-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com #EXCLUSIVE #Diamond #KofiOlomide
Kweli vita si vitu vizuri huyu mama anatoa historia kali sana juu ya maisha yake,mungu azidi kukulinda na hakuepushie na mengine maovu yasikukute.olomide huyo ni dadaako wadamu mkumbuke mkumbukiane sana udugu azina.
Mungu awasimamiye waweze kuonana na kufahamiyana inaumiza sana kusikiya au kumuona kwenye vyombo vya habari tu...mama anaonyesha mapenzi makubwa kwa koffi
Ukweli wa mama ni kwamba walikua Congo kweli. Lkn walikua Congo sehem gani??!! Manake Congo ni kubwa sana! Kwa maelezo yke, walichukua tu boti wakaenda kigoma ujiji. Wkt kofi kwao ni magharib mwa Congo! Mbali sana na Tanzania. Ni sfr ndefu sana ili ufike kalemi au uvira ambapo ndo unawezapanda boti sasa ili ufike kigoma
Safi saana. Ni historia nzuri. Hebu ninyi watu wa habari waunganisheni Hawa watu ilu tusikie upande wa Koffi Kama Kuna mfano wa mazungumzo. Itapendeza sana
Alafu uwezi amini Rashidi kuna mmama mmoja mzambia yupo denmark aliniambia kabisa wazazi wa koffe siyo wakongo ila walikua wanafanya kazi tu pale kongo, Sasa na huyu mama alivyojitokeza naamini
Koffi Olomide was born Antoine Christophe Agepa Mumba in Kisangani ,Democratic Republic of Congo on July 13 1958. His father Charles Agbepa is Congolese (from the Gbandi tribe) while his mother Amy is of Sierra Leonean and Congolese descent (Songye tribe from Kasai region). His mother named him Koffi which means Friday as is the tradition in parts of West Africa where children are named based on the day of the week they are born.
Maelezo ya Mama yamekamilika na kutjiosjeleza kabisa ...lakini naona Mtangazaji ameingilia fani kabisa....Uwezo wake wa kusikiliza na kufuatilia maelezo ni mdogo sana sana...Na anamchosha tu mama wa watu...Anarudia tu maswali hayo hayo...
Sio kweli. Chakumuuliza mama ni kwamba: huko Congo walikua sehem gani??!! Manake anasema walikimbia wakavhukua boti. Manake walikua masharik mwa Congo, wkt Kogfi anatoka magharbi mwa Congo ambapo ni safari ndefu saaana ili ufike mashariki.
Sasa Bw / Bi Bahati unatushauri vipi na hali kama hii, ( kama usemavyo, kuna bahati lakini pia kupoteza udugu). Sababu hali kama hiyo unaweza kuoa ndugu tumbo moja. Lakini Naunga mkono Busara za huyu Mama / dada wa watu.
Kwa maelezo ya mama, hawana undugu kbs na Koffi. Na ili mjue hill, mmuulize mama wao walikua Congo seven gain??? Ambapo walichukua boti tu, na wakafika Tz. Koffi kwao ni mbali sana na Tz.
Nina hakika Maria hajazua habari hii , kwa maana alipata maelezo kutoka kwa baba yake , kwa Hali hiyo , tusilete ushabiki katika undugu wa watu , maana kofii anajuwa ukweli wote wa asili yake , na huenda huyo baba aliyezikwa Paris , alimwoa mama Kofii , akiwa tayari Kofii amekwisha zaliwa .
Nimekuelewa sana inawezekana akawa baba mlezi tu ila lapili kwanini huyu b maria miaka akiitaja inaingia akilini lapili na anafanana na yeye kwa mungu hakuna shida ba hajaja kutangaza njaa shida yake ajuwe tu nguzake na hukuficha kama walimtafuta kwa shida waka mkosa kasema wazi jitihada zao hazikua zaviilee bro nimekuelewa.
