Тёмный

Kanuni Ya Muda (The Law Of Timing) - Joel Arthur Nanauka 

Joel Nanauka
Подписаться 287 тыс.
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 179   
@mwachumkhamis6360
@mwachumkhamis6360 5 лет назад
Shukran kaka Joel, Mm chakusema naona huu ndio wakati wangu sahihi wakufanya jambo sahihi. Endelea kutufuza kaka ipo siku tutakutafuta halafu tukuambie kuwa tayari ndoto zetu zimetimia Inshallah.. 😘😘
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Asante Mwachum Khamis #SeeYouAtTheTop
@mwachumkhamis6360
@mwachumkhamis6360 5 лет назад
Shukran kaka Joel kwamra nyengine.
@yassirsalim3427
@yassirsalim3427 5 лет назад
Kbsaaa
@thelimitlessclass7909
@thelimitlessclass7909 5 лет назад
Nakubal Sana 21 laws of leadership hyo kanuni ya The law of Timing iliniacha mdomo wazi hongera kwa kushare nasi
@telesiamkumbwa8888
@telesiamkumbwa8888 5 лет назад
ubarikiwe joel mungu akuinue zaid
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Thanks
@peterbayo4677
@peterbayo4677 5 лет назад
Nakubali fundisho hilo kijana Nanauka. Umeelezea kwa umahiri mkubwa.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Thanks Sir #SeeYouAtTheTop
@lawrenceleonard1369
@lawrenceleonard1369 5 лет назад
Mungu akuzidishie ufaham ili uzidi kutuelimisha kaka hongera sana kwa kazi yako na mda wako
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Asante Lawrence Leonard
@alexmichael8735
@alexmichael8735 5 лет назад
kitu sahihi + muda siyo sahihi hii imenigharimu sana Mara nyingi napata resistance kwenye wazo langu nimechukua suala la kuatamia wazo asante sana joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@abdulrahmanhassan3825
@abdulrahmanhassan3825 5 лет назад
Mwalimu mm Nimefurahi Sana kuona umetoa Kitabu cha tajiri wa Babeli mungu akubariki unasaidia sanaa watu, pia vipo vitabu vingi vya zamani unaweza ukaviandia upya wenzetu ulaya hawaoni aibu kutafsiri Kitabu kuweka kwenye Lugha zao, Kama Kitabu cha napoli kime tafsiiriwa kwa Lugha zaidi ya 12 ,kwahivyo na wewe ukiona Kuna Kitabu cho chote kizuri cha zamani au kipya tuweke kwenye Lugha yetu, mungu akubariki
@laeticiamalando9452
@laeticiamalando9452 5 лет назад
Em nishaur braza njia ip nifuate kene maisha yangu,nifanye biashara,nisome au nifanye nn il na mm nfanikiwe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
+255 756 094 875
@johnluhwa8342
@johnluhwa8342 5 лет назад
Ni kwel kakaa joelii, shukranii kwa mafunzo yako
@davidtvonline6020
@davidtvonline6020 5 лет назад
Asnte Sana Joel Nanauka...Mungu Akubariki Sana Sana...
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@mcheshcomedy5809
@mcheshcomedy5809 3 года назад
HAKI JOEL KWENYE HII VIDEO UMENIAMSHA🙄🤛🇹🇿✅✅✔️✔️✔️✔️✔️✔️🕥🕚🕦🇨🇽📣#️⃣🔳🈁*️⃣💯💯💯💯💯
@omaryshafii50
@omaryshafii50 5 лет назад
Kuna vitu vingi umenifundisha na naendelea kujifunza swala wakati sahihi ni muhimu sana na linahitaji "nguvu ya maono" ambayo pia umetufundisha hapa.. Mada zako zina hisia kali sana.. Nasema ahsante sana.. Time will tel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Asante Pia Omary Shafii #SeeYouAtTheTop
@jimmyjohn8184
@jimmyjohn8184 5 лет назад
Mimi ni mtu wa Imani, ninachofahamu ni hiki, kijua wakati sahihi wa kufanya kitu sahihi ninahitaji nguvu ya ziada iliyo nje ya uwezo wangu. Zaidi ya hapo nitakuwa ni Mwenye kupapasa papasa tu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Sure #SeeYouAtTheTop
@rothndayiragije9839
@rothndayiragije9839 5 лет назад
Asante sana Bwana Joel ninafikili mimi nimmoja miongoni ya watu wachache wanaofuta mafundisho yako huku Bujumbura Burundi ila ninashuhudia jinsi ninavyo saidiwa sana na mafundisho yako,hivi baada ya week moja nimesha anza kukamata hatuwa kubwa kubwa na actions tena
