Shukran kaka Joel, Mm chakusema naona huu ndio wakati wangu sahihi wakufanya jambo sahihi. Endelea kutufuza kaka ipo siku tutakutafuta halafu tukuambie kuwa tayari ndoto zetu zimetimia Inshallah.. 😘😘
kitu sahihi + muda siyo sahihi hii imenigharimu sana Mara nyingi napata resistance kwenye wazo langu nimechukua suala la kuatamia wazo asante sana joel
Mwalimu mm Nimefurahi Sana kuona umetoa Kitabu cha tajiri wa Babeli mungu akubariki unasaidia sanaa watu, pia vipo vitabu vingi vya zamani unaweza ukaviandia upya wenzetu ulaya hawaoni aibu kutafsiri Kitabu kuweka kwenye Lugha zao, Kama Kitabu cha napoli kime tafsiiriwa kwa Lugha zaidi ya 12 ,kwahivyo na wewe ukiona Kuna Kitabu cho chote kizuri cha zamani au kipya tuweke kwenye Lugha yetu, mungu akubariki
Kuna vitu vingi umenifundisha na naendelea kujifunza swala wakati sahihi ni muhimu sana na linahitaji "nguvu ya maono" ambayo pia umetufundisha hapa.. Mada zako zina hisia kali sana.. Nasema ahsante sana.. Time will tel
Mimi ni mtu wa Imani, ninachofahamu ni hiki, kijua wakati sahihi wa kufanya kitu sahihi ninahitaji nguvu ya ziada iliyo nje ya uwezo wangu. Zaidi ya hapo nitakuwa ni Mwenye kupapasa papasa tu
Asante sana Bwana Joel ninafikili mimi nimmoja miongoni ya watu wachache wanaofuta mafundisho yako huku Bujumbura Burundi ila ninashuhudia jinsi ninavyo saidiwa sana na mafundisho yako,hivi baada ya week moja nimesha anza kukamata hatuwa kubwa kubwa na actions tena
Ndio nita share kwa kuwa nahitaji wengi wao wapate kupata mafundisho haya itasaidia sana kwa nchi yetu ya Burundi. Nakwambia hivi nimesha anza kutunga nyimbo mpya,kusoma vitabu na kufuga nguruwe. I am very motovated really
Leo kuna kitu nimekigundua kwanini mwenza wangu kuna vitu anavipinga vitu Fulani vizuri kumbe wakati ndio sio sahihi najisikia Amani now...SeeMeAtTeTop kaka JoelNanauka
Mimi nimekuelewa kabisa changamoto kubwa ni kutambua lipi sahihi Kwa wakati upi sahihi kueleza umeeleza lkn changamoto itakuwepo kwenye upambanuzi.Asante
Tunashukuru Sana Kwa kutupa ushauri mzuri Ila Sasa ni vizuri kama ungekuwa no upigiwe ili watu anae weza ili umfahamishe vizuri vitu vipo maana kueleza shida yote iliyo nayo na hii ni media izi au mfano ningekuwa tz ungetoa maelezo ili MTU aje apate ushauri vizuri maana mfano naangalia Sana ingawa si muda mrefu nimeanza kuangalia vipind vyako na Mafanikio nayaona nakushukuru sana mungu akupe umri na kila la kher katika Maisha yako Ila no. Tatizo sipo tz
Asante sana kaka Joel. Hii iliishanitokea kabisa. Na ilinikatisha tamaa na kuacha kabisa kuendelea na wao nililokua nalo. Naomba kuungwa kwenye group lako. 0745428171
@@joelnanauka nimekuwa na mawazo ya kufanya recycle ya vitu vingi sana,lakin nilikuwa mvivu sana kuchukua hatua,kila wakati nilikuwa naahirisha,lakini hii video ya Leo,imenifanya nichukue hatua..na hatua ya kwanza nimeanza kuangalia upatikanaji wa malighafi ,kitu ambacho hapo mwanzo sikuwah kupoteza muda kufikiri.Asante kaka,hata kuwaza kazi ni hatua.
Naekulewa sana bro joel ila mm nina changamoto moja mwaka huu nilipanga nianzishe biashara ya car wash. Lakini nilishindwa maana machine nili nunua lakini haikufaa maana ilikuwa na power ndogo matokeo yake nilimrudishia yule alie niuzia ila nikikwambia tangu mwez wa tatu mwaka huu mpaka sasa sijapata jibu lolote kuhusu machine je unanishauli vipi hapo bro maana it is my dream kuwa na car wash machine ili niweze kukidhi mahitaji yangu madogo madogo
Unajuwa kitu Joel nahitaji kujuwa ,mimi ni mama wawatoto 6 afu nawalea pekeangu mme wangu alifariki na kuniachia penye I'm in United States USA na wanangu this country evry thing they really follow the time najikutaga nipo like watoto kuwaanda kwenda shule it time appointment need time work they need on time najikutaga siku nimeimaliza nimechoka sana ila nahitaji unifunze kitu vipi takavyo jikamata kwenye time zangu pls
Leo kaka Joel sijaelewa kabisa apo wrong time utajuaje sasa n wrong time viashiria VP vitakuonesha kama n wrong time then nakama umeangukia kwenye disaster nini nifanye ili nfike kwenye success
Bro mm vp nmefel chuo mwaka huu amabao nltakiw kuingia mwaka wa pl,but nmeshindwa kujiunga tena mwaka huu kutokana na sababu zlzo nje ya uwezo wangu,but nataka mwaka 2019/2020 ndio niombe tena chuo,lkn naona muda mm umentupa mkono kene habar za kusoma coz mwakan mwez wa kumi na mbili tareh 24 nitatimiza miaka 33
Awali ya yote nikushukuru kwa somo lako zuri na lenye msaada katika jamii yetu, napenda kuuliza kwamba ni sababu zipi au vigezo gani vitakufanya ujua kuwa kwa hicho unachotaka kukifanya kwa wakati huo ni kitendo sahihi na muda sahihi kabla ya matokeo? Pia unaweza nisaidia sababu au vigezo kwa kanuni tatu zilizobaki ili kuweza kuzitambua kabla ya matokeo ili kuchukua hatua za kufanya kitu ambacho ni sahihi na kwa muda sahihi, kikubwa na cha muhim ni mafanikio na sio vinginevyo kaka.