Ukweli wa mama ni kwamba walikua Congo. Tena ni mashariki mwa Congo! (Uvira au kalemi) ndo mana walipanda tu boti wakafika Tz. Lkn Koffi anatoka maghaibi mwa Congo. Ni mbali saana na Tz. Sena MZEE alitaka tu kujimwambafai mbele ya wtt wke
Ndugu yng. Maelezo ya mama inaonesha kweli walizaliwa na kukulia masharik mwa Congo! Kuhusu undugu na Koffi, maelezo haijitosheleleze! Mama yke koffi, hakuwahi kufika huko mashariki mwa Congo ,amezaliwa na kukulia Bandundu na kinshasa ambapo ni mbal sn na kalemi au uvira aliookua ule mama . halafu baba yke Koffi alikua anajulikana! mbona!!!
@@rufinyemba7898 kwani we unachofia ni nini labda? na ikija ikajulikana kua ni ndugu yake kweli utasemaje? msijifanye mnawajua watu kuliko hata aliye waumba! ushaambiwa coffee alikua hamjui baba ake! af huyo Mama hajasema kama walikua wakiishi kalemi ya Congo kasema kwao ambako ndio baba yao anazaliwa ni Karema ya Tz nasio kalem skiz maelezo vizur!
Hello guys, huyu mama wachunguze viruzi hizi habari zake, the real name of koffi olomide is ANTOINE CHRISTOPHE AGBEPA MUMBA. ni vizuri ku verify that information before anything else. Because I know Koffi love his family so much.
Kwa kupitia interview ya kofii, ya congo na comment za watu wa kongo,,,wamedai majibu yao,wanamfaham mama wa kofii bali hawamfahamu baba wa kfii,so, hy mama kweli ni ndugu yake hy kofii,,mtangazaji msaidien hy mama aonane na ndugu yake kofii jmn,🙏🏼🙏🏼🙏🏼👏🏻
Nimempenda Sana huyo mama kwakuwa anaonekana sio mtu anaongopa shida take no kumjulisha mobimba ni ndugu yake na mopao no kweli ana historia ya kumjua Baba yake.
Huyu mama yupo Sawa kabsa maana mm ni mtu katavi na kutoka kijiji hicho cha karema Kongo na katavi sio mbali kabsa baadhi ya sehemu ukiwa unaziona taa za Kongo pia watu wa karema wengi hawajulikan ni wakongo au wa tz kwasababu kiswahili matamash yanaendana na Kongo
haya mambo yapo sana baba kuzaa nje na na kisha kuuchuna kwasababu ya heshima ya ndoa yake kaka yangu kazaa na mzungu huko Australia na mtoto anaumri wa miaka 15 na anamuudumia lakini sisi kama shangazi zake hatujawahi kumuona je myaka ya mbele akaja kuwa Rais huko kwao unadhani watu wataamia? jamani wababa kuzaa nje ndo hivyo . na inategemea kwamba baada ya huyo mamake kuolewa tena huyo kofii alifundishwa nini na kama hakuwekwa wazi juu ya maisha yake na mama yake na baba mpya?
@@leahedward5889 kama kakayako kazaa na mzungu nje ndio unataka ku kubalisha watu kua huyo mama anaongea ukweli? Hivi toka zamani alikuwa wapi leo ndo aje kusema koffi ni kakayake?? tunajua kama baba kuzaa nje ni kawaida, ila hii ya huyu niuongo tena uki msikiliza tu unaskia niuongo, hio kusema eti walikimbia vita ndio inawafanya mkubali kwasabu watu wanajua Congo ni mahali kunakuaga vita 😂 nisawa ila koffi sio kaka yake na huyo mama, Koffi ako na familia yake, ako na mkubwa yake alafu yeye na ako na wadogo zake na wote wame fanana sana, na mahali alizikwa babayao ndio alipo zikwa mamayao, baba yake na koffi alikua naitwa PAPA AGBEPA koffi sio mswahili jmn
unajua shida inakuja hivi watu wanadhani sisi watanzania tunashida na koffi hii ni hoja ya mama huyu kumtafuta nduguye sisi hapa tunajaribu tu kujadiri sasa wakongo msipanik kana kwabna koffi atahamia tanzania hatuna haja. huyo nimwanamziki wa afrika atabaki kuwa hivyo.shabashi
Huyu mama asaidiwe kufahamiana na kaka yao, anasema hana kaka mwingine. Hakika damu ni nzito kuliko maji. Koffi mtafute dada yako. Pia wamshukuru Mungu kwa kuwatunza nankufikia umri wa uzee. Vita ina madhara makubwa hasa family separation! It's so sad. But honestly, hakuna furaha kubwa atakayoipata huyo mama kukutana na ndugu yao. May her dreams be true.