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Vizuri Asante Kunifuatilia Ndugu Unaweza Niasiadia Kushare Kwa Watu Wengi Uwezavyo #SeeYouAtTheTop
@rothndayiragije9839
@rothndayiragije9839 5 лет назад
Ndio nita share kwa kuwa nahitaji wengi wao wapate kupata mafundisho haya itasaidia sana kwa nchi yetu ya Burundi. Nakwambia hivi nimesha anza kutunga nyimbo mpya,kusoma vitabu na kufuga nguruwe. I am very motovated really
@faudhiasultani7289
@faudhiasultani7289 5 лет назад
Leo kuna kitu nimekigundua kwanini mwenza wangu kuna vitu anavipinga vitu Fulani vizuri kumbe wakati ndio sio sahihi najisikia Amani now...SeeMeAtTeTop kaka JoelNanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Hongera Kwa Kutambua #SeeYouAtTheTop
@HassanAhmed-te9yn
@HassanAhmed-te9yn 5 лет назад
Naomba utuamvie vitabu vinapatikanajr na wapi
@alphamwipopo5725
@alphamwipopo5725 5 лет назад
Upo sahihi kabisa Mr Joel ni makosa ambayo wengi sana tumeyafanya lakini naamini kupitia video hii imetusaidia wengi sana nakupa big up mkuu.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouiAtTheTop
@mahmodsaid8632
@mahmodsaid8632 4 года назад
Daaa nilikua sijui aya mambo kaka daa kiukwel nimejifunza kitu hongera kaka
@gonta2553
@gonta2553 5 лет назад
Unatufungua sana bro...hapo mi nimegundua hua nafeli kwa kufanya Right action in the Right time but without preparation
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Good Chukua Hatua #SeeYouAtTheTop
@mwajumamwishehe3423
@mwajumamwishehe3423 5 лет назад
Asante sana kaka kwa mafuzo yako mazuli
@tcbthemarket9317
@tcbthemarket9317 5 лет назад
Mungu akubariki atakavyo.
@assadrajonathan5451
@assadrajonathan5451 Год назад
I have let but for this mepata ujasiri na nguvu mpya godbless you kaka
@DatiusKakeneno-no4cu
@DatiusKakeneno-no4cu Месяц назад
Ubarikiwe
@festongonyani152
@festongonyani152 5 лет назад
Asante sana ndugu, Ninapakia madini toka kwako
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@eliasalbinus5204
@eliasalbinus5204 5 лет назад
Mungu akubariki kwa somo! lakini utawezaje kama wakati huu ni sahihi ili ufanikiwe. mfano kwa mwalimu anayefundisha tuition ili aweze kupata mafanikio
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Endelea Kunifuatilia #SeeYouAtTheTop
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 лет назад
Thanks bro...umefikisha ujumbe kwa wakati sahihi,mana ndio mwanzo wa wiki mpya."If i fail,i try again,and again and again".
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@ambrossetrainer2909
@ambrossetrainer2909 5 лет назад
Asante bro nimejifunza kitu ✌✌
@linetnekesa7328
@linetnekesa7328 5 лет назад
asante sana nimekupata vinzuri kaka
@pastorgodsonjohn8562
@pastorgodsonjohn8562 5 лет назад
Mimi nimekuelewa kabisa changamoto kubwa ni kutambua lipi sahihi Kwa wakati upi sahihi kueleza umeeleza lkn changamoto itakuwepo kwenye upambanuzi.Asante
@modanytheone.9784
@modanytheone.9784 Год назад
Asante fether Joel.
@diyaosman8992
@diyaosman8992 5 лет назад
Asante kaka ubarikiwe
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Asante Pia Kunifuatilia Ndugu
@piuspuka5071
@piuspuka5071 4 года назад
Sawa Kaka, tatizo Ni kujua wakati sahihi kwa Jambo sahihi
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 5 лет назад
Yaani umenigusa sana kaka ni vitu vingi sana nilifanya sahihi lakini sio kwa muda sahihi
@shukranjs4307
@shukranjs4307 5 лет назад
Mungu akubariki sana ,kiukwel nashindwa hata kusema barikiwa
@japhetchambanenje5483
@japhetchambanenje5483 5 лет назад
Alot of thanks brother
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Thanks
@mdtv2625
@mdtv2625 5 лет назад
Thanks.
