Israel, Marekani na mataifa ya magharibi sio kwamba ni werevu saana kwa ujasusi wa kupata taarifa za nchi zingine na viongozi wao kwenye hii Dunia.... kinachowasaidia ni pesa wanazoiba kwenye mataifa mengine kwa kuwanyonya na kuanzisha vita kwenye hizo nchi ili wapore mali. Wanaweza kupata taarifa za nchi na viongozi wao kwa kutoa pesa nyingi sana kwa wasaliti wa hizo nchi....kwa hivyo hapa ni shida,njaa na tamaa za Hao viongozi wanaopewa pesa kutoa taarifa
Israeli.......yupo juu sanà katika ujasusi........hutangulia mbele hatua kadhaaa kupata taarifa zake. Na hukusanya taarifa zake taratibu hata kama itagalimu mipaka kadhaaa......na Wana majasusi kote dunia I...kwenye Kila sekta wamejipenyeza
Acha kuhubiri udini mpumbavu mmoja wewe!!!.. Tanzania hatutaki hizo mambo, tunasimamia haki KWA haki,uhuru amani,upendo na uvumilivu. Sisi ni changanyikeni. Na ukumbuke, KWA Tanzania bara,takribani Kila ukoo unaye mtu/watu wa dini tofauti tofauti.. kuna mwislamu,kunamkatoliki,nachat mpagani yumo pia. So achaneni na mambo za udini
Yaani Iran, Iraq, syria, Lebanon, Yemen, na wajinga wengine wa Kiislam wote wanaishindwa Israel nchi ndogo kabisq. Hapo ndipo unajua hilo ni taifa la Mungu. Acha wahangaike hawataiweza Israel mpaka yesu atakaporudi.
Ahsante kwa tangazo ni kweli unacho kisema apa nchini Iran sasa ivi kuna mikakati inafanyi na ivi punde ime ambiya nchi zote za kiarabu ole wao wenye wata kuwa wana milili ngurue zaki marekani nchini umo na punde ime sema kuwa nchi yoyote ile ita ivamiya Iran itamupiga mpaka Dunia nzima ita shuhudiya ni kweli wana silaha nzito tena zaki sasa ❤