Mi mwenyewe nahisi ndugu watu wapo kongo mpaka leo maana historia ya ukoo babu alikimbilia uku Tanzania ,nimejaribu kufatilia kwenye mitandao ukoo wa kishiki tupo sisi kwa hapa Tanzania ila Kongo ndo wapo wengi
Muongo Huyo mama baba yake koffi mzee Charles agbeba alifariki 30/4/2016 ufarasa Paris koffi kazaliwa Kinshasa gombe wakaamia lingwala kabla hawajaamia ufarasa sasa wew hiyo stori umeitowa wapi nasikila sehemu ya Kongo neo palikua na vita vita vilikua sehemu chache sana
Bibi mkweli huyu hawezi sema uwongo ila itakuwa haisaidii kitu kwa sababu hata mamake mzazi kofi ameshafariki na niyeye ndie mwenye kujua ukweli..kwa sasa kofi hawezi kukubali.
Uyo mama muongo mtupu koffi olomide alizaliwa Kisangani third city in DRC baba yake na koffi alikufa 2016 huko Paris na mama yake alikufa mwaka huyo 2020 am a Congolese this mother she is a big lies vita haipo congo yote
@@kambalekalemo8545 Tusibishe,Tu huyo mama Hata Kiswahili Chake Bado Kina Rafudhi ya huko Kwenu,Sura yake wanafanana,yeye Pia Alielekezwa na Baba Yake!!Kwani Undugu ni Sumu.
Mwanamume akiacha mtoto aendezake kwa bibi yake na wana eke yule mtoto wa inje ni mtoto wa mama.na after vita kwanini akwaambia mtafuteni mwenyewe...kofi congo angekuwa ywakumbuka bongo pia yeye ameishi na mama tu so kwake loyalty yeye mcongo
Koffi jinalake kamili ni MUMBA AKWEBA ANTOINE na inajulikana Congo nzima kuwa babaye si mkongo lakini mama ye niyeye kamleya ambaye ni wajimbo Équateur.
Sio mtanzania skia vizuri mamake huyu ni different baba yao alifanya biashara tz...kma mama ni different then mamake kofi nimcongo na baba ni mkongo..kogi 100%congolese sorry
@@tiamo726 Wewe hujasikiliza vizuri huyo mama anaeleza kipindi kile cha vita walikimbia Tanzania na baba Yao aliomba hifadhi Tanzania kwa kuwa anaasili Huku. Baba yake Koffi alikufa Katavi
Kwanza vita ilianza Congo 1996 sio1993,kwakupanda boti aliitowa wapi watu wakinsha, sisi wauvira ndio tuko kutanganika,kinsha natanganika habiko hatakaribu uyu mama ni wabembe zone ya fizi anavuoongea hamalizii maneno eti kule kunani ni MONGO sana.
Koffi is the one who can prove if his father is from Tanzania because we all know his mother is from Sierra Leon and his father is from Congo. The rest is history!!
heshima ya Udugu, na inaonesha kwa jinsi gani Binaadamu lakini zaidi waAfrika tulivyo ungana kwa damu, hii mipaka iliwekwa na wakoloni ili kutu sambaratisha. Mfano... Mama yake Koffi huwenda Aliolewa na Mtu Mwengine, na inawezekana wa taifa Jengine. Je Utaweza kuigawa Afrika. Utaweza kugawa Ardhi lakini si damu. Uko sawa Boniface though.
Ya weza kuwa ukweli, koffi ni mkongomani kwa upande wa mama ila baba koffi ndiye ajulikani hadi sasa na Congo nzima ina juwa hivio. Mwambieni DIAMOND PLANTNMUZ amsahidiye mama uyo ili ahongeye na koffi ya weza ika sahidiya sana