@mervaillenyamushala9543
@mervaillenyamushala9543 5 лет назад
Nice
@sarunmollel9922
@sarunmollel9922 5 лет назад
Shukrani Dr Joel
@joachimvangis5825
@joachimvangis5825 4 года назад
Nashukuru mwalimu
@monicamswahili8331
@monicamswahili8331 5 лет назад
Huwa najifunza mengi sana toka kwako nimepata changamoto sana ya kufanya kitu sahihi lakini wakati sio sahihi hali ambayo inaniumiza sana.
@kingoman7895
@kingoman7895 5 лет назад
Naendelea kujifunza kaka joel nanauka thanx so much #seeuatthetop#
@samirkombo266
@samirkombo266 5 лет назад
Kaka Joel naomba kuuliza hv utajuaje kama huu ni muda sahihin na hili ninalolifanya ni sahihi
@helmanjoshua7342
@helmanjoshua7342 5 лет назад
Dhaaa kwel nimejifunz k2
@piusgiringa409
@piusgiringa409 5 лет назад
Hongera sana brother nakukubali sana kwa elimu yako nzuri
@enoceruganga5435
@enoceruganga5435 5 лет назад
Aise una deserve kuwa genius, kwa Lecture hyo
@yugakiyumbi9909
@yugakiyumbi9909 5 лет назад
Changamoto ipo kwenye kutambua right time,kila MTU ana kitu sahihi cha kufanya ila muda ndo watu tunakosea
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Kweli Ndio Maana Itakiwa Kujua The Law Of Timing #SeeYouAtTheTop
@mimanatamelchior3825
@mimanatamelchior3825 5 лет назад
Tunashukuru Sana Kwa kutupa ushauri mzuri Ila Sasa ni vizuri kama ungekuwa no upigiwe ili watu anae weza ili umfahamishe vizuri vitu vipo maana kueleza shida yote iliyo nayo na hii ni media izi au mfano ningekuwa tz ungetoa maelezo ili MTU aje apate ushauri vizuri maana mfano naangalia Sana ingawa si muda mrefu nimeanza kuangalia vipind vyako na Mafanikio nayaona nakushukuru sana mungu akupe umri na kila la kher katika Maisha yako Ila no. Tatizo sipo tz
@frankjoshua6869
@frankjoshua6869 4 года назад
Naomba msaada. nitajuaje kama hiki ninacho fanya hakipo sahihi na katika wakati sahihi msaada wako kiongozi wetu
@hassanmasuke5078
@hassanmasuke5078 5 лет назад
Thanks for the detailed message bro #Joel
@rashidiomary1324
@rashidiomary1324 5 лет назад
Right action $ right time
@nyambibo-official3617
@nyambibo-official3617 Год назад
Nimekuelewa hapo
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 5 лет назад
Mi naona nilishakutana na disaster, resistance, mistake....sasa nasubiri success Barikiwa kaka Useful
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@hafsahcletty5968
@hafsahcletty5968 5 лет назад
Shukran
@mwambauliohai5043
@mwambauliohai5043 5 лет назад
Mungu akubariki sana
@exaudmwakitega4942
@exaudmwakitega4942 5 лет назад
THANKS BROTHER
@ndeke_154
@ndeke_154 5 лет назад
See you at the top .Thank you for the insight
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Thanks
@othmanmuhammad1650
@othmanmuhammad1650 5 лет назад
superb brother,**,.!!,.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@pineappleplanet1567
@pineappleplanet1567 4 года назад
Thankx Bro
@georgeesamwesongo1802
@georgeesamwesongo1802 5 лет назад
Naomba namimi niunganishwe kwa group yako brother""see you at the HILL (TOP)
@chalakakatekista1662
@chalakakatekista1662 5 лет назад
Naomba kuungwa kwenue group lako 0652101762
@idutathomasmaige2113
@idutathomasmaige2113 5 лет назад
Thanks kwa some zuri. Nimejifunza mengi mazuri . Nina swali how can I know this is right time to me to do something????
@monicaosward6798
@monicaosward6798 2 года назад
Asante
@moshiramadhan1082
@moshiramadhan1082 5 лет назад
Thank you Brother
@rehemaandrew7569
@rehemaandrew7569 5 лет назад
Asante sana kaka Joel. Hii iliishanitokea kabisa. Na ilinikatisha tamaa na kuacha kabisa kuendelea na wao nililokua nalo. Naomba kuungwa kwenye group lako. 0745428171
@vitarismujuni6889
@vitarismujuni6889 10 месяцев назад
No2 ni chadema
@kigodacomp9912
@kigodacomp9912 5 лет назад
safi sana kk me naomba unishauri hapo kwenye mda muafaka wkt wewe hujui km hapa ndio mda muafaka.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Endelea Kunifuatilia Nitakujuza
@slemdj
@slemdj 5 лет назад
how to be a leader at work.. Naomba utuandalie somo plzzz
@ahmedsharif2259
@ahmedsharif2259 3 года назад
Je ntajuaje mda sahihi na kitu sahihi
@pendoalex7299
@pendoalex7299 5 лет назад
naomba mniunge kwenye kundi lake watsup
@Twirwaneho
@Twirwaneho 5 лет назад
Asante kwa mafundisho yako Swali langu ni: unaweza jua aje wakati sahihi wakufanya jambo?
