@@tinashemachemedze2690 hapana Bali kama Watanzania tunajihujumu wenyewe kiuchumi pia!vilevile tunapokuwa na timu mbili inasaidia kusonga mbele kwa kuzipungu,a timu za nje
@@ikwabemagesa5876 nani kasema kumsifia?Ni pigo kwa Nchi kama unafahamu Uchumi wa kimataifa,Ingekuwa ni ligi kuu hapo hakuna ubishi Bali inapokuja kimataifa hilo ni tatizo
Ahmed Ally aliposhabikia kwenye media lile goli halali la Yanga kukataliwa kule South Afrika haukuwa UTOTO? Je, ule ulikuwa ni Uzalendo kama unavyodai?
Makolokwinyo wengi walishajua safari yao kwenye champions league ilikuwa imeisha na hivyo waliomba kwa nguvu zote Yanga itolewe na hilo likadhihirishwa na msemaji wao comedian....mbona hatukuona comments zenu za kusisitiza Uzalendo na Utanzania. Yes tunatakiwa kusisitiza Uzalendo lakini lazima uambatane na UHALISIA