@MillardAyo please naomba umwambie muheshimiwa Kabla haja toka kagera uko afike pia Wilayani Kyerwa kata ya Iteera kuna mradi was maji wa aina hii pia maji yalitoka Sikh mwenge ulipo pia adi Leo mabomba yamebaki kama picha Tuy kuna shida ya maji uko haielezeki @milladayo plz naamini ujumbe umefika