@witnessmtoi4198
@witnessmtoi4198 5 лет назад
Nitajuaje mudA sahihi na kwa wakati sahihi
@vitarismujuni6889
@vitarismujuni6889 10 месяцев назад
Hio no1 ni hawa ccm
@emmanuelagustino513
@emmanuelagustino513 5 лет назад
nitajuaje km huo wakati ni sahihi au siyo sahihi
@joseefaidabutu6467
@joseefaidabutu6467 5 лет назад
Asante kwakutufunza, ila nitajua je mda sahihi na siyo d'ahurie ?
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Josee Faida Butu Unaweza Kujaua Endelela Kunifuatuilia #SeeYouAtTheTop
@kuntainc6182
@kuntainc6182 3 года назад
Nilifanya kitu sahihi kwenye wakati usio sahihi ,,,,nilianza biashara wakati nipo kwenye muhula mgumu wa masomo nikafeli nikarudi nyuma.
@anthonykimaro807
@anthonykimaro807 5 лет назад
Thanks much dear brother barikiwaaaaaaa Sana. Huu kwangu naona ni Right Time but nahisi sifanyi right Actions
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 лет назад
Naungana na ww,kuna wakat nakuwa na mawazo mazuri lakin sichukui hatua ..
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
@@claraprosper8642 Je Umechukua Hatua Gani?
@claraprosper8642
@claraprosper8642 5 лет назад
@@joelnanauka nimekuwa na mawazo ya kufanya recycle ya vitu vingi sana,lakin nilikuwa mvivu sana kuchukua hatua,kila wakati nilikuwa naahirisha,lakini hii video ya Leo,imenifanya nichukue hatua..na hatua ya kwanza nimeanza kuangalia upatikanaji wa malighafi ,kitu ambacho hapo mwanzo sikuwah kupoteza muda kufikiri.Asante kaka,hata kuwaza kazi ni hatua.
@bernard3239
@bernard3239 Год назад
je mm nipo chuo na nataka niwenashamba ni nipe njia nzuri za kusimamia
@amourlaizer5682
@amourlaizer5682 Год назад
How will I know the right time?
@samamanrubama4213
@samamanrubama4213 4 года назад
Kaka Nanauka nimekufatilia ila nimeshindwa kujua namna ya kujua right time ya kufanya right action ili nipate success
@mimanatamelchior3825
@mimanatamelchior3825 5 лет назад
Ila naona watu wanasema uwaunge unalo group basi kama lipo nijuze nipate kutoa ili uniunge
@mosesdidas1170
@mosesdidas1170 5 лет назад
Naekulewa sana bro joel ila mm nina changamoto moja mwaka huu nilipanga nianzishe biashara ya car wash. Lakini nilishindwa maana machine nili nunua lakini haikufaa maana ilikuwa na power ndogo matokeo yake nilimrudishia yule alie niuzia ila nikikwambia tangu mwez wa tatu mwaka huu mpaka sasa sijapata jibu lolote kuhusu machine je unanishauli vipi hapo bro maana it is my dream kuwa na car wash machine ili niweze kukidhi mahitaji yangu madogo madogo
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
+255 756 094 875
@awadhimaramshamaramsha1910
@awadhimaramshamaramsha1910 5 лет назад
Naomba kuungwa kwenye group la wasap ili nipate kujifunza vizur
@aboumwanyika898
@aboumwanyika898 4 года назад
Inakuaje kuwa huu ni wakati sahii au syo wakati sahii
@sabatomjungu9727
@sabatomjungu9727 5 лет назад
Leo nimechelewa hili some lakin siombaya nimepata kitu ata sasa
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
#SeeYouAtTheTop
@stephenjonas4866
@stephenjonas4866 4 года назад
Joel mtu hatari
@iddiadam857
@iddiadam857 5 лет назад
Kuna muda nilikuwa na wazo lakini cna maarifa. Nikawa na kiherehere. Du kilichotokea aibu.
@gideonkwalazi9160
@gideonkwalazi9160 3 года назад
Somo zuri. Swali langu. Je, Naandaaje right action ili nikutane na right time?
@eliaslugondajoseph6290
@eliaslugondajoseph6290 Год назад
Ndio kabisa wrong action at right time sikufanya vizuri nilikuwa nafanya kilimo Cha umwagiliaji
@furahamakunga4156
@furahamakunga4156 5 лет назад
Kaka Joel naona hapo Mimi kwangu nilifanya jambo kwa wakati muda bado mwishio janga kwangu Leo nimepata kujua shida ilikuwa wapi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Jitathimini Tena Chukua Hatua Inawezekana Kuinuka Tena
@alimatambwe8864
@alimatambwe8864 5 лет назад
Unajuwa kitu Joel nahitaji kujuwa ,mimi ni mama wawatoto 6 afu nawalea pekeangu mme wangu alifariki na kuniachia penye I'm in United States USA na wanangu this country evry thing they really follow the time najikutaga nipo like watoto kuwaanda kwenda shule it time appointment need time work they need on time najikutaga siku nimeimaliza nimechoka sana ila nahitaji unifunze kitu vipi takavyo jikamata kwenye time zangu pls
@violahreydmsangi6847
@violahreydmsangi6847 5 лет назад
Leo kaka Joel sijaelewa kabisa apo wrong time utajuaje sasa n wrong time viashiria VP vitakuonesha kama n wrong time then nakama umeangukia kwenye disaster nini nifanye ili nfike kwenye success
@shadow4real868
@shadow4real868 2 года назад
Umenifumbua ubongo
@fatmahaji8987
@fatmahaji8987 5 лет назад
Hapo my kk umeniacha nitajuaje kama hiki ninachokifanya ni sahihi na nimekifanya kwa wakati sahihi?
@laeticiamalando9452
@laeticiamalando9452 5 лет назад
Bro mm vp nmefel chuo mwaka huu amabao nltakiw kuingia mwaka wa pl,but nmeshindwa kujiunga tena mwaka huu kutokana na sababu zlzo nje ya uwezo wangu,but nataka mwaka 2019/2020 ndio niombe tena chuo,lkn naona muda mm umentupa mkono kene habar za kusoma coz mwakan mwez wa kumi na mbili tareh 24 nitatimiza miaka 33
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
+255 756 094 875
@judethadeo6311
@judethadeo6311 Год назад
Ntakitambuaje kisichosahihi ili nisije kukifanya kwa wakati usio sahihi
@february2866
@february2866 5 лет назад
Hivi nikitaka kuwa na channel kama hii yutube afanyaje maana nimejaribu naona nashindwa naishia kuwa na akaunti tu yutube nafanyaje wadau nisaidieni
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Piga Simu Namba +255 754811753
@faidaruzamuka2218
@faidaruzamuka2218 3 года назад
Mtu atajuwa wakati sahii kivipi?
@saimonsingaile584
@saimonsingaile584 5 лет назад
Join me In your group please
@erastobombe9806
@erastobombe9806 5 лет назад
Awali ya yote nikushukuru kwa somo lako zuri na lenye msaada katika jamii yetu, napenda kuuliza kwamba ni sababu zipi au vigezo gani vitakufanya ujua kuwa kwa hicho unachotaka kukifanya kwa wakati huo ni kitendo sahihi na muda sahihi kabla ya matokeo? Pia unaweza nisaidia sababu au vigezo kwa kanuni tatu zilizobaki ili kuweza kuzitambua kabla ya matokeo ili kuchukua hatua za kufanya kitu ambacho ni sahihi na kwa muda sahihi, kikubwa na cha muhim ni mafanikio na sio vinginevyo kaka.
@silassila1364
@silassila1364 5 лет назад
Naomba uniunge kwenye group lako 0626687581
@uhurumathias1259
@uhurumathias1259 5 лет назад
nahitaji kitabu chako nitakipata wapi? nipo buguluni dr es salaam.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
0756 094 875
@solomonitv7808
@solomonitv7808 5 лет назад
Amina barikiwa sana kiongozi kazi yangu kuu ni ku-share ili wengine wapate ELIMU hii
@joelnanauka
@joelnanauka 5 лет назад
Asante
Далее
Ishi Katika Uwezo Wako Wa Kipekee Sehemu Ya Kwanza
17:27
Mark Rober vs Dude Perfect- Ultimate Robot Battle
19:00
Kanuni Za Kuwa Na  Furaha Siku Zote: 40/10/50
26:54
Просмотров 80 тыс.
Kanuni Nane (8) Za Kutumia Simu
7:46
Просмотров 33 тыс.
ONGEZA THAMANI KWENYE MAISHA YAKO
36:49
Просмотров 16 тыс.
UMUHIMU WA KUWEKA AKIBA YA FEDHA- Anthony Luvanda
13:31