kill it Bro No matter were we are from, what language we speak, what color we have. Simple amazing. No war, make music alive . Wewe ndo umebaki pekee unaimba hiphop kuelimisha jamii. God bless You.
Duuuuh!! Unaweza kuona namna wanavyokimbia kwao wakidhani fursa zipo nje, sasa wanarudi wakiwa tofauti kabisa wengine mateja, wengine zinarudi maiti. Its now to understand that ni bora tunavyoviacha kuliko tunavyovikimbilia. AMERICA katika wimbo haimaanishi twende America kweli Bali inatuonesha ni wanaokimbilia huko wanasuffer. Thanks @KALA JEREMIAH . you are my role model. One day I wish kufanya unachokifanya
Duuhh more zan artist huyu jamaa nomaa maana msio elewa huyo jamaa mzungu hapo ndo kama airport na hilo jumba hapo ndo america humo sasa Chen jamaa walioenda wanavo rudi wengne mateja,wengine maiti hatari sana